Congo ipi?Huwa sielewi kwann Congo DRC anatumia bandari za nchi nyingine wakati yeye mwenyewe kapakana na bahari?
Kwa mwenye majibu tafadhali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Congo ipi?Huwa sielewi kwann Congo DRC anatumia bandari za nchi nyingine wakati yeye mwenyewe kapakana na bahari?
Kwa mwenye majibu tafadhali?
Hajawahi kufanya hivyo, huwa anaongea mambo ya msingi, wewe shabiki unatafsiri vibaya kwa kukaa upande wa wanyonyaji.Lisu anasemaje?
Ameiombea mabaya kwa muda mrefu sana Tanzania ashangilie sasa.
Ruto atasumbua Sana!
Kwamba distance ya kutoka Matadi mpaka Lubumbashi ni mbali kuliko kutoka Dar / MBS to Lubumbashi!! Bado tax zinazopotea kulipa nchi nyingine!! Kisa ujengaji tu wa barabra!!DRC wana Bandari moja ya Matadi ambayo inahudumia Kinshasa na maeneo jirani, na kutokana na sehemu zingine kuwa na miundimbinu hafifu au kutokuwepo kwa miundimbinu kabisa, na factor zungine ni umbali ni bora utoe mzigo DAR au MSA ni karibu kuliko Matadi hadi Bukavu Goma na Lubumbashi.
Kongo ni kubwa.
congo ni kubwa sana mkuu. bandari ya Mombasa haiwezi kuihudumia DRC yote na hata ya Dar haiwezi kuihudumia DRC yote. Kumbuka DRC is stretched from North Uganda mpaka zambia na Angola. Mombasa port inahudumia north drc, hilo halina haja ya kuhofia. TZ itaendelea kuhudumia north south hasa central na south DRC....Nawasalimu kwa jina la JMT,bila shaka mnaendelea kuchapa Kazi..
Kama inavyosomeka kwenye kichwa cha habari,Bandari ya Mombasa imetoa Ofa Kwa Mizigo ya Congo DRC kupitia kwao, Kifurishi cha Ofa kinahusisha mambo yafuatayo;
1.Kupunguza gharama za kuhifadhi mizigo.
2.Kufuta gharama na vikwazo visivyo vya kikodi barabarani.
3.Kuwapa eneo Ili wajenge Dryport yao Ili wawe wanahifadhia mizigo yao hapo.
4.Ofa zingine za ki institutions.
Naomba ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar inategemea zaidi mizigo ya Congo DRC kwa mapato sasa kwa Ofa hizi ni wazi bandari ya Dar inaenda kuwa tembo mweupe.
Ni vyema serikali kupitia TPA nao wakaja na counter offensive za kukabili ushindani wa kibiashara na kuongeza competitiveness yetu kwenye biashara ya logistics.
Tanzania inaongoza kwa kuwa na utitiri wa Kodi na tozo kwenye biashara bila kusahau utitiri wa vikwazo visivyo vya Kodi NTBs kama mamizani kila sehemu,traffic kila sehemu,sijui parking za malori za Halmashauri na blaa blaa zingine kama hizo.
Tukiendelea hivi bandari yetu itakuwa tembo mweupe na ikumbukwe kwamba hakuna kosa Wakenya Wamefanya ila ni mbinu za kukuza biashara.
Source> Uchumi Forum👇
View attachment 2357571View attachment 2357576View attachment 2357577
Endeleeni kuidhibiti Zanzibar tuNdio tayari tutakuwa tumepoteza sasa,kwa hiyo unaona kupoteza ni sahihi?
Sio chokochoko, anapambania nchi yake na watu wake!sisi tumekalia urasimu tu wa makodi kibao, uzembe uzembe tuu, mtu anakaa na mzigo wa mteja siku kibao bila sababu za msingi!upuuziupuuzi tuu!acha KENYA watunyooshe akili zikae sawa!PUMBAVU KABISANawasalimu kwa jina la JMT,bila shaka mnaendelea kuchapa Kazi..
Kama inavyosomeka kwenye kichwa cha habari,Bandari ya Mombasa imetoa Ofa kabambe na kedekede Kwa Mizigo ya Congo DRC kupitia kwao, Kifurishi cha Ofa kinahusisha mambo yafuatayo;
1.Kupunguza gharama za kuhifadhi mizigo.
2.Kufuta gharama na vikwazo visivyo vya kikodi barabarani.
3.Kuwapa eneo Ili wajenge Dryport yao Ili wawe wanahifadhia mizigo yao hapo.
4.Ofa zingine za ki institutions.
Naomba ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar inategemea zaidi mizigo ya Congo DRC kwa mapato sasa kwa Ofa hizi ni wazi bandari ya Dar inaenda kuwa tembo mweupe.
Ni vyema serikali kupitia TPA nao wakaja na counter offensive za kukabili ushindani wa kibiashara na kuongeza competitiveness yetu kwenye biashara ya logistics.
Tanzania inaongoza kwa kuwa na utitiri wa Kodi na tozo kwenye biashara bila kusahau utitiri wa vikwazo visivyo vya Kodi NTBs kama mamizani kila sehemu,traffic kila sehemu,sijui parking za malori za Halmashauri na blaa blaa zingine kama hizo.
Tukiendelea hivi bandari yetu itakuwa tembo mweupe na ikumbukwe kwamba hakuna kosa Wakenya Wamefanya ila ni mbinu za kukuza biashara.
Source> Uchumi Forum👇
View attachment 2357571View attachment 2357576View attachment 2357577
Sio mabaya, na ww uwe unajenga hoja sio kila saa unamtajataja mwanaume mwenzio!pambana kujenga hojaaa na kusema nn kifanyike!Lisu anasemaje?
Ameiombea mabaya kwa muda mrefu sana Tanzania ashangilie sasa.
Kuna protokali za biashara za EAC so unapopambania Nchi yako una wajibu wa kuhakikisha huathiri wengine katika namna ambayi haileti ushindani sawia..Sio chokochoko, anapambania nchi yake na watu wake!sisi tumekalia urasimu tu wa makodi kibao, uzembe uzembe tuu, mtu anakaa na mzigo wa mteja siku kibao bila sababu za msingi!upuuziupuuzi tuu!acha KENYA watunyooshe akili zikae sawa!PUMBAVU KABISA
3/4 ni misitu kule kwenye watu ndiko tunashindania.congo ni kubwa sana mkuu. bandari ya mombasa haiwezi kuihudumia drc yote na hata ya dar haiwezi kuihudumia drc yote. Kumbuka drc is stretched from north uganda mpaka zambia na Angola. Mombasa port inahudumia north drc, hilo halima haja ya kuhofia. TZ itaendelea kuhudumia north south hasa central na south DRC.
itakuwa ajbu ikiwa mfanyabiashara wa Bunia, kwa mfano ambaye anafanya hata shopping Kampala eti apitishe mzigo dar...ni ngumu.