Bandari ya Mombasa Yatoa Ofa Kwa Mizigo ya Congo DRC na Kutishia Uhai wa Bandari ya Dar. TPA na Serikali mmejipangaje?

Kijiografia nchi yetu ilivyo ni aibu kwa drc,rwanda na burundi kutumia bandari ya mombasa lakini hii yote inaletwa na uzembe wa viongozi wetu,viongozi uwezo wa kufikiri income itokane na kumnyonya mwananchi lakini si rasilimali,malawi mdogo mdogo anaacha kutumia bandari yetu anatumia ya maporini huko mozambique
 
Ruto anaonesha sio tu kwanini aliutaka urais, ila pia, alijua akiupata ataufanyia nini kwa faida ya nchi yake, hawa ndio aina ya wale marais wanaolala na ma-file vitandani.
Ila nae bado mapema sana,tumpe muda tupate kujua nia yake njema zaidi kwa nchi yake
 
Huwa sielewi kwanini Congo DRC anatumia bandari za nchi nyingine wakati yeye mwenyewe kapakana na bahari?

Kwa mwenye majibu tafadhali?
Sifahamu kuhusu bandari yao lakini hii mizigo inayopitia Mombasa na Dar huwa inatokea Asia, kwani nafuu kupitia nchi hizi kuliko kuzunguka hadi Atlantiki.
Pili Congo ni kubwa inaonyesha hii mizigo ni ya mashariki mwa Congo
 
Waarabu wakipewa hiyo bandari yatabaki magofu km ilivyo mjimkongwe
 
Ngoja tunyoshwe tu hamna namna
Ndio maana Kagame aliwahi kutuambia tumpe bandari Dar, ili yeye aindeshe kutuonyesha vile hiyo bandari yaweza kuingiza pesa kibao kwa nchi, nyie mkatolea nje.....sasa ngoja Kenya wawaonyeshe jinsi ya kufanya, na sasa kila mtu ashinde mechi zake.
 
Tumepoteza bahati ya mtende ya kuwa na Bandari ya kisasa yenye uwezo wa kupokea meli kubwa za 4G, kwa ujinga wetu. Hakuna nchi yoyote hapa duniani inayoweza kukataa uwekezaji wa mradi wenye thamani ya USD 100B!! Sisi tungekuwa wakushindana na Durban, sio Mombasa.
Hiyo SGR itatengeneza faida kwa kubeba abiria mwaka gani?
 
Labda DRC ya upande wa Goma huko.
Kwa Lubumbashi haiwezekani kuikwepa bandari ya Dar.
 
Lissu anasemaje?

Ameiombea mabaya kwa muda mrefu sana Tanzania ashangilie sasa.
Wewe na mtoa mada wote ni makumbaff tu, huku mnatetea Tozo haramu halafu mnategemea kizazi hai chenye fikra tunduizi kama za Lissu kiwaunge mkono wajinga? Hapana, huyo sinked falla cost si huwa yupo humu akitetea ujinga 24/7?na wewe ndiye chawa wake? Wenye akili wanajua jinsi ya ku deal na uchumi bila kumuumiza mwananchi, nyie mkilala Tozo mkiamka Tozo, maujinga kabisa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Lipa tozo Kwa maendeleo ya Nchi yako.
 
Hizoi ni ofa hewa! kenya haina ardhi ya kutoa bure kwa DRC ILI IJENGE BANDAR KAVU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…