Bandari na unafiki wa Watanganyika

Bandari na unafiki wa Watanganyika

Wana Jukwaa

Ama kweli akili ni mali na ujinga ni adui!

Watanganyika, watu wenye rasilimali asilia za kila aina, kuaniza ardhi kubwa ilimikayo, 60% ya ardhi hiyo binadamu hajawahi kuweka mguu wake, maadini mbali mbali yenye thamani kubwa sana dhahabu, almasi, shaba, chuma, tin, lithium, nickel, cobalt, graphite, manganese. Wanyama, bahari, mito, maziwa, mafuta na gesi. Lakini asilimia 99 ya watanganyika ni mafukara baada ya kuwa na mali yote hiyo.

Leo, watanganyika wanalalamika na mkataba wa bandari, huduma ambayo hata kwa miaka milioni ijayo watanganyika hawana uwezo wa kuindeleza kwa njia moja au nyengine. Sababu zinazotelewa juu ya malalamiko hayo ni eti mikataba mibovu. Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?

Katika mikataba mibovu mno iliyowekwa na watanganyika ni ikiwemo mkataba wa muungano, mkataba ulioivunja sarikali na nchi ya tanganyika, mkataba wa siri na makanisa wa 1992 serikali kutoa mabilioni ovyo ovyo tu kwa kanisa. Hakuna mtanganyika aneyeuliza kwanini kanisa wapewe mabilioni bure bure. Mikataba michafu ya uchimbaji wa dhahabu, wananchi wahakujuilishwa kinachondelea maana bunge halikujadili mikataba hiyo. mikataba ya ajabu ya uondoshaji miti ya mbao, hakuna ajuwaye anaeondosha ni nani na zinakwenda wapi.

Lakini, ikija ndege kuchukuwa wanyama, na ndege hiyo ikiwa ni ya waarabu basi zogo linaazna, wanyama pori kwa bahati tu wametokea kuazliwa tanganyika, lakini wengi wa watanganyika hawajui hata maana ya kuwa na wanyama pori hao. Lakini wakichukuliwa na wazungu kupelekwa Amerika kimyaa.

Bandari walipopewa wachina kwa mikataba michafu hakuna alosema kitu. Walipopewe Waarabu zogo. Tatizo lenu ni nini nyie watanganyika? Watu wanafanya vikao vya siri kuzungumzia waarabu lakini wanasahau ukweli kwamba watanganyika hamuna uwezo wa kujiendesha kuichumi. nyie ni watu wa porojo tu na kuburuzwa tu. Kupata waarabu wa Dubai kujenga bandari na kuiendesha ni neema kubwa kwenu. Tunatamani wangekuja Zanzibar.

Nyie ni watu wa kwenda makanisani kwenu kuimba kuwashukuru waarabu kukubali kuindeleza bandari yenu, ukweli wa maisha ni kwamba wao kila wanapoweka mkono panageuka dhahabu na nye kila munapoweka mkono panageuka udongo. Mfano leo hii, watanganyika nyote muhamishwe na mupelekwe Dubai, muwache kila kitu kama kilivyo, na wadubai wahamishwe waje tanganyika wawache kila kitu kama kilivyo dubai, baada ya miaka 5, Emirate Airlines itakufa, Jebel Ali itakufa, majumba ya dubai hayatatizimika kwa uchafu. Wakati tanganyika itakuwa nchi tajiri yao Afrika, Air Tanzania litakuwa shirika kubwa la ndege afrika, wanyama pori wataingiza mabilioni ya dola za kimarekani kil amwaka, bahari itatowa ajira, maadini wataleta viwanda kwa maelfu.

Kwa ufupi watanganyika ni watu wa kuendeshwa tu, tulieni mujengewe na kumbukeni kwamba MSALABA HAULIWI

Ahsanteni sana
Kama unaona uwekezaji wa kugawa bandari una faida, kwa Nini bandari za Zanzibar zisiwemo? Kutokuwemio kwa bandari za Zanzibar maana yake hakuna faida.
 
