rugumye
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 561
- 179
Wakati sakata la gesi ya Mtwara halijaisha CCM kupitia kwa Mwenyekiti wake Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete amesaini mktaba wa kujenga bandari nyingine huko Mbegani Bagamoyo Nyumbani kwa Rais, huku zile za Mtwara na Tanga zikiachwa hoi, CCM ikumbuke kuwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni kaburi lake katika uchaguzi wa 2015 kwa kuwa Tanga, Lindi na Mtwara ni ngome za CCM zilizobaki na itakuwa ni kura ya turufu kwa kambi ya upinzani.
Baada ya sakata la gas wananchi wa Mtwara wasikie tena bandari yao kwisha kazi na gas inatakiwa kutoka Mtwara kwenda Bagamoyo kwenye eneo maalumu la viwanda-EPZ, huku, Tanga nao matumaini ya kuboreshwa kwa bandari yao sasa itakuwa ni ndoto kwa kuwa bandari mbadala itajengwaBagamoyo kwa nini wananchi wasichukue hatua dhidi ya CCM? bandari ya bagamoyo jengeni lakni jiandaeni kwa adhabu pia, kanda ya ziwa CCM ni taabani, Mbeya kwisha, Kaskazini hakuna kitu, Magharibi CCM chupuchupu kukosa mbunge hata mmoja katka uchaguzi uliopita.
Nawasilisha.
Baada ya sakata la gas wananchi wa Mtwara wasikie tena bandari yao kwisha kazi na gas inatakiwa kutoka Mtwara kwenda Bagamoyo kwenye eneo maalumu la viwanda-EPZ, huku, Tanga nao matumaini ya kuboreshwa kwa bandari yao sasa itakuwa ni ndoto kwa kuwa bandari mbadala itajengwaBagamoyo kwa nini wananchi wasichukue hatua dhidi ya CCM? bandari ya bagamoyo jengeni lakni jiandaeni kwa adhabu pia, kanda ya ziwa CCM ni taabani, Mbeya kwisha, Kaskazini hakuna kitu, Magharibi CCM chupuchupu kukosa mbunge hata mmoja katka uchaguzi uliopita.
Nawasilisha.