Bandari ya Bagamoyo ikijengwa CCM ijindae kwa adhabu pia

Bandari ya Bagamoyo ikijengwa CCM ijindae kwa adhabu pia

Natamani siku moja bahari iende Moshi, tuone kama jamaaa hawatajenga Bandari Kilimanjaro with a lot of reasons. Kila Mradi wa Umoja wa Mataifa unajengwa Arusha mbona hatulalamiki? Au hakuna Mikoa mingine yenye Ardhi ya kujengwa majengo hayo? Nawaambia kila Raisi wa kizazi cha sasa atakaye ingia madarakani kamwe hata acha kupendelea kujenga nyumbani kwao TUSIDANGANYIKE. KUMBUKENI KIPINDI CHA MAWAZIRI WAKUU KUTOKA KANDA YA KASKAZINI PAMOJA NA WAZIRI WAO WA FEDHA NA UJENZI KIPINDI HICHO ,KILA MRADI ULIKUWA UNAPELEKWA MOSHI mbona hatusemi. Hii dhambi ya JK waliianzisha Viongozi wanaotokea mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.


Wachina kuwekeza siyo dhambi, lakini lazima tuangalie vipaumbele siyo kuchezea resources huku deni tunalipa watanzania wote, Reli ya kati na Tazara zinakufa mizigo imerundikana bandarini, why tusitumie bandari Tanga kupunguza accumulation ya mizigo? sisi tuna bandari 3 Kenya wana 1 lakini wanatuzidi mapato kutoka bandari yao.
 
Hawa watu wanajua kuwa mwisho wa CCM umefika hivyo wanajitahidi mbalimbali kuchukua kile wanachoweza, so far JK hatakuwa Rais hivyo adhabu ya CCM haitamhusu, CCM wenyewe ndiyo wanatakiwa wajue madhara ya huu mradi. watawaeleza nini watu wa mkoa ya Tanga, Lindi Mtwara wakati huo CDM itakuwa imemwaga sumu zaidi. sikio la kufa halisikii dawa hata haya tunawasaidia kuwafumbua macho lakini hakuna atakayethubutu.
 
Kumbi kumbi akitaka kufa huota mabawa kasha kuruka nje ya kichuguu huko hukutana na risks nyingi hasa viumbe wanaotegemea wadudu kwa mulo wao na hapo harudi tena kwenye kichuguu alichotaka. Kule Kigoma kuna ndege waitwao INYAMALAVYA wanapenda sana kumbi kumbi na hapo ndio huwa mwisho wake. CCM mwisho wake umefika kwa kujenga bandari ya Bagamoyo wakiacha bandari yenye kina kirefu tena cha asili kule Mtwara huku wakisema Mtwara corridor itaboreshwa.
 
Wachina kuwekeza siyo dhambi, lakini lazima tuangalie vipaumbele siyo kuchezea resources huku deni tunalipa watanzania wote, Reli ya kati na Tazara zinakufa mizigo imerundikana bandarini, why tusitumie bandari Tanga kupunguza accumulation ya mizigo? sisi tuna bandari 3 Kenya wana 1 lakini wanatuzidi mapato kutoka bandari yao.
Wewe sasa umesema mambo ya maana. Lakini siyo mambo ya kumlaumu mtu. Tujadili maandeleo ya Tanzania bila kufuata nani katokea wapi.
 
Siyo bandari ya Bagamoyo ni Bandari ya Pwani, mkoa wa Pwani hauna kitega uchumi hata kimoja, acha nao wajengewe japo hata Bandari. Harafu mbona mnang'ang'ania bandari ya Tanga na Mtwara!, kwa nini kusiwe na Bandari ya Lindi, mbona wao wako kimya, au wao hawastahili kuwa na bandari. Mmeambiwa bandari ya Tanga inajengwa na Uganda kwa ushirikiano na Tanzania, bado tu mnang'ang'ania bandari ya Tanga au hamna utamaduni wa kusoma. Waache watu wa mkoa wa Pwani wapate nao kitega uchumi chao ebo!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kumbi kumbi akitaka kufa huota mabawa kasha kuruka nje ya kichuguu huko hukutana na risks nyingi hasa viumbe wanaotegemea wadudu kwa mulo wao na hapo harudi tena kwenye kichuguu alichotaka. Kule Kigoma kuna ndege waitwao INYAMALAVYA wanapenda sana kumbi kumbi na hapo ndio huwa mwisho wake. CCM mwisho wake umefika kwa kujenga bandari ya Bagamoyo wakiacha bandari yenye kina kirefu tena cha asili kule Mtwara huku wakisema Mtwara corridor itaboreshwa.


