Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina


Mtoa thread anauliza: "Je, Chama kina msimamo gani juu ya hii biashara kichaa?"
Ya chama atajibu POLE POLE amabaye siku hizi kaingia mitini. Kwa hili atatoka pangoni tu. Tunamsubiri!
 
Hiyo ni sawa na kujifungia chumbani utegemee mwanga wa kupitia kwenye nyufa za dirisha

Huu mradi ni kama 23trilion tu, tuna mradi wa Umeme takribani 7trn, tuna SGR na wenyewe ka 7trn nafikiri na miradi kibao inaendelea, tukiwa na mipango ya muda mrefu tukaamua tuufanye tunaweza
 
Huu mradi ni kama 23trilion tu, tuna mradi wa Umeme takribani 7trn, tuna SGR na wenyewe ka 7trn nafikiri na miradi kibao inaendelea, tukiwa na mipango ya muda mrefu tukaamua tuufanye tunaweza
Ndiyo jambo la msingi sana hilo.
 
Aisee nyie Watanzania kwa kushirikiana na JWTZ chukueni nchi yenu. Hawa viongozi wa ccm na upinzani wachomwe moto na gesi ya mtwara live ikiinyoshwa tbc taifa. Nchi zote zilizoendelea viongozi wale wanaonafanana na hawa wa kwetu walipigwa risasi, kunyongwa hadharani. Ilisaidia sana kwa kuwaambia wasifanye makosa ya kuumiza vizazi vya nchi.
WACHINA WAPO JWTZ wanatoa trainings, consultation kama huna taarifa.Wanatoa na Magari. 🤣🤣🤣


" I HATE PORK,BUT I LIKE ITS SOUP " 🤣🤣🤣🤣
 
Nyinyi sukuma gang kamwe hamtaweza kumkwamisha rais wetu
Acha ku'label' kila mtu mwenye utimamu wa akili kuwa ni msukuma ww mzaramo😂! Kwanza unaonekana weye ni mkabila sana mfyuuuuu 😡!
 
Acha ku'label' kila mtu mwenye utimamu wa akili kuwa ni msukuma ww mzaramo[emoji23]! Kwanza unaonekana weye ni mkabila sana mfyuuuuu [emoji35]!
Wewe hauwezi kuwa na akili timamu huku unaubeza utawala halali wa nchi.

Huo siyo utimamu wa akili bali ni mtindio wa akili na ni usaliti.
 
Mwendazake alikuwa Mpumbavu wa kiwango Cha lami. Mradi wa Bandari ya Bagamoyo una manufaa makubwa kuliko uwanja wa Chato, kuliko SGR kuliko Bwawa la Nyererere, kuliko Ndege zinazotafuna nchi hii.

Kama yeye ni rais na aliona mradi huu haufai ilipaswa aachane na ule mkataba aanze nao mkataba mpya au mkataba uboreshwe Kama ilivyokuwa kea ACCACIA na BARRICK .

Miradi Mingi ya Magu ni white elephant. Ni hadara kea taifa. Mradi huu Magu angeweza kuuendeleza kea kuanza upya mchakato Ili uwe na maslahi kwa pande zote mbili, yeye Kama rais alikuwa na uwezo huo.

Ila kwa kuwa alikuwa Hana akili akaufuta halafu anatumia matrion kutengeneza airport kijijini kwao na daraja la busisi porini kea mabilioni. The man was crazy
Bora upoteze 1000 kwa kununua sabuni kwenda kupigia nyeto, kuliko kupoteza 50000 kwa kwenda kumlipa malaya ili umkule kavu kavu ili hali umekwambia ana ukimwi na gono. Ni fumbo tu

Kuna ujinga una substitute ule uwanja kule polini unaweza kugeuzwa ukawa uwanja wa jeshi lakin swala la bandari ikiisha chukuliwa hakuna mbadara wake tena hapo.
Nakumbuka hili swala ata hayat aliwai kuliropoka(sijui kama ni lugha nzuri ila acha niitumie) na akaropoka na masharti tuliokuwa tumepewa.
 
Kwa hiyo unaniruhusu nije kwenye kiwanja chako kilichowazi nijenge bangaloo langu na nipafanye pangu 4 99 years! Ambapo ww utakuwa udongo na hata wanao pia watakuwa udongo! Kisha wajukuu wasiweze tena kurudisha eneo lako eeh! Hii akili au 💩!
Totafutisha eneo binafsi na eneo la umma na wewe
 
Kwa hiyo unaniruhusu nije kwenye kiwanja chako kilichowazi nijenge bangaloo langu na nipafanye pangu 4 99 years! Ambapo ww utakuwa udongo na hata wanao pia watakuwa udongo! Kisha wajukuu wasiweze tena kurudisha eneo lako eeh! Hii akili au [emoji90]!

Mkuu hii ni nchi sio familia, tambua tu maeneo mengi yenye wawekezaji yanafuata taratibu hizi hizi kupitia TIC na muda wa umiliki ni miaka hiyo hiyo kwenye hati sawa na hati yako ya nyumba au kiwanja 99 au 33

Wala sio kupigwa kupigwa ni pale maslahi hayawafikii walengwa ina maana kuna wa Tanzania wenzetu wanazila hizo pesa mahali zinapovujia.

Mchawi ni sisi wenyewe. Uwekezaji sio wizi hii akili sijui mnaitoa wapi kumuona mwekezaji kama ni fisadi au mwizi.
 
Bora upoteze 1000 kwa kununua sabuni kwenda kupigia nyeto, kuliko kupoteza 50000 kwa kwenda kumlipa malaya ili umkule kavu kavu ili hali umekwambia ana ukimwi na gono. Ni fumbo tu

Kuna ujinga una substitute ule uwanja kule polini unaweza kugeuzwa ukawa uwanja wa jeshi lakin swala la bandari ikiisha chukuliwa hakuna mbadara wake tena hapo.
Nakumbuka hili swala ata hayat aliwai kuliropoka(sijui kama ni lugha nzuri ila acha niitumie) na akaropoka na masharti tuliokuwa tumepewa.
Kama ule mkataba haukufikia makubalino , basi mwendazake alikuwa na uwezo wa kuureview ule mkataba Kama alivyofanya kwa ACCASIA, Wachina wangekubali kabisa, lakini yeye akaona aupotezee, Bandari ya Bagamoyo itajengwa tu, hata kama si kwa miaka hii ;Ila mkataba unapawa kuwa mwingine Kama kweli huu ulikuwa na tatizo.
 
Huna akili
Kwa Nini Kama Magufuli alikuwa na akili kutengua makubaliano ya ACCASIA kea Nini na mradi huu asingeureview?
Halafu huo ni udhaifu wa badala ya kunijibu hoja zangu unajiita Sina akili. Ok, Basi Kama ni hivyo haisha shida ninyi ndo vipanga
 
Back
Top Bottom