CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
- Thread starter
-
- #81
YANI MDOGO MDOGO mpaka utaipenda cse haitaki makuzi,ukishavuta kula matunda utaskia raha yake,usivutie chooni au ukaituma vuta kama starehe kama unakunywa bia au soda,bangi nzuri ya river unaangalia maji ya kimimi nika achaaaaaaaaaaaaaaaNtavuta kidogo kidogo aisee... Ila si ntazoea eeeh!!
Pili, nilijifunza kuwa kuna hoja nzito na za kisayansi za kutetea matumizi ya bangi; na kwa upande mwingine wa shilingi, hoja nyingi za kupinga bangi hazina mashiko katika sayansi ya tiba.
Ndiyo maana sikushangaa pale Bunge (la chini) la Uruguay (Congress) lilipopitisha muswaada kuhalalisha bangi; na naamini Bunge la juu (Senate) pia litaafiki ifikapo Oktoba, mwaka huu.
Uruguay itakuwa imeungana na majimbo ya Washington na Colorado ya Marekani yaliyotangulia kuhalalisha bangi kama kiburudisho kwa watu wazima. Pia, majimbo 17 ya Marekani yamelegeza sheria dhidi ya bangi kwa kuruhusu kutumika kama dawa.
Msuba, hashish, hemp, marijuana, cannabis, reefer, hash, pot, sigara pori ni machache kati ya majina mbadala (a.k.a) ya mmea bangi, unaosadikika asili yake ni Asia ya Kati na umekuwa ukitumika kwa miaka kati ya 3,000 5,000 iliyopita.
[FONT=Verdana, Geneva, Arial, Bitstream Vera Sans, DejaVu Sans, Meiryo, Hiragino Kaku Gothic Pro, MS PGothic, Osaka, sans-serif]hii nime nukuu na kuja na hoja zangu[/FONT]
YANI MDOGO MDOGO mpaka utaipenda cse haitaki makuzi,ukishavuta kula matunda utaskia raha yake,usivutie chooni au ukaituma vuta kama starehe kama unakunywa bia au soda,bangi nzuri ya river unaangalia maji ya kimimi nika achaaaaaaaaaaaaaaa
YANI MDOGO MDOGO mpaka utaipenda cse haitaki makuzi,ukishavuta kula matunda utaskia raha yake,usivutie chooni au ukaituma vuta kama starehe kama unakunywa bia au soda,bangi nzuri ya river unaangalia maji ya kimimi nika achaaaaaaaaaaaaaaa
Mbona unachelewa sisy... Kula kitu roho inapenda!!!
we tuma tu maana mdogo angu kobun anashida nao
​hahahaaa!!kulikoni?!1aiseeeeee
hahaha duh...izo sio isia za kayaaaakivuta mi napenda swga ake tu....
anaimba nyimbo ya Michael Bolton mwanzo mwisho
hakuna mito asee ukale river sidesasa hapo ndo pagumu, ntakuwa najificha wapi??? Huku kwetu hakuna hata uchochoro nyumba zimesongamana hakuna mfano!!!
ArushaWing mkija Mza naomba msisahau kuniletea kitu ya Arachuga! Nasikia ni poa kinya... kinyama!!
C.C. Arushaone, Preta, Tonypk, PakaJimmy, Lady doctor na wote.mtaokuja!!!!
Ongea na mimi mzuri. Naeza nikakuunganishia mradi. Upate rolls kadhaa!
Israel vibration right..!!?
mzigo mbona mchelemchele kaniambia sio mzuri
nishatuma nasubiri jibu
kama hatoona mchele mchele basi
nitamuongezea hahaa!!