Bandari zetu; Nasikilizia lakini nauona udhaifu kwa wa-Zanzibari kwa waarabu

Bandari zetu; Nasikilizia lakini nauona udhaifu kwa wa-Zanzibari kwa waarabu

Hivo vihelehele vyenu vya kupeleka majeshi zenji vya nini kama hamuwataki ? au unaandika hapa kwa kutumia matako yako bila kufikiri wapeni nchi yao waishii kivyao na vihelehele vya kujifanya nyie ndio walinzi wa hili litakataka liitwalo muungano muache.

Mnajifanya mnauchungu sana na hutu tu ardhi twa hovyo wanato pewa waarabu kunywa soup nyama zipo chini na bado vingi tu vitaendelea kupotea nyie si ndio mnajifanya wababe wa muungano siku mkishtuka hamna chenu🤡

Matanganyika mengi ni matahira na mendawazimu sijui yule mzee wenu aliwalisha mavi maana akili zenu ni za kipumbavu.

..sasa hivi Wazanzibar ndio wameshika mpini.

..Amiri Jeshi Mkuu anatokea Zanzibar.

..kwa hiyo tunamtaka Samia Suluhu aturudishie TANGANYIKA yetu.
 
Chuki na roho mbaya vinakusumbua sana mkuu Zygot. DP World yupo India, UK na Belgium ina maana pote huko kuna marais wazenji kama alivyo Samia?.

Huu ujinga wako utapata wa kuuunga mkono humu jukwaani lakini ukiwaambia wafanyabiashara wanaojua mateso waliyokuwa wakiyapata pale TPA katika kuingiza na kutoa mizigo yao wanaweza kukuzaba makofi.
Ukweli wewe ndo mjinga! Hizo nchi ulizozitaja zina mkataba wa kitumwa kama huu uliotengenezwa na MZ'bari? Rais wa nchi anaweza kupitisha mkataba wa kizembe kama huo kama siyo uaminifu wa kitumwa kwa waarabu?
 
Ukweli wewe ndo mjinga! Hizo nchi ulizozitaja zina mkataba wa kitumwa kama huu uliotengenezwa na MZ'bari? Rais wa nchi anaweza kupitisha mkataba wa kizembe kama huo kama siyo uaminifu wa kitumwa kwa waarabu?
Mjinga ni wewe unayeongea kitu usichokijua. Mkataba ndio umesainiwa na utadumu mpaka 2053 huku ukipitiwa ufanisi wa mwekezaji kila baada ya miaka mitano.

Jitahidi utafute maarifa makubwa kuhusu masuala ya mikataba ili yakuongezee kitu fulani kichwani.
 
sherehe za waafrika wenzangu weusi kuingia Uarabu. Kigezo kikubwa ikiwa ni uwezo wa kifedha na hatimaye mtu anafanya sherehe ya kuwa mwarabu, bila kujali rangi ya ngozi yake.
Duh, aisee!
Kwa hiyo Mzanzibari kwa mwarabu ni kama mnyama pendwa kwa chatu !!
 
sherehe za waafrika wenzangu weusi kuingia Uarabu. Kigezo kikubwa ikiwa ni uwezo wa kifedha na hatimaye mtu anafanya sherehe ya kuwa mwarabu, bila kujali rangi ya ngozi yake.
Duh, aisee!
Kwa hiyo Mzanzibari kwa mwarabu ni kama mnyama pendwa kwa chatu !!
 
Back
Top Bottom