Bandari ya Bagamoyo ikijengwa CCM ijindae kwa adhabu pia

Bandari ya Bagamoyo ikijengwa CCM ijindae kwa adhabu pia

Aliyewanyima nafasi ni nani? Kutokukubalika kwa wananchi isiwe hasira zao kuzimalizia CCM!!! Wawakasirikie wananchi na si CCM maana CCM haipigi kura bali nayo inapigiwa kura na wananchi. Kama wananchi hawawapigii kura watu mnaowapenda lawama zisitupiwe CCM bali ni ninyi mnaowapenda watu wasiopendwa na wananchi.
By the way malalamiko yako yalikuwa juu ya chuki ya wananchi dhidi ya serikali ya ccm, mtizamo wako unaona kuwa unaratibiwa na chadema. Suala la msingi hapa sio chadema kutopewa kura ila ni hao wananchi waliokupeni kura kujenga chuki dhidi yenu. Suala la kupewa ridhaa na wananchi kuongoza na kutangazwa mshindi ni suala jingine ambalo sina haja ya kulizungumzia. Lakini chadema kama chama, sidhani kama ulitegemea kukuungeni mkono. Kinachokusumbueni, sio wasemayo kama chadema, ila yale yanayofanya wananchi kukengeuka kukuungeni mkono! Na hapo ndio penye jambo!
 
Mbona mnapenda kupinga maendeleo bila kufanya tathmini? maana ukiangalia ujenzi wa bandari bagamoyo utasaidia sana katika kupunguza foleni za malori zisizo na maana katika jiji na pia itatoa fursa kwa wengine kupata ajira n.k.Ikumbukwe bandari ile haijengwi kwa manufaa ya mtu mmoja bali ni kwa nchi nzima hebu jamani tuwe tunajipanga na kauli zetu tuache ushabiki usiokuwa na maana. Mbona watu wa mikoa mingine kama rukwa na tabora hawajalalamika kujengwa kwa barabara za lami kila sehemu katika mikoa ya kaskazini ??bali walivumilia na serikali ikajipanga na sasa ndio inatekeleza miradi ile ktk mikoa hiyo ambayo kwa miaka na miaka wananchi wamekuwa wakiumia.Tuwe wavumilivu ndugu zangu watanzania
Zuzu linaona mkuu? acha tu wafanye watakavyo si watanzania kondoo? akupigaye kofi shavu la kushoto mgeuzie na la kulia. Reli ya kati hoi bin taabani, Mwakyembe anajaribu kuchacharika lakini mwisho ataishiwa nguvu tu.
 
Siyo bandari ya Bagamoyo ni Bandari ya Pwani, mkoa wa Pwani hauna kitega uchumi hata kimoja, acha nao wajengewe japo hata Bandari. Harafu mbona mnang'ang'ania bandari ya Tanga na Mtwara!, kwa nini kusiwe na Bandari ya Lindi, mbona wao wako kimya, au wao hawastahili kuwa na bandari. Mmeambiwa bandari ya Tanga inajengwa na Uganda kwa ushirikiano na Tanzania, bado tu mnang'ang'ania bandari ya Tanga au hamna utamaduni wa kusoma. Waache watu wa mkoa wa Pwani wapate nao kitega uchumi chao ebo!Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
------?
 
Mbona mnapenda kupinga maendeleo bila kufanya tathmini? maana ukiangalia ujenzi wa bandari bagamoyo utasaidia sana katika kupunguza foleni za malori zisizo na maana katika jiji na pia itatoa fursa kwa wengine kupata ajira n.k.Ikumbukwe bandari ile haijengwi kwa manufaa ya mtu mmoja bali ni kwa nchi nzima hebu jamani tuwe tunajipanga na kauli zetu tuache ushabiki usiokuwa na maana. Mbona watu wa mikoa mingine kama rukwa na tabora hawajalalamika kujengwa kwa barabara za lami kila sehemu katika mikoa ya kaskazini ??bali walivumilia na serikali ikajipanga na sasa ndio inatekeleza miradi ile ktk mikoa hiyo ambayo kwa miaka na miaka wananchi wamekuwa wakiumia.Tuwe wavumilivu ndugu zangu watanzania
akili yako inawaza Dar tu
 
akili yako inawaza Dar tu

Unataka awaze na wapi katika suala la kujenga bandari? Basi washauri hao unaotaka baadaye waje kushika nchi watakapokuwa madarakani wajenge bandari ROMBO ama Karatu. Au unataka wajenge kwenu kigoma? Mimi nakushauri uwaongezee mawazo wajenge bandari Tabora.......!!!!!
 
MImi naunga mkono baada ya kusikiliza kauli za ma Dr na Ma prof wengi naamini hawa watatusaidia kamwe hakuna hata haja ni kuwapa sifa na heshima tujipe sisi tusiosoma sana. napenda pia kuchua fursa hii kuwashawishi wananchi kujua kwamba elimu ya form 4 na Form six kutokamna na mfumo wetu wa elimu ulivyo inatosha sana kujikomboa. kama tutapata fursa nyingine ya kutambua fursa na kuzitumia. yaani kujiunga na vyuo vya kati VETA na vyuo vingine vya ujasiriamali na nawahakikishia watawaajiri hawa ma Dr na Ma prof kwani hawajui fursa na wamebweteka na ngazi zao
 
Wananchi wameishaichoka CCM na sasa wanasubiri kuipa adhabu 2015,,,

Hata kama angejenga bandari pale Msoga, kichapo kutoka kwa watanzania kiko pale pale, watanzania tumeamua kwa dhati kuhakikisha CCM inazifuata KANU na UNIP

