Bangi ihalalishwe, Sheria zinazotumika kuhusu Bangi. Ziende kudhibiti Ushoga

Bangi ihalalishwe, Sheria zinazotumika kuhusu Bangi. Ziende kudhibiti Ushoga

Iruhusiwe bangi, pombe ipigwe ban.

pombe ina madhara kuliko bangi na inaua sana.

kuhusu ushoga, tupate kwanza chanzo cha tatizo lasivyo ni kazi bure
Kuna mitazamo mingi kuhusu chanzo cha ushoga, lakini kwa mujibu wa watafiti wa kisayansi, hakuna ushahidi wa kisayansi unaounga mkono wazo kwamba ushoga unaweza kuwa na chanzo cha kibiolojia au kisaikolojia fulani. Wataalamu wengi wanakubaliana kwamba ushoga ni ulimbukeni tu kutoka jamii moja kwenda jamii nyingine, Kwa hiyo sheria zikifuata mkondo wake hili tatizo litaisha kwa kiwango kikubwa.

. Bangi pamoja na Pombe ziendelee kutumika kama kawaida.
 
Kuna mitazamo mingi kuhusu chanzo cha ushoga, lakini kwa mujibu wa watafiti wa kisayansi, hakuna ushahidi wa kisayansi unaounga mkono wazo kwamba ushoga unaweza kuwa na chanzo cha kibiolojia au kisaikolojia fulani. Wataalamu wengi wanakubaliana kwamba ushoga ni ulimbukeni tu kutoka jamii moja kwenda jamii nyingine, Kwa hiyo sheria zikifuata mkondo wake hili tatizo litaisha kwa kiwango kikubwa.

. Bangi pamoja na Pombe ziendelee kutumika kama kawaida.
njoo inbox bas mtoto mzuri
 
Haki za binadamu, ni haki gani hizi ambazo zinaharibu nguvu kazi!!!. Ushoga na matumizi ya bangi kipi bora?, Kwa nini suala la ushoga Serikali imelikalia kimya?, je, Sheria za Tanzania kuhusu ushoga zinazemaje, vitendo vya ushoga ni kosa la jinai nchini Tanzania kama yalivyo makosa mengine. Sheria za Tanzania haziruhusu ushoga na hii imeainishwa katika Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16.( je sheria hii inafanya kazi hapa Tanzania?)

1. UTANGULIZI
• Ushoga ni hali ya kuwa na mapenzi au uhusiano wa kimapenzi kati ya watu wa jinsia moja. Neno hilo mara nyingi linahusiana na mapenzi ya kimapenzi na mahusiano ya kijinsia kati ya watu wa jinsia moja.

MADHARA YA USHOGA
• Maadili na miiko : Ushoga ni kinyume na imani zetu za kidini au maadili ya kitamaduni pamoja na miiko ya kitanzania.

• Upinzani wa Kijamii : mwelekeo wa ushoga kukabiliana na ubaguzi au upinzani wa kijamii kutoka kwa watu wengine, ikiwa ni pamoja na familia au marafiki.

• Unyanyapaa : Ushoga unasababisha unyanyapaa na ubaguzi, na hivyo kuwa na athari mbaya kwa afya ya akili na ustawi wa kijamii wa watu wanaojitambulisha na ushoga.

• Mazingira Hatarishi : Kwa sababu ya ubaguzi unaoweza kutokea, mashoga lazima watajikuta katika mazingira hatari au kujitenga kutoka kwa familia na jamii zao.

• Athari kwa Familia : kwamba mahusiano ya ushoga kuathiri muundo wa familia na kuleta changamoto kwa jinsi familia inavyopaswa kuendeshwa.

• Kuenea kwa Maradhi : Ushoga ni njia rahisi sana kuhusu usambazaji wa magonjwa, hasa virusi vya UKIMWI, Magonjwa ya INI, Kaswendwe na N.K.


