Ziende mikononi mwa waarabu wa dubai kama ilivyokua loliondo baada kuwahonga ccm na vigogo waliyokamata dola.Ziwatoke ziende wapi?
CCM wamejiapiza kwamba lazima wauze kila tulichonachoKesho ni hukumu.. Lakini lolote linaweza kutokea... Tuliombee sana taifa huru la Tanganyika
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na upendo aliumba vitu viwili, Dunia(ardhi) na mwanadamu.. Hivi viwili ndio vinabeba utukufu wake.. Cheza na vyote, chezea vyote lakini sio hivyo viwili
Madini tulishauza yote
Mbuga na maliasili nyinginezo tumeshagawa zote
Mafuta na gesi sio vyetu japo vipo juu ya ardhi yetu teule
Kuna ile migodi mitatu ya helium tuliyouza kwa dola milion mia sita tuu...!
Hatuna kingine kimebaki cha kuuza zaidi ya hizi bandari zetu.. Ndio pekee kilichosalia maana hata sisi wenyewe ni kama tumeuzwa tayari
Bandari zetu ni masalia kwenye tunu nyingi tulizokwisha gawa kwa wageni..Tuzilinde kwa jasho na damu. Kwa machozi na maumivu. Kwa kila hali kwa kila silaha kwa kila mbinu.. Bandari zetu zibaki
Mungu Ibariki Tanganyika.. Taifa huru linalogombaniwa kupokonywa hata kile kidogo kilichobaki
My apology nimeandika na stress
Waalaniwe walaanike mpaka makaburi yaoCCM wamejiapiza kwamba lazima wauze kila tulichonacho
🙏
Sijahangaika hata kuwajibu.. Ukishamuweka mtu kwenye kundi la wapuuzi imetoka iyo huhangaiki naye tena!....CHAWA Utawajua TU Kwa Kauli zao Humu, Mkuu ! Wasikupe shida. Waonee Huruma TU....!!
Kwa hivyo tujue tu wananunua kesi. Majaji watavunja heshima yao. Wazalendo wanajiandaa kukata rufaa mahakama ya rufaa.Kuna Jaji mzalendo jina kapuni, Amegoma kabisa kununuliwa. Tulia katumia kila njia kagoma. Samia katuma watu amegoma. Tusubirie ili tusivuruge kesi. Huyu Jaji mtamjua tu. Ni mzalendo wa hali ya juu. Vitisho vya Tulia na usalama havijamteteresha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unahangaika sana mtu mzima?!!! Mwanahisa wa TICS nini?!!!Kuna Jaji mzalendo jina kapuni, Amegoma kabisa kununuliwa. Tulia katumia kila njia kagoma. Samia katuma watu amegoma. Tusubirie ili tusivuruge kesi. Huyu Jaji mtamjua tu. Ni mzalendo wa hali ya juu. Vitisho vya Tulia na usalama havijamteteresha.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanafanya kila njia kujipenyeza TanganyikaKwa hivyo tujue tu wananunua kesi. Majaji watavunja heshima yao. Wazalendo wanajiandaa kukata rufaa mahakama ya rufaa.
Hakika tutashinda hauzi mtu bandari zetu uarabuni.
Hayaumejaza takataka tu!
Kesho ni hukumu.. Lakini lolote linaweza kutokea... Tuliombee sana taifa huru la Tanganyika
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na upendo aliumba vitu viwili, Dunia(ardhi) na mwanadamu.. Hivi viwili ndio vinabeba utukufu wake.. Cheza na vyote, chezea vyote lakini sio hivyo viwili
Madini tulishauza yote
Mbuga na maliasili nyinginezo tumeshagawa zote
Mafuta na gesi sio vyetu japo vipo juu ya ardhi yetu teule
Kuna ile migodi mitatu ya helium tuliyouza kwa dola milion mia sita tuu...!
Hatuna kingine kimebaki cha kuuza zaidi ya hizi bandari zetu.. Ndio pekee kilichosalia maana hata sisi wenyewe ni kama tumeuzwa tayari
Bandari zetu ni masalia kwenye tunu nyingi tulizokwisha gawa kwa wageni..Tuzilinde kwa jasho na damu. Kwa machozi na maumivu. Kwa kila hali kwa kila silaha kwa kila mbinu.. Bandari zetu zibaki
Mungu Ibariki Tanganyika.. Taifa huru linalogombaniwa kupokonywa hata kile kidogo kilichobaki
My apology nimeandika na stress
Mkuu kitendo cha Jaji mmoja kupata dharula, kumbe ni mbinu chafu na imeshaongelewa sana kwenye "supesi",kwamba ni rafu ambayo huchezwa na maJaji wa serikali wanapoona "hukumu" imeegemea upande wao.Kesho ni hukumu.. Lakini lolote linaweza kutokea... Tuliombee sana taifa huru la Tanganyika
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na upendo aliumba vitu viwili, Dunia(ardhi) na mwanadamu.. Hivi viwili ndio vinabeba utukufu wake.. Cheza na vyote, chezea vyote lakini sio hivyo viwili
Madini tulishauza yote
Mbuga na maliasili nyinginezo tumeshagawa zote
Mafuta na gesi sio vyetu japo vipo juu ya ardhi yetu teule
Kuna ile migodi mitatu ya helium tuliyouza kwa dola milion mia sita tuu...!
Hatuna kingine kimebaki cha kuuza zaidi ya hizi bandari zetu.. Ndio pekee kilichosalia maana hata sisi wenyewe ni kama tumeuzwa tayari
Bandari zetu ni masalia kwenye tunu nyingi tulizokwisha gawa kwa wageni..Tuzilinde kwa jasho na damu. Kwa machozi na maumivu. Kwa kila hali kwa kila silaha kwa kila mbinu.. Bandari zetu zibaki
Mungu Ibariki Tanganyika.. Taifa huru linalogombaniwa kupokonywa hata kile kidogo kilichobaki
My apology nimeandika na stress
Hukumu imeshaonesha imeegemea kwa "mlishi", sasa wanaenda kuuliza: ..."eti mkuu tuhukumu hivyo hivyo au tutamuudhi mama ...?"[emoji3064][emoji848][emoji2827]Mkuu kitendo cha Jaji mmoja kupata dharula, kumbe ni mbinu chafu na imeshaongelewa sana kwenye "supesi",kwamba ni rafu ambayo huchezwa na maJaji wa serikali wanapoona "hukumu" imeegemea upande wao.
Ni mbinu ambayo hutumika kutaka kuchezea hukumu ya haki ambayo haina maslahi kwao.
Kama "Jamhuri" ingelikuwa ndiye mlalamikaji na wanaenda kushinda, siku ya hukumu hauwezi kusikia eti Jaji ana udhuru ama dharula nk nk na mifano ikatolewa mingi tu!
Hukumu imeshaonesha imeegemea kwa "mlishi", sasa wanaenda kuuliza: ..."eti mkuu tuhukumu hivyo hivyo au tutamuudhi mama ...?"
Kama itakuwa ndiyo kweli mbinu hizo chafu zinachezwa, wewe unategemea nini cha maana hapo?
Na kuna viashiria kwa mfano, kuna "Siaijii" mwandamizi anayechukuliwa kama kioo cha jamii, kuweza kuweka maoni yaliyoegemea kutetea mkataba kabla ya hukumu, kuna cha maana hapo jamani?
Kumbe hapa Tz usitegemee usomi ama title ya mtu kuisaidia nchi hasa linapokuja suala la uchama na takataka zingine!
Kesho natabiri dana dana kuendelezwa kwa sura nyingine ama kutolewa hukumu ya aibu itakayoligawa Taifa.