LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
Hii nchi ina utajiri mwingi sana ila wananchi wake ni masikini balaa. Mchina, mwarabu, mrusi na mzungu anatamani sana atapataje mali hizi kwa masikini, anatumia kila njia ikiwemo amani na vita. Njia ya amani ni hiyo mikataba ya kijuha, akiona hutaki amani anakupandikizia vita kwa kuunda vikundi vya waasi wenye itikadi kali za kidini, kikanda au kikabila mvurugane msiwe pamoja ili apore rasilimali kiurahisi. Taifa likiwa na wajinga wengi wasomi matokeo yake ni kugawa rasimali za nchi kama njugu kijuha