• Kukosa nguvu kazi : Mtu akijihushisha na masuala ya ushoga, Kwa kadiri makundi ya mashoga yanavyoimarika katika nchi yoyote, ndivyo hivyo nchi inapungukiwa na uzao wa watoto.


•Sheria za Tanzania kuhusu ushoga zinazemaje, Kimsingi, vitendo vya ushoga ni kosa la jinai nchini Tanzania kama yalivyo makosa mengine. Sheria za Tanzania haziruhusu ushoga na hii imeainishwa katika Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16.


2. UTANGULIZI
• Matumizi ya bangi yamekuwa suala la mjadala duniani kote, na napendekeza kuangalia upya sera zetu kuhusu suala hili. Hoja hii inalenga kuchunguza faida za kuruhusu matumizi ya bangi kwa njia inayodhibitiwa na kuchangia mjadala wa kimataifa kuhusu suala hili.

• Muhtasari wa Hoja : Ninaamini kuruhusu matumizi ya bangi kunaweza kuwa na faida za kijamii, kiuchumi, na afya. Pamoja na udhibiti mzuri, tunaweza kufaidika kutokana na sekta hii na kupunguza athari mbaya zinazoweza kutokea.

• Athari za Kijamii : Kuruhusu matumizi ya bangi kunaweza kupunguza msongamano wa mahakama na magereza kwa kuondoa mashtaka yanayohusiana na bangi. Hii itawezesha mfumo wa sheria kuzingatia zaidi masuala mengine muhimu na kupunguza gharama za kuhifadhi wafungwa.

• Athari za Kiuchumi : Sekta ya bangi inaweza kutoa fursa za ajira na mapato ya kodi. Kupitia udhibiti wa serikali, tunaweza kuhakikisha kwamba mapato yanatumika kwa faida ya jamii, kama vile katika elimu na huduma za afya.

• Afya na Usalama : Kwa kudhibiti matumizi, tunaweza kupunguza athari za kiafya zinazohusiana na matumizi mabaya ya bangi. Mifano kutoka nchi zingine zinaonyesha kwamba matumizi yanaweza kusimamiwa vizuri na kutoa faida za matibabu.

• Sheria na Udhibiti : Ninaunga mkono mfumo wa sheria na udhibiti unaolenga kuhakikisha usalama wa umma na kuzuia matumizi mabaya. Kwa mfano, kuanzisha umri wa kisheria wa kununua na kutumia bangi na kudhibiti uzalishaji na usambazaji.

• Ushahidi wa Kuthibitisha : Uchunguzi wa kimataifa unaonyesha kwamba nchi zilizoruhusu matumizi ya bangi zimefaidika kiuchumi na kijamii. Pia, tafiti zinaonyesha kwamba mbinu za udhibiti zinaweza kupunguza matumizi mabaya na athari za kiafya.

• Kushughulikia Maswali na Wasiwasi : Tunapaswa kushughulikia maswali na wasiwasi kuhusu athari za kiafya, usalama barabarani, na athari kwa vijana. Kupitia elimu na mbinu madhubuti za udhibiti, tunaweza kupunguza hatari hizi.

• Hitimisho:
Kuruhusu matumizi ya bangi kwa njia inayodhibitiwa kutaleta manufaa kwa jamii yetu. Ni wakati wa kufikiria upya sera zetu na kuanzisha mfumo unaoweza kuleta faida na kudhibiti athari mbaya,
(a) Matumizi sahihi ya bangi yanaweza kutofautiana kulingana na muktadha wa kisheria na kiutamaduni wa eneo fulani. Hata hivyo, hapa kuna miongozo kadhaa ya jumla:-

• Matumizi ya Matibabu : Baadhi ya maeneo yanaruhusu matumizi ya bangi kwa madhumuni ya matibabu. Katika hali hizi, watu wanaweza kupata idhini kutoka kwa wataalamu wa afya na kutumia bangi kama sehemu ya matibabu kwa hali fulani.

