Bandari ya Eliat ya Israel yashambuliwa kutokea Iraq

Hamna Shia gaidi , acha ujinga
Iran ni nchi ya washia , na proxies zao ni za washia ,hebu nionyeshe gaidi wa kishia
Tatizo watu hamfuatilii mambo vizuri
 
Russia kila siku inatandikwa kwa drones tena siku hizi zinatembea had 1000km ndani ya Urusi licha ya Urusi kua na mifumo ulinzi ya kila aina.
 
Kumbe ni mdini sana wewe, hapo mwanzo sikujua
Wewe ndo mdini tena wale wa kulazimisha kila mtu awe upande wa Allah maana issue ya Zanzibar Kwa wakristo kula ulitoa michango ya kufuarahi Sana kupigwa kwao
 
Russia kila siku inatandikwa kwa drones tena siku hizi zinatembea had 1000km ndani ya Urusi licha ya Urusi kua na mifumo ulinzi ya kila aina.
Maana yake ni kuwa vita vya kisasa hakuna bingwa ya kujilinda.Israel imejitengenezea maadui wengi na itapigwa hata kama ina silaha na miundo ya kuiulinzi wa anga.
Imezungukwa na maadui pande zote.
 
Hamna Shia gaidi , acha ujinga
Iran ni nchi ya washia , na proxies zao ni za washia ,hebu nionyeshe gaidi wa kishia
Tatizo watu hamfuatilii mambo vizuri
Waliolipua Ubalozi wa Israel huko Argentina walikuwa ni Magaidi wa Shia Islamic Republic na Magaidi wa Kataib Hezbola Iraq ni Magaidi wa Kishia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…