Bangi...


...lol msubaa...
 
YANI MDOGO MDOGO mpaka utaipenda cse haitaki makuzi,ukishavuta kula matunda utaskia raha yake,usivutie chooni au ukaituma vuta kama starehe kama unakunywa bia au soda,bangi nzuri ya river unaangalia maji ya kimimi nika achaaaaaaaaaaaaaaa

dizaini kama kafika paradise...matatizo yote yanapotea akilini...acha kabisa!
 
YANI MDOGO MDOGO mpaka utaipenda cse haitaki makuzi,ukishavuta kula matunda utaskia raha yake,usivutie chooni au ukaituma vuta kama starehe kama unakunywa bia au soda,bangi nzuri ya river unaangalia maji ya kimimi nika achaaaaaaaaaaaaaaa

Sasa hapo ndo pagumu, ntakuwa najificha wapi??? Huku kwetu hakuna hata uchochoro nyumba zimesongamana hakuna mfano!!!
 
Japokuwa Mimi sio mvutaji, ila nilifuatilia documentary ya dr Sunjay Gupta wa cnn hiyo makitu haina madhara kivile Kama tunavyo lazimishwa kuamini Ina faida nyingi kuliko hasara, ukilinganisha na sigara.
 
kuna nchi kule imeruhusu waonaje tukenda huko...
 

Ongea na mimi mzuri. Naeza nikakuunganishia mradi. Upate rolls kadhaa!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…