Uzuri wa nyumba unahusiana vipi kwenye Mikopo? ina maana kuna nyumba ambazo haziwezi kuhidhinishwa na wakopeshaji?
Aaaah jamaniiii maneno gani haya kwa mwenzioMkuu hebu piga picha hiyo nyumba yako niweze kuiona unaweza sema nyumba kumbe unamiliki banda LA kuku na unataka mkopo mkubwa...
benki gani ambayo inataka-biashara ambayo ndio naianza?Nenda BENK
Nilitaka kusema jambo kama lako, yaani kuna watu humu hawana wanachojua lakini wamo tu wanatoa komenti za ajabu ajabu. kwanini kama mtu huna msaada usikae kimya.Mkuu nimegundua una busara za hali ya juu na una uhakika na unachokiamini, ila sad news tu nikuambie humu huwez pata mtu wa kukukopesha hata elfu tano, huku ni maneno mengi tu, fake life nyingi watu kujidai wana hela kumbe hamna kitu, maswali mengi na kejeli nyingi, cha kufanya nenda tu benki tembelea benki mbalimbali kakutane na maafisa mikopo ingia hata meeting room nao then from there naamin utakua umepata info ya kutosha kukuwezesha kupata huo mkopo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unauhakika upo katika akili timamu??
Uzuri na ukubwa yeah. .vina changia katika hilo ndio maana lazima ma officer wa mikopo waje kufanya tathmini nyumba yako kisha wapeleke mrejesho bank '
Hakuna nyumba ambayo haiwezi kuidhinishwa ''Bali mikopo inatofautiana na thamani ya nyumba husika. ... hauwezi kupewa mkopo wa ml.50 kwa nyumba yenye banda la vyemba 3 tu pekee huku likiwa katika location Ya kawaida na nyumba yenyewe pia ina Muone kano chakavu
Wewe ni Loan officer wa benki?
Tanzania women bank(TWB)benki gani ambayo inataka-biashara ambayo ndio naianza?
Mkuu unataka kuwauzia benk nyumba Yako kwa milion 50 , hebu weka kwanza picha hiyo nyumba Kama inathamani ya 50MHabari ndugu zangu.
Nina wazo la Biashara ambayo inahitaji Fedha kwa ajili ya uwekezaji. Benk Zilizo nyingi Zinataka Uwe na biashara ambayo imedumu zaidi ya miezi sita, Lakini Mimi s nina nyumba sina Biashara ambayo benki wanataka iwe imedumu zaidi ya miezi sita,naweza kuchukulia mkopo kutokana na hio nyumba. kama kuna taasisi binafsi hata Bank ambazo bado wanakubali kuchukua nyaraka za Nyumba ili nipate Mikopo nakuombeni Ushirikiano wenu