Bandari ni njia kuu ya uchumi, Kikao gani cha CCM kimebadilisha msimamo wa chama?

Bandari ni njia kuu ya uchumi, Kikao gani cha CCM kimebadilisha msimamo wa chama?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Hili suala la ubunafsishaji bandari ya DSM limeleta mtafaruku wa kisiasa.

Mwalimu Nyerere 1967 alitaifishashuhuiztekuu za kiuchumi ili nchi tujitawale wenyewe. Yeye aliziita njia kuu za Uchumi.

Humo yalikiwemo mabenki, nyumba, makampuni ya usafirishaji, makampuni ya madini (Mwadui).

Sasa leo hata wengine hatujasahau, wafanyabiashara wa nje wanapewa njia kuu kabisa ya uchumi kama bandari, kuiendesha kwa miaka 100.

Niulize tu maswali mawili:

1. Ni kikao kipi cha CCM kiliamua kubinafsisha hii jia kuu ya uchumi.

2. Uamuzi huo wa kubinafsisha njia kuu ya uchumi ulifanywa kwa RIDHAA ya wananchi gani?

CCM itahitajika kutoa maelezo yanayo kidhi juu ya hili, ama sivyo huko mbele watabeba msalaba wao.
 
Kwani njia kuu ya uchumi inahusikaje na sera za serikali? Kubinafsisha kunaondoa uwepo wa njia kuu ya uchumi?

Unless mnasema ccm Huwa Ina percentage yake hapo Port sawa
 
Kwani njia kuu ya uchumi inahusikaje na sera za serikali? Kubinafsisha kunaondoa uwepo wa njia kuu ya uchumi?

Unless mnasema ccm Huwa Ina percentage yake hapo Port sawa
CCM ipo pale kwa niaba ya wananchi.
Sasa kama wazi wazi njia kuu za nchi yetu zinpelekewa watu wa nje , huo sasa ni uhuru wa bendera huku kiuchumi tunatawaliwa.
 
Hili suala la ubunafsishaji bandari ya DSM limeleta mtafaruku wa kisiasa.

Mwalimu Nyerere 1967 alitaifishashuhuiztekuu za kiuchumi ili nchi tujitawale wenyewe. Yeye aliziita njia kuu za Uchumi.

Humo yalikiwemo mabenki, nyumba, makampuni ya usafirishaji, makampuni ya madini (Mwadui).

Sasa leo hata wengine hatujasahau, wafanyabiashara wa nje wanapewa njia kuu kabisa ya uchumi kama bandari, kuiendesha kwa miaka 100.

Niulize tu maswali mawili:

1. Ni kikao kipi cha CCM kiliamua kubinafsisha hii jia kuu ya uchumi.

2. Uamuzi huo wa kubinafsisha njia kuu ya uchumi ulifanywa kwa RIDHAA ya wananchi gani?

CCM itahitajika kutoa maelezo yanayo kidhi juu ya hili, ama sivyo huko mbele watabeba msalaba wao.
Hao DP world kwanini Mama asiwapeleke kwao Zanzibar ili tuone Bandari ya Zanzibar ikifanya maajabu kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki!!
 
Chama Gani Hicho Ambacho Tanzania Hakitakiwi Na Watu Wote
 
Hili suala la ubunafsishaji bandari ya DSM limeleta mtafaruku wa kisiasa.

Mwalimu Nyerere 1967 alitaifishashuhuiztekuu za kiuchumi ili nchi tujitawale wenyewe. Yeye aliziita njia kuu za Uchumi.

Humo yalikiwemo mabenki, nyumba, makampuni ya usafirishaji, makampuni ya madini (Mwadui).

Sasa leo hata wengine hatujasahau, wafanyabiashara wa nje wanapewa njia kuu kabisa ya uchumi kama bandari, kuiendesha kwa miaka 100.

Niulize tu maswali mawili:

1. Ni kikao kipi cha CCM kiliamua kubinafsisha hii jia kuu ya uchumi.

2. Uamuzi huo wa kubinafsisha njia kuu ya uchumi ulifanywa kwa RIDHAA ya wananchi gani?

CCM itahitajika kutoa maelezo yanayo kidhi juu ya hili, ama sivyo huko mbele watabeba msalaba wao.
CCM mna hali mbaya, hili suala hslijsisha.
 
Back
Top Bottom