Msitupangie
Yes vyote vipo Tanganyika
Kama ni hasara ya kwetu
Hatutaki mwekezaji aina hii atugeuze watumwa kwenye nchi yetu

Mbona wazito kuelewa wepesi kulazimisha

Dada mpendwa Pakawa

kwanza pole sana na ndio sababu kama hizo tukadhani tanganyika na nchi nyengine za kiafrika zitatawalia tena ndani ya miaka 50 ijayo.

watu kama sisi ni bora kwetu kila mukizidi kulala, iko siku mali zetu hizo zinaifaidisha dola ya zanzibar. nyie mutabakisha kutupigia makofi tu kama kawaida.

kumbuka dada watu wahajivunii ujinga
 
Kama unaona uwekezaji wa kugawa bandari una faida, kwa Nini bandari za Zanzibar zisiwemo? Kutokuwemio kwa bandari za Zanzibar maana yake hakuna faida.

eliasmisinzo

Bandari za zanzibar, zina mipango mengine ya baadae. zanzibar being strategically positioned, tunaona kuna haja maalum ya kuzitaarisha bandari za zanzobar kwa matumizi meingine ya baadae. leo ni heri kwenu kujengewa bandari zenu kwa maslahi ya uchumi wenu.
 
eliasmisinzo

Bandari za zanzibar, zina mipango mengine ya baadae. zanzibar being strategically positioned, tunaona kuna haja maalum ya kuzitaarisha bandari za zanzobar kwa matumizi meingine ya baadae. leo ni heri kwenu kujengewa bandari zenu kwa maslahi ya uchumi wenu.
Nani alizifanya bandari za Zanzibar zisiwemo kwenye mkataba wakati wewe unadai ni mzuri?
 
Wana Jukwaa

Ama kweli akili ni mali na ujinga ni adui!

Watanganyika, watu wenye rasilimali asilia za kila aina, kuaniza ardhi kubwa ilimikayo, 60% ya ardhi hiyo binadamu hajawahi kuweka mguu wake, maadini mbali mbali yenye thamani kubwa sana dhahabu, almasi, shaba, chuma, tin, lithium, nickel, cobalt, graphite, manganese. Wanyama, bahari, mito, maziwa, mafuta na gesi. Lakini asilimia 99 ya watanganyika ni mafukara baada ya kuwa na mali yote hiyo.

Leo, watanganyika wanalalamika na mkataba wa bandari, huduma ambayo hata kwa miaka milioni ijayo watanganyika hawana uwezo wa kuindeleza kwa njia moja au nyengine. Sababu zinazotelewa juu ya malalamiko hayo ni eti mikataba mibovu. Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?

Katika mikataba mibovu mno iliyowekwa na watanganyika ni ikiwemo mkataba wa muungano, mkataba ulioivunja sarikali na nchi ya tanganyika, mkataba wa siri na makanisa wa 1992 serikali kutoa mabilioni ovyo ovyo tu kwa kanisa. Hakuna mtanganyika aneyeuliza kwanini kanisa wapewe mabilioni bure bure. Mikataba michafu ya uchimbaji wa dhahabu, wananchi wahakujuilishwa kinachondelea maana bunge halikujadili mikataba hiyo. mikataba ya ajabu ya uondoshaji miti ya mbao, hakuna ajuwaye anaeondosha ni nani na zinakwenda wapi.

Lakini, ikija ndege kuchukuwa wanyama, na ndege hiyo ikiwa ni ya waarabu basi zogo linaazna, wanyama pori kwa bahati tu wametokea kuazliwa tanganyika, lakini wengi wa watanganyika hawajui hata maana ya kuwa na wanyama pori hao. Lakini wakichukuliwa na wazungu kupelekwa Amerika kimyaa.

