kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 5,651
- 6,966
Ninayo since 2008. Niliiona Kwa mara ya kwanza nikaipenda ninayo mpaka leo.Fasheni,uchawi,kuiga vyote vipo ila mimi navaa kama fasheni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninayo since 2008. Niliiona Kwa mara ya kwanza nikaipenda ninayo mpaka leo.Fasheni,uchawi,kuiga vyote vipo ila mimi navaa kama fasheni
Kwahiyo wewe hata nguo huvaiMwili wangu haukubaliani na bidhaa yoyote ya fasion sio hayo makorokoro, cheni, saa, miwani, wallet, sio mafuta wala lotion na kofia, abadani vitu hivyo mwilini kwangu havikai kabisa
Hizo zimebeba ujumbe mzito sana,zingine ni za mauchawi,au mizimu.Jiulize inawezekana vipi binti mrembo akavaa machuma,au mama mtu mzima,kuna ashioni gani hapo,au wazee walioenda umri,Nimekutana na watu wengi sana wakiwa na hizi bangili sio wazee tu Hadi vijana.
Je huo ni ulozi? Au kujikinga na mabaya? Wanaovaa wengi ni wafanyabiashara.
View attachment 2547420
View attachment 2547420
View attachment 2547422
Sasa nguo inahusiana vp na vifaa vya uremboKwahiyo wewe hata nguo huvai
Ukweli umenenaWengi wanavaa kiutamaduni (kiasili).
Sio fashion wala urembo!
Swali lako la pili ni ndio jibu lake believe me! Bangili hilo usifananishe na zile so called "culture".
Lya bhatale ( masamva)[emoji23][emoji23][emoji23]Litendele/matendele
Lya bhatale ( masamva)[emoji23][emoji23][emoji23]
Rudia kusoma ulichoandika... Hunazungumzia swala la urembo, umesema fashionSasa nguo inahusiana vp na vifaa vya urembo
Mkuu...!!!Inanogesha tendo la ndoa humwagi haraka
Aisee...Watu wengi waliopata stroke wanavaa hizo. Au watu wenye pressure ya kupanda wanasema nasaidia kutopata stroke.
Binafsi niliwahi kuvaa kwa miezi kadhaa maana nilikuwa nishaanza kupata ganzi ya mdomo.
Angalia Google utapata majibu. Wazungu pia wanazitumia kwa watu wenye matatizo ya arthritis View attachment 2547936
Duh..Pande zote, fashion na ulozi...
Unaaibisha wachaga wenzio.kwa sisi wachaga wa kibosho hiyo bangili inavaliwa badala ya kipande cha ngozi ya mbuzi wa mila/matambiko aliyechinjwa ili kuwapa mababu waliotangulia chakula wafanye mambo yaende sawa kwenye kutafuta mkate wa kila siku.
Nishatafuta sana bangili kama hizo maana Nina shida nazo kinoma, hivi Wamasai ndo wanayauza?Wengi wenye bangili rangi ya shaba huwa ni kwa ajili ya mambo ya kimila km tambiko, mizimu nk. Watu wa namna hiyo utakuta wamewahi kusumbuliwa na mambo ya kwao ya kiasili (Mila). Kwa hiyo kuvaa hayo ni kumsaidia mvaaji asindelee kuteswa na mambo ya kwao ya asili km mizimu nk.