Bandari zetu; Nasikilizia lakini nauona udhaifu kwa wa-Zanzibari kwa waarabu

Bandari zetu; Nasikilizia lakini nauona udhaifu kwa wa-Zanzibari kwa waarabu

Zygot

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
2,265
Reaction score
2,919
Hili la Bandari, kuna watu wameamini ni vita ya kidini na wengine labda ubaguzi. Je, Umewahi kusikia mwafrika mweusi akiingia U-arabu? Yaani akafanya sherehe na kutangazwa rasmi kwamba leo kawa mwarabu?

Yawezekana wa-Tangayika wengi wanaifahamu Z'bar ya pale mjini na hisia za wanasiasa kuwapiga vita waarabu kwa mapinduzi yao, na akina JK kumpiga vita Salim kwamba ni Hizbu! Lakini ukweli ni kwamba Wa-Zanzibari wengi wana udhaifu mkubwa kwa waarabu.

Hadi miaka ya 1980s nikliwa naishi Z'Bar Nilikuwa nashuhudia sherehe za waafrika wenzangu weusi kuingia Uarabu. Kigezo kikubwa ikiwa ni uwezo wa kifedha na hatimaye mtu anafanya sherehe ya kuwa mwarabu, bila kujali rangi ya ngozi yake.

Katika hali hiyo, Sioni ajabu Mtu aliyekulia mazingira ya aina hiyo, leo hii akijipeleka kutafuta urafiki na waarabu , na kufanya lolote la kushangaza raia wa nchi yake. Ilitokea Mwinyi (m-Zanzibari) akiwa rais, akauza Loliondo kwa waarabu. Amekuja Samia (m-Zanzibari) anauza Bandari kwa waarabu. Tunaoelewa tabia hii hatuoni ajabu. Sielewi kwa nini wanunuaji (waarabu) pia wanakuja mara wanapoona m-Zanzibari ni rais!
 
Kama hamuwapendi Wazanzibar wapeni nchi yao waishi kivyao.

Mnawang'ang'ania Wazanzibar kama vile wake zenu.

Leo hii Mzanzibar hata akiuza maeneo yote ya Tanganyika kwangu sawa maana Watanganyika mmezidi kuwa wapumbavu kupindukia mnang'ang'aniza hili li ndoa la kipuuzi liitwalo muungano huku Wazanzibar wakiwa hawalitaki na mnaona mmewin sana watawauza hadi nyie kwa waarabu.

Waacheni Wazanzibar waishi kivyao na nchi yao hakuna Mzanzibar atakae kuja kuuza huto tu ardhi twenu.

Mkiendelea kuwa ng'ang'ania ndivyo mtaendelea kunyonywa ni ujinga karne hii kuendeleza ukoloni Watanganyika na jeshi lenu mnaikoloni Zanzibar kimabavu acheni kuua Wazanzibar wasio na hatia
 
Kama hamuwapendi Wazanzibar wapeni nchi yao waishi kivyao.

Mnawang'ang'ania Wazanzibar kama vile wake zenu.

Leo hii Mzanzibar hata akiuza maeneo yote ya Tanganyika kwangu sawa maana Watanganyika mmezidi kuwa wapumbavu kupindukia mnang'ang'aniza hili li ndoa la kipuuzi liitwalo muungano huku Wazanzibar wakiwa hawalitaki na mnaona mmewin sana watawauza hadi nyie kwa waarabu.

Waacheni Wazanzibar waishi kivyao na nchi yao hakuna Mzanzibar atakae kuja kuuza huto tu ardhi twenu.

Mkiendelea kuwa ng'ang'ania ndivyo mtaendelea kunyonywa ni ujinga karne hii kuendeleza ukoloni Watanganyika na jeshi lenu mnaikoloni Zanzibar kimabavu acheni kuua Wazanzibar wasio na hatia
Nani alikwambia tunawataka?
Sisi ni machogo hebu watuache...wenyewe ni zero chogo na zero ....ain
 
Nani alikwambia tunawataka?
Sisi ni machogo hebu watuache...wenyewe ni zero chogo na zero ....ain
Hivo vihelehele vyenu vya kupeleka majeshi zenji vya nini kama hamuwataki ? au unaandika hapa kwa kutumia matako yako bila kufikiri wapeni nchi yao waishii kivyao na vihelehele vya kujifanya nyie ndio walinzi wa hili litakataka liitwalo muungano muache.

