Uchaguzi 2020 Bango la Magufuli limenishangaza sana

Uchaguzi 2020 Bango la Magufuli limenishangaza sana

Kuna bango moja la mgombea wa kiti cha Urais, Mh. Magufuli linasema eti Magufuli ni mnyenyekevu!

Nilipoliona bango hili, nikashtuka sana. Nikajiuliza maswali mengi:

1) Ni Magufuli mwenyewe amehiari kuwepo kwa bango la namna hiyo?

2) Kuna watu fulani wameamua kutengeneza bango hilo, labda kwa kumdhihaki Magufuli?

3) Au Magufuli amewaeleza kuwa endapo akichaguliwa safari hii anataka awe mnyenyekevu?

Kuwa 'mnyenyekevu' au kwa kiingereza kuwa 'humble', tafsi yake:

Unyekenyekevu hutokana na neno kunyenyekea. Anayenyenyekea huitwa mnyenyekevu. Kama Magufuli ni mnyenyekevu, ni lazima tujiulize, huwa anamnyenyekea nani?

Kunyenyekea ni kujishusha. Kunyenyekea ni kuamini wewe si kitu mbele ya yule unayemnyenyekea. Kunyenyekea ni kuonesha kuwa ama wewe ni duni mbele ya yule unayemnyenyekea au zaidi ni kuwa upo sawa na yule unayemnyenyekea.

Kunyenyekea maana yake ni kuwa msikivu. Kunyenyekea ni kuwa tayari kupokea ushauri, maelekezo na matakwa ya unaowanyenyekea.

Sasa tujiulize, hivi kweli Rais Magufuli anazo hizi sifa? Bila ya kutafuta majibu toka kwa watu wengine, nina hakika Magufuli hatakuwa amependezwa na bango linalosema yeye ni mnyenyekevu maana mara kadhaa kwa kauli yake na kwa matendo yake amekataa kabisa kuitwa "mnyenyekevu".

Rais Magufuli amewahi kutamka yafuatayo:

1) Mimi sibadilishwi na yeyote, mimi jiwe. Maana yake yeye hapokei ushauri wala maelekezo kutoka kwa yeyote

2) Mimi ukinishauri, ndiyo umeharibu kabisa, maana sitafanya unachonishauri

3) Wewe Mpina ni kichaa mwenzangu, endelea hivyo hivyo

Mtu mnyenyekevu, ni mtu mwenye huruma, kwa sababu anaamini kuwa wale anaowanyenyekea wanastahili kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao.

Mara kadhaa Rais Magufuli amefisha utu wa watu wengine na kuwaonesha kuwa ni takataka mbele yake. Baadhi ya kauli na matendo yake:

1) Huyu Kabudi na Mpango, hawawaambii tu, nilikwishawaambia ni mapumbavu mara nyingi tu

2) Huko Marekani ulikokuwa ulikiwa unafanya upumbavu huu (aliambiwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tunduru)

3) Kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, nitahakikisha wataishi kama mashetani (anapenda watu wateseke. Wala hakusema kuwa kuna watu wanaishi kama mashetani, nataka nao waishi kama malaika. Yeye anapenda watu wapate taabu)

4) Kwenye utawala wangu, tajiri anaweza kufanywa chochote wakati wowote (maana yake anaweza kumwonea mtu kwa sababu tu ni tajiri. Yaani kuonesha kuwa yeye ni bora kuliko watu wote kiasi cha kuweza kumfanya mtu chochote bila ya kujali mtu huyo ana kosa au hana kosa)

5) Wa Mwanza msiwabomolee nyumba zao kwa sababu walinipa kura nyingi (kama hukumpa kura, ina maana ni halali kubomolewa nyumba yako. Haamini kuwa kuna mtu mwingine yeyote mwenye haki sawa na ya kwake ya kuweza kupigiwa kura)

6) Kamdai maji mbunge wako uliyemchagua au mume wako (alitamka Tunduma dhidi ya mama aliyemwambia wana tatizo la maji)

7) Ninyi mlichagua mbunge mpinzani ndiyo maana siwezi kuleta maendeleo (aliwaambia wananchi wa kule Lindi)

8) Tetemeko halikuletwa na Serikali wala CCM. Hakuna serikali inayowajengea nyumba wahanga wa matetemeko (aliwaambia wahanga wa tetemeko la ardhi)

9) Serikali haina shamba (aliwaambia wananchi waliomba chakula baada ya mazao yao kufa kwa ukame)

Magufuli anaamini kuwa wananchi wengine ni duni kuliko yeye, hawastahili kuwa viongozi, bali yeye na wale tu ambao yeye anawataka.

