Pre GE2025 Bango alilotoa Makonda linamhusu mnazi wa Mtama, Lindi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huu muungano wa ovyo kabisa , Tanganyika tunahishi bila kiongozi yoyote lakini Zanzibar inatoa maraisi wawili , mkoa wa Zanzibar ukapate mgao wa asilimia 20,
Tanganyika tutabaki kubwa jinga
 
Ajifunze kwanza alivyokuwa anamnyanyasa Chongolo wakati yeye ni RC dsm
 
Dongo lake mwenyewe maana alimwambia aliyekuwa boss wake Bw. Chongolo awe na adabu kipindi yeye ni RC. Ila Bw. Chongolo hakuwahi kulipa kisasi hata alipopata Ukatibu bado alisema sifa za ujenzi wa ofisi za chama DSM apewe Makonda.
Tenda wema nenda zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…