kasembe
Senior Member
- Jul 18, 2011
- 158
- 45
Watu wamenyang'anywa ardhi bagamoyo (kable ya bagamoyo mjini) kwa ajiri ya ujenzi wa eneo maalumu la viwanda yaani EPZ, pale chalinze shirika la nyumba lilijenga maghorofa 2 apartment polini, kwa sasa kuna mradi mkubwa wa maji yanasambazwa chalinze na vijiji vyote kutoka mto wami, na kuna phase 2 inaanza muda wowote, kama Kila Rais atakuwa selfish basi ni hakika kila kabila litapigana Rais atoke kwao. ALitaka kubomoa barabara chalinze segela mbunge seleli kutoka Nzega Tabora akahoji bajeti ilikotoka sasa tumemsahau kwenye siasa.
Napita tu!