Bandari walipopewa wachina kwa mikataba michafu hakuna alosema kitu. Walipopewe Waarabu zogo. Tatizo lenu ni nini nyie watanganyika? Watu wanafanya vikao vya siri kuzungumzia waarabu lakini wanasahau ukweli kwamba watanganyika hamuna uwezo wa kujiendesha kuichumi. nyie ni watu wa porojo tu na kuburuzwa tu. Kupata waarabu wa Dubai kujenga bandari na kuiendesha ni neema kubwa kwenu. Tunatamani wangekuja Zanzibar.

Nyie ni watu wa kwenda makanisani kwenu kuimba kuwashukuru waarabu kukubali kuindeleza bandari yenu, ukweli wa maisha ni kwamba wao kila wanapoweka mkono panageuka dhahabu na nye kila munapoweka mkono panageuka udongo. Mfano leo hii, watanganyika nyote muhamishwe na mupelekwe Dubai, muwache kila kitu kama kilivyo, na wadubai wahamishwe waje tanganyika wawache kila kitu kama kilivyo dubai, baada ya miaka 5, Emirate Airlines itakufa, Jebel Ali itakufa, majumba ya dubai hayatatizimika kwa uchafu. Wakati tanganyika itakuwa nchi tajiri yao Afrika, Air Tanzania litakuwa shirika kubwa la ndege afrika, wanyama pori wataingiza mabilioni ya dola za kimarekani kil amwaka, bahari itatowa ajira, maadini wataleta viwanda kwa maelfu.

Kwa ufupi watanganyika ni watu wa kuendeshwa tu, tulieni mujengewe na kumbukeni kwamba MSALABA HAULIWI

Ahsanteni sana

Umeandika ugoro mtupu...

Kama waarabu wanaleta hizo faida, kwann msigombee na bandari zenu za Zanzibar ziwepo kwny huo mkataba ili na nyie mfaidike?

Sawa, mikataba mibovu ipo, kwahiyo unataka tuendelee kuwanayo? Huu wa dp ndio mkataba mbovu zaidi, hivyo tunasema HAPANA, na mkawaambie waliowatuma.
 
Wana Jukwaa

Ama kweli akili ni mali na ujinga ni adui!

Watanganyika, watu wenye rasilimali asilia za kila aina, kuaniza ardhi kubwa ilimikayo, 60% ya ardhi hiyo binadamu hajawahi kuweka mguu wake, maadini mbali mbali yenye thamani kubwa sana dhahabu, almasi, shaba, chuma, tin, lithium, nickel, cobalt, graphite, manganese. Wanyama, bahari, mito, maziwa, mafuta na gesi. Lakini asilimia 99 ya watanganyika ni mafukara baada ya kuwa na mali yote hiyo.

Leo, watanganyika wanalalamika na mkataba wa bandari, huduma ambayo hata kwa miaka milioni ijayo watanganyika hawana uwezo wa kuindeleza kwa njia moja au nyengine. Sababu zinazotelewa juu ya malalamiko hayo ni eti mikataba mibovu. Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?

Katika mikataba mibovu mno iliyowekwa na watanganyika ni ikiwemo mkataba wa muungano, mkataba ulioivunja sarikali na nchi ya tanganyika, mkataba wa siri na makanisa wa 1992 serikali kutoa mabilioni ovyo ovyo tu kwa kanisa. Hakuna mtanganyika aneyeuliza kwanini kanisa wapewe mabilioni bure bure. Mikataba michafu ya uchimbaji wa dhahabu, wananchi wahakujuilishwa kinachondelea maana bunge halikujadili mikataba hiyo. mikataba ya ajabu ya uondoshaji miti ya mbao, hakuna ajuwaye anaeondosha ni nani na zinakwenda wapi.

Lakini, ikija ndege kuchukuwa wanyama, na ndege hiyo ikiwa ni ya waarabu basi zogo linaazna, wanyama pori kwa bahati tu wametokea kuazliwa tanganyika, lakini wengi wa watanganyika hawajui hata maana ya kuwa na wanyama pori hao. Lakini wakichukuliwa na wazungu kupelekwa Amerika kimyaa.

