Uchaguzi 2020 Bango la Magufuli limenishangaza sana

Uchaguzi 2020 Bango la Magufuli limenishangaza sana

Mfalme juha hajawai kuambiwa ukweli...
Inabidi azungukwe zungukwe kama hivyo...!!
Siku akikaa pembeni ndo utasikia yote...!
ccm si watu wale...
 
Kuna bango moja la mgombea wa kiti cha Urais, Mh. Magufuli linasema eti Magufuli ni mnyenyekevu!

Nilipoliona bango hili, nikashtuka sana. Nikajiuliza maswali mengi:

1) Ni Magufuli mwenyewe amehiari kuwepo kwa bango la namna hiyo?

2) Kuna watu fulani wameamua kutengeneza bango hilo, labda kwa kumdhihaki Magufuli?

3) Au Magufuli amewaeleza kuwa endapo akichaguliwa safari hii anataka awe mnyenyekevu?

Kuwa 'mnyenyekevu' au kwa kiingereza kuwa 'humble', tafsi yake:

Unyekenyekevu hutokana na neno kunyenyekea. Anayenyenyekea huitwa mnyenyekevu. Kama Magufuli ni mnyenyekevu, ni lazima tujiulize, huwa anamnyenyekea nani?

Kunyenyekea ni kujishusha. Kunyenyekea ni kuamini wewe si kitu mbele ya yule unayemnyenyekea. Kunyenyekea ni kuonesha kuwa ama wewe ni duni mbele ya yule unayemnyenyekea au zaidi ni kuwa upo sawa na yule unayemnyenyekea.

Kunyenyekea maana yake ni kuwa msikivu. Kunyenyekea ni kuwa tayari kupokea ushauri, maelekezo na matakwa ya unaowanyenyekea.

Sasa tujiulize, hivi kweli Rais Magufuli anazo hizi sifa? Bila ya kutafuta majibu toka kwa watu wengine, nina hakika Magufuli hatakuwa amependezwa na bango linalosema yeye ni mnyenyekevu maana mara kadhaa kwa kauli yake na kwa matendo yake amekataa kabisa kuitwa "mnyenyekevu".

Rais Magufuli amewahi kutamka yafuatayo:

1) Mimi sibadilishwi na yeyote, mimi jiwe. Maana yake yeye hapokei ushauri wala maelekezo kutoka kwa yeyote

2) Mimi ukinishauri, ndiyo umeharibu kabisa, maana sitafanya unachonishauri

3) Wewe Mpina ni kichaa mwenzangu, endelea hivyo hivyo

Mtu mnyenyekevu, ni mtu mwenye huruma, kwa sababu anaamini kuwa wale anaowanyenyekea wanastahili kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao.

Mara kadhaa Rais Magufuli amefisha utu wa watu wengine na kuwaonesha kuwa ni takataka mbele yake. Baadhi ya kauli na matendo yake:

1) Huyu Kabudi na Mpango, hawawaambii tu, nilikwishawaambia ni mapumbavu mara nyingi tu

2) Huko Marekani ulikokuwa ulikiwa unafanya upumbavu huu (aliambiwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tunduru)

3) Kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, nitahakikisha wataishi kama mashetani (anapenda watu wateseke. Wala hakusema kuwa kuna watu wanaishi kama mashetani, nataka nao waishi kama malaika. Yeye anapenda watu wapate taabu)

4) Kwenye utawala wangu, tajiri anaweza kufanywa chochote wakati wowote (maana yake anaweza kumwonea mtu kwa sababu tu ni tajiri. Yaani kuonesha kuwa yeye ni bora kuliko watu wote kiasi cha kuweza kumfanya mtu chochote bila ya kujali mtu huyo ana kosa au hana kosa)

5) Wa Mwanza msiwabomolee nyumba zao kwa sababu walinipa kura nyingi (kama hukumpa kura, ina maana ni halali kubomolewa nyumba yako. Haamini kuwa kuna mtu mwingine yeyote mwenye haki sawa na ya kwake ya kuweza kupigiwa kura)

6) Kamdai maji mbunge wako uliyemchagua au mume wako (alitamka Tunduma dhidi ya mama aliyemwambia wana tatizo la maji)

7) Ninyi mlichagua mbunge mpinzani ndiyo maana siwezi kuleta maendeleo (aliwaambia wananchi wa kule Lindi)

8) Tetemeko halikuletwa na Serikali wala CCM. Hakuna serikali inayowajengea nyumba wahanga wa matetemeko (aliwaambia wahanga wa tetemeko la ardhi)

9) Serikali haina shamba (aliwaambia wananchi waliomba chakula baada ya mazao yao kufa kwa ukame)

Magufuli anaamini kuwa wananchi wengine ni duni kuliko yeye, hawastahili kuwa viongozi, bali yeye na wale tu ambao yeye anawataka.