Una maana JK ni kama kumbi kumbi pia, kwaani akitoka kwenye hicho kichuguu hatarudi tena humo ndiyo maana anatake risk?
 
Siyo bandari ya Bagamoyo ni Bandari ya Pwani, mkoa wa Pwani hauna kitega uchumi hata kimoja, acha nao wajengewe japo hata Bandari. Harafu mbona mnang'ang'ania bandari ya Tanga na Mtwara!, kwa nini kusiwe na Bandari ya Lindi, mbona wao wako kimya, au wao hawastahili kuwa na bandari. Mmeambiwa bandari ya Tanga inajengwa na Uganda kwa ushirikiano na Tanzania, bado tu mnang'ang'ania bandari ya Tanga au hamna utamaduni wa kusoma. Waache watu wa mkoa wa Pwani wapate nao kitega uchumi chao ebo!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums


Tatizo hufikirii, umeambiwa ujenzi wa bandari nyingine ukanda huo itakuwa marufuku, huyo mganda atajenga kwa ruhusa ya nani? Nani amekwambia Lindi kuna bandari? kuwa na bandari nyingi siyo suruhisho la matatizo, Kenya wanayo moja na inatuzidi kwa ufanisi na kipato. Bandari bila miundo mbinu hakuna kitu, mizigo itaendaje zambia, malawi, drc burundi na nk? be great thinker
 
Naanza kupata picha kwamba hii mikataba iliyosainiwa inajumlisha na fedha za CCM za uchaguzi 2015
 
Ndo tatizo ya kutokuwa na serikali tangu mwaka 2005.Hii imetusababishia mateso makubwa.Mungu tusaidie 2015 ifike salama vibaraka hawa tuwaondoe salama na kwa amani.
 
Haya ndo matatizo ya kuwa na watawala wasiojua vipaumbele vya muhimu katika maendeleo ya taifa.Kwanini bandari za mtwara na tanga zisiendelezwe?Kuna umuhimu gani kuwa na bandari ya dsm na bagamoyo?Jibu la maswali haya litapatikana 2015
Wakati sakata la gesi ya Mtwara halijaisha CCM kupitia kwa Mwenyekiti wake Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete amesaini mktaba wa kujenga bandari nyingine huko Mbegani Bagamoyo Nyumbani kwa Rais, huku zile za Mtwara na Tanga zikiachwa hoi, CCM ikumbuke kuwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni kaburi lake katika uchaguzi wa 2015 kwa kuwa Tanga, Lindi na Mtwara ni ngome za CCM zilizobaki na itakuwa ni kura ya turufu kwa kambi ya upinzani.

Baada ya sakata la gas wananchi wa Mtwara wasikie tena bandari yao kwisha kazi na gas inatakiwa kutoka Mtwara kwenda Bagamoyo kwenye eneo maalumu la viwanda-EPZ, huku, Tanga nao matumaini ya kuboreshwa kwa bandari yao sasa itakuwa ni ndoto kwa kuwa bandari mbadala itajengwaBagamoyo kwa nini wananchi wasichukue hatua dhidi ya CCM? bandari ya bagamoyo jengeni lakni jiandaeni kwa adhabu pia, kanda ya ziwa CCM ni taabani, Mbeya kwisha, Kaskazini hakuna kitu, Magharibi CCM chupuchupu kukosa mbunge hata mmoja katka uchaguzi uliopita. Nawakilisha.
 
