HahahaTupate ushuhuda kutoka kwa Maghayo The Mongolian Savage.
Ukisema tu haina madhara niitaiweka clip yako humu ukijamba kwa fujo na kutukana hovyo , naomba moderators wasiingilie hiyo show.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaTupate ushuhuda kutoka kwa Maghayo The Mongolian Savage.
Ukisema tu haina madhara niitaiweka clip yako humu ukijamba kwa fujo na kutukana hovyo , naomba moderators wasiingilie hiyo show.
BANGI INAONGEA....Bangi ni zao jema.
Cha kushangaza hapa kwetu inapigwa vita na Dola kwenye matumizi na uzalishaji wake.
Rwanda jirani yetu ameingiza $3.7 billion Kwa mwaka kutokana na zao hili.
Inashangaza tunaruhusu kilimo cha tumbaku ambayo ina madhara makubwa kuliko bangi na Kwa Sasa soko la sigara limeshuka na linakaribia kupotea kutokana na madhara yake na kwenye baadhi ya nchi sigara inapigwa marufuku.
Bangi ina faida kiafya inaimarisha afya ya moyo, Figo na mzunguko wa damu.
Bangi ina faida kiroho kwenye meditation, wahindi wanatumia bangi.
Bangi inafukuza wachawi na mapepo.
Nchi kubwa ulimwenguni kama USA, Canada, England, Russia n.k.
Tuna ardhi kubwa, nashauri hiyo Ngorongoro walipokuwa Masai serikali izalishe bangi iuze Kimataifa.
Tumezubaa kukata hela tunakomaa na tumbaku ambayo Kwa madhara yake haitakiwi, tulime bangi tukimbie umasikini
Bangi ni jani Mungu ameliumba kwa ajili ya watu wake( wenye kuimili) oxygen iko kila mahali bure na salama wasioweza wawekeze nguvu zao huko.Nilidhani utakuja na data au tafiti za kisayansi kuthibitisha madai haya, badala yake mada nzima imejaa hearsays na maoni binafsi. Sisi ambao jamaa na ndugu zetu wameanza kuvuta bangi tunawaona, na sasa ni vichaa na wasio na msaada kwa familia , hata kujitegemeza wenyewe hawawezi unataka tukueleweje? Nyie wavuta bangi ambao miili yenu ina tolerance ya kutosha kuwapatia akili za kujitambua kidogo muwe pia mnawafikiria ambao wameathirika kwa bangi
Wanavuta bangi chafuNilidhani utakuja na data au tafiti za kisayansi kuthibitisha madai haya, badala yake mada nzima imejaa hearsays na maoni binafsi. Sisi ambao jamaa na ndugu zetu wameanza kuvuta bangi tunawaona, na sasa ni vichaa na wasio na msaada kwa familia , hata kujitegemeza wenyewe hawawezi unataka tukueleweje? Nyie wavuta bangi ambao miili yenu ina tolerance ya kutosha kuwapatia akili za kujitambua kidogo muwe pia mnawafikiria ambao wameathirika kwa bangi
Vipi bado unapiga?Sijaona tatizo lolote la ganja nimeitumia kwa matumizi mbalimbali for more than 20 yrs.
I love it man!
Yeah man hapa nimpiga stick za kutoshaVipi bado unapiga?
nenda kaongee na dr mkuu wa milembe mkuu!!Bangi ni zao jema.
Cha kushangaza hapa kwetu inapigwa vita na Dola kwenye matumizi na uzalishaji wake.
Rwanda jirani yetu ameingiza $3.7 billion Kwa mwaka kutokana na zao hili.
Inashangaza tunaruhusu kilimo cha tumbaku ambayo ina madhara makubwa kuliko bangi na Kwa Sasa soko la sigara limeshuka na linakaribia kupotea kutokana na madhara yake na kwenye baadhi ya nchi sigara inapigwa marufuku.
Bangi ina faida kiafya inaimarisha afya ya moyo, Figo na mzunguko wa damu.
Bangi ina faida kiroho kwenye meditation, wahindi wanatumia bangi.
Bangi inafukuza wachawi na mapepo.
Nchi kubwa ulimwenguni kama USA, Canada, England, Russia n.k.
Tuna ardhi kubwa, nashauri hiyo Ngorongoro walipokuwa Masai serikali izalishe bangi iuze Kimataifa.
Tumezubaa kukata hela tunakomaa na tumbaku ambayo Kwa madhara yake haitakiwi, tulime bangi tukimbie umasikini
Haya mzeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yeah man hapa nimpiga stick za kutosha
And feel so good man!
He who alleges must prove .Wewe na yeye wote hamjaeleweka,
Maana hata wewe hujatupa data ya tafiti kuwa ni kivipi inasababisha ukichaa, Na ushahidi kuwa hao ndugu zako ukichaa wao ulisababishwa na bangi
Even you, Just prove itHe who alleges must prove .
MAWEED nisipoona koment yako hapa basi huu uzi ni batilii kabisaa🫡Bangi ni zao jema.
Cha kushangaza hapa kwetu inapigwa vita na Dola kwenye matumizi na uzalishaji wake.
Rwanda jirani yetu ameingiza $3.7 billion Kwa mwaka kutokana na zao hili.
Inashangaza tunaruhusu kilimo cha tumbaku ambayo ina madhara makubwa kuliko bangi na Kwa Sasa soko la sigara limeshuka na linakaribia kupotea kutokana na madhara yake na kwenye baadhi ya nchi sigara inapigwa marufuku.
Bangi ina faida kiafya inaimarisha afya ya moyo, Figo na mzunguko wa damu.
Bangi ina faida kiroho kwenye meditation, wahindi wanatumia bangi.
Bangi inafukuza wachawi na mapepo.
Nchi kubwa ulimwenguni kama USA, Canada, England, Russia n.k.
Tuna ardhi kubwa, nashauri hiyo Ngorongoro walipokuwa Masai serikali izalishe bangi iuze Kimataifa.
Tumezubaa kukata hela tunakomaa na tumbaku ambayo Kwa madhara yake haitakiwi, tulime bangi tukimbie umasikini
Mbona ashapita kitambo?MAWEED nisipoona koment yako hapa basi huu uzi ni batilii kabisaa🫡