Ukimtazama Magufuli, matendo yake na kauli zake, bila ya ushabiki, ungeweza kumtafsiri kwa majumuisho yafuatayo:

1) Ni kiongozi mbabe
2) Ni kiongozi mwenye majivuno
3) Ni kiongozi anayejiamini kupita kiasi
4) Ni kiongozi mwenye dharau
5) Ni kiongozi asiyependa kusikiliza, kuelekezwa wala kushauriwa
6) Ni kiongozi asiye na huruma
7) Ni kiongozi asiyejali

Na kila moja katika hizi sifa 7, kuna au kauli au matendo yanayotoa uthibitisho. Anaweza kuwa na tabia nyingine pia lakini kunaweza kusiwepo na uthibitisho wa moja kwa moja.

Swali langu, hivi kusema Rais Magufuli ni "mnyenyekevu", walioandaa bango hili, wanamdhihaki, wanawadanganya wananchi, au limewekwa kwa lengo gani? Maana Rais Magufuli, kwa hakika ni kinyume kabisa cha Unyenyekevu, na wala hata yeye haipendi hiyo tabia ya unyenyekevu. Watanzania tuache unafiki, tumwelezee mtu katika uhalisia wake.
Miaka 59 ya UHURU tuna vyote hivi;

Mount Kilimanjaro

Serengeti National Park

Mikumi

Ziwa Victoria, Tanganyika

Makaa ya mawe Songea

Bandari ya DSM

Gesi ya Mtwara

Almasi

Tanzanite

Dhahabu

Bado CCM imeshindwa kumpa mwananchi MAJI ya kunywa safi na salama tu
 
Kuna bango moja la mgombea wa kiti cha Urais, Mh. Magufuli linasema eti Magufuli ni mnyenyekevu!

Nilipoliona bango hili, nikashtuka sana. Nikajiuliza maswali mengi:

1) Ni Magufuli mwenyewe amehiari kuwepo kwa bango la namna hiyo?

2) Kuna watu fulani wameamua kutengeneza bango hilo, labda kwa kumdhihaki Magufuli?

3) Au Magufuli amewaeleza kuwa endapo akichaguliwa safari hii anataka awe mnyenyekevu?

Kuwa 'mnyenyekevu' au kwa kiingereza kuwa 'humble', tafsi yake:

Unyekenyekevu hutokana na neno kunyenyekea. Anayenyenyekea huitwa mnyenyekevu. Kama Magufuli ni mnyenyekevu, ni lazima tujiulize, huwa anamnyenyekea nani?

Kunyenyekea ni kujishusha. Kunyenyekea ni kuamini wewe si kitu mbele ya yule unayemnyenyekea. Kunyenyekea ni kuonesha kuwa ama wewe ni duni mbele ya yule unayemnyenyekea au zaidi ni kuwa upo sawa na yule unayemnyenyekea.

Kunyenyekea maana yake ni kuwa msikivu. Kunyenyekea ni kuwa tayari kupokea ushauri, maelekezo na matakwa ya unaowanyenyekea.

Sasa tujiulize, hivi kweli Rais Magufuli anazo hizi sifa? Bila ya kutafuta majibu toka kwa watu wengine, nina hakika Magufuli hatakuwa amependezwa na bango linalosema yeye ni mnyenyekevu maana mara kadhaa kwa kauli yake na kwa matendo yake amekataa kabisa kuitwa "mnyenyekevu".

Rais Magufuli amewahi kutamka yafuatayo:

1) Mimi sibadilishwi na yeyote, mimi jiwe. Maana yake yeye hapokei ushauri wala maelekezo kutoka kwa yeyote

2) Mimi ukinishauri, ndiyo umeharibu kabisa, maana sitafanya unachonishauri

3) Wewe Mpina ni kichaa mwenzangu, endelea hivyo hivyo

Mtu mnyenyekevu, ni mtu mwenye huruma, kwa sababu anaamini kuwa wale anaowanyenyekea wanastahili kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao.