Wakati sakata la gesi ya Mtwara halijaisha CCM kupitia kwa Mwenyekiti wake Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete amesaini mktaba wa kujenga bandari nyingine huko Mbegani Bagamoyo Nyumbani kwa Rais, huku zile za Mtwara na Tanga zikiachwa hoi, CCM ikumbuke kuwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni kaburi lake katika uchaguzi wa 2015 kwa kuwa Tanga, Lindi na Mtwara ni ngome za CCM zilizobaki na itakuwa ni kura ya turufu kwa kambi ya upinzani.

Baada ya sakata la gas wananchi wa Mtwara wasikie tena bandari yao kwisha kazi na gas inatakiwa kutoka Mtwara kwenda Bagamoyo kwenye eneo maalumu la viwanda-EPZ, huku, Tanga nao matumaini ya kuboreshwa kwa bandari yao sasa itakuwa ni ndoto kwa kuwa bandari mbadala itajengwaBagamoyo kwa nini wananchi wasichukue hatua dhidi ya CCM? bandari ya bagamoyo jengeni lakni jiandaeni kwa adhabu pia, kanda ya ziwa CCM ni taabani, Mbeya kwisha, Kaskazini hakuna kitu, Magharibi CCM chupuchupu kukosa mbunge hata mmoja katka uchaguzi uliopita. Nawakilisha.

Point yako haina mshiko. Bandari itajengwa na CCM itashinda kwa kishindo 2015
 
Tatizo hufikirii, umeambiwa ujenzi wa bandari nyingine ukanda huo itakuwa marufuku, huyo mganda atajenga kwa ruhusa ya nani? Nani amekwambia Lindi kuna bandari? kuwa na bandari nyingi siyo suruhisho la matatizo, Kenya wanayo moja na inatuzidi kwa ufanisi na kipato. Bandari bila miundo mbinu hakuna kitu, mizigo itaendaje zambia, malawi, drc burundi na nk? be great thinker

Na wewe ni Great Thinker?, uo mkataba umeusoma au unasikia tu maneno ya vijiweni?. Lindi kwani wao hawajapakana na bahari ya Hindi? kwani wao hawaitaji Bandari? mbona wako kimya?. Mmeambiwa bandari ya Bagamoyo itaunganishwa kwa reli na reli za kati na Tazara kwa kuwa Dar ina eneo dogo, ukizingatia kutakuwa na ujenzi wa mji mpya pia Kigamboni ndio maana sasa kuna mpango unaoratibiwa na NSSF kujenga deport kubwa ya mizigo eneo la Kisarawe, hii yote ili kupunguza msululu wa Meli katika bandari ya Dar es Salaam. Hivi kuna dhambi gani kujenga bandari ya Bagamoyo? Mbona mnakuwa na mioyo migumu kama ngozi ya mamba. So bandari ijengwe Mtwara au Tanga na Reli ya kuiunga hiyo bandari na nchi jirani mmepiigia hesabu zake?. Bagamoyo inaongelewa as if iko Burundi, acha bandari ijengwe bwana. Tena baadaye tunaweza kuifanya bandari moja kati ya Bagamoyo au Dar ikawa free port ili kuwanyoosha Wazanzibar



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kuwa na viongozi aina ya Kikwete ni janga kubwa sana kwa Taifa, anatamani kila kitu kiwe kwao, anapendelea ndugu zake, rafiki zake, watu wa imani yake.
 
MTINGI,

..huwezi kusema anapendelea jimbo lake.

..sana sana anawa-victimize wananchi wa jimbo lake.

..wenyeji wa bagamoyo watahamishwa kusiko julikana ili kupisha ujenzi wa bandari.

..angekuwa na nia ya kuwaendeleza wenyeji wa bagamoyo, au hata kuwapendelea, angepeleka huduma kama za mashule, zahanati, maji, umeme, vyuo vya ufundi, etc etc.

..hili la bandari nadhani ni kujinufaisha yeye binafsi kwanza.

..pamoja na kusema hayo, nadhani bandari hiyo ikishajengwa itakuwa ya kitaifa. sote tutafaidika, ila ataanza Kikwete kufaidika kwanza.

NB:

..kama wameamua kujenga bandari Bagamoyo, basi upanuzi wa bandari ya D'Salaam usitishwe.