• Matumizi ya Burudani Kulingana na Sheria : Katika nchi au majimbo ambayo yanaruhusu matumizi ya bangi kwa madhumuni ya burudani, watu wanapaswa kufuata sheria zinazohusiana na umri wa matumizi na kiasi kilichoruhusiwa.

• Matumizi Kwa Kuzingatia Afya ya Akili : Watu wanapaswa kuwa waangalifu na matumizi ya bangi na kuzingatia athari za afya ya akili. Kama ilivyo kwa vitu vyovyote, matumizi yanayofaa yanaweza kumaanisha matumizi ya wastani na yenye busara.

• Kuepuka Kuvuta Pamoja na Dawa Nyingine : Ni muhimu kuepuka kuchanganya bangi na dawa nyingine au pombe, kwani inaweza kuongeza hatari za athari mbaya.

• Kufuata Sheria za Usafiri : Watu wanapaswa kuzingatia sheria za usafiri zinazohusiana na matumizi ya bangi, hasa linapokuja suala la kuendesha gari au kufanya shughuli zinazohitaji umakini.


…… Kwa mfano, nchi kama Canada, Uruguay, na baadhi ya majimbo nchini Marekani zimeruhusu matumizi ya bangi kwa matumizi ya burudani au dawa kwa mujibu wa sheria zilizowekwa. Hakuna madai yaliyotolewa kuhusu nchi za Uruguay na Canada kutowapa watu wao afya ya akili.


(b) Nchini Tanzania, matumizi, umiliki, au uuzaji wa bangi ni kinyume cha sheria. Sheria za Tanzania haziruhusu matumizi au biashara ya dawa za kulevya, ikiwa ni pamoja na bangi. Kukiuka sheria hizi kunaweza kusababisha adhabu kali, ikiwa ni pamoja na kifungo.

Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Namba 5 ya Mwaka 2015 ya Tanzania inaeleza kwa kina juu ya udhibiti na adhabu kuhusiana na matumizi, biashara, na umiliki wa dawa za kulevya, ikiwemo bangi:-

• Ushiriki katika Shughuli za Dawa za Kulevya : Sheria inafanya kuwa kosa kushiriki katika uzalishaji, usambazaji, na biashara ya dawa za kulevya.

• Ukamataji na Adhabu : Sheria inaweka utaratibu wa ukamataji, uchunguzi, na adhabu kwa wale wanaohusika na dawa za kulevya. Adhabu inaweza kujumuisha faini kubwa au kifungo gerezani.

• Mali Inayohusiana na Dawa za Kulevya : Sheria inatoa mamlaka ya kuamuru kutaifisha mali zinazohusiana na uhalifu wa dawa za kulevya.

• Tiba na Kurekebisha : Sheria inatoa nafasi kwa watu wanaopatikana na hatia kutibiwa na kurekebishwa.

• Ulinzi wa Vyombo vya Usalama : Inatoa mamlaka kwa vyombo vya usalama kufanya uchunguzi na kuchukua hatua kudhibiti dawa za kulevya.



3. PENDEKEZO
Kufatitia sheria ya kupambana na dawa za kulevya(bangi) namba 5 ya mwaka 2015 ya Tanzania, pamoja na Sheria ya Tanzania kuhusu upingaji wa ushoga, katika Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16. Nashauri zibadilishwe ili ijikite zaidi katika upambanaji wa masuala ya USHOGA.
The best thread ever presented in the forum since the iconic JF social media started.

A nation will never ever prosper without the use of marijuana. Even the Palestinians if they want freedom all of them should seek weed smoking.

Legalise it NOW!

adriz
 
The best thread ever presented in the forum since the iconic JF social media started.

A nation will never ever prosper without the use of marijuana. Even the Palestinians if they want freedom all of them should seek weed smoking.

