Bandari ya Bagamoyo Ijengwe au Isijengwe? Soma Makala hii Tujadili

Mimi naamini Tanzania bado tunawatu wanaofilia kwa kutumia kichwa kama profesa Assad na wengine waitwe watoe maoni yao,siyo tuwaache wanaofikilia kwa kutumia tumbo kama
 
Acha ujuha cc huku Tanga tuko bandarini tunashinda tumelala hakuna mizgo bado huko mtwara nako hali ndo ileile af ijengwe nyingine bagamoyo au unafikili kwa kutumia matako?
MATUSI SI UTANZANIA;
BANDARI TARAJIWA ITATUMIKA ZAIDI KATIKA EXPOTATION INFACT PARAMETOR YA MRADI HUU NI KUBWA MNO MAANA KUNA VIWANDA VITAJENGWA PEMBEZONI VYA UZALISHAJI MALI NA MALI HIYO ITASAFIRISHWA NJE HIVYO HILI JAMBO SIO LA WAGANGA NJAA ISPOKUWA TU LINAHITAJI MIKATABA YA KIZALENDO MIKATABA SAHIHI MIKATABA ITAKAYOKUWA NA MASLAHI NA TAIFA LETU HATUTAKI KUJA KULAANIWA NA WAJUKUU ZETU.
 
Unaakili sana big up

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Tunajenga reli ya SGR na bwawa la umeme kwanza,tukikamilisha iyo miradi ndio tuangalie Huo mradi wa bagamoyo tunatoa wap fedha tuujenge wenyewe hata kwa awamu
 
tatizo siyo kujengwa tatizo ule mkataba unasema umiliki wa miaka 99 hapo ndipo palipo na hitilafu kubwa vinginevyo nyie mnaopigia debe mna maslahi yenu makubwa

hakuna mtu atakayekubali huo ukichaa wa miaka 99
 
Tuutafute wote, lakini bado ukweli utabaki kuwa, maradi unafaida kubwa sana suala la masharti linazungumzika mbona kwenye madini tulikaa tukazingumza sasa tunaona faida yake
haya ndio majizi menyewe yanataka kwa nguvu zote yachukue 10% yao
 
1. Faidi kwa wananchi pamoja na bandari kutajengwa viwanda zaidi 700 ambapo kutazalisha ajira zaidi ya 250,000

2. Mwekezaji ndiyo anaweka fedha yake trilioni 23, sisi tunaweka 48b tu za kulipa fidia wananchi

3. Masharti yanazungumzika
hivi kwa akili ndogo tu mimi niweke sh 100 kwenye mtaji halafu wewe uweke sh 1 then mimi ninufaike pakubwa kwenye mradi inakuja akilini kweli yaani bila haya unasema mwekezaji anaweka trilion 20+ hlf tanzania inaweka bilioni 40+ halafu tanzania inufaike upo serious kweli!!!!

ni akili ya mku.....ndu tu ndio inaweza kukubaliana na huo ufala
 
Nikiri kuwa sikusoma hoja zako kwa sababu moja tu unaposema watanzania tunapenda kuwaamini viongozi! Naomba ujue kuwa tunawachagua kwa vile tunawaamini. Sioni sababu yoyote ya Rais aliyekuwepo kusema uwongo! Hoja yake ya kuukataa ilisifika dunia nzima. Leo hii hiyo bandari ikijengwa basi tuiambie dunia kuwa masharti ya mwekezaji yamebadilika vinginevyo kama alivyosema hayati JPM tutakuwa wendawazimu
 
Kwa taarifa za karibuni toka kwa Waziri wa Uchukuzi Engineer Leonard, ambaye sio mchumi kama ZZK, ni kwamba mradi huo sio viable kwani idadi ya mizigo bado ni kidogo, hivyo najiongezea wawekezaji anaweza kukaa miaka 200 badala 99
Aliongea akiwa wapi, lete link
 
Nakubaliana nawe 100%, na hasa tatizo la Ujamaa kwa nchi yetu. Yaani ujamaa ni uovu. Ujamaa umeharibu fikra na uweo (ability) wa ku functiom as normal human beings.
Nachukia umaskini, nachukia ujinga, nachukia ufisadi, nachukia dhuluma na pia nachukia unafiki lakini hivyo vyote viko kwenye furushi la ujamaa. Ujamaa na umaskini + uvivu + ujinga ni kitu kimoja.
Nimetembelea baadhi ya nchi za iliyokuwa Soviet Union, nimeishi na kufanya kazi na watu wenye asili ya kijamaa yaani wanafanana mno. The effect of brainwashed education and mass opiom of silly politics vimewaharibu. Halafu wanajiona wako sawa.