Bandari walipopewa wachina kwa mikataba michafu hakuna alosema kitu. Walipopewe Waarabu zogo. Tatizo lenu ni nini nyie watanganyika? Watu wanafanya vikao vya siri kuzungumzia waarabu lakini wanasahau ukweli kwamba watanganyika hamuna uwezo wa kujiendesha kuichumi. nyie ni watu wa porojo tu na kuburuzwa tu. Kupata waarabu wa Dubai kujenga bandari na kuiendesha ni neema kubwa kwenu. Tunatamani wangekuja Zanzibar.

Nyie ni watu wa kwenda makanisani kwenu kuimba kuwashukuru waarabu kukubali kuindeleza bandari yenu, ukweli wa maisha ni kwamba wao kila wanapoweka mkono panageuka dhahabu na nye kila munapoweka mkono panageuka udongo. Mfano leo hii, watanganyika nyote muhamishwe na mupelekwe Dubai, muwache kila kitu kama kilivyo, na wadubai wahamishwe waje tanganyika wawache kila kitu kama kilivyo dubai, baada ya miaka 5, Emirate Airlines itakufa, Jebel Ali itakufa, majumba ya dubai hayatatizimika kwa uchafu. Wakati tanganyika itakuwa nchi tajiri yao Afrika, Air Tanzania litakuwa shirika kubwa la ndege afrika, wanyama pori wataingiza mabilioni ya dola za kimarekani kil amwaka, bahari itatowa ajira, maadini wataleta viwanda kwa maelfu.

Kwa ufupi watanganyika ni watu wa kuendeshwa tu, tulieni mujengewe na kumbukeni kwamba MSALABA HAULIWI

Ahsanteni sana
Sijaona ulazima wa kuandika yote haya mengine mjifunze kukaa kimya
 
Wana Jukwaa

Ama kweli akili ni mali na ujinga ni adui!

Watanganyika, watu wenye rasilimali asilia za kila aina, kuaniza ardhi kubwa ilimikayo, 60% ya ardhi hiyo binadamu hajawahi kuweka mguu wake, maadini mbali mbali yenye thamani kubwa sana dhahabu, almasi, shaba, chuma, tin, lithium, nickel, cobalt, graphite, manganese. Wanyama, bahari, mito, maziwa, mafuta na gesi. Lakini asilimia 99 ya watanganyika ni mafukara baada ya kuwa na mali yote hiyo.

Leo, watanganyika wanalalamika na mkataba wa bandari, huduma ambayo hata kwa miaka milioni ijayo watanganyika hawana uwezo wa kuindeleza kwa njia moja au nyengine. Sababu zinazotelewa juu ya malalamiko hayo ni eti mikataba mibovu. Ajabu mno, maana Tanganyika haijawahi kuweka mikataba yoyote ya maana, kwanini iwe ajabu leo?

Katika mikataba mibovu mno iliyowekwa na watanganyika ni ikiwemo mkataba wa muungano, mkataba ulioivunja sarikali na nchi ya tanganyika, mkataba wa siri na makanisa wa 1992 serikali kutoa mabilioni ovyo ovyo tu kwa kanisa. Hakuna mtanganyika aneyeuliza kwanini kanisa wapewe mabilioni bure bure. Mikataba michafu ya uchimbaji wa dhahabu, wananchi wahakujuilishwa kinachondelea maana bunge halikujadili mikataba hiyo. mikataba ya ajabu ya uondoshaji miti ya mbao, hakuna ajuwaye anaeondosha ni nani na zinakwenda wapi.

Lakini, ikija ndege kuchukuwa wanyama, na ndege hiyo ikiwa ni ya waarabu basi zogo linaazna, wanyama pori kwa bahati tu wametokea kuazliwa tanganyika, lakini wengi wa watanganyika hawajui hata maana ya kuwa na wanyama pori hao. Lakini wakichukuliwa na wazungu kupelekwa Amerika kimyaa.

