Waacheni: "Nimeacha kusemasema kwa sababu waTz wanaojua zaidi ni wengi na wanaamini zaidi wanayoyajua.Mkuu kitendo cha Jaji mmoja kupata dharula, kumbe ni mbinu chafu na imeshaongelewa sana kwenye "supesi",kwamba ni rafu ambayo huchezwa na maJaji wa serikali wanapoona "hukumu" imeegemea upande wao.
Ni mbinu ambayo hutumika kutaka kuchezea hukumu ya haki ambayo haina maslahi kwao.
Kama "Jamhuri" ingelikuwa ndiye mlalamikaji na wanaenda kushinda, siku ya hukumu hauwezi kusikia eti Jaji ana udhuru ama dharula nk nk na mifano ikatolewa mingi tu!
Hukumu imeshaonesha imeegemea kwa "mlishi", sasa wanaenda kuuliza: ..."eti mkuu tuhukumu hivyo hivyo au tutamuudhi mama ...?"
Kama itakuwa ndiyo kweli mbinu hizo chafu zinachezwa, wewe unategemea nini cha maana hapo?
Na kuna viashiria kwa mfano, kuna "Siaijii" mwandamizi anayechukuliwa kama kioo cha jamii, kuweza kuweka maoni yaliyoegemea kutetea mkataba kabla ya hukumu, kuna cha maana hapo jamani?
Kumbe hapa Tz usitegemee usomi ama title ya mtu kuisaidia nchi hasa linapokuja suala la uchama na takataka zingine!
Kesho natabiri dana dana kuendelezwa kwa sura nyingine ama kutolewa hukumu ya aibu itakayoligawa Taifa.
Kusali tu hakutoshi lazima kuchukua hatua , nchi haikombolewi kwa kusali tu bali kwa kufanya maamuzi magumu! Watu ni lazima tujitoe muhanga kama sadaka nchi ikombolewe kwa faida ya vizazi vijavyo.Umeongea kwa hisia sana mkuu!
Ila usijali, kuna kitu kinaniambia kuwa bandari hazitachukuliwa.... hata vilivyochukuliwa kienyeji vitarudi.
Kwa imani yangu siachi kusali na kuliombea taifa langu.
Una sali? [emoji848]Umeongea kwa hisia sana mkuu!
Ila usijali, kuna kitu kinaniambia kuwa bandari hazitachukuliwa.... hata vilivyochukuliwa kienyeji vitarudi.
Kwa imani yangu siachi kusali na kuliombea taifa langu.
Kwenye hii Tanzania ya sasa [emoji848]itakuwa miujiza atokee mtu aache tumbo lake na njaaKuna Jaji mzalendo jina kapuni, Amegoma kabisa kununuliwa. Tulia katumia kila njia kagoma. Samia katuma watu amegoma. Tusubirie ili tusivuruge kesi. Huyu Jaji mtamjua tu. Ni mzalendo wa hali ya juu. Vitisho vya Tulia na usalama havijamteteresha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana
Mkuu nimeisoma sijaielewa!Waacheni: "Nimeacha kusemasema kwa sababu waTz wanaojua zaidi ni wengi na wanaamini zaidi wanayoyajua.
Katika Misc CrimCause no. 2/2023 kuna hoja ya Kamishina Jenerali wa Magereza wa sasa ambaye rekodi zipo alikufa 1993. Ukiwambia mkopo wa AbuDhabi ulikotoka wataelewa?"...MwalimuView attachment 2713107
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawakili wanaoshitaki wenyewe hawana hofu. Wewe hofu ya nini. Subiri hukumu. Iwe masika kuna nafasi ya kukata rufaa. Iwe kiangazi kuna nafasi ya kukata rufaa. Jiandae tu kwa lolote kati ya kushinda au kushindwa. Rufaa ni haki ya wote. Mguu sawaaa!Mkuu kitendo cha Jaji mmoja kupata dharula, kumbe ni mbinu chafu na imeshaongelewa sana kwenye "supesi",kwamba ni rafu ambayo huchezwa na maJaji wa serikali wanapoona "hukumu" imeegemea upande wao.