Ukimtazama Magufuli, matendo yake na kauli zake, bila ya ushabiki, ungeweza kumtafsiri kwa majumuisho yafuatayo:

1) Ni kiongozi mbabe
2) Ni kiongozi mwenye majivuno
3) Ni kiongozi anayejiamini kupita kiasi
4) Ni kiongozi mwenye dharau
5) Ni kiongozi asiyependa kusikiliza, kuelekezwa wala kushauriwa
6) Ni kiongozi asiye na huruma
7) Ni kiongozi asiyejali

Na kila moja katika hizi sifa 7, kuna au kauli au matendo yanayotoa uthibitisho. Anaweza kuwa na tabia nyingine pia lakini kunaweza kusiwepo na uthibitisho wa moja kwa moja.

Swali langu, hivi kusema Rais Magufuli ni "mnyenyekevu", walioandaa bango hili, wanamdhihaki, wanawadanganya wananchi, au limewekwa kwa lengo gani? Maana Rais Magufuli, kwa hakika ni kinyume kabisa cha Unyenyekevu, na wala hata yeye haipendi hiyo tabia ya unyenyekevu. Watanzania tuache unafiki, tumwelezee mtu katika uhalisia wake.

Kwa kifupi tu ni hivi: MAGUFULI ANA ELEMENTS ZOTE ZA DIKTETA hivo KATU HAWEZI KUWA MNYENYEKEVU...!!!
Nashauri kama kuna Bango kama hilo Bango basi fyekelea mbali.
 
Kuna bango moja la mgombea wa kiti cha Urais, Mh. Magufuli linasema eti Magufuli ni mnyenyekevu!

Nilipoliona bango hili, nikashtuka sana. Nikajiuliza maswali mengi:

1) Ni Magufuli mwenyewe amehiari kuwepo kwa bango la namna hiyo?

2) Kuna watu fulani wameamua kutengeneza bango hilo, labda kwa kumdhihaki Magufuli?

3) Au Magufuli amewaeleza kuwa endapo akichaguliwa safari hii anataka awe mnyenyekevu?

Kuwa 'mnyenyekevu' au kwa kiingereza kuwa 'humble', tafsi yake:

Unyekenyekevu hutokana na neno kunyenyekea. Anayenyenyekea huitwa mnyenyekevu. Kama Magufuli ni mnyenyekevu, ni lazima tujiulize, huwa anamnyenyekea nani?

Kunyenyekea ni kujishusha. Kunyenyekea ni kuamini wewe si kitu mbele ya yule unayemnyenyekea. Kunyenyekea ni kuonesha kuwa ama wewe ni duni mbele ya yule unayemnyenyekea au zaidi ni kuwa upo sawa na yule unayemnyenyekea.

Kunyenyekea maana yake ni kuwa msikivu. Kunyenyekea ni kuwa tayari kupokea ushauri, maelekezo na matakwa ya unaowanyenyekea.

Sasa tujiulize, hivi kweli Rais Magufuli anazo hizi sifa? Bila ya kutafuta majibu toka kwa watu wengine, nina hakika Magufuli hatakuwa amependezwa na bango linalosema yeye ni mnyenyekevu maana mara kadhaa kwa kauli yake na kwa matendo yake amekataa kabisa kuitwa "mnyenyekevu".