Bandari walipopewa wachina kwa mikataba michafu hakuna alosema kitu. Walipopewe Waarabu zogo. Tatizo lenu ni nini nyie watanganyika? Watu wanafanya vikao vya siri kuzungumzia waarabu lakini wanasahau ukweli kwamba watanganyika hamuna uwezo wa kujiendesha kuichumi. nyie ni watu wa porojo tu na kuburuzwa tu. Kupata waarabu wa Dubai kujenga bandari na kuiendesha ni neema kubwa kwenu. Tunatamani wangekuja Zanzibar.

Nyie ni watu wa kwenda makanisani kwenu kuimba kuwashukuru waarabu kukubali kuindeleza bandari yenu, ukweli wa maisha ni kwamba wao kila wanapoweka mkono panageuka dhahabu na nye kila munapoweka mkono panageuka udongo. Mfano leo hii, watanganyika nyote muhamishwe na mupelekwe Dubai, muwache kila kitu kama kilivyo, na wadubai wahamishwe waje tanganyika wawache kila kitu kama kilivyo dubai, baada ya miaka 5, Emirate Airlines itakufa, Jebel Ali itakufa, majumba ya dubai hayatatizimika kwa uchafu. Wakati tanganyika itakuwa nchi tajiri yao Afrika, Air Tanzania litakuwa shirika kubwa la ndege afrika, wanyama pori wataingiza mabilioni ya dola za kimarekani kil amwaka, bahari itatowa ajira, maadini wataleta viwanda kwa maelfu.

Kwa ufupi watanganyika ni watu wa kuendeshwa tu, tulieni mujengewe na kumbukeni kwamba MSALABA HAULIWI

Ahsanteni sana
It is better to keep your mouth closed and let people think you are a fool than to open it and remove all doubt.

Mark Twain
 
Mkuu Jidu

Ahsante sana lakini ukweli ni kwamba ujinga sio uongo bali ni kauli usizozipenda tu.

ikiwa weye ni kweli na muwazi, nioneshe point moja tu nilosema ambayo weye kwa elimu na utaalamu wako unahakika kuwa ni uongo.
Umeanndika pumba nyingi ambazo nyingine ni hearsay nilizokuwa nazisikia nikiwa huko Zenj.
Nikuulize kwanza kblpa ya kukujibu, una umri gani?
 
It is better to keep your mouth closed and let people think you are a fool than to open it and remove all doubt.

Mark Twain

Pole!! Kipofu hata ukimwonyesha kitu kamwe hawezi kukiona!! Jesus is real in my life!! I do not need proof from someone else!! my very life is the living testimony and a proof that Jesus is real, for He has saved my life!!

Turudi kwenye mambo ya bandari: Hata kama hatuwezi kuiendeleza wenyewe kwa sasa ndo tumgawie mwarabu bure kama alivyofanya chief Mangungo! No thank you!! Mama akilazimisha atakuja kujuta!!

mbingunikwetu

Kwanza ukumbuke bandari ya dar es slaam hamukuijenga nyie watanganyika, ni bandari iliyojengwa na hao hao waarabu. nyie muliikuta ipo tu. wacheni irudi kwao wenyewe waarabu.

Mkuu, yesu wa bibiliani hakuwepo, Jesus never existed. Therefore Matthew, Mark, Luke and John never esixted as well, neither Paul. Hayo ni manina ya kupanga tu. Kwahivyo injili ziitwazo za matayo, marko, luka na johana ni anonysmous, aloondika hajulikani. na vitabu 14 vinavodaiwa kuwa kaandika paul inabakisha ni dhana tu maana hakukuwa na mtu anayeitwa paul aloandika vitabu hivyo.

Ukitaka kujuwa ukweli bora uniulize tu, nitakuonesha .
 
Sawa watanganyika hawana akili ya kuendesha bandari sasa siwangepewa Wazanzibar wenye akili kubwa.
 
Back
Top Bottom