Bandari ya Bagamoyo ikijengwa CCM ijindae kwa adhabu pia


Napita tu!
 
Kwa hili ninasema tutafanya liwezekanalo, afadhali tuwe na mpango wa majimbo kila mtu ajijue kivyake, ni shida kuwa na baba mdini, mkabila na mfitinishaji wa watu wake kwa mipango dhaifu. Tunahitaji kukasirika na kuamua kwa hasira sasa.

Mkuu toa suluhisho la nini serikali ya CCM ifanye maana kila inachokifanya kinaonekana kibaya. Ijenge Bandari-vibaya tu; ijenge barabara-vibaya tu; inunue meli-vibaya tu; ibadili katiba kwa matakwa yenu-vibaya tu; iteue wakuu wa mikoa-vibaya tu; iwahamishe wafugaji kwa kuwa mifugo yao inasababisha mmomonyoko wa udongo-kwetu vibaya tu...... Sasa ishaurini ifanye nini? As to remain at home doing nothing is not a good option.
 
Kwa hili ninasema tutafanya liwezekanalo, afadhali tuwe na mpango wa majimbo kila mtu ajijue kivyake, ni shida kuwa na baba mdini, mkabila na mfitinishaji wa watu wake kwa mipango dhaifu. Tunahitaji kukasirika na kuamua kwa hasira sasa.

This is not a wise of a great thinker........
 

Labda waTanzania wamewachukia pia kwa propaganda chafu na za kibaguzi. Udini na ukabila mnaujenga nyie, ona hapo penye Bluu. Unaweza kubisha kuwa hujaawashawishi waTanzania wenzio kulichukia hilo kabila ambalo hukulitaja (Wachaga)? Mimi naona watu wa aina yako kama ndio wako kwenye hiyo CCM basi haina sababu hata kidogo ya kupendwa. Tukianzia hapohapo, wachaga watakupenda je?

Hivi nikuulize, katika Propaganda zenu, manpofanya mikutano Kilimajnaro, huwa mnawaambia haya, na kuwa hawana haki tena kwa kuwa wao ni WAKABILA? JK alipofanya kampeni na timu yake hawakuwaambia kuwa wao ni wakabila, ila atauzungusha mlima kilimanjaro kwa barabara za LAMI.

CCM waangalie nchi hii itakuwepo hata bila ya ccm au chadema. Tuijenge nchi itakayokuwa mahali pema pa kuishi wajukuu na vitukuu vyetu vya vitukuu vyetu, nao watafanya vivyo hivyo.

Kuna mifano mingi sana mibaya dhidi ya ccm na serikali yake. Leo wanatugawa hata jinsi ya kujipatia kitoweo. Iliwahi kutokea kipindi yakatowa matamko mazito tena yakimlenge mkuu wa nchi kwa kiasi hiki? Jiulizeni na myatendee kazi. Kwanini mchukiwe leo na sio jana? Hamjiulizi, nyie mnawacheki chadema, wakati nyie ndio wenye nchi!

Kama sio upuuzi, basi nyie ni Wapuuzi.

*Upuuzi linatokana na neno puuza, hivyo mtu mpuuzi ni mtu anayepuuza mambo.
 

Sio kweli kuwa hawafanyi jambo, jambo lenyewe wamefanya nalo nikusema kuwa ni vibaya! Kama mnataka watende, basi wapeni nafasi muone. (Haya ni majibu mepesi kwa hoja nyepesi)

Nadhani ungechambua kwanini watu wanahoji, tungekuwa na mahali pa kusimama kuenda jambo!
Lakini nchi ya ajabu inayoongozwa na viongozi wa ajabu wasiokuwa na vipaumbele wala maono, ndio maana hawajui sababu ya umaskini wetu nini. Wataweza je kututoa hapa tulipo?

Jengeni bandari, kama mlivyojenga shule za voda faster, mkimaliza jengeni zahanati, barabara n.k Akili yenu inawatuma kuwa maendeleo ya watu ni material
 
I would like to know which wise word should be of a wise thinker, when after all wisdom, sharing, tolerance and patience you end up having the plans that are changing with the blow of wind. You are given a plan in the morning, by noon they are no more, you are given a promise in noon, by evening they are no more. You better get angry.

By the way you might be afraid of the word, angry, but it is even the words of the former wise men, be angry but do not late your anger lead you to sin. So I mean we need to get angry, and through the anger and agitation of what is not been done properly we will be able to force our way to what it should stand; being angry does not mean, been un-wise. otherwise supply me with your expression " this is not a wise of a great thinker..."
 
maneno yako ni mazuri sana ila wakusikiao huko vijijini 90% yao huabudu chama na wala sio kupima maendeleo waletwayo na chama! kazi ipo kumuambia mtu kuwa upo matesoni!!!
 

mkuu ule mpango zilikuwa mbwembwe tu kama zile za wachina kuchimba barabara katikati ya jiji kwa kisingizio cha kurekebisha sewage system mvua ikinyesha kidogo tu barabara zinageuka mabwawa ya samaki.
This is tanzania special
 
Iondoke madarakani na kupisha wengine we are tired of it. Huo ndio ushauri wangu, anyway kwa mipango hii tayari imeshaanza kuonesha inajipanga kuondoka.