Ni mbinu ambayo hutumika kutaka kuchezea hukumu ya haki ambayo haina maslahi kwao.
Kama "Jamhuri" ingelikuwa ndiye mlalamikaji na wanaenda kushinda, siku ya hukumu hauwezi kusikia eti Jaji ana udhuru ama dharula nk nk na mifano ikatolewa mingi tu!
Hukumu imeshaonesha imeegemea kwa "mlishi", sasa wanaenda kuuliza: ..."eti mkuu tuhukumu hivyo hivyo au tutamuudhi mama ...?"
Kama itakuwa ndiyo kweli mbinu hizo chafu zinachezwa, wewe unategemea nini cha maana hapo?
Na kuna viashiria kwa mfano, kuna "Siaijii" mwandamizi anayechukuliwa kama kioo cha jamii, kuweza kuweka maoni yaliyoegemea kutetea mkataba kabla ya hukumu, kuna cha maana hapo jamani?
Kumbe hapa Tz usitegemee usomi ama title ya mtu kuisaidia nchi hasa linapokuja suala la uchama na takataka zingine!
Kesho natabiri dana dana kuendelezwa kwa sura nyingine ama kutolewa hukumu ya aibu itakayoligawa Taifa.
Yani hiki ni kituko cha karne! Subiri naichimbaMkuu nimeisoma sijaielewa!
Nimeigeuza geuza wee, lakini hola!
Kwamba huyu mjelajela #1 original kuna hukumu ilitoka kueleza kadanja?
Kesi ilihusu nini mkuu, embu tia tia nyama kdogo.
Kamanda naona unashusha vitisho si mchezo, tunakutegemea kuanzia kesho tukuone 'live', na si kuona maneno yako tu humu, ukituongoza katika kulianzisha kuelekea ikulu kumtoa Samia akae Mbowe au Tundu lissu!!Kusali tu hakutoshi lazima kuchukua hatua , nchi haikombolewi kwa kusali tu bali kwa kufanya maamuzi magumu! Watu ni lazima tujitoe muhanga kama sadaka nchi ikombolewe kwa faida ya vizazi vijavyo.
Hukumu itakayotolewa na mahakama kwa kukandamiza haki itachochea ukombozi wa nchi hii!
Nadhani muda si mrefu tutakuwa Niger! Mapinduzi ya wananchi! Sio Mbowe wala lissu wote ni hao hao !Kamanda naona unashusha vitisho si mchezo, tunakutegemea kuanzia kesho tukuone 'live', na si kuona maneno yako tu humu, ukituongoza katika kulianzisha kuelekea ikulu kumtoa Samia akae Mbowe au Tundu lissu!!
Hofu sina pia, ninajua ngoma hii ni mbichi, maana kila upande umeangalia hapo hapo.Mawakili wanaoshitaki wenyewe hawana hofu. Wewe hofu ya nini. Subiri hukumu. Iwe masika kuna nafasi ya kukata rufaa. Iwe kiangazi kuna nafasi ya kukata rufaa. Jiandae tu kwa lolote kati ya kushinda au kushindwa. Rufaa ni haki ya wote. Mguu sawaaa!
Hila ya Majaji mbona tuliigundua mapema sana tangu siku waliposema kuwa mmoja wao ana udhuru?Jaji Dunstan Ndunguru anasema Mahakama inakubaliana na hoja ya waleta maombi, kwamba ibara za IGA zimevunja sheria za ulinzi wa Rasilimali, kwa kupeleka migogoro nje ya nchi.Lakini anasema dosari hiyo haitatumika kutangaza IGA kuwa ni batili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hila ya Majaji mbona tuliigundua mapema sana tangu siku waliposema kuwa mmoja wao ana udhuru?
Na hayo tuliyaongea kabla ya hukumu, tuliyabashiri haya kwa usahihi kutokea na ndivyo ilivyokwenda.
KaribuMkuu Mshana Jr Nimekuja PM nimekuta Kufuli kubwa sana. Tafadhali nifungulie nina Jambo Binafsi
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app