Mnajifanya mnauchungu sana na hutu tu ardhi twa hovyo wanato pewa waarabu kunywa soup nyama zipo chini na bado vingi tu vitaendelea kupotea nyie si ndio mnajifanya wababe wa muungano siku mkishtuka hamna chenu🤡

Matanganyika mengi ni matahira na mendawazimu sijui yule mzee wenu aliwalisha mavi maana akili zenu ni za kipumbavu.
 
Hili la Bandari, kuna watu wameamini ni vita ya kidini na wengine labda ubaguzi. Je, Umewahi kusikia mwafrika mweusi akiingia U-arabu? Yaani akafanya sherehe na kutangazwa rasmi kwamba leo kawa mwarabu?

Yawezekana wa-Tangayika wengi wanaifahamu Z'bar ya pale mjini na hisia za wanasiasa kuwapiga vita waarabu kwa mapinduzi yao, na akina JK kumpiga vita Salim kwamba ni Hizbu! Lakini ukweli ni kwamba Wa-Zanzibari wengi wana udhaifu mkubwa kwa waarabu.

Hadi miaka ya 1980s nikliwa naishi Z'Bar Nilikuwa nashuhudia sherehe za waafrika wenzangu weusi kuingia Uarabu. Kigezo kikubwa ikiwa ni uwezo wa kifedha na hatimaye mtu anafanya sherehe ya kuwa mwarabu, bila kujali rangi ya ngozi yake.

Katika hali hiyo, Sioni ajabu Mtu aliyekulia mazingira ya aina hiyo, leo hii akijipeleka kutafuta urafiki na waarabu , na kufanya lolote la kushangaza raia wa nchi yake. Ilitokea Mwinyi (m-Zanzibari) akiwa rais, akauza Loliondo kwa waarabu. Amekuja Samia (m-Zanzibari) anauza Bandari kwa waarabu. Tunaoelewa tabia hii hatuoni ajabu. Sielewi kwa nini wanunuaji (waarabu) pia wanakuja mara wanapoona m-Zanzibari ni rais!
Zanzibar kuchele!
 
Hili la Bandari, kuna watu wameamini ni vita ya kidini na wengine labda ubaguzi. Je, Umewahi kusikia mwafrika mweusi akiingia U-arabu? Yaani akafanya sherehe na kutangazwa rasmi kwamba leo kawa mwarabu?

Yawezekana wa-Tangayika wengi wanaifahamu Z'bar ya pale mjini na hisia za wanasiasa kuwapiga vita waarabu kwa mapinduzi yao, na akina JK kumpiga vita Salim kwamba ni Hizbu! Lakini ukweli ni kwamba Wa-Zanzibari wengi wana udhaifu mkubwa kwa waarabu.

Hadi miaka ya 1980s nikliwa naishi Z'Bar Nilikuwa nashuhudia sherehe za waafrika wenzangu weusi kuingia Uarabu. Kigezo kikubwa ikiwa ni uwezo wa kifedha na hatimaye mtu anafanya sherehe ya kuwa mwarabu, bila kujali rangi ya ngozi yake.

Katika hali hiyo, Sioni ajabu Mtu aliyekulia mazingira ya aina hiyo, leo hii akijipeleka kutafuta urafiki na waarabu , na kufanya lolote la kushangaza raia wa nchi yake. Ilitokea Mwinyi (m-Zanzibari) akiwa rais, akauza Loliondo kwa waarabu. Amekuja Samia (m-Zanzibari) anauza Bandari kwa waarabu. Tunaoelewa tabia hii hatuoni ajabu. Sielewi kwa nini wanunuaji (waarabu) pia wanakuja mara wanapoona m-Zanzibari ni rais!
Kwenye hili swala la bandari, kuna maslahi binafsi mengi yanagongana,
Unaweza ukafikiri kabla ya huu mkataba wa kuwapa wawekezaji(wa Arab), bongo hakuna wawekezaji ambao wameishapewa taasisi zetu kuendesha,
Pale airport, na kwenye airport zote zingine,kuna kampuni inaitwa Swizport ndio Ina tender ya kuendesha airports zote nchini,kupakia na kushusha mizigo, Ila hatusikii kelele kuhusu huu mkataba, je hauna shida, au kuna mengine yaliyojificha?
 