..pia wahakikishe wanajenga bandari kubwa na ya kisasa kuliko ile wanayojenga wa-Kenya pale LAMU.
 
Last edited by a moderator:
Natamani siku moja bahari iende Moshi, tuone kama jamaaa hawatajenga Bandari Kilimanjaro with a lot of reasons. Kila Mradi wa Umoja wa Mataifa unajengwa Arusha mbona hatulalamiki? Au hakuna Mikoa mingine yenye Ardhi ya kujengwa majengo hayo? Nawaambia kila Raisi wa kizazi cha sasa atakaye ingia madarakani kamwe hata acha kupendelea kujenga nyumbani kwao TUSIDANGANYIKE. KUMBUKENI KIPINDI CHA MAWAZIRI WAKUU KUTOKA KANDA YA KASKAZINI PAMOJA NA WAZIRI WAO WA FEDHA NA UJENZI KIPINDI HICHO ,KILA MRADI ULIKUWA UNAPELEKWA MOSHI mbona hatusemi. Hii dhambi ya JK waliianzisha Viongozi wanaotokea mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.

ni kweli
 
Wakati sakata la gesi ya Mtwara halijaisha CCM kupitia kwa Mwenyekiti wake Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete amesaini mktaba wa kujenga bandari nyingine huko Mbegani Bagamoyo Nyumbani kwa Rais, huku zile za Mtwara na Tanga zikiachwa hoi, CCM ikumbuke kuwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ni kaburi lake katika uchaguzi wa 2015 kwa kuwa Tanga, Lindi na Mtwara ni ngome za CCM zilizobaki na itakuwa ni kura ya turufu kwa kambi ya upinzani.

Baada ya sakata la gas wananchi wa Mtwara wasikie tena bandari yao kwisha kazi na gas inatakiwa kutoka Mtwara kwenda Bagamoyo kwenye eneo maalumu la viwanda-EPZ, huku, Tanga nao matumaini ya kuboreshwa kwa bandari yao sasa itakuwa ni ndoto kwa kuwa bandari mbadala itajengwaBagamoyo kwa nini wananchi wasichukue hatua dhidi ya CCM? bandari ya bagamoyo jengeni lakni jiandaeni kwa adhabu pia, kanda ya ziwa CCM ni taabani, Mbeya kwisha, Kaskazini hakuna kitu, Magharibi CCM chupuchupu kukosa mbunge hata mmoja katka uchaguzi uliopita. Nawakilisha.


Ndugu Watanzania wenzangu, tunakwenda wapi? Here is the Home of Great Thinkers lakini kwa maoni yangu siku hizi sisi wadau (na Si JF) tumekuwa dhaifu sana katika kutoa hoja…..Tumekuwa tunajadili watu badala ya kujadili Ideas. Tumekuwa tukikosoa bila kuleta alternative solution na pia tumekuwa hatusomi ama kufanya rejea.Watanzania wenzangu mnataka nini zaidi ndo mridhike? Kujenga bandari Bagamoyo imekuwa nongwa? Sasa mlitaka ikajengwe wapi ? Maana mimi kwetu ni Tabora ukiniambia utanijengea bandari nitakuona wewe una akili timamu kweli ? Na hivi ninyi mnaoiponda CCM iliwakosea nini ? Maana kila inachokifanya CCM ninyi kwenu ni kibaya tu…. Ina maana haijafanya kitu (japo kimoja) kizuri ?

Na huyu Rais wetu Jakaya Mrisho Kikwete aliwakosea nini maana kila kukicha ni kumsema vibaya tu…Hakuna sifa hata kidogo ? Au kwa kuwa alimshinda mtu wa kwenu katika uchaguzi wa Urais ? Huyo Rais mnayemtaka ninyi aje awe rais wa ukanda ataweza kutenda kama mnavyofikiri ? Ataweza kweli maana katika hali ya kawaida Demand mnayomtaka Rais kikwete au hata serikali yake ifanye in no circumstances haiwezekani….. Demand ni kubwa kiliko uwezo…..
Wengi mliochangia mpaka sasa mnajadili individual weakness za mtu badala ya utendaji kazi wake. Halafu hakuna rejea yoyote ya kisayansi mnayoifanya.Nani kasema Bandari ya Tanga ama Dar es Salaam haitajengwa ? Mbona ilitangawza kuwa bandari ya Tanga na Dar es Salaam zitanjengwa (kupanuliwa) na gharama yake kwa ujumla itagharimu dola za marekani bilioni moja na point nne ($1.4bil)…. Hamkusoma ama taarifa ya ujenzi ndo hamuiamini ? Hebu soma hapa : Tanzania to expand Dar, Tanga ports - Business - www.theeastafrican.co.ke