Rais Magufuli amewahi kutamka yafuatayo:

1) Mimi sibadilishwi na yeyote, mimi jiwe. Maana yake yeye hapokei ushauri wala maelekezo kutoka kwa yeyote

2) Mimi ukinishauri, ndiyo umeharibu kabisa, maana sitafanya unachonishauri

3) Wewe Mpina ni kichaa mwenzangu, endelea hivyo hivyo

Mtu mnyenyekevu, ni mtu mwenye huruma, kwa sababu anaamini kuwa wale anaowanyenyekea wanastahili kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao.

Mara kadhaa Rais Magufuli amefisha utu wa watu wengine na kuwaonesha kuwa ni takataka mbele yake. Baadhi ya kauli na matendo yake:

1) Huyu Kabudi na Mpango, hawawaambii tu, nilikwishawaambia ni mapumbavu mara nyingi tu

2) Huko Marekani ulikokuwa ulikiwa unafanya upumbavu huu (aliambiwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tunduru)

3) Kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, nitahakikisha wataishi kama mashetani (anapenda watu wateseke. Wala hakusema kuwa kuna watu wanaishi kama mashetani, nataka nao waishi kama malaika. Yeye anapenda watu wapate taabu)

4) Kwenye utawala wangu, tajiri anaweza kufanywa chochote wakati wowote (maana yake anaweza kumwonea mtu kwa sababu tu ni tajiri. Yaani kuonesha kuwa yeye ni bora kuliko watu wote kiasi cha kuweza kumfanya mtu chochote bila ya kujali mtu huyo ana kosa au hana kosa)

5) Wa Mwanza msiwabomolee nyumba zao kwa sababu walinipa kura nyingi (kama hukumpa kura, ina maana ni halali kubomolewa nyumba yako. Haamini kuwa kuna mtu mwingine yeyote mwenye haki sawa na ya kwake ya kuweza kupigiwa kura)

6) Kamdai maji mbunge wako uliyemchagua au mume wako (alitamka Tunduma dhidi ya mama aliyemwambia wana tatizo la maji)

7) Ninyi mlichagua mbunge mpinzani ndiyo maana siwezi kuleta maendeleo (aliwaambia wananchi wa kule Lindi)

8) Tetemeko halikuletwa na Serikali wala CCM. Hakuna serikali inayowajengea nyumba wahanga wa matetemeko (aliwaambia wahanga wa tetemeko la ardhi)

9) Serikali haina shamba (aliwaambia wananchi waliomba chakula baada ya mazao yao kufa kwa ukame)

Magufuli anaamini kuwa wananchi wengine ni duni kuliko yeye, hawastahili kuwa viongozi, bali yeye na wale tu ambao yeye anawataka.

Ukimtazama Magufuli, matendo yake na kauli zake, bila ya ushabiki, ungeweza kumtafsiri kwa majumuisho yafuatayo:

1) Ni kiongozi mbabe
2) Ni kiongozi mwenye majivuno
3) Ni kiongozi anayejiamini kupita kiasi
4) Ni kiongozi mwenye dharau
5) Ni kiongozi asiyependa kusikiliza, kuelekezwa wala kushauriwa
6) Ni kiongozi asiye na huruma
7) Ni kiongozi asiyejali

Na kila moja katika hizi sifa 7, kuna au kauli au matendo yanayotoa uthibitisho. Anaweza kuwa na tabia nyingine pia lakini kunaweza kusiwepo na uthibitisho wa moja kwa moja.

Swali langu, hivi kusema Rais Magufuli ni "mnyenyekevu", walioandaa bango hili, wanamdhihaki, wanawadanganya wananchi, au limewekwa kwa lengo gani? Maana Rais Magufuli, kwa hakika ni kinyume kabisa cha Unyenyekevu, na wala hata yeye haipendi hiyo tabia ya unyenyekevu. Watanzania tuache unafiki, tumwelezee mtu katika uhalisia wake.
Umeweza kutaja mapungufu ya Rais Magufuli kwa sababu ni machache yanahesabika.

Lakini umeshindwa kabisa kutaja mazuri yake kwa kuwa ni mengi mno. Huwezi kuyamaliza yote.

Ukisema hakuna mazuri aliyoyafanya, ni dhahiri nitajua unatumia akili mbadala, wala si akili zako.
 