CCM wanajivunia sana kura kutoka kwa mama zetu na Dada zetu, sijui kwa nini katija jamii akina mama wanakumbatia hikichama. Tuwasome sana tukiona wana muelekeo wa kukipigia kura mbinu mbadala ni kuwaibia kitamburishi cha kupigia kura na kuvificha wiki moja kabla.
 
hahahahahaha tunafukua makaburi
 
Huu mradi ni vema tukautumia vema ili kuichonganisha CCM na wnanchi wa maeneo yalioshaulika.ANIA
WATANZANIA WATAMBUE KUWA CCM NI CHAMA CHA FAMILIA YA KIKWETE NA KWA SASA KINATEKELEZA MIPANGO YA KUINDELEZA BAGAMOYO NA KUYATELEKEZA MAENEO MENGINE YA TANZANIA.
CHAMA HIKI HAKIFAI KUENDELEA KUITAWALA NCHI HII KWA NGAZI YOYOTE ILE.......TUKATAE KABISA!
Kumbuka maneno yako ya 2013 sasa tunajenga Airport Chattle. Hapo vipi? Uzwazwa wa watanzania ndo unatuponza. Elimu elimu elimu. Bila hiyo CCM itatawala milele ndo maana zilianzishwa shule za Kayumba ili 90% ya wabongo wabaki mazwazwa wa ndiyoooo. Angalia wale wanaoteuliwa viti maalum bungeni wanavyobehave na vigeregere vyao na zomea zomea zao. Wengi wao hawawezi hata kuongea kiingereza. Heri Musukuma na kibajaji walishajisemea ukweli.
 
Well said Mkuu!!
Halafu kwa akili finyu ya JK anafikiria akiwajengea bandar wakwele wenzie watapata maendeleo!! Ki vipi? Bandari pekee haiwezi kuwaenedelelza wakwere. Ili waendelee lazima wasome. Bahati mbaya JK kashindwa kuwashawishi nduguze wasome.

Kama bandari ingekuwa na uwezo wa kuendeleza watu wanaoizunguka, Wazaramo wasingekuwa hivi walivyo. Wageni ndiyo wanaendelea wakati wao wanazidi kuuza maeneo yao na kutokomea kusikojulikana. Na hivi ndivyo itakavyokuwa kwa wakwele. Watu wa mbali wataenda Bagamoyo na kuwanunua wakwere. Kwa kupeleka bandari huko ni sawa na kuchangia kutoweka kwa wakwele. JK halijui hili.

Hebu niwahi Bagamoyo nikanunue ardhi kabla haijaisha!!
Hold ooon acha kuzubaa mitikasi ikikataa, hold ooon........."sugu"
 
d
Kujenga bandari Bagamoyo wakati ile ya Dar haijaboreshwa ilivyo ni matusi ya Kikwete kwa wananchi wa Tanzania kwani anaonesha wazi ubabe wa kupendelea sehemu anayotoka; siku hizi kila uwekezaji ni Bagamoyo ili kumpendezesha Mfalme lakini ijulikane tu kuwa kila jambo lina mwisho wake!!
du kumbe hata bagamoyo ilililamikiwa kama chato yajayo yanafurahisha
 
Well said Mkuu!!
Halafu kwa akili finyu ya JK anafikiria akiwajengea bandar wakwele wenzie watapata maendeleo!! Ki vipi? Bandari pekee haiwezi kuwaenedelelza wakwere. Ili waendelee lazima wasome. Bahati mbaya JK kashindwa kuwashawishi nduguze wasome.

Kama bandari ingekuwa na uwezo wa kuendeleza watu wanaoizunguka, Wazaramo wasingekuwa hivi walivyo. Wageni ndiyo wanaendelea wakati wao wanazidi kuuza maeneo yao na kutokomea kusikojulikana. Na hivi ndivyo itakavyokuwa kwa wakwele. Watu wa mbali wataenda Bagamoyo na kuwanunua wakwere. Kwa kupeleka bandari huko ni sawa na kuchangia kutoweka kwa wakwele. JK halijui hili.

Hebu niwahi Bagamoyo nikanunue ardhi kabla haijaisha!!
Nakubali
 
Mimi kazi yangu ni kuwakumbusha tu walle.mlioikataa Sasa hivi mnakubali na wale mliokubali Sasa hivi mnaikataa
 
Wakati sakata la gesi ya Mtwara halijaisha CCM kupitia kwa Mwenyekiti wake Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete amesaini mktaba wa kujenga bandari nyingine huko Mbegani Bagamoyo Nyumbani kwa Rais, huku zile za Mtwara na Tanga zikiachwa hoi, CCM ikumbuke kuwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni kaburi lake katika uchaguzi wa 2015 kwa kuwa Tanga, Lindi na Mtwara ni ngome za CCM zilizobaki na itakuwa ni kura ya turufu kwa kambi ya upinzani.

Baada ya sakata la gas wananchi wa Mtwara wasikie tena bandari yao kwisha kazi na gas inatakiwa kutoka Mtwara kwenda Bagamoyo kwenye eneo maalumu la viwanda-EPZ, huku, Tanga nao matumaini ya kuboreshwa kwa bandari yao sasa itakuwa ni ndoto kwa kuwa bandari mbadala itajengwaBagamoyo kwa nini wananchi wasichukue hatua dhidi ya CCM? bandari ya bagamoyo jengeni lakni jiandaeni kwa adhabu pia, kanda ya ziwa CCM ni taabani, Mbeya kwisha, Kaskazini hakuna kitu, Magharibi CCM chupuchupu kukosa mbunge hata mmoja katka uchaguzi uliopita.

Nawasilisha.
Mi nafukua tu
 
Back
Top Bottom