Au kama huwezi soma bila kudownloan soma hapa :Tanzania to expand Dar, Tanga portsThe Tanzania Ports Authority has embarked on an expansion exercise to increase capacity by dredging and construction of two new berths.According to the TPA, the massive $1.4 billion expansion drive aims to serve new markets in South Sudan and neighboring landlocked countries specifically, Uganda, DR Congo and Zambia. TPA Deputy Director General, Julius Mfuko said the authority has set aside $600 million for the construction of Tanga's new Mwambani port. "Meanwhile the Dar es Salaam port's, excluding dredging of the channel depth, is estimated to be $523 million," said Mr Mfuko.
This will also comprise the building of new berths number 13 and 14 adjacent to Kurasini Oil Jetty and turning the single point mooring into a multipurpose facility, Mr Mfuko said. Cassian Ng'amilo, Dar es Salaam port manager, said the construction of berth 13 and 14 would cost $400 million, to be funded by China.
Mr Mfuko said that in two years, the principal ports will have the capacity to cater for one million 20-feet equivalent units per year. TPA is also working on creating a dry port at Kisarawe in the Coast Region in order to decongest the port. The Kisarawe dry port will be developed into a cargo freight station able to handle both containers and vehicles in large numbers. The European Union mission in the country had warned TPA management that it stands to lose business if it does not take urgent measures to fast track cargo clearance at the port. Tanga port, located on the north-eastern Indian Ocean coast close to the Kenya border is the second biggest in Tanzania after Dar es Salaam. Currently, the port has the capacity to handle 500,000 tonnes of cargo annually, but utilises only 76.5 per cent of that capacity. According to Mr Mfuko, most goods passing through Tanga port are imports which include liquid bulk and break bulk cargo, chemicals, machinery and vehicles. The governments of Tanzania and Uganda early this month agreed to fast track the construction of the Tanga-Musoma-Uganda railway line to enable speedy movement of goods between the two countries. According to the agreement, the two countries will expand Tanga and Musoma ports in Tanzania, and build a new port in Uganda to serve the new railway line. The construction of the railway line will fulfil the wishes of Tanzania's founder, the late Julius Nyerere, who wished to link Uganda directly to the Indian Ocean. It is also expected to open up athird gateway for Ugandan goods to the sea. Uganda's other alternative are the Mombasa-Kampala route, the Northern Corridor and the Dar-Mwanza to Kampala route, also known as the Central Corridor.
Mr Mfuko said that an environment impact assessment has given the project clearance and the first phase of the construction would start later this year. The port depth would also be increased to cater for larger ships in efforts to increase efficiency. The Kurasini Oil Jetty and single point mooring projects will cost $60 million; the former will have the ability to carry 45,000 tonnes to 80,000 tonnes; while the latter will be receiving multiple products and not handle crude oil as before. "Expansion of these oil delivery points will be completed in 2012, with the single point mooring gearing to handle ships with 120,000 tonnes," said Mr Ng'amilo. By Leonard Magomba and John Mbalamwezi
Mmejirisha ama hamuyaamini na hayo pia?
Hivi Chama Cha Mapinduzi kiliwakosea nini haswa mpaka kila kitu mnakiona kibaya tu? Mnadhani hao mnaowafikiria siku wakichukua madaraka mnadhani mtabaki salama?Fikiria hao jamaa zenu mnaodhani ni watu bora wakati wamejaa ukabila wamepewa tu….mfano kuna ka-taasisi kamoja ka serikali wameendekeza ukabila mpaka kataasisi hako kanakaribia kufariki dunia-wameendekeza ukabila seuze wapewe nchi? Mtakuja kunikumbuka na kuikumbuka CCM sana tu. Waulizeni watu wa Misri walioshabikia mageuzi na leo hii mnajua position yao ilivyo… Kama ilivyo Libya pia.Tusijadili watu bali tujadili hoja kwa manufaa ya Tanzania. Utaona mtu anaandika ukwere na Upwani kana kwamba kwake yeye ni ufahari sana. Barabara za kwanza kujengwa Tanzania ni za Dar-Moshi-Arusha lakini hakuna mtu alikuwa analalamika maana tulijua ukishamaliza kujenga Dar-Moshi-Arusha basi next step ni kujenga Dar-Dodoma-Mwanza etc, etc kisha nchi nzima inaenea barabara, na ndicho serikali ya CCM ilichokifanya miaka yote hiyo. Au mmesahau jinsi mlivyokuwa mnakanyaga matope magari yakizama kisha mkaambiwa mshuke ili msukume maana gari limezama kwenye matope? Sasa maendeleo yapo kila kona bado tu hamridhiki? Mnataka nini hasa?

UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYOBandari ya Bagamoyo inajengwa kwa malengo maalum mojawapo ni kuwa bandari ya kisasa Afrika mashariki. Pia itahudumia nchi nyingi na kwa kuzingatia viwango vya kimataifa.Hizo Bandari mnazozilalamikia eti kwa nini zisijengwe ni kwamba zilijengwa zamani sana hivyo kwa sasa haziwezi kumudu mikiki ya teknologia ya sasa. Zimejengwa kwa kujibana mno na miundo mbinu yake haifai kwa matumizi ya sasa. Kuzijenga upya ni gharama kubwa na pia miundombinu yake ni finyu sana. Ndo maana mahala ambapo pameoneka kukidhi matarajio ya sasa (mojawapo ni nafasi na miundombinu bora) ni Bagamoyo. Haiyumkini kujenga Bandari kwa dola za kimarekani zaidi ya bilioni kumi katika eneo finyua na miundombinu ya kizamani kisa kuwaridhisha watu ili wasiione CCM inakufa…..Haiingii akilini kabisa na haikubaliki!!!!!!Pamoja na kuwa na bandari za kizamani na miundo mbinu haifai kwa sasa lakini Serikali imeamua kuzipanua nazo zilingane na hali ya sasa. Yote hayo ninyi mnaopinga kama wasomi mnayajua yoye haya lakini hamtaki kukubali ukweli. Inauma sana kwa mtanzania wa sasa anayeshabikia kuzorotesha maendeleo kwa kisingizio chochote kile.Je, hao mnaowatukuza na kudhani watakuja kuwaletea maendeleo pindi wakiingia madarakani wameshawahi kujenga japo barabara ya kilomita moja?????
Basi kama mna alternative solution ya ujenzi wa bandari semeni na muishauri serikali ikajenge wapi hizo bandari maana sehemu zenye bahari ni chache-si kila mkoa una bahari.
 
Congrats MTINGI, but its quite unfortunate to let you aware our politicians are long way to be civilised, take the case at hand those looters during Mkapa regime are the most holier than thought now and are ready to cause any crime to protect the loots, just the other day the big names were mentioned in EPA scadles. My big worry is always how the poor are bieng misused by the politicians. The worst of all is how most politicians and civil servants belongs to the secret movement of freemansion, so and ashamingly they are also very religious, so when their secrets are guarded by those oaths only divine intervention can now save us. They blame opposition parties like CDM and their movement for change while they form groups like TISS but they are worse than such groups. They even misuse the administrative bodies like police to kill at the expense of ignorance and arogancy of the poorly paid emotional senseless murderers. Surely those who elect the likes of CCM must think twice next election.
 
Kwa hili ninasema tutafanya liwezekanalo, afadhali tuwe na mpango wa majimbo kila mtu ajijue kivyake, ni shida kuwa na baba mdini, mkabila na mfitinishaji wa watu wake kwa mipango dhaifu. Tunahitaji kukasirika na kuamua kwa hasira sasa.
 
Back
Top Bottom