Mara kadhaa Rais Magufuli amefisha utu wa watu wengine na kuwaonesha kuwa ni takataka mbele yake. Baadhi ya kauli na matendo yake:

1) Huyu Kabudi na Mpango, hawawaambii tu, nilikwishawaambia ni mapumbavu mara nyingi tu

2) Huko Marekani ulikokuwa ulikiwa unafanya upumbavu huu (aliambiwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tunduru)

3) Kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, nitahakikisha wataishi kama mashetani (anapenda watu wateseke. Wala hakusema kuwa kuna watu wanaishi kama mashetani, nataka nao waishi kama malaika. Yeye anapenda watu wapate taabu)

4) Kwenye utawala wangu, tajiri anaweza kufanywa chochote wakati wowote (maana yake anaweza kumwonea mtu kwa sababu tu ni tajiri. Yaani kuonesha kuwa yeye ni bora kuliko watu wote kiasi cha kuweza kumfanya mtu chochote bila ya kujali mtu huyo ana kosa au hana kosa)

5) Wa Mwanza msiwabomolee nyumba zao kwa sababu walinipa kura nyingi (kama hukumpa kura, ina maana ni halali kubomolewa nyumba yako. Haamini kuwa kuna mtu mwingine yeyote mwenye haki sawa na ya kwake ya kuweza kupigiwa kura)

6) Kamdai maji mbunge wako uliyemchagua au mume wako (alitamka Tunduma dhidi ya mama aliyemwambia wana tatizo la maji)

7) Ninyi mlichagua mbunge mpinzani ndiyo maana siwezi kuleta maendeleo (aliwaambia wananchi wa kule Lindi)

8) Tetemeko halikuletwa na Serikali wala CCM. Hakuna serikali inayowajengea nyumba wahanga wa matetemeko (aliwaambia wahanga wa tetemeko la ardhi)

9) Serikali haina shamba (aliwaambia wananchi waliomba chakula baada ya mazao yao kufa kwa ukame)

Magufuli anaamini kuwa wananchi wengine ni duni kuliko yeye, hawastahili kuwa viongozi, bali yeye na wale tu ambao yeye anawataka.

Ukimtazama Magufuli, matendo yake na kauli zake, bila ya ushabiki, ungeweza kumtafsiri kwa majumuisho yafuatayo:

1) Ni kiongozi mbabe
2) Ni kiongozi mwenye majivuno
3) Ni kiongozi anayejiamini kupita kiasi
4) Ni kiongozi mwenye dharau
5) Ni kiongozi asiyependa kusikiliza, kuelekezwa wala kushauriwa
6) Ni kiongozi asiye na huruma
7) Ni kiongozi asiyejali

Na kila moja katika hizi sifa 7, kuna au kauli au matendo yanayotoa uthibitisho. Anaweza kuwa na tabia nyingine pia lakini kunaweza kusiwepo na uthibitisho wa moja kwa moja.

Swali langu, hivi kusema Rais Magufuli ni "mnyenyekevu", walioandaa bango hili, wanamdhihaki, wanawadanganya wananchi, au limewekwa kwa lengo gani? Maana Rais Magufuli, kwa hakika ni kinyume kabisa cha Unyenyekevu, na wala hata yeye haipendi hiyo tabia ya unyenyekevu. Watanzania tuache unafiki, tumwelezee mtu katika uhalisia wake.
Huu uzi
Uwe printed na kuwekwa kwenye maktaba ya Taifa ili usomwe na vizazi vijavyo kwamba taifa letu liliwahi kupatwa.
 
Eee safi sana Lisu anapinga ununuzi wa ndege pia za Tanzania halafu kampeni anapanda ndege ya kukodi toka Kenya ya Jambo Air hataki nchi yake iwe na ndege Ila majirani zetu wawe nazo tuwe tunaenda kukodi kwao hapandi ATCL hela hataki ibaki nchini wakala wa mabeberu Lisu

Tanzania ndege ndogo za kukodi ziko kibao lakini hakodi anaenda kenya
Hata Serikali ya mjinga wenu imeruhusu ndege za Kenya ziingie Tanzania madege yake yakiwa yamepark Chato miaka na miaka yakingoja Krismas. Lissu ana akili na anajali muda kwa hiyo anasafiri na ndege zinazoruka na kumfikisha alikopanga kufika bila kujali ndege inamilikiwa na nani. Huyo ndo Rais tunayemhitaji!
 