Ndio akili zako zilivyo ...Ile bandari kapewa mfaransa naona unazunguka.


Kabla hapa bongo ilikuwa inaendeshwa na Tict sasa mbona hapo msemi🤣?

Kaangalie wenzenu wanavyojikuta wazungu kila mtu na mtawala wake mbona hatusemi wanaojifanya wazungu wakijui kingereza kidogo basi ,wanajikuta wazungu wana uhuru sana mpaka kuvaa vinguo vifupi kwa wadada.


Wangapi leo wanajifanya wazungu na kujifanya wameelimika kwa kufuata wazungu.

Zanzibar wana tamaduni zao hata za kwako wanaona za kishamba ...Kaa utulie kama ni mwanaume achana na tamaduni za watu.
 
Nani alikwambia tunawataka?
Sisi ni machogo hebu watuache...wenyewe ni zero chogo na zero ....ain
Wakuacheni au muwaache? Hivi si nyinyi munaong'ang'ania kwa kisingizio cha kuizuia Zanzbar na Wazanzibari kwa ujahidina?
 
Kwenye hili swala la bandari, kuna maslahi binafsi mengi yanagongana,
Unaweza ukafikiri kabla ya huu mkataba wa kuwapa wawekezaji(wa Arab), bongo hakuna wawekezaji ambao wameishapewa taasisi zetu kuendesha,
Pale airport, na kwenye airport zote zingine,kuna kampuni inaitwa Swizport ndio Ina tender ya kuendesha airports zote nchini,kupakia na kushusha mizigo, Ila hatusikii kelele kuhusu huu mkataba, je hauna shida, au kuna mengine yaliyojificha?
Et ana tender ya kuendesha Airport zote nchini acha bange na stori za vijiweni. Je Unafaham kuwa viwanja vya ndege vinaendeshwa na mamlaka za serikali?? Tuna TAA na KADCO kwa Kilimanjaro kule zenj wana ZAA. Swissport hii ni kampuni inayo handle ground operations kwa airlines walizoingia nazo mikataba na sio wao tu wapo na washindani wao wakubwa tu NAS na wengne wadogo like Equity aviation. Acha upotoshaji
 
... neno UZAWA au MZAWA linachukuliwa kirahisi sana; lina maana kubwa!
 
Hili la Bandari, kuna watu wameamini ni vita ya kidini na wengine labda ubaguzi. Je, Umewahi kusikia mwafrika mweusi akiingia U-arabu? Yaani akafanya sherehe na kutangazwa rasmi kwamba leo kawa mwarabu?

Yawezekana wa-Tangayika wengi wanaifahamu Z'bar ya pale mjini na hisia za wanasiasa kuwapiga vita waarabu kwa mapinduzi yao, na akina JK kumpiga vita Salim kwamba ni Hizbu! Lakini ukweli ni kwamba Wa-Zanzibari wengi wana udhaifu mkubwa kwa waarabu.

Hadi miaka ya 1980s nikliwa naishi Z'Bar Nilikuwa nashuhudia sherehe za waafrika wenzangu weusi kuingia Uarabu. Kigezo kikubwa ikiwa ni uwezo wa kifedha na hatimaye mtu anafanya sherehe ya kuwa mwarabu, bila kujali rangi ya ngozi yake.

Katika hali hiyo, Sioni ajabu Mtu aliyekulia mazingira ya aina hiyo, leo hii akijipeleka kutafuta urafiki na waarabu , na kufanya lolote la kushangaza raia wa nchi yake. Ilitokea Mwinyi (m-Zanzibari) akiwa rais, akauza Loliondo kwa waarabu. Amekuja Samia (m-Zanzibari) anauza Bandari kwa waarabu. Tunaoelewa tabia hii hatuoni ajabu. Sielewi kwa nini wanunuaji (waarabu) pia wanakuja mara wanapoona m-Zanzibari ni rais!
Kwanini unatumia sana warabu, kwanini usiangalie udhaifu wa katiba na kujuanazation na kama unaangalia uwarabu unajua who change economy ya malaysia na Indonesia n.k wacheni kulaumu tuangalie udhaifu uko wapi
 

