Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumewaboreshea wajombaEti hii ndio bandari ya wajomba
Mbona mapema hivyo!Uwekezaji wa zaidi ya trillioni 1 uliofanywa na serikali kwenye maboresho ya bandari ya Dares salaam umezaa matunda baada ya mara ya kwanza kuipiku bandari ya Mombasa kwa idadi ya mizigo.
Kwenye utawala wa Kikwete bandari ya Dar ilikuwa duni kiasi cha kupaki meli yenye urefu wa mita 100 tu ,lakini kwenye utawala wa Hayati Magufuli ilipanuliwa na sasa ina uwezo wa kupaki meli yenye urefu wa zaidi ya mita 200 hivyo kushusha na kupakia makontena mengi zaidi.View attachment 2656803
Kwa hiyo hizo faida zinaenda kwa wajomba ama sioTumewaboreshea wajomba
Ungeleta idadi ya containers inao shushwa sio urefu ma meri inao paki, dar bado haijafikia mombosa mimi ni mdao wa hizo bandari zote mbili, acheni uongo wa kuona kwamva mama kuleta wawekezaji kakosoa.Uwekezaji wa zaidi ya trillioni 1 uliofanywa na serikali kwenye maboresho ya bandari ya Dares salaam umezaa matunda baada ya mara ya kwanza kuipiku bandari ya Mombasa kwa idadi ya mizigo.
Kwenye utawala wa Kikwete bandari ya Dar ilikuwa duni kiasi cha kupaki meli yenye urefu wa mita 100 tu ,lakini kwenye utawala wa Hayati Magufuli ilipanuliwa na sasa ina uwezo wa kupaki meli yenye urefu wa zaidi ya mita 200 hivyo kushusha na kupakia makontena mengi zaidi.View attachment 2656803
Bila shaka yoyotekwa hiyo hizo faida zinaenda kwa wajomba ama sio
Uko nyuma ya wakati, unasoma takwimu za mwaka 2014, nenda kasome za kuanzia mwaka 2021Yaipiku kwenye nini?
Bandari ya Mombasa hutoa mizigo kwa haraka na wingi kuliko Dar
Dar meli hukaa nangani siku 5 wakati Mombasa ni Siku 2
Kupakua mizigo Mombasa hutumia siku 1.5 wakati Dar hutumia siku 4-5
Mapato Mombasa hupata zaidi kuliko Dar
Mombasa mwaka jana walipitisha Makasha Milioni 1+
Dar haijawahi fikisha Laki 8
Uwekezaji wa zaidi ya trillioni 1 uliofanywa na serikali kwenye maboresho ya bandari ya Dares salaam umezaa matunda baada ya mara ya kwanza kuipiku bandari ya Mombasa kwa idadi ya mizigo.
Kwenye utawala wa Kikwete bandari ya Dar ilikuwa duni kiasi cha kupaki meli yenye urefu wa mita 100 tu ,lakini kwenye utawala wa Hayati Magufuli ilipanuliwa na sasa ina uwezo wa kupaki meli yenye urefu wa zaidi ya mita 200 hivyo kushusha na kupakia makontena mengi zaidi.View attachment 2656803
Tatizo kufuatilia mambo yenye faida hamuwezi, kutwa kuwaza ujinga tu.Hii ni future, past or present tense? Uwekezaji umeshafanyika? Aisee bora kuishi hata Congo
Hidadi ni nini hicho?Ungeleta hidadi ya container inao shushwa sio urefu ma meri inao paki, dar bado haijafikia mombosa mimi ni mdao wa hizo bandari zote mbili, acheni uongo wa kuona kwamva mama kuleta wawekezaji kakosoa.
[emoji1][emoji1][emoji1]Hidadi ni nini hicho?