Hata Serikali ya mjinga wenu imeruhusu ndege za Kenya ziingie Tanzania madege yake yakiwa yamepark Chato miaka na miaka yakingoja Krismas. Lissu ana akili na anajali muda kwa hiyo anasafiri na ndege zinazoruka na kumfikisha alikopanga kufika bila kujali ndege inamilikiwa na nani. Huyo ndo Rais tunayemhitaji!
Ndege za private za kukodi Tanzania mbona ziko kibao kwa nini akodi Kenya aache za watanzania ambazo ziko kibao
 
Kuna bango moja la mgombea wa kiti cha Urais, Mh. Magufuli linasema eti Magufuli ni mnyenyekevu!

Nilipoliona bango hili, nikashtuka sana. Nikajiuliza maswali mengi:

1) Ni Magufuli mwenyewe amehiari kuwepo kwa bango la namna hiyo?

2) Kuna watu fulani wameamua kutengeneza bango hilo, labda kwa kumdhihaki Magufuli?

3) Au Magufuli amewaeleza kuwa endapo akichaguliwa safari hii anataka awe mnyenyekevu?

Kuwa 'mnyenyekevu' au kwa kiingereza kuwa 'humble', tafsi yake:

Unyekenyekevu hutokana na neno kunyenyekea. Anayenyenyekea huitwa mnyenyekevu. Kama Magufuli ni mnyenyekevu, ni lazima tujiulize, huwa anamnyenyekea nani?

Kunyenyekea ni kujishusha. Kunyenyekea ni kuamini wewe si kitu mbele ya yule unayemnyenyekea. Kunyenyekea ni kuonesha kuwa ama wewe ni duni mbele ya yule unayemnyenyekea au zaidi ni kuwa upo sawa na yule unayemnyenyekea.

Kunyenyekea maana yake ni kuwa msikivu. Kunyenyekea ni kuwa tayari kupokea ushauri, maelekezo na matakwa ya unaowanyenyekea.

Sasa tujiulize, hivi kweli Rais Magufuli anazo hizi sifa? Bila ya kutafuta majibu toka kwa watu wengine, nina hakika Magufuli hatakuwa amependezwa na bango linalosema yeye ni mnyenyekevu maana mara kadhaa kwa kauli yake na kwa matendo yake amekataa kabisa kuitwa "mnyenyekevu".

Rais Magufuli amewahi kutamka yafuatayo:

1) Mimi sibadilishwi na yeyote, mimi jiwe. Maana yake yeye hapokei ushauri wala maelekezo kutoka kwa yeyote

2) Mimi ukinishauri, ndiyo umeharibu kabisa, maana sitafanya unachonishauri

3) Wewe Mpina ni kichaa mwenzangu, endelea hivyo hivyo

Mtu mnyenyekevu, ni mtu mwenye huruma, kwa sababu anaamini kuwa wale anaowanyenyekea wanastahili kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao.

Mara kadhaa Rais Magufuli amefisha utu wa watu wengine na kuwaonesha kuwa ni takataka mbele yake. Baadhi ya kauli na matendo yake:

1) Huyu Kabudi na Mpango, hawawaambii tu, nilikwishawaambia ni mapumbavu mara nyingi tu

2) Huko Marekani ulikokuwa ulikiwa unafanya upumbavu huu (aliambiwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tunduru)

3) Kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, nitahakikisha wataishi kama mashetani (anapenda watu wateseke. Wala hakusema kuwa kuna watu wanaishi kama mashetani, nataka nao waishi kama malaika. Yeye anapenda watu wapate taabu)

4) Kwenye utawala wangu, tajiri anaweza kufanywa chochote wakati wowote (maana yake anaweza kumwonea mtu kwa sababu tu ni tajiri. Yaani kuonesha kuwa yeye ni bora kuliko watu wote kiasi cha kuweza kumfanya mtu chochote bila ya kujali mtu huyo ana kosa au hana kosa)

5) Wa Mwanza msiwabomolee nyumba zao kwa sababu walinipa kura nyingi (kama hukumpa kura, ina maana ni halali kubomolewa nyumba yako. Haamini kuwa kuna mtu mwingine yeyote mwenye haki sawa na ya kwake ya kuweza kupigiwa kura)

6) Kamdai maji mbunge wako uliyemchagua au mume wako (alitamka Tunduma dhidi ya mama aliyemwambia wana tatizo la maji)

7) Ninyi mlichagua mbunge mpinzani ndiyo maana siwezi kuleta maendeleo (aliwaambia wananchi wa kule Lindi)

8) Tetemeko halikuletwa na Serikali wala CCM. Hakuna serikali inayowajengea nyumba wahanga wa matetemeko (aliwaambia wahanga wa tetemeko la ardhi)

9) Serikali haina shamba (aliwaambia wananchi waliomba chakula baada ya mazao yao kufa kwa ukame)

Magufuli anaamini kuwa wananchi wengine ni duni kuliko yeye, hawastahili kuwa viongozi, bali yeye na wale tu ambao yeye anawataka.