Yote uliyotaja hapo juu yakitekelezwa kwa kulenga faida na mafanikio na sio kuweka bomba la gesi toka Mtwara kuja Dar, au kuhamisha goal posts after every aid promise basi tusingekuwa na la kusema. Kwa hiyo suala sio kuwa kila wafanyacho, ila wanapofanya vibaya hicho wafanyacho. Yote uliyotaja hapo juu ukiyaangalia bila kuwa na itikadi ya kupendelea upande utaona kuwa ni mazuri ila yanaharibiwa na mipango mibovu ya kuyatekeleza--- na hiyo ndio kero inayofanya tusichoke kupiga kelele.
 

Iondoke madarakani na kupisha wengine we are tired of it. Huo ndio ushauri wangu, anyway kwa mipango hii tayari imeshaanza kuonesha inajipanga kuondoka.

Nyongeza: Yote uliyotaja hapo juu yakitekelezwa kwa kulenga faida na mafanikio na sio kuweka bomba la gesi toka Mtwara kuja Dar, au kuhamisha goal posts after every aid promise basi tusingekuwa na la kusema. Kwa hiyo suala sio kuwa kila wafanyacho, ila wanapofanya vibaya hicho wafanyacho. Yote uliyotaja hapo juu ukiyaangalia bila kuwa na itikadi ya kupendelea upande utaona kuwa ni mazuri ila yanaharibiwa na mipango mibovu ya kuyatekeleza--- na hiyo ndio kero inayofanya tusichoke kupiga kelele.
 
Wakuu kwa kunisaidia mawazo,kwanza bandari ya Dar ni muhimu sana kama jiji kuu lakini hivi ile bandari haiewezi kupanuliwa kukidhi viwango?

Kama ni ngumu kupanuliwa hamuoni ni bora ijengwe kubwa nyingine bagamoyo?

Kuhusu utaratibu wanabodi wa JF!
 

keshajibinafsishia mpaka chama kwahiyo tutarajie mama salma ama riz1 kugombea upresidaa next election?
 

Bandari zingejengwa Arusha/kilimanjaro ingekuwa sawa. Zinajengwa Uzaramoni inakuwa Nongwa! Acheni bana, kwani kukiwa kuna bandari kote, Dar, Tanga, Mtwara na Bwagamoyo kwani kunashida gani! Mbona SA wana bandari nyingi tu, ebu tazama link hii http://www.southafrica.com/ports/. Achane hizo, kuwa na bandari nyingi ni maendeleo wakuu.
 
Hii kali. Maana kama kusoma hatukusoma waTZ ila hata kuona hatuoni?

kuona tunaona ila kuthubutu kuhoji na kutojua wajibu wetu ndo tatizo ukizingatia na hili la sasa walilokuja nalo la kuteka na kutesa na kuishia kuunda tume isiyokuja na majibu ndo inayowapa woga kabisa waTZ
 

Kama ni hivyo mwenzako akitenda na kufa kwa dhambi na wewe utataka kuwa hivyo?
 
Ila siku zote mbio za sakafuni huishia ukingoni nao ukingo wenyewe uko jirani
 
Tuliodhani wana uchungu na nchii hii ni sifuri kabisa. Walivaa ngozi ya kondoo kumbe wao ni mbwa mwitu. Masikini Tanzania unaongozwa na wenye tamaa kupitiliza.
 
Nafikiri mtoa mada anatupa ujumbe kuwa, pamaoja na malengo mazuri ya mradi huu kwa Taifa, tatizo hakuna information flow na mikataba inabaki kuwa siri ya wakubwa. kama una maana tuwe great thinkers wote, lazima tusome na kuelewa kwa nini wakoloni walibuni bandari za Tanza na Mtwara. je wewe umefanya utafiti ukajua haya? nafirki ni rahisi kusafirisha mizigo ya Malawi, Zambia kupitia bandari ya Mtwara, kwa kuwa bandari ya Dar es salaam imezidiwa muafaka ni kutumia bandari ya Tanga kwa mizigo ya DRC, Burundi na Rwanda. Tuna plan ngapi katika nchi hii ambazo zimetelekezwa? tujuze plan ya Bandari ya Mtwara.

 

Aliyewanyima nafasi ni nani? Kutokukubalika kwa wananchi isiwe hasira zao kuzimalizia CCM!!! Wawakasirikie wananchi na si CCM maana CCM haipigi kura bali nayo inapigiwa kura na wananchi. Kama wananchi hawawapigii kura watu mnaowapenda lawama zisitupiwe CCM bali ni ninyi mnaowapenda watu wasiopendwa na wananchi.
 
maneno yako ni mazuri sana ila wakusikiao huko vijijini 90% yao huabudu chama na wala sio kupima maendeleo waletwayo na chama! kazi ipo kumuambia mtu kuwa upo matesoni!!!

Kumbe suluhisho mnalo!!! Kushindwa kwenu katika uchaguzi kunachangiwa na hilo hapo juu kwenye red. Sas hasira za kuichukia CCM zinatoka wapi??? Kwa nini msichukue hatua kuwashawishi watu wawapende na ninyi na si kuichukia CCM kwa vile inapendwa na wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…