Mwambie aweke hiyo picha ya bango utaelewa
IMG_20200919_093110_3.jpg
 
Kuna bango moja la mgombea wa kiti cha Urais, Mh. Magufuli linasema eti Magufuli ni mnyenyekevu!

Nilipoliona bango hili, nikashtuka sana. Nikajiuliza maswali mengi:

1) Ni Magufuli mwenyewe amehiari kuwepo kwa bango la namna hiyo?

2) Kuna watu fulani wameamua kutengeneza bango hilo, labda kwa kumdhihaki Magufuli?

3) Au Magufuli amewaeleza kuwa endapo akichaguliwa safari hii anataka awe mnyenyekevu?

Kuwa 'mnyenyekevu' au kwa kiingereza kuwa 'humble', tafsi yake:

Unyekenyekevu hutokana na neno kunyenyekea. Anayenyenyekea huitwa mnyenyekevu. Kama Magufuli ni mnyenyekevu, ni lazima tujiulize, huwa anamnyenyekea nani?

Kunyenyekea ni kujishusha. Kunyenyekea ni kuamini wewe si kitu mbele ya yule unayemnyenyekea. Kunyenyekea ni kuonesha kuwa ama wewe ni duni mbele ya yule unayemnyenyekea au zaidi ni kuwa upo sawa na yule unayemnyenyekea.

Kunyenyekea maana yake ni kuwa msikivu. Kunyenyekea ni kuwa tayari kupokea ushauri, maelekezo na matakwa ya unaowanyenyekea.

Sasa tujiulize, hivi kweli Rais Magufuli anazo hizi sifa? Bila ya kutafuta majibu toka kwa watu wengine, nina hakika Magufuli hatakuwa amependezwa na bango linalosema yeye ni mnyenyekevu maana mara kadhaa kwa kauli yake na kwa matendo yake amekataa kabisa kuitwa "mnyenyekevu".

Rais Magufuli amewahi kutamka yafuatayo:

1) Mimi sibadilishwi na yeyote, mimi jiwe. Maana yake yeye hapokei ushauri wala maelekezo kutoka kwa yeyote

2) Mimi ukinishauri, ndiyo umeharibu kabisa, maana sitafanya unachonishauri

3) Wewe Mpina ni kichaa mwenzangu, endelea hivyo hivyo

Mtu mnyenyekevu, ni mtu mwenye huruma, kwa sababu anaamini kuwa wale anaowanyenyekea wanastahili kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao.

Mara kadhaa Rais Magufuli amefisha utu wa watu wengine na kuwaonesha kuwa ni takataka mbele yake. Baadhi ya kauli na matendo yake:

1) Huyu Kabudi na Mpango, hawawaambii tu, nilikwishawaambia ni mapumbavu mara nyingi tu

2) Huko Marekani ulikokuwa ulikiwa unafanya upumbavu huu (aliambiwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tunduru)

3) Kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, nitahakikisha wataishi kama mashetani (anapenda watu wateseke. Wala hakusema kuwa kuna watu wanaishi kama mashetani, nataka nao waishi kama malaika. Yeye anapenda watu wapate taabu)

4) Kwenye utawala wangu, tajiri anaweza kufanywa chochote wakati wowote (maana yake anaweza kumwonea mtu kwa sababu tu ni tajiri. Yaani kuonesha kuwa yeye ni bora kuliko watu wote kiasi cha kuweza kumfanya mtu chochote bila ya kujali mtu huyo ana kosa au hana kosa)

5) Wa Mwanza msiwabomolee nyumba zao kwa sababu walinipa kura nyingi (kama hukumpa kura, ina maana ni halali kubomolewa nyumba yako. Haamini kuwa kuna mtu mwingine yeyote mwenye haki sawa na ya kwake ya kuweza kupigiwa kura)

6) Kamdai maji mbunge wako uliyemchagua au mume wako (alitamka Tunduma dhidi ya mama aliyemwambia wana tatizo la maji)

7) Ninyi mlichagua mbunge mpinzani ndiyo maana siwezi kuleta maendeleo (aliwaambia wananchi wa kule Lindi)

8) Tetemeko halikuletwa na Serikali wala CCM. Hakuna serikali inayowajengea nyumba wahanga wa matetemeko (aliwaambia wahanga wa tetemeko la ardhi)

9) Serikali haina shamba (aliwaambia wananchi waliomba chakula baada ya mazao yao kufa kwa ukame)

Magufuli anaamini kuwa wananchi wengine ni duni kuliko yeye, hawastahili kuwa viongozi, bali yeye na wale tu ambao yeye anawataka.

