Bandari ya Bagamoyo Ijengwe au Isijengwe? Soma Makala hii Tujadili

Mkataba umeusoma kama unaona siombaya ukaudondosha hapa na sisi tukaupitia
 
Kwanini mikataba inafichwa?
 
Mzigo sasa uenda kufanyika
 
Mama samia tujengee bandari.sisi fuko nyuma yako tunakupenda...hatuwez kuacha kujenga bandar eti kutegemea kuishi kwa kudra za mwenyez mungu
 
Kama tatizo ni ujamaa basi ondoeni kwenye katiba kipengele hicho kinachosema "Tanzania ni nchi yenye kufuata mfumo wa siasa ya vyama vingi" kwamba "Tanzania ni nchi inayofuata siasa ya ujamaa na kujitegemea"
 
Kama tatizo ni ujamaa basi ondoeni kwenye katiba kipengele hicho kinachosema "Tanzania ni nchi yenye kufuata mfumo wa siasa ya vyama vingi" kwamba "Tanzania ni nchi inayofuata siasa ya ujamaa na kujitegemea"
Hata China ina hayo maneno ya Ujamaa kwenye constitution lakini Private Capital and invest leads the economy
 
Ninacho kijua Mwendazake hakua mbaya 100% na Kikwete pia hakua mzuri 100%. Tuwe makini sana kuhusu hili
 
Kwa kuwa unakubaliana na hoja ya kuwa mradi huu una masharti magumu, basi hoja ya kwanza iwe ni kufanya majadiriano upya ili kupunguza ugumu wa masharti hayo. Kulinganisha vivutio vilivyotolewa kwa mradi wa bomba la gesi na mradi huu wa Bagamoyo, si hoja nzito hata kidogo.
Nikupe kichekesho kidogo. Wakati tuko vijana, kuna wenzetu walikuwa hawajui kuwasomesha mashairi wasichana ili wawakubali, walikuwa wanasubiri kujua nani kampata msichana fulani, naye anakwenda na gia kwamba mbona fulani umemkubalia kwa nini mimi usinikubalie pia!
Kwa hiyo kama masharti ya Bagamoyo ni magumu, tusiweke mpira kwapani wala tusiende na gia ya bomba la gesi; turudi kwenye meza tuone namna ya kupunguza ugumu wa masharti hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…