Hawa Maayatola wakifanikiwa kutengeneza Mabomu ya Kinuklia watayasambaza kwa Fanaticts kwenye Nchi ya Iraq Yemen Lebanon na Syria na who knows fanatics wataanza Jihaad huku Afrika ya Mashariki kwa kutumia silaha za maangamizi ya halaiki.
Ngai Yahwe Allah Amun RA watuepushe na hawa MaAyatolah.
Shoo gani ya supporters!! Bila msaada Israel sio chochote houth tu anawatoshaWanashambulia sehemu muisrel kahama kwann wasipige mjini waone shoo?
Mdini kivipi?Kumbe ni mdini sana wewe, hapo mwanzo sikujua
Watengeneze nuclear mara ngapi mkuu ww unafikiri angekua hana siwameshambulia zamni jinsi anavyowasumbua USA na mke wake IsraelHawa Maayatola wakifanikiwa kutengeneza Mabomu ya Kinuklia watayasambaza kwa Fanaticts kwenye Nchi ya Iraq Yemen Lebanon na Syria na who knows fanatics wataanza Jihaad huku Afrika ya Mashariki kwa kutumia silaha za maangamizi ya halaiki.
Ngai Yahwe Allah Amun RA watuepushe na hawa MaAyatolah.
Eliat kuna bandari na pia ni mji mkubwa.Muhimu ni kuwa kuna mifumo ya ulinzi wa anga na imeshindwa kuzuia hicho kikombora kutoka Iraq.Wanashambulia sehemu muisrel kahama kwann wasipige mjini waone shoo?
Mnataka kuweka. Vibaraka wenu kama misri Jordan na bajrain hilo halitawezekanaIsrael survival kama Nchi ni kuiondoa Serikali ya Islamic Republic ya Iran, Iran kukiwa na Serikali ya Secular Amani itarejea Mashariki ya Kati.
Show gani ya kuua watoto wasiohusika na vitaWanashambulia sehemu muisrel kahama kwann wasipige mjini waone shoo?
Kuwa na Secular Government haina maana kuwa puppet.Mnataka kuweka. Vibaraka wenu kama misri Jordan na bajrain hilo halitawezekana