BREAKING: Maandalizi yanaendelea Ngorongoro kwa sasa. Maafisa wa usalama wengi wamemwagwa. Wamo pia watu wanaosadikiwa kuwa ni wanajeshi wa kiarabu wanaofanya maandalizi ya kuja kwa mfalme wa Dubai. Samia anakuja kukutana na DP World Loliondo. #TanzaniaLeaks
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na upendo aliumba vitu viwili, Dunia (ardhi) na mwanadamu. Hivi viwili ndio vinabeba utukufu wake, heza na vyote, chezea vyote lakini sio hivyo viwili.