Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Bandari ya Bagamoyo aka Mbeganizhou ya Wachina

Hili ndio tatizo lilipo, mahaba ya vyama na itikadi za kisiasa, chuki au mahaba juu ya mtu fulani.

Huu mradi nahisi kuna watu wanaweza kuukubali au kuukataa kwa sababu tu JPM aliupinga. JPM is no more na hatarudi tena kuishi kwenye hili taifa so kama kuna hasara au faida itapatikana na ya sisi tuliopo sasa na watakaokuja baadae so maamuzi yetu yawe juu ya facts sio hisia na mihemko ya sijui Mataga na Machaga...
Nakubaliana na mawazo yako mazuri kama wewe.

Ila ukweli unaoligubika hili suala ni la kundi fulani kusema kwa sababu mwendazake aliukataa huu mradi basi usijengwe.

Hapa hili kundi linatufanyia sivyo maana mwendazake alikuwa na mtazamo wake kama binadamu.
Binadamu atabakia kuwa binadamu na lazima awe na mapungufu yake pia.

Kama taifa lazima tufungue macho mbele zaidi juu ya huu mradi badala ya kutegemea na kuamini mawazo ya mtu mmoja.
 
Haya mauongo manajifunziaga wapi?

Nchi ina bandari ya kisasa kama ya Bagamoyo ishindwe kulipa dola bilioni 1?

Hata hivyo kwetu sio mkopo, ni concession. Muwage mnaeleweshwa mnaelewa!
Hao nia yao ni kuenzi yaliyosemwa na jamaa yao kuwa huo mradi haufai.
 
Magu sijawahi muamini hata siku, tungeuona mkataba tujiridhishe, afterall majadiliano yalikuwa hayajafika mwisho ila mzee baba alipanic kwa mihemko
Kama taifa inabidi huo mradi uangaliwe upya na kama utaonekana kuna mapungufu basi tuombe dirisha la mazungumzo ya kuboresha vipengere vya huo mkataba ili ujenzi uanze
 
Kabisa mkuu, hata mtoto mdogo hawezi kukubali mkataba wa aina hiyo, hizo ni propaganda za Jiwe.
Tushamstukia na sasa sisi kama watamzania wenye nchi yao tunahitaji huo mradi.
 
Wewe ndiye mjinga!

Watu wanaojitambua hawawezi kupinga mradi wenye manufaa makubwa ya kiuchumi kwa nchi kama Bandari ya Bagamoyo kwa sababu ya chuki binafsi na faida za kisiasa....
Ikishajengwa inakuwa mali ya nani?
 
Kichwa chako kimejaa matope badala ya ubongo we mganga njaa. Roho mbaya za kichawi zinakusumbueni!

Koma kabisa kutukana raisi wetu mama Samia ukiwa nyuma ya keyboard.
Hawa watu roho mbaya zao zinawasumbua sana.
Tatizo hawataki kukubali kuwa hivi sasa kama taifa tunaye rais mwingine tayari.

Yaani mtu anadiliki kutoa maneno ya hovyo kisa ndugu yao katoka madarakani tena siyo kama katolewa kwa makusudi bali ni kwa mapenzi ya mungu.

Haya makundi hatuwezi kuyavumila kabisa maana nia yao ni kuhakikisha mama anakwamishwa.
 
Ilitakiwa ijengwe na wachina na waoman .
Kama ulikuwa haujui.
Na lengo NI kuujenga mji wa bagamoyo.sio bandari Tu..
Kuhusu mkataba na makubaliano hakuna raia wa kawaida aliyeuona huo mkataba..
Cha msingi mkataba uangaliwe upya.
Bandari ya bagamoyo ina umuhimu wake.
haiwezekani miaka yote tukawa na bandari moja kubwa..
Kama suala NI mkataba watazungumza.ila bandari ya bagamoyo lazma ijengwe.
Ndugu yangu mjingamimi hata kama tinatofautiana kiitikadi lkn naona huu mradi unatuunganisha angalu kwa muda tu.

Ukiangalia kundi linalopinga huu mradi ni wale wanao amini kuwa mwendazake alishasema kuwa huu mradi haufai kabisaa.

Kumbuka mwendazake ambaye ni mwenyekiti wako alisema maneno tu bila hata ya kutuonyesha vipengere na masharti yaliyo na ukakasi kwenye huo mkataba.

Sasa yeye katangulia mbale ya haki, kama taifa inabidi maisha yasonge na miradi ifanyike.
 
Kwani atalazimisha kuujenga?
Mbona jiwe alilazimisha kuukataa huu mradi ?

Mama Samia ndiye rais na amiri jeshi mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi hapa nchini.

Lazima hilo mlijue na hamna jeuri ya kukwamisha ujenzi wa maendeleo ya nchi hii kwa faida zenu.
 
Huu mradi utajengwa na kama hamtaki basi hameni nchi.
Wacheni ubaguzi nyinyi mataga


Kama aliukataa mwendazake basi lakini sasa hivi yupo rais mwingine hivyo muacheni afanye kazi zake .

Kubalini kuwa sasa tunaye rais mwingine.

Samia kasema anajenga[emoji3]
 
Jiwe alionesha huo mkataba? Ni vipi basi unataka niamini alichosema. Ni muongo tu mnafiki

Na vipi niamni ya kwako wakatu wewe hata kuona hujauwona?! Why nisimuamini alouwona?! Akili yako iko sawa kweli!
 
Mchina happ ni muwekezaji na hiyo ni ardhi sasa watafuteni T.I.C watoe ufafanuzi hao wabunge bungeni hio sio kazi yao tunapigwa teknikaliti za kutosha hapa baadae wana pakutokea.

Ila miaka 99 si mbaya ni sawa na hati nyingine tu za ardhi walizobeba wawekezaji.

Vitu muhimu nadhani tuangalie rasilimali zilizopo hapo eneo la mradi, ulinzi na usalama na athari kisiasa

Mawazo yangu madogo tu nadhani tishio lipo kwenye rasilimali zilizopo eneo la mradi mfano mafuta, gesi, samaki na viumbe vya majini na madini sidhani kama tutapata wasaha wa kuzijua ina maana tutaibiwa kwa miaka 99.

Ulinzi na usalama nadhani kuna faida kiasi sababu kitisho cha ugaidi hakitakuwa chakwetu peke yetu bali cha kwetu na muwekezaji, japo hapa sasa kuna changamoto zake sababu muwekezaji mchina adui wa marekani ambaye ni mfadhili mzuri wa ugaidi anaweza fadhili watu wapigane vita yake hii itatupotezea muda na kutuyumbisha sana kwa kutuingiza kwenye vita vya 'wakubwa'

Kisiasa haina wasi wasi sana sababu na sisi tumetokea kwenye usoshalist labda tukaweka nguvu mvutano sawa japo inaweza ikaichukiza dunia hasa 'wakubwa'

Mimi ni mawazo yangu tu madogo wakuu.
 
Back
Top Bottom