Legalise it NOW!

adriz
"You're very welcome. By reading my proposal, there are certain issues we've completely ignored, especially homosexuality. Neither the government nor community centers address it. Perhaps we fear not receiving foreign aid, similar to what happened to Yoeri Seven."
 
Wataalamu Wasema Bangi Haina Madhara
By T L January 15, 2024
NA MERCY CHELANGAT

MAMLAKA ya Kusimamia Vyakula na Dawa (FDA) imependekeza bangi kuorodheshwa upya kama dawa yenye kiwango cha chini cha madhara.

Hii ni baada ya wanasayansi kubaini kwamba bangi ina uwezo wa chini kutumiwa vibaya ikilinganishwa na dawa zingine za kulevya kama vile heroni.

Utafiti huo wa FDA, kamili kwa Kiingereza kama Food and Drug Administration, pia ulionyesha kuwa bangi ina kiwango cha chini kusababisha uzoefu kwa watumiaji wake.

FDA ni shirika lililoko chini ya Wizara ya Afya na Huduma kwa Binadamu, nchini Amerika.

Kwa sasa bangi imeorodheshwa kama dawa ya Kitengo cha Kwanza kinachosheheni dawa zenye kiwango cha juu zaidi cha kutumiwa vibaya na uwezo wa kusababisha watumiaji wake kushindwa kujitegemea kisaikolojia, au kimwili.

Watafiti hao wanataka bangi iwekwe katika Kitengo cha Tatu kinachosheheni uzoefu wa wastani hadi wa chini kimwili na kisaikolojia.

Mifano ya dawa za Kiwango cha Tatu ni: bidhaa zenye miligramu chini ya 90 kama vile Codeine kwa kila kipimo (Tylenol na Codeine), Ketamine, Steroids za Anabolic, na Testosterone.

Utafiti wa FDA pia umeainisha kiwango cha usaidizi wa Kisayansi bangi kutumika kwa minajili ya matibabu katika hospitali na kliniki kadha Amerika.

Aidha, bangi inaaminika kupunguza maumivu, kukabiliana na kero ya kutapika na kichefuchefu kinachotokana na matibabu ya Saratani – Chemotherapy, kulingana na watafiti.

Umauzi wa ikiwa bangi itaorodheshwa katika Kiwango cha Tatu, unasalia mikononi mwa Halmashauri ya Kimikakati Inayoshughulikia Masuala ya Dawa, ndiy Drug Enforcement Administration (DEA).

Nchini Kenya, bangi ni miongoni mwa dawa za kulevya zilizopigwa marufuku; kupandwa, kuuzwa na kutumika.

 
Wataalamu Wasema Bangi Haina Madhara
By T L January 15, 2024
NA MERCY CHELANGAT

MAMLAKA ya Kusimamia Vyakula na Dawa (FDA) imependekeza bangi kuorodheshwa upya kama dawa yenye kiwango cha chini cha madhara.

Hii ni baada ya wanasayansi kubaini kwamba bangi ina uwezo wa chini kutumiwa vibaya ikilinganishwa na dawa zingine za kulevya kama vile heroni.

Utafiti huo wa FDA, kamili kwa Kiingereza kama Food and Drug Administration, pia ulionyesha kuwa bangi ina kiwango cha chini kusababisha uzoefu kwa watumiaji wake.

FDA ni shirika lililoko chini ya Wizara ya Afya na Huduma kwa Binadamu, nchini Amerika.

Kwa sasa bangi imeorodheshwa kama dawa ya Kitengo cha Kwanza kinachosheheni dawa zenye kiwango cha juu zaidi cha kutumiwa vibaya na uwezo wa kusababisha watumiaji wake kushindwa kujitegemea kisaikolojia, au kimwili.

Watafiti hao wanataka bangi iwekwe katika Kitengo cha Tatu kinachosheheni uzoefu wa wastani hadi wa chini kimwili na kisaikolojia.