Ukimtazama Magufuli, matendo yake na kauli zake, bila ya ushabiki, ungeweza kumtafsiri kwa majumuisho yafuatayo:

1) Ni kiongozi mbabe
2) Ni kiongozi mwenye majivuno
3) Ni kiongozi anayejiamini kupita kiasi
4) Ni kiongozi mwenye dharau
5) Ni kiongozi asiyependa kusikiliza, kuelekezwa wala kushauriwa
6) Ni kiongozi asiye na huruma
7) Ni kiongozi asiyejali

Na kila moja katika hizi sifa 7, kuna au kauli au matendo yanayotoa uthibitisho. Anaweza kuwa na tabia nyingine pia lakini kunaweza kusiwepo na uthibitisho wa moja kwa moja.

Swali langu, hivi kusema Rais Magufuli ni "mnyenyekevu", walioandaa bango hili, wanamdhihaki, wanawadanganya wananchi, au limewekwa kwa lengo gani? Maana Rais Magufuli, kwa hakika ni kinyume kabisa cha Unyenyekevu, na wala hata yeye haipendi hiyo tabia ya unyenyekevu. Watanzania tuache unafiki, tumwelezee mtu katika uhalisia wake.

Huwa sipendi hata kumuona ...nyongo huwa inapanda
 
Kuna bango moja la mgombea wa kiti cha Urais, Mh. Magufuli linasema eti Magufuli ni mnyenyekevu!

Nilipoliona bango hili, nikashtuka sana. Nikajiuliza maswali mengi:

1) Ni Magufuli mwenyewe amehiari kuwepo kwa bango la namna hiyo?

2) Kuna watu fulani wameamua kutengeneza bango hilo, labda kwa kumdhihaki Magufuli?

3) Au Magufuli amewaeleza kuwa endapo akichaguliwa safari hii anataka awe mnyenyekevu?

Kuwa 'mnyenyekevu' au kwa kiingereza kuwa 'humble', tafsi yake:

Unyekenyekevu hutokana na neno kunyenyekea. Anayenyenyekea huitwa mnyenyekevu. Kama Magufuli ni mnyenyekevu, ni lazima tujiulize, huwa anamnyenyekea nani?

Kunyenyekea ni kujishusha. Kunyenyekea ni kuamini wewe si kitu mbele ya yule unayemnyenyekea. Kunyenyekea ni kuonesha kuwa ama wewe ni duni mbele ya yule unayemnyenyekea au zaidi ni kuwa upo sawa na yule unayemnyenyekea.

Kunyenyekea maana yake ni kuwa msikivu. Kunyenyekea ni kuwa tayari kupokea ushauri, maelekezo na matakwa ya unaowanyenyekea.

Sasa tujiulize, hivi kweli Rais Magufuli anazo hizi sifa? Bila ya kutafuta majibu toka kwa watu wengine, nina hakika Magufuli hatakuwa amependezwa na bango linalosema yeye ni mnyenyekevu maana mara kadhaa kwa kauli yake na kwa matendo yake amekataa kabisa kuitwa "mnyenyekevu".

Rais Magufuli amewahi kutamka yafuatayo:

1) Mimi sibadilishwi na yeyote, mimi jiwe. Maana yake yeye hapokei ushauri wala maelekezo kutoka kwa yeyote

2) Mimi ukinishauri, ndiyo umeharibu kabisa, maana sitafanya unachonishauri

3) Wewe Mpina ni kichaa mwenzangu, endelea hivyo hivyo

Mtu mnyenyekevu, ni mtu mwenye huruma, kwa sababu anaamini kuwa wale anaowanyenyekea wanastahili kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao.

