Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Ila nae bado mapema sana,tumpe muda tupate kujua nia yake njema zaidi kwa nchi yakeRuto anaonesha sio tu kwanini aliutaka urais, ila pia, alijua akiupata ataufanyia nini kwa faida ya nchi yake, hawa ndio aina ya wale marais wanaolala na ma-file vitandani.
Si hivyo tu mkuu,pale bandarini kuna ujinga mwingi sana katika kutoa hiyo mizigoCountermeasure na mwisho wa vi- offer hivyo ni kukamilika kwa SGR mpaka Kigoma. Halafu tunawapa maeneo ya yard bure! Tukamilisheje mradi ndani ya muda mfupi, hilo ndilo liwe swali kwenu wazalendo?
Alikuwa mbinafsi kwa wapinzani koko tuMagufuli hakuwahi kuwa Nationalist alikuwa mbinafsi , usichanganye mambo
Sifahamu kuhusu bandari yao lakini hii mizigo inayopitia Mombasa na Dar huwa inatokea Asia, kwani nafuu kupitia nchi hizi kuliko kuzunguka hadi Atlantiki.Huwa sielewi kwanini Congo DRC anatumia bandari za nchi nyingine wakati yeye mwenyewe kapakana na bahari?
Kwa mwenye majibu tafadhali?
Na kweli usemayo kwani wasukuma hamkubaniwa mlikula nchi kweli kweli🤣Alikuwa mbinafsi kwa wapinzani koko tu
Ndio maana Kagame aliwahi kutuambia tumpe bandari Dar, ili yeye aindeshe kutuonyesha vile hiyo bandari yaweza kuingiza pesa kibao kwa nchi, nyie mkatolea nje.....sasa ngoja Kenya wawaonyeshe jinsi ya kufanya, na sasa kila mtu ashinde mechi zake.Ngoja tunyoshwe tu hamna namna
No Wonder unajiita hivyo.[emoji81][emoji81]ili mradi tu mpate pa kumtaja uyo kenge ...move on
Tumepoteza bahati ya mtende ya kuwa na Bandari ya kisasa yenye uwezo wa kupokea meli kubwa za 4G, kwa ujinga wetu. Hakuna nchi yoyote hapa duniani inayoweza kukataa uwekezaji wa mradi wenye thamani ya USD 100B!! Sisi tungekuwa wakushindana na Durban, sio Mombasa.Nawasalimu kwa jina la JMT, bila shaka mnaendelea kuchapa Kazi..
Kama inavyosomeka kwenye kichwa cha habari, Bandari ya Mombasa imetoa Ofa kabambe na kedekede Kwa Mizigo ya Congo DRC kupitia kwao, Kifurishi cha Ofa kinahusisha mambo yafuatayo;
1. Kupunguza gharama za kuhifadhi mizigo.
2. Kufuta gharama na vikwazo visivyo vya kikodi barabarani.
3. Kuwapa eneo Ili wajenge Dryport yao Ili wawe wanahifadhia mizigo yao hapo.
4. Ofa zingine za ki institutions.
Naomba ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar inategemea zaidi mizigo ya Congo DRC kwa mapato sasa kwa Ofa hizi ni wazi bandari ya Dar inaenda kuwa tembo mweupe.
Ni vyema serikali kupitia TPA nao wakaja na counter offensive za kukabili ushindani wa kibiashara na kuongeza competitiveness yetu kwenye biashara ya logistics.
Tanzania inaongoza kwa kuwa na utitiri wa Kodi na tozo kwenye biashara bila kusahau utitiri wa vikwazo visivyo vya Kodi NTBs kama mamizani kila sehemu,traffic kila sehemu,sijui parking za malori za Halmashauri na blaa blaa zingine kama hizo.
Tukiendelea hivi bandari yetu itakuwa tembo mweupe na ikumbukwe kwamba hakuna kosa Wakenya Wamefanya ila ni mbinu za kukuza biashara.
Source> Uchumi Forum👇
View attachment 2357571View attachment 2357576View attachment 2357577
Wewe na mtoa mada wote ni makumbaff tu, huku mnatetea Tozo haramu halafu mnategemea kizazi hai chenye fikra tunduizi kama za Lissu kiwaunge mkono wajinga? Hapana, huyo sinked falla cost si huwa yupo humu akitetea ujinga 24/7?na wewe ndiye chawa wake? Wenye akili wanajua jinsi ya ku deal na uchumi bila kumuumiza mwananchi, nyie mkilala Tozo mkiamka Tozo, maujinga kabisaLissu anasemaje?
Ameiombea mabaya kwa muda mrefu sana Tanzania ashangilie sasa.
Lipa tozo Kwa maendeleo ya Nchi yako.Wewe na mtoa mada wote ni makumbaff tu, huku mnatetea Tozo haramu halafu mnategemea kizazi hai chenye fikra tunduizi kama za Lissu kiwaunge mkono wajinga? Hapana, huyo sinked falla cost si huwa yupo humu akitetea ujinga 24/7?na wewe ndiye chawa wake? Wenye akili wanajua jinsi ya ku deal na uchumi bila kumuumiza mwananchi, nyie mkilala Tozo mkiamka Tozo, maujinga kabisa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hizoi ni ofa hewa! kenya haina ardhi ya kutoa bure kwa DRC ILI IJENGE BANDAR KAVU!Nawasalimu kwa jina la JMT, bila shaka mnaendelea kuchapa Kazi..
Kama inavyosomeka kwenye kichwa cha habari, Bandari ya Mombasa imetoa Ofa kabambe na kedekede Kwa Mizigo ya Congo DRC kupitia kwao, Kifurishi cha Ofa kinahusisha mambo yafuatayo;
1. Kupunguza gharama za kuhifadhi mizigo.
2. Kufuta gharama na vikwazo visivyo vya kikodi barabarani.
3. Kuwapa eneo Ili wajenge Dryport yao Ili wawe wanahifadhia mizigo yao hapo.
4. Ofa zingine za ki institutions.
Naomba ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar inategemea zaidi mizigo ya Congo DRC kwa mapato sasa kwa Ofa hizi ni wazi bandari ya Dar inaenda kuwa tembo mweupe.
Ni vyema serikali kupitia TPA nao wakaja na counter offensive za kukabili ushindani wa kibiashara na kuongeza competitiveness yetu kwenye biashara ya logistics.
Tanzania inaongoza kwa kuwa na utitiri wa Kodi na tozo kwenye biashara bila kusahau utitiri wa vikwazo visivyo vya Kodi NTBs kama mamizani kila sehemu,traffic kila sehemu,sijui parking za malori za Halmashauri na blaa blaa zingine kama hizo.
Tukiendelea hivi bandari yetu itakuwa tembo mweupe na ikumbukwe kwamba hakuna kosa Wakenya Wamefanya ila ni mbinu za kukuza biashara.
Source> Uchumi Forum👇
View attachment 2357571View attachment 2357576View attachment 2357577
Tusipo fanya maamuzi ya Kibiashara kwa ku consider four Ps (product, price, place, and promotion); Yule Muheshmiwa yupo sawa hivyo kazi tutakuwa nayo ya kushindana smart...Wacha Hustler atukimbize, sisi tumekomaa na mitozo na mighalama isiyo na maana.
Ya kuna mizigo ya Congo inapitia Angola pia,Sifahamu kuhusu bandari yao lakini hii mizigo inayopitia Mombasa na Dar huwa inatokea Asia, kwani nafuu kupitia nchi hizi kuliko kuzunguka hadi Atlantiki.
Pili Congo ni kubwa inaonyesha hii mizigo ni ya mashariki mwa Congo