Mifano ya dawa za Kiwango cha Tatu ni: bidhaa zenye miligramu chini ya 90 kama vile Codeine kwa kila kipimo (Tylenol na Codeine), Ketamine, Steroids za Anabolic, na Testosterone.

Utafiti wa FDA pia umeainisha kiwango cha usaidizi wa Kisayansi bangi kutumika kwa minajili ya matibabu katika hospitali na kliniki kadha Amerika.

Aidha, bangi inaaminika kupunguza maumivu, kukabiliana na kero ya kutapika na kichefuchefu kinachotokana na matibabu ya Saratani – Chemotherapy, kulingana na watafiti.

Umauzi wa ikiwa bangi itaorodheshwa katika Kiwango cha Tatu, unasalia mikononi mwa Halmashauri ya Kimikakati Inayoshughulikia Masuala ya Dawa, ndiy Drug Enforcement Administration (DEA).

Nchini Kenya, bangi ni miongoni mwa dawa za kulevya zilizopigwa marufuku; kupandwa, kuuzwa na kutumika.


Wataalamu Wasema Bangi Haina Madhara
By T L January 15, 2024
NA MERCY CHELANGAT

MAMLAKA ya Kusimamia Vyakula na Dawa (FDA) imependekeza bangi kuorodheshwa upya kama dawa yenye kiwango cha chini cha madhara.

Hii ni baada ya wanasayansi kubaini kwamba bangi ina uwezo wa chini kutumiwa vibaya ikilinganishwa na dawa zingine za kulevya kama vile heroni.

Utafiti huo wa FDA, kamili kwa Kiingereza kama Food and Drug Administration, pia ulionyesha kuwa bangi ina kiwango cha chini kusababisha uzoefu kwa watumiaji wake.

FDA ni shirika lililoko chini ya Wizara ya Afya na Huduma kwa Binadamu, nchini Amerika.

Kwa sasa bangi imeorodheshwa kama dawa ya Kitengo cha Kwanza kinachosheheni dawa zenye kiwango cha juu zaidi cha kutumiwa vibaya na uwezo wa kusababisha watumiaji wake kushindwa kujitegemea kisaikolojia, au kimwili.

Watafiti hao wanataka bangi iwekwe katika Kitengo cha Tatu kinachosheheni uzoefu wa wastani hadi wa chini kimwili na kisaikolojia.

Mifano ya dawa za Kiwango cha Tatu ni: bidhaa zenye miligramu chini ya 90 kama vile Codeine kwa kila kipimo (Tylenol na Codeine), Ketamine, Steroids za Anabolic, na Testosterone.

Utafiti wa FDA pia umeainisha kiwango cha usaidizi wa Kisayansi bangi kutumika kwa minajili ya matibabu katika hospitali na kliniki kadha Amerika.

Aidha, bangi inaaminika kupunguza maumivu, kukabiliana na kero ya kutapika na kichefuchefu kinachotokana na matibabu ya Saratani – Chemotherapy, kulingana na watafiti.

Umauzi wa ikiwa bangi itaorodheshwa katika Kiwango cha Tatu, unasalia mikononi mwa Halmashauri ya Kimikakati Inayoshughulikia Masuala ya Dawa, ndiy Drug Enforcement Administration (DEA).

Nchini Kenya, bangi ni miongoni mwa dawa za kulevya zilizopigwa marufuku; kupandwa, kuuzwa na kutumika.

Sioni haja ya kupiga marufuku bangi, kuna mataifa mengi tu, bangi inatumika, lakini akili zao zipo vizuri tu, bila shida,
 
Haki za binadamu, ni haki gani hizi ambazo zinaharibu nguvu kazi!!!. Ushoga na matumizi ya bangi kipi bora?, Kwa nini suala la ushoga Serikali imelikalia kimya?, je, Sheria za Tanzania kuhusu ushoga zinazemaje, vitendo vya ushoga ni kosa la jinai nchini Tanzania kama yalivyo makosa mengine. Sheria za Tanzania haziruhusu ushoga na hii imeainishwa katika Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16.( je sheria hii inafanya kazi hapa Tanzania?)