Mara kadhaa Rais Magufuli amefisha utu wa watu wengine na kuwaonesha kuwa ni takataka mbele yake. Baadhi ya kauli na matendo yake:

1) Huyu Kabudi na Mpango, hawawaambii tu, nilikwishawaambia ni mapumbavu mara nyingi tu

2) Huko Marekani ulikokuwa ulikiwa unafanya upumbavu huu (aliambiwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tunduru)

3) Kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, nitahakikisha wataishi kama mashetani (anapenda watu wateseke. Wala hakusema kuwa kuna watu wanaishi kama mashetani, nataka nao waishi kama malaika. Yeye anapenda watu wapate taabu)

4) Kwenye utawala wangu, tajiri anaweza kufanywa chochote wakati wowote (maana yake anaweza kumwonea mtu kwa sababu tu ni tajiri. Yaani kuonesha kuwa yeye ni bora kuliko watu wote kiasi cha kuweza kumfanya mtu chochote bila ya kujali mtu huyo ana kosa au hana kosa)

5) Wa Mwanza msiwabomolee nyumba zao kwa sababu walinipa kura nyingi (kama hukumpa kura, ina maana ni halali kubomolewa nyumba yako. Haamini kuwa kuna mtu mwingine yeyote mwenye haki sawa na ya kwake ya kuweza kupigiwa kura)

6) Kamdai maji mbunge wako uliyemchagua au mume wako (alitamka Tunduma dhidi ya mama aliyemwambia wana tatizo la maji)

7) Ninyi mlichagua mbunge mpinzani ndiyo maana siwezi kuleta maendeleo (aliwaambia wananchi wa kule Lindi)

8) Tetemeko halikuletwa na Serikali wala CCM. Hakuna serikali inayowajengea nyumba wahanga wa matetemeko (aliwaambia wahanga wa tetemeko la ardhi)

9) Serikali haina shamba (aliwaambia wananchi waliomba chakula baada ya mazao yao kufa kwa ukame)

Magufuli anaamini kuwa wananchi wengine ni duni kuliko yeye, hawastahili kuwa viongozi, bali yeye na wale tu ambao yeye anawataka.

Ukimtazama Magufuli, matendo yake na kauli zake, bila ya ushabiki, ungeweza kumtafsiri kwa majumuisho yafuatayo:

1) Ni kiongozi mbabe
2) Ni kiongozi mwenye majivuno
3) Ni kiongozi anayejiamini kupita kiasi
4) Ni kiongozi mwenye dharau
5) Ni kiongozi asiyependa kusikiliza, kuelekezwa wala kushauriwa
6) Ni kiongozi asiye na huruma
7) Ni kiongozi asiyejali

Na kila moja katika hizi sifa 7, kuna au kauli au matendo yanayotoa uthibitisho. Anaweza kuwa na tabia nyingine pia lakini kunaweza kusiwepo na uthibitisho wa moja kwa moja.

Swali langu, hivi kusema Rais Magufuli ni "mnyenyekevu", walioandaa bango hili, wanamdhihaki, wanawadanganya wananchi, au limewekwa kwa lengo gani? Maana Rais Magufuli, kwa hakika ni kinyume kabisa cha Unyenyekevu, na wala hata yeye haipendi hiyo tabia ya unyenyekevu. Watanzania tuache unafiki, tumwelezee mtu katika uhalisia wake.
Ameridhia mwenyewe,umesahau kama jamaa ana phD ya unafiki?
 