Attachments

  • IMG_20230630_114520.jpg
    IMG_20230630_114520.jpg
    283.2 KB · Views: 4
Hadi miaka ya 1980s nikliwa naishi Z'Bar Nilikuwa nashuhudia sherehe za waafrika wenzangu weusi kuingia Uarabu. Kigezo kikubwa ikiwa ni uwezo wa kifedha na hatimaye mtu anafanya sherehe ya kuwa mwarabu, bila kujali rangi ya ngozi yake.
Ya kweli haya? Ikiwezekana tuwekee ushahidi.
 
Kwanini unatumia sana warabu, kwanini usiangalie udhaifu wa katiba na kujuanazation na kama unaangalia uwarabu unajua who change economy ya malaysia na Indonesia n.k wacheni kulaumu tuangalie udhaifu uko wapi
Hapo umebowa. Malaysia uchumi umeinuliwa na wachina na hadi leo hii uchumi wao umesikiliwa na China. Indonesia ni hao wachina ingawa iko chini ukiilinganisha na Malaysia. Ukiwa Malasia, bado unaona Indonesian wakitafuta kazi huko.
Mwarabu hajaendeleza nchi yoyote!
 
24 October 2023
Yala Masikini inasikika Malaysia, kipi kimekwenda kombo toka iwe nchi ya mfano hadi hali hii ya sasa


View: https://m.youtube.com/watch?v=x334q1MPIWM
What plans does the government have to replenish the pension fund? Is Malaysia facing a retirement timebomb?

  • 00:00 Introduction
  • 01:11 Why the need to withdraw pensions early?
  • 7:29 Malaysia’s depleted retirement savings
  • 10:41 Inflation and the rising cost of living
  • 13:43 One freelance worker's situation
  • 19:45 Was allowing early pension withdrawals the right move?
  • 23:33 A deeper problem: Malaysians not saving enough
  • 32:15 Can the EPF be replenished?
 
Hili la Bandari, kuna watu wameamini ni vita ya kidini na wengine labda ubaguzi. Je, Umewahi kusikia mwafrika mweusi akiingia U-arabu? Yaani akafanya sherehe na kutangazwa rasmi kwamba leo kawa mwarabu?

Yawezekana wa-Tangayika wengi wanaifahamu Z'bar ya pale mjini na hisia za wanasiasa kuwapiga vita waarabu kwa mapinduzi yao, na akina JK kumpiga vita Salim kwamba ni Hizbu! Lakini ukweli ni kwamba Wa-Zanzibari wengi wana udhaifu mkubwa kwa waarabu.

Hadi miaka ya 1980s nikliwa naishi Z'Bar Nilikuwa nashuhudia sherehe za waafrika wenzangu weusi kuingia Uarabu. Kigezo kikubwa ikiwa ni uwezo wa kifedha na hatimaye mtu anafanya sherehe ya kuwa mwarabu, bila kujali rangi ya ngozi yake.

Katika hali hiyo, Sioni ajabu Mtu aliyekulia mazingira ya aina hiyo, leo hii akijipeleka kutafuta urafiki na waarabu , na kufanya lolote la kushangaza raia wa nchi yake. Ilitokea Mwinyi (m-Zanzibari) akiwa rais, akauza Loliondo kwa waarabu. Amekuja Samia (m-Zanzibari) anauza Bandari kwa waarabu. Tunaoelewa tabia hii hatuoni ajabu. Sielewi kwa nini wanunuaji (waarabu) pia wanakuja mara wanapoona m-Zanzibari ni rais!
Chuki na roho mbaya vinakusumbua sana mkuu Zygot. DP World yupo India, UK na Belgium ina maana pote huko kuna marais wazenji kama alivyo Samia?.

Huu ujinga wako utapata wa kuuunga mkono humu jukwaani lakini ukiwaambia wafanyabiashara wanaojua mateso waliyokuwa wakiyapata pale TPA katika kuingiza na kutoa mizigo yao wanaweza kukuzaba makofi.
 
Back
Top Bottom