1. UTANGULIZI
• Ushoga ni hali ya kuwa na mapenzi au uhusiano wa kimapenzi kati ya watu wa jinsia moja. Neno hilo mara nyingi linahusiana na mapenzi ya kimapenzi na mahusiano ya kijinsia kati ya watu wa jinsia moja.

MADHARA YA USHOGA
• Maadili na miiko : Ushoga ni kinyume na imani zetu za kidini au maadili ya kitamaduni pamoja na miiko ya kitanzania.

• Upinzani wa Kijamii : mwelekeo wa ushoga kukabiliana na ubaguzi au upinzani wa kijamii kutoka kwa watu wengine, ikiwa ni pamoja na familia au marafiki.

• Unyanyapaa : Ushoga unasababisha unyanyapaa na ubaguzi, na hivyo kuwa na athari mbaya kwa afya ya akili na ustawi wa kijamii wa watu wanaojitambulisha na ushoga.

• Mazingira Hatarishi : Kwa sababu ya ubaguzi unaoweza kutokea, mashoga lazima watajikuta katika mazingira hatari au kujitenga kutoka kwa familia na jamii zao.

• Athari kwa Familia : kwamba mahusiano ya ushoga kuathiri muundo wa familia na kuleta changamoto kwa jinsi familia inavyopaswa kuendeshwa.

• Kuenea kwa Maradhi : Ushoga ni njia rahisi sana kuhusu usambazaji wa magonjwa, hasa virusi vya UKIMWI, Magonjwa ya INI, Kaswendwe na N.K.


• Kukosa nguvu kazi : Mtu akijihushisha na masuala ya ushoga, Kwa kadiri makundi ya mashoga yanavyoimarika katika nchi yoyote, ndivyo hivyo nchi inapungukiwa na uzao wa watoto.


•Sheria za Tanzania kuhusu ushoga zinazemaje, Kimsingi, vitendo vya ushoga ni kosa la jinai nchini Tanzania kama yalivyo makosa mengine. Sheria za Tanzania haziruhusu ushoga na hii imeainishwa katika Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16.


2. UTANGULIZI
• Matumizi ya bangi yamekuwa suala la mjadala duniani kote, na napendekeza kuangalia upya sera zetu kuhusu suala hili. Hoja hii inalenga kuchunguza faida za kuruhusu matumizi ya bangi kwa njia inayodhibitiwa na kuchangia mjadala wa kimataifa kuhusu suala hili.

• Muhtasari wa Hoja : Ninaamini kuruhusu matumizi ya bangi kunaweza kuwa na faida za kijamii, kiuchumi, na afya. Pamoja na udhibiti mzuri, tunaweza kufaidika kutokana na sekta hii na kupunguza athari mbaya zinazoweza kutokea.

• Athari za Kijamii : Kuruhusu matumizi ya bangi kunaweza kupunguza msongamano wa mahakama na magereza kwa kuondoa mashtaka yanayohusiana na bangi. Hii itawezesha mfumo wa sheria kuzingatia zaidi masuala mengine muhimu na kupunguza gharama za kuhifadhi wafungwa.

• Athari za Kiuchumi : Sekta ya bangi inaweza kutoa fursa za ajira na mapato ya kodi. Kupitia udhibiti wa serikali, tunaweza kuhakikisha kwamba mapato yanatumika kwa faida ya jamii, kama vile katika elimu na huduma za afya.

• Afya na Usalama : Kwa kudhibiti matumizi, tunaweza kupunguza athari za kiafya zinazohusiana na matumizi mabaya ya bangi. Mifano kutoka nchi zingine zinaonyesha kwamba matumizi yanaweza kusimamiwa vizuri na kutoa faida za matibabu.