Ni mnyenyekevu kwa sababu anapiga kazi kwa maendeleo ya raia wote wa kawaida, we unataka unyenyekevu wa kuwachekea chekea watu. Wahenga walisema ukicheka na nyani utavuna mabua
 
Mbele ya kura baba yake kula, kila mtu hupenda kuitwa mnyenyekevu na kila chama hupenda kiongozi wao aonekane mnyenyekevu vinginevyo hakuna kula bin kura.
Ndo maana sisi ni masikini,tunaishi sana maisha ya kuigiza ambayo hayadumu sana ndo maana tunaporudi kwenye uhalisia wetu tunaonekana kituko
 
Kuna wakat utafika mtakapoamka lakin mtakua mmechelewa hata Muamar Gaddafi alijua anafikra kubwa na taifa lake na Afrika kwa ujumla lakni walimuita dikteta wale wasiopenda mafanikio hata siwashangai si mnataka kuona lakini mmefumba macho lazima muingie msikopajua
 
Ulichoandika ni ukweli mtupu, isipokuwa kuzidi kumwongelea na kumchukia ni kujiongezea tu maumivu mana haki na utu havijawahi tamalaki katika kipindi chake chote cha utawala
 
Kuna bango moja la mgombea wa kiti cha Urais, Mh. Magufuli linasema eti Magufuli ni mnyenyekevu!

Nilipoliona bango hili, nikashtuka sana. Nikajiuliza maswali mengi:

1) Ni Magufuli mwenyewe amehiari kuwepo kwa bango la namna hiyo?

2) Kuna watu fulani wameamua kutengeneza bango hilo, labda kwa kumdhihaki Magufuli?

3) Au Magufuli amewaeleza kuwa endapo akichaguliwa safari hii anataka awe mnyenyekevu?

Kuwa 'mnyenyekevu' au kwa kiingereza kuwa 'humble', tafsi yake:

Unyekenyekevu hutokana na neno kunyenyekea. Anayenyenyekea huitwa mnyenyekevu. Kama Magufuli ni mnyenyekevu, ni lazima tujiulize, huwa anamnyenyekea nani?

Kunyenyekea ni kujishusha. Kunyenyekea ni kuamini wewe si kitu mbele ya yule unayemnyenyekea. Kunyenyekea ni kuonesha kuwa ama wewe ni duni mbele ya yule unayemnyenyekea au zaidi ni kuwa upo sawa na yule unayemnyenyekea.

Kunyenyekea maana yake ni kuwa msikivu. Kunyenyekea ni kuwa tayari kupokea ushauri, maelekezo na matakwa ya unaowanyenyekea.

Sasa tujiulize, hivi kweli Rais Magufuli anazo hizi sifa? Bila ya kutafuta majibu toka kwa watu wengine, nina hakika Magufuli hatakuwa amependezwa na bango linalosema yeye ni mnyenyekevu maana mara kadhaa kwa kauli yake na kwa matendo yake amekataa kabisa kuitwa "mnyenyekevu".

Rais Magufuli amewahi kutamka yafuatayo:

1) Mimi sibadilishwi na yeyote, mimi jiwe. Maana yake yeye hapokei ushauri wala maelekezo kutoka kwa yeyote

2) Mimi ukinishauri, ndiyo umeharibu kabisa, maana sitafanya unachonishauri

3) Wewe Mpina ni kichaa mwenzangu, endelea hivyo hivyo

Mtu mnyenyekevu, ni mtu mwenye huruma, kwa sababu anaamini kuwa wale anaowanyenyekea wanastahili kuthaminiwa na kuheshimiwa utu wao.

Mara kadhaa Rais Magufuli amefisha utu wa watu wengine na kuwaonesha kuwa ni takataka mbele yake. Baadhi ya kauli na matendo yake:

1) Huyu Kabudi na Mpango, hawawaambii tu, nilikwishawaambia ni mapumbavu mara nyingi tu

2) Huko Marekani ulikokuwa ulikiwa unafanya upumbavu huu (aliambiwa mkurugenzi wa halmashauri ya Tunduru)

3) Kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, nitahakikisha wataishi kama mashetani (anapenda watu wateseke. Wala hakusema kuwa kuna watu wanaishi kama mashetani, nataka nao waishi kama malaika. Yeye anapenda watu wapate taabu)

