Hamna Shia gaidi , acha ujingaHawa Maayatola wakifanikiwa kutengeneza Mabomu ya Kinuklia watayasambaza kwa Fanaticts kwenye Nchi za Iraq Yemen Lebanon na Syria na who knows fanatics wataanza Jihaad huku Afrika ya Mashariki kwa kutumia silaha za maangamizi ya halaiki.
Ngai Yahwe Allah Amun RA watuepushe na hawa MaAyatolah.
Iran ni nchi ya washia , na proxies zao ni za washia ,hebu nionyeshe gaidi wa kishia
Tatizo watu hamfuatilii mambo vizuri