Bandari ya Kasanga, Ziwa Tanganyika...

Magu kichwa sana.. bandari zote ziwa Tanganyika kazijenga vizuri.. sana . Pia amepeleka na barabara za lami.

Unaambiwa cement toka mbeya kwenye drc inapita ziwa Tanganyika.

Cement toka mbeya kwenda malawi inapita nyasa..

Magu noma.
kuna jamaa yangu Mnyarwanda anadai JIWE ameamua kuwasomesha namba na wenyewe aliichambua hiyo bandari faida zake kwa Tz na Congo na hasara zake kwa Rwanda mpaka nikashangaa japo nilikuwa hata sihifahamu hiyo bandari before
 
Angalau utawala huu kuna vitu vinaonekana wazi ni vichocheo vya uchhumi vikiimarishwa.
 
Unaweza ukashare faida mkuu bachelor ll nasi tuzijue na tujipange
Mkuu hapo Tanzania na DRC tuna mutual benefit kutokana na uwepo wa bandari.
Kila mtu atanufaika kiuchumi,kidiplomasia,kijamii na kwenye masuala ya usalama.

Uwepo wa mizigo mingi ya kwenda na kurudi kutoka DRC, Tanzania itakuwa kalamba bingo
 
Anacho kiongea anakifanya.. ungejua hata viongozi waandamizi hawaelewi jamaa anafanyaje mambo hadi yanatokea.

Ukienda ziwa nyasa kuna meli mpya 3 za mizigo na abiriaa mv njombe, mv ruvuma na mv mbeya , pia bandari zote zimejengwa upya.

Ukienda ziwa victoria kuna meli 1 mpya na 2 zimekarabatiwa

Mv mwanza ndio meli bora kuwahi kutokea.

Mv victoria imekarabatiwa na wakirea

Mv butiama nayo ipo nondo


Ukienda tanganyika , mpando ni kujenga jet na ports zote na kununua meli mpya pamoja na kukarabati MV liemba ( meli ya mjerumani)

Bahari ya hindi ndio usiseme.

Dar imenoga

Mtwra nayo imenoga

Tanga nayo imenoga

Napendeleza bagamoyo ijengwe na serikali .. waachane na mchina.
 
Kati ya karema au kasanga moja itaunganishwa na reli. SGR
Kumalika kwa bandari ya karema naona kabisaa kuna bandari kama durban na beira mizigo ikipungua na kuja dar es salam sasa basi ni sisi kujipanga na kuchukua fursa
 
Kwa Tanzania meli bora zimilikiwe na serikali.
 
Wazee wa kuthubutu wataukwaa umilionea endapo wakijaribu kutembea usiku bila taa.

Wale wazee upande "Shipping business is a Mafia business".
Hapa tutawaona watu wa rangi mbalimbali watakuja kuweka mikono yao bandari hizi zikikamilika.
 
Kati ya karema au kasanga moja itaunganishwa na reli. SGR

Karema itawekewa SGR..

Mbali na hizo fursa za usafiri wa reli, majini na nchi kavu. Pia kumbuka JPM kajenga masoko kibao ya madini hapa nchini na pia kuna smelter zinajengwa na gold refineries hivyo madini ya Congo yatapita bongo kuongezewa thamani na kuuzwa katika masoko yetu.

JPM ana vision kubwa sana. Na ni vizuri sasa tumeingia uchumi wa kati tuna uhuru mpana wa kupata mikopo kwenye taasisi nyingi zaidi za kifedha na kupata mikopo bila masharti ya namna ya kuitumia. Sina shaka na usimamizi na ufuatiliaji wa hii serikali. Wakikopa na ku invest kwenye miradi mikubwa hii ya kimkakati bhas ataipaisha juu sana hii nchi kiuchumi.

Kwenye maswala ya kijamii kama afya, maji, umeme na elimu kashavuka malengo na kwenye miundombinu kawekeza sana hivyo sasa ni kugusa maeneo ya kimkakati zaidi ili kukuza uchumi.
 