Hawa leo wanaojiita "wanyonge" na eti "wazalendo" ni waganga njaa, wabinafsi na watu wenye chuki tu. Most of them ni "nationalists" not not and never "patriots". There's a vast difference between "Utaifa na "Uzalendo". Utaifa ni uovu uliofungashwa kwa ustadi. Ni hali ya kutaka madaraka na kujinufaisha wao tu. Nationalism ina hila nyingi, ubaguzi, dhuluma na uharibifu. Hao wnaojiita wazalendo ni wasaka madaraka, vyeo, fursa kwa gharama ya wananchi na umoja wa kitaifa. NI waharibifu, wezi na wahuni tu.

Ndio maana mwaka 1967 hayati Mwl alipotangaza ku-Taifi(a)sha (nationalization) mali za watu wenye uwezo (kama hayati Magufuli naye alivyofanya) kwa kigezo cha Utaifa (kipropaganda akakiita uzalendo na eti kulinda mali za nchi) wasio na akili, wenye wivu, "wanyonge" walimuunga mkono. Lakini ile ya Mwl mwaka 1967 ilikuwa dhuluma ya wazi na ina adhabu yake - pengine ndio maana hadi leo watoto wa wale wale "wanyonge" na "makabwela" bado wako kule chini na wanateseka kiuchumi na kifikra. Hawakujifunza makosa ya wazazi wao, nao mwaka 2015 wakamshangilia Mwendazake aliposema "yeye ni Rais wa wanyonge (ubaguzi + kisasi) .....na kuwa atawafanya matajiri kuishi kama mashetani....." Akapora mali na fursa za matajiri.Swali, Je hao wanyonge sasa wanaishi kama malaika? Wamekuwa matajiri? au je sasa hivi wanaishi kama matajiri ? (majibu ya kipuuzi kuwa kuna elimu bure, mashule kujengwa, mahospitali, barabara na reli au kununua ndege - ni majibu ya kukariri na kusadikika sio ya kweli wala halisi). Kwa kila tajiri aliyefilisiwa, nafasi yake wamezaliwa au kutenegenezwa maskini kwa mamia kama sio maelfu. Ile ni sera ovu, katili na mbaya sana kiuchumi. That's idiocy and fallacy is the direct product of Ujamaa and nationalism mantra, respectively. Na huu uporaji na uharibifu wa hayati Magufuli una gharama na watalipa wao na watoto wao - ndivyo ilivyo.
Sababu kubwa ya Magufuli na Mwl Nyerere kupata uungwaji mkono na "wanyonge" ni ujinga na upofu wa fikra. Kwa Magufuli ni Ujinga na Ujamaa. Wajamaa wanachukia utajiri. Wajamaa ni watu waharibifu. Mimi Ronald nawachukia wajamaa, ndio, nauchukia ujamaa damuni!

Uzalendo (patriotisms) ni nini? Upendo na heshima kwa watu/wananchi wenzako (bila ubaguzi) na mapenzi kwa nchi yako.
Tena ni muhimu kujua kwamba uzalendo unajengwa, yaani hauzaliwi au kuzuka tu; na unajengwa kwenye misingi ya haki, ukweli na upendo unaotoakana na ukuombozi wa fikra, na kupevuka kwa jamaa na tamaduni husika. Uzalendo unathamini, kuheshimu, unatetea na kulinda Katiba ya nchi na sheria halali zilizopo; uzalendo unaheshimu na kutukuza mambo ya kweli, yaliyo mema na yenye sifa njema kwa nchi yako, watu wako na familia yako. Uzalendo hauna ubaguzi au ubinafsi. Uzalendo sio itikadi na kuimbishwa nyimbo au kukaririshwa vitu. Uzalendo ni kuwa tayari kwa mambo "ideas/ideology" sio vitu au kuganga njaa na kupewa vyeo. We just need to RESET as a nation.

Moja ya sababu kubwa za mimi kutaka na kutamani katiba mpya ni ili tuzike ujamaa. Kisha tuanze na sera mpya za uzalishaji mali ili kujenga uchumi halisi na sio wa ki propaganda, kama huu uliopo sasa. Uchumi ambao baada ya miaka 60 ya uhuru, Mtanzania kweli atakuwa huru kiuchumi na kifikra na mwenye maisha bora - na sio hizo takwimu zenye kuonyesha maendeleo huku wananchi wengi wakizidi kuzama katika ziwa la umaskini, ujinga, maradhi, siasa chafu na mambo kama hayo.
 

Stupid
 
Wajenge wasijenge mimi na familia yangu hatuna cha kupoteza wala cha kugain.
 
Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo hauepukiki

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…