4) Kwenye utawala wangu, tajiri anaweza kufanywa chochote wakati wowote (maana yake anaweza kumwonea mtu kwa sababu tu ni tajiri. Yaani kuonesha kuwa yeye ni bora kuliko watu wote kiasi cha kuweza kumfanya mtu chochote bila ya kujali mtu huyo ana kosa au hana kosa)

5) Wa Mwanza msiwabomolee nyumba zao kwa sababu walinipa kura nyingi (kama hukumpa kura, ina maana ni halali kubomolewa nyumba yako. Haamini kuwa kuna mtu mwingine yeyote mwenye haki sawa na ya kwake ya kuweza kupigiwa kura)

6) Kamdai maji mbunge wako uliyemchagua au mume wako (alitamka Tunduma dhidi ya mama aliyemwambia wana tatizo la maji)

7) Ninyi mlichagua mbunge mpinzani ndiyo maana siwezi kuleta maendeleo (aliwaambia wananchi wa kule Lindi)

8) Tetemeko halikuletwa na Serikali wala CCM. Hakuna serikali inayowajengea nyumba wahanga wa matetemeko (aliwaambia wahanga wa tetemeko la ardhi)

9) Serikali haina shamba (aliwaambia wananchi waliomba chakula baada ya mazao yao kufa kwa ukame)

Magufuli anaamini kuwa wananchi wengine ni duni kuliko yeye, hawastahili kuwa viongozi, bali yeye na wale tu ambao yeye anawataka.

Ukimtazama Magufuli, matendo yake na kauli zake, bila ya ushabiki, ungeweza kumtafsiri kwa majumuisho yafuatayo:

1) Ni kiongozi mbabe
2) Ni kiongozi mwenye majivuno
3) Ni kiongozi anayejiamini kupita kiasi
4) Ni kiongozi mwenye dharau
5) Ni kiongozi asiyependa kusikiliza, kuelekezwa wala kushauriwa
6) Ni kiongozi asiye na huruma
7) Ni kiongozi asiyejali

Na kila moja katika hizi sifa 7, kuna au kauli au matendo yanayotoa uthibitisho. Anaweza kuwa na tabia nyingine pia lakini kunaweza kusiwepo na uthibitisho wa moja kwa moja.

Swali langu, hivi kusema Rais Magufuli ni "mnyenyekevu", walioandaa bango hili, wanamdhihaki, wanawadanganya wananchi, au limewekwa kwa lengo gani? Maana Rais Magufuli, kwa hakika ni kinyume kabisa cha Unyenyekevu, na wala hata yeye haipendi hiyo tabia ya unyenyekevu. Watanzania tuache unafiki, tumwelezee mtu katika uhalisia wake.
Rubbish....huu ni utopolo...badala ya kuwaambia watanzania habari za maendeleo wa uchumi zao unaleta sijui madudu gani...we unaweza jilinganisha na chaguo la wengi la watanzania wewe...zaidi ya watanzania 90 asilimia wapo nyuma ya Magu begakwabega...upo hapo...nenda kajipange sawasawa
 
Mnaona hatari iliyopo mbele yetu kwa kuendelea na CCM
Hayo ni maamuzi ya watanzania wazalendo..wanaojua maana ya Taifa...hatari kwa vipi jomba wakati Taifa lipo uchumi wa kati.jomba..linakwenda kwa Kasi na mwendokasi wa upepo...soon litaanza kuwa donor country...subiri uone..
 
Na awamu hii akirudi ndiyo mtamfahamu vizuri uchaguzi ndiyo huu hapa kataa kunyanyaswa na kusimangwa hovywo tukutane October 28
 
Mtoa mada hujielewi na kamwe hautajielewa. Kama ni mkristo nenda katubu makanisani na kama ni muislamu nenda kafanye toba inayostahili. Kizazi hiki mmejazwa ujinga vichwani mwenu kiasi hata kureason hutaki kabisa. Ww ni wa kupuuzwa mazima na wanaojielewa. Umekurupuka. Husuda na nia zenu mbaya hazitafanikiwa katika taifa hili linaloongozwa na mtumishi wa Mungu. Kajipangeni upya wafu nyie mnaozikana na wafu wenzenu.
 
Back
Top Bottom