• Sheria na Udhibiti : Ninaunga mkono mfumo wa sheria na udhibiti unaolenga kuhakikisha usalama wa umma na kuzuia matumizi mabaya. Kwa mfano, kuanzisha umri wa kisheria wa kununua na kutumia bangi na kudhibiti uzalishaji na usambazaji.

• Ushahidi wa Kuthibitisha : Uchunguzi wa kimataifa unaonyesha kwamba nchi zilizoruhusu matumizi ya bangi zimefaidika kiuchumi na kijamii. Pia, tafiti zinaonyesha kwamba mbinu za udhibiti zinaweza kupunguza matumizi mabaya na athari za kiafya.

• Kushughulikia Maswali na Wasiwasi : Tunapaswa kushughulikia maswali na wasiwasi kuhusu athari za kiafya, usalama barabarani, na athari kwa vijana. Kupitia elimu na mbinu madhubuti za udhibiti, tunaweza kupunguza hatari hizi.

• Hitimisho:
Kuruhusu matumizi ya bangi kwa njia inayodhibitiwa kutaleta manufaa kwa jamii yetu. Ni wakati wa kufikiria upya sera zetu na kuanzisha mfumo unaoweza kuleta faida na kudhibiti athari mbaya,
(a) Matumizi sahihi ya bangi yanaweza kutofautiana kulingana na muktadha wa kisheria na kiutamaduni wa eneo fulani. Hata hivyo, hapa kuna miongozo kadhaa ya jumla:-

• Matumizi ya Matibabu : Baadhi ya maeneo yanaruhusu matumizi ya bangi kwa madhumuni ya matibabu. Katika hali hizi, watu wanaweza kupata idhini kutoka kwa wataalamu wa afya na kutumia bangi kama sehemu ya matibabu kwa hali fulani.

• Matumizi ya Burudani Kulingana na Sheria : Katika nchi au majimbo ambayo yanaruhusu matumizi ya bangi kwa madhumuni ya burudani, watu wanapaswa kufuata sheria zinazohusiana na umri wa matumizi na kiasi kilichoruhusiwa.

• Matumizi Kwa Kuzingatia Afya ya Akili : Watu wanapaswa kuwa waangalifu na matumizi ya bangi na kuzingatia athari za afya ya akili. Kama ilivyo kwa vitu vyovyote, matumizi yanayofaa yanaweza kumaanisha matumizi ya wastani na yenye busara.

• Kuepuka Kuvuta Pamoja na Dawa Nyingine : Ni muhimu kuepuka kuchanganya bangi na dawa nyingine au pombe, kwani inaweza kuongeza hatari za athari mbaya.

• Kufuata Sheria za Usafiri : Watu wanapaswa kuzingatia sheria za usafiri zinazohusiana na matumizi ya bangi, hasa linapokuja suala la kuendesha gari au kufanya shughuli zinazohitaji umakini.


…… Kwa mfano, nchi kama Canada, Uruguay, na baadhi ya majimbo nchini Marekani zimeruhusu matumizi ya bangi kwa matumizi ya burudani au dawa kwa mujibu wa sheria zilizowekwa. Hakuna madai yaliyotolewa kuhusu nchi za Uruguay na Canada kutowapa watu wao afya ya akili.


(b) Nchini Tanzania, matumizi, umiliki, au uuzaji wa bangi ni kinyume cha sheria. Sheria za Tanzania haziruhusu matumizi au biashara ya dawa za kulevya, ikiwa ni pamoja na bangi. Kukiuka sheria hizi kunaweza kusababisha adhabu kali, ikiwa ni pamoja na kifungo.

Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Namba 5 ya Mwaka 2015 ya Tanzania inaeleza kwa kina juu ya udhibiti na adhabu kuhusiana na matumizi, biashara, na umiliki wa dawa za kulevya, ikiwemo bangi:-

• Ushiriki katika Shughuli za Dawa za Kulevya : Sheria inafanya kuwa kosa kushiriki katika uzalishaji, usambazaji, na biashara ya dawa za kulevya.

