Bandari ya Eliat ya Israel yashambuliwa kutokea Iraq

Bandari ya Eliat ya Israel yashambuliwa kutokea Iraq

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Bandari ya Israel ya kusini ambayo iko kwenye bahari nyekundu imeshambuliwa kutokea upande wa mashariki.
Kikundi cha kivita ndani ya Iraq kimetoa tangazo la kuhusika na shambulia hilo ikisema ilipiga jengo muhimu walilolikusudia.

Bandari hiyo ambayo kwa sasa iko karibu kufungwa kutokana na kukosa meli tangu pale wapiganaji wa Houth wa Yemen walipoanza kuzuia meli za Israel kupita eneo lao.

Hii si mara ya mwanzo kushambuliwa kwa makombora mara nyingi ikiwa ni kutoka kwa wapiganaji hao wa Houth.

Israel reports aerial attack on Eilat; Iraqi militia claims launch

 
Israel survival kama Nchi ni kuiondoa Serikali ya Islamic Republic ya Iran, Iran kukiwa na Serikali ya Secular Amani itarejea Mashariki ya Kati.
 
Hawa Maayatola wakifanikiwa kutengeneza Mabomu ya Kinuklia watayasambaza kwa Fanaticts kwenye Nchi za Iraq Yemen Lebanon na Syria na who knows fanatics wataanza Jihaad huku Afrika ya Mashariki kwa kutumia silaha za maangamizi ya halaiki.

Ngai Yahwe Allah Amun RA watuepushe na hawa MaAyatolah.
 
Hapo waislaaam wa kwa mtogole na vikind or state republik tz raha kweli kusikia wamempata mtetezi mana gazaaaaa..sina meng ngoja niweke maiki pemben kushuhudia, majambaz yakiongezeka kumuua stalingi na jambaz wa leo ni zalumedra, akishilikiana na alawakibaru kutoka madina
 
Wanashambulia sehemu muisrel kahama kwann wasipige mjini waone shoo?
 
Hawa Maayatola wakifanikiwa kutengeneza Mabomu ya Kinuklia watayasambaza kwa Fanaticts kwenye Nchi ya Iraq Yemen Lebanon na Syria na who knows fanatics wataanza Jihaad huku Afrika ya Mashariki kwa kutumia silaha za maangamizi ya halaiki.

Ngai Yahwe Allah Amun RA watuepushe na hawa MaAyatolah.

Kumbe ni mdini sana wewe, hapo mwanzo sikujua
 
Wat
Hawa Maayatola wakifanikiwa kutengeneza Mabomu ya Kinuklia watayasambaza kwa Fanaticts kwenye Nchi ya Iraq Yemen Lebanon na Syria na who knows fanatics wataanza Jihaad huku Afrika ya Mashariki kwa kutumia silaha za maangamizi ya halaiki.

Ngai Yahwe Allah Amun RA watuepushe na hawa MaAyatolah.
Watengeneze nuclear mara ngapi mkuu ww unafikiri angekua hana siwameshambulia zamni jinsi anavyowasumbua USA na mke wake Israel
 
Wanashambulia sehemu muisrel kahama kwann wasipige mjini waone shoo?
Eliat kuna bandari na pia ni mji mkubwa.Muhimu ni kuwa kuna mifumo ya ulinzi wa anga na imeshindwa kuzuia hicho kikombora kutoka Iraq.
Israel kama inataka kuendelea kuwepo ni muhimu ikubaliane na maazimio ya UN na iishi kwa ujirani mwema na wenzao hapo mashariki ya kati.
Wakiamua kufanya ubabe kwa kutegemea misaada kutoka US basi haitachukua muda watashindwa kuzuia upinzani dhidi yao
 
Israel survival kama Nchi ni kuiondoa Serikali ya Islamic Republic ya Iran, Iran kukiwa na Serikali ya Secular Amani itarejea Mashariki ya Kati.
Mnataka kuweka. Vibaraka wenu kama misri Jordan na bajrain hilo halitawezekana
 
Back
Top Bottom