Unajua ukijumuisha bandari zote za Tz hazifikii nusu ya mapato na cargo ya Mombasa port na hatujajumuisha Lamu Port.
Mlijaribu kushindana nasisi Lamu vs Bagamoyo mkafeli.
Ukiangalia kwa data zilizopo bandari iliyokuwa ina save import kutoka nje ni dar na ilikuwa sleeping giant mpka mwaka jana tulikuwa na 14.5million metrics tonnes zilizopita bandari ya dar es salaam sasa toka magufuli ameingia tunaboresha bandari za Tanga na mtwara kwa tarifa yako kwa upande wa bandari ya Tanga dredging imekamilika na hivyo sasa bandari ya Tanga inakuwa na kina cha 15m hapo ni kwenye low tides na mlango pia wa kuingia na kugeuzia meli umekalika so meli za mizigo zinakuwa na option ya kuja dar ama Tanga na procurement ya vifaa inaendelea serekali imetenga almost tsh 500billions kwa ajili hii sasa basi jiandaeni
 
Kwa Tanzania meli bora zimilikiwe na serikali.
Meli ni uwekezaji unaotaka pesa kubwa sana(huge investment) serikali inaweza ikafanya ila kama kuna uhitaji wa miradi mingine bado kuna wazawa wana uwezo wa kuwekeza.

Biashara ya meli inawigo mpana serikali na matajiri wa kitanzania wanaweza wakawekeza wote na uhitaji bado ukawepo.

Kuna meli za abiria,kontena,mafuta,makaa ya mawe, za kubeba wanyama,utafiti, uvuvi na mizigo ya shehena.

Hao wawekezaji nimelenga watanzania wenye uwezo wa kumiliki meli za biashara.
 
Unajua ukijumuisha bandari zote za Tz hazifikii nusu ya mapato na cargo ya Mombasa port na hatujajumuisha Lamu Port.
Mlijaribu kushindana nasisi Lamu vs Bagamoyo mkafeli.
Tanga ndo mtashindana nayo sasa na sio the wakeup giant port of dar es salaam
 
Investors wengi walioko Tanzania ni very sellfish hawaangalii interest za inchi zao wewe ona juzi tuu wanataka kumhujumu raisi na watanzania kwenye suala la mafuta alafu watanzania jamani tutembee kifua mbele na tujiandae kwa fursa
 
Vijana wenzangu na watanzania Raisi anafungua inchi na kuiunganisha na mataifa jirani kuna standard gauge inakuja wewe kama kijana unajiandaje na fursa za kukamilika kwake,fursa ni nyingi mno Congo drc ndo hiyo inafunguliwa kule wanahitaji chakula na materials nyingine so wewe na mimi tumejipange
 
Mimi niko hapa. Anajipanga na taarifa sahihi, elimu na uelewa kama Offshore Seamen . Tatizo mtaji utapatikana kwa mbinde.
 
Kodi lazma ilipwe! Mikopo ya masharti nafuu sawa! Ondoa kichwani mwako suala la misamaha ya kodi! Huko ni kuanzisha Acacia gold part II! Sijui kwann watu hamjifunzi!
 
kuna jamaa yangu Mnyarwanda anadai JIWE ameamua kuwasomesha namba na wenyewe aliichambua hiyo bandari faida zake kwa Tz na Congo na hasara zake kwa Rwanda mpaka nikashangaa japo nilikuwa hata sihifahamu hiyo bandari before
For sure kuna watakachopoteza japo congo ni linchi kubwa bado kuna upande utahudumiwa kipitia njia za rwanda. Lkn pia tukumbuke DRC pia wanafikiria project ya SGR
 
Tanzania hatuna white elephant mzee subiri uone Magufuli ni rahisi mwenye maono na akili nyingi sana naona tunakuja kuwa power house of east and central africa
Kama anawazia kuhusu white elephant tumwambie huyo mdudu kwa tz hayupo labda yupo huko nchini kwao asubirie kufunguke aone mchezo utakavyo chezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…