Ukimtazama Magufuli, matendo yake na kauli zake, bila ya ushabiki, ungeweza kumtafsiri kwa majumuisho yafuatayo:

1) Ni kiongozi mbabe
2) Ni kiongozi mwenye majivuno
3) Ni kiongozi anayejiamini kupita kiasi
4) Ni kiongozi mwenye dharau
5) Ni kiongozi asiyependa kusikiliza, kuelekezwa wala kushauriwa
6) Ni kiongozi asiye na huruma
7) Ni kiongozi asiyejali

Na kila moja katika hizi sifa 7, kuna au kauli au matendo yanayotoa uthibitisho. Anaweza kuwa na tabia nyingine pia lakini kunaweza kusiwepo na uthibitisho wa moja kwa moja.

Swali langu, hivi kusema Rais Magufuli ni "mnyenyekevu", walioandaa bango hili, wanamdhihaki, wanawadanganya wananchi, au limewekwa kwa lengo gani? Maana Rais Magufuli, kwa hakika ni kinyume kabisa cha Unyenyekevu, na wala hata yeye haipendi hiyo tabia ya unyenyekevu. Watanzania tuache unafiki, tumwelezee mtu katika uhalisia wake.
Mungu oyeeeee!🤭
 
Miaka 59 ya UHURU tuna vyote hivi;

Mount Kilimanjaro

Serengeti National Park

Mikumi

Ziwa Victoria, Tanganyika

Makaa ya mawe Songea

Bandari ya DSM

Gesi ya Mtwara

Almasi

Tanzanite

Dhahabu

Bado CCM imeshindwa kumpa mwananchi MAJI ya kunywa safi na salama tu
Changamoto ni nyingi na huwezi kuzimaliza zote kwa wakati mmoja comrade. Roma haikujengwa kwa usiku mmoja.

Tungeweka nguvu nyingi kuhakikisha wananchi wanapata maji ya safi na salama je husingekuja hapa kusema kuwa baada ya miaka mingi ya uhuru ccm imeshindwa kujenga barabara za rami nchi nzima?

Comrade jaribu kuwa na fikra husiendeshwe na mahaba tu peke yake.
 
Duuh...aisee Mkuu kwa huo ushahidi na kwa namna ulivyojenga hoja zako, kupinga andiko lako kunahitaji utafiti wa muda mrefu sn.
Kuna bango moja la mgombea wa kiti cha Urais, Mh. Magufuli linasema eti Magufuli ni mnyenyekevu!

Nilipoliona bango hili, nikashtuka sana. Nikajiuliza maswali mengi:

1) Ni Magufuli mwenyewe amehiari kuwepo kwa bango la namna hiyo?

2) Kuna watu fulani wameamua kutengeneza bango hilo, labda kwa kumdhihaki Magufuli?

3) Au Magufuli amewaeleza kuwa endapo akichaguliwa safari hii anataka awe mnyenyekevu?

Kuwa 'mnyenyekevu' au kwa kiingereza kuwa 'humble', tafsi yake:

Unyekenyekevu hutokana na neno kunyenyekea. Anayenyenyekea huitwa mnyenyekevu. Kama Magufuli ni mnyenyekevu, ni lazima tujiulize, huwa anamnyenyekea nani?

Kunyenyekea ni kujishusha. Kunyenyekea ni kuamini wewe si kitu mbele ya yule unayemnyenyekea. Kunyenyekea ni kuonesha kuwa ama wewe ni duni mbele ya yule unayemnyenyekea au zaidi ni kuwa upo sawa na yule unayemnyenyekea.

Kunyenyekea maana yake ni kuwa msikivu. Kunyenyekea ni kuwa tayari kupokea ushauri, maelekezo na matakwa ya unaowanyenyekea.

