Bangili hii ni Fashion au ni ulozi?

Bangili hii ni Fashion au ni ulozi?

Wengi wenye bangili rangi ya shaba huwa ni kwa ajili ya mambo ya kimila km tambiko, mizimu nk. Watu wa namna hiyo utakuta wamewahi kusumbuliwa na mambo ya kwao ya kiasili (Mila). Kwa hiyo kuvaa hayo ni kumsaidia mvaaji asindelee kuteswa na mambo ya kwao ya asili km mizimu nk.
Aisee..
 
Back
Top Bottom