• Ukamataji na Adhabu : Sheria inaweka utaratibu wa ukamataji, uchunguzi, na adhabu kwa wale wanaohusika na dawa za kulevya. Adhabu inaweza kujumuisha faini kubwa au kifungo gerezani.

• Mali Inayohusiana na Dawa za Kulevya : Sheria inatoa mamlaka ya kuamuru kutaifisha mali zinazohusiana na uhalifu wa dawa za kulevya.

• Tiba na Kurekebisha : Sheria inatoa nafasi kwa watu wanaopatikana na hatia kutibiwa na kurekebishwa.

• Ulinzi wa Vyombo vya Usalama : Inatoa mamlaka kwa vyombo vya usalama kufanya uchunguzi na kuchukua hatua kudhibiti dawa za kulevya.



3. PENDEKEZO
Kufatitia sheria ya kupambana na dawa za kulevya(bangi) namba 5 ya mwaka 2015 ya Tanzania, pamoja na Sheria ya Tanzania kuhusu upingaji wa ushoga, katika Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16. Nashauri zibadilishwe ili ijikite zaidi katika upambanaji wa masuala ya USHOGA.
Na wewe umekosa kazi kwelikweli, tafuta pesa kweye kila familia kuna mtu shoga sema tu watu wanafanya kwa siri sana. So, usiteseke waombee watoto wako wasiingie kwa hii imani,. Tumia nguvu kutetea masikini, yatima na wajane wanaodhulumiwa haki zao utakuwa unefanya jambo la maana sana mbele za Mungu. Alaf neno la Mungu linasema "USIHUKUMU USIJE UKAHUKUMIWA KWA HUKUMU HIYOHIYO"

Mara nyingi hawa wanaojidaigi wana harakati wa hizi mambo ndio wafanyaji wakubwa, wanajidai kusemasema ili jamii iwaamini kumbe ndio watu wakubwa wa mambo haya.

Hilo andiko ungeandika kwa ajili ya proposal ya kuwakomboa n kuwawasaidia watu waliopata maafa ungefanya jambo la maana sana na ulimwengu ungekutambua.

Usitumie nguvu nyingi kwenye haya mambo, muache Mungu mwenyewe ahukumu. Ukiona unaumia sana, kunywa sumu uikimbie dunia maana kila siku wanaongezeka
 
Na wewe umekosa kazi kwelikweli, tafuta pesa kweye kila familia kuna mtu shoga sema tu watu wanafanya kwa siri sana. So, usiteseke waombee watoto wako wasiingie kwa hii imani,. Tumia nguvu kutetea masikini, yatima na wajane wanaodhulumiwa haki zao utakuwa unefanya jambo la maana sana mbele za Mungu. Alaf neno la Mungu linasema "USIHUKUMU USIJE UKAHUKUMIWA KWA HUKUMU HIYOHIYO"

Mara nyingi hawa wanaojidaigi wana harakati wa hizi mambo ndio wafanyaji wakubwa, wanajidai kusemasema ili jamii iwaamini kumbe ndio watu wakubwa wa mambo haya.

Hilo andiko ungeandika kwa ajili ya proposal ya kuwakomboa n kuwawasaidia watu waliopata maafa ungefanya jambo la maana sana na ulimwengu ungekutambua.

Usitumie nguvu nyingi kwenye haya mambo, muache Mungu mwenyewe ahukumu. Ukiona unaumia sana, kunywa sumu uikimbie dunia maana kila siku wanaongezeka
. 😢, mbona kama umekasirika mkuu, tatizo ni nini?

. Unasema niandike proposal ya maafa, kwani ushoga siyo maafa?

. Natumia nguvu kupinga ushoga kiaje?

. Au unaogopa hizo sheria sikumoja zikija kufanya kazi itakuwa tatizo upande wa jirani?
 
Back
Top Bottom