Sasa tujiulize, hivi kweli Rais Magufuli anazo hizi sifa? Bila ya kutafuta majibu toka kwa watu wengine, nina hakika Magufuli hatakuwa amependezwa na bango linalosema yeye ni mnyenyekevu maana mara kadhaa kwa kauli yake na kwa matendo yake amekataa kabisa kuitwa "mnyenyekevu".

Rais Magufuli amewahi kutamka yafuatayo:

1) Mimi sibadilishwi na yeyote, mimi jiwe. Maana yake yeye hapokei ushauri wala maelekezo kutoka kwa yeyote

2) Mimi ukinishauri, ndiyo umeharibu kabisa, maana sitafanya unachonishauri

3) Wewe Mpina ni kichaa mwenzangu, endelea hivyo hivyo

Mtu mnyenyekevu, ni mtu mwenye huruma, kwa sababu anaamini kuwa wale anaowanyenyekea wanastahili kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao.

Mara kadhaa Rais Magufuli amefisha utu wa watu wengine na kuwaonesha kuwa ni takataka mbele yake. Baadhi ya kauli na matendo yake:

1) Huyu Kabudi na Mpango, hawawaambii tu, nilikwishawaambia ni mapumbavu mara nyingi tu

2) Huko Marekani ulikokuwa ulikiwa unafanya upumbavu huu (aliambiwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tunduru)

3) Kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, nitahakikisha wataishi kama mashetani (anapenda watu wateseke. Wala hakusema kuwa kuna watu wanaishi kama mashetani, nataka nao waishi kama malaika. Yeye anapenda watu wapate taabu)

4) Kwenye utawala wangu, tajiri anaweza kufanywa chochote wakati wowote (maana yake anaweza kumwonea mtu kwa sababu tu ni tajiri. Yaani kuonesha kuwa yeye ni bora kuliko watu wote kiasi cha kuweza kumfanya mtu chochote bila ya kujali mtu huyo ana kosa au hana kosa)

5) Wa Mwanza msiwabomolee nyumba zao kwa sababu walinipa kura nyingi (kama hukumpa kura, ina maana ni halali kubomolewa nyumba yako. Haamini kuwa kuna mtu mwingine yeyote mwenye haki sawa na ya kwake ya kuweza kupigiwa kura)

6) Kamdai maji mbunge wako uliyemchagua au mume wako (alitamka Tunduma dhidi ya mama aliyemwambia wana tatizo la maji)

7) Ninyi mlichagua mbunge mpinzani ndiyo maana siwezi kuleta maendeleo (aliwaambia wananchi wa kule Lindi)

8) Tetemeko halikuletwa na Serikali wala CCM. Hakuna serikali inayowajengea nyumba wahanga wa matetemeko (aliwaambia wahanga wa tetemeko la ardhi)

9) Serikali haina shamba (aliwaambia wananchi waliomba chakula baada ya mazao yao kufa kwa ukame)

Magufuli anaamini kuwa wananchi wengine ni duni kuliko yeye, hawastahili kuwa viongozi, bali yeye na wale tu ambao yeye anawataka.

Ukimtazama Magufuli, matendo yake na kauli zake, bila ya ushabiki, ungeweza kumtafsiri kwa majumuisho yafuatayo:

1) Ni kiongozi mbabe
2) Ni kiongozi mwenye majivuno
3) Ni kiongozi anayejiamini kupita kiasi
4) Ni kiongozi mwenye dharau
5) Ni kiongozi asiyependa kusikiliza, kuelekezwa wala kushauriwa
6) Ni kiongozi asiye na huruma
7) Ni kiongozi asiyejali

Na kila moja katika hizi sifa 7, kuna au kauli au matendo yanayotoa uthibitisho. Anaweza kuwa na tabia nyingine pia lakini kunaweza kusiwepo na uthibitisho wa moja kwa moja.

Swali langu, hivi kusema Rais Magufuli ni "mnyenyekevu", walioandaa bango hili, wanamdhihaki, wanawadanganya wananchi, au limewekwa kwa lengo gani? Maana Rais Magufuli, kwa hakika ni kinyume kabisa cha Unyenyekevu, na wala hata yeye haipendi hiyo tabia ya unyenyekevu. Watanzania tuache unafiki, tumwelezee mtu katika uhalisia wake.
 
Lissu kalichanachana hilo bango kwenye mikutano yake kama ulivyofanya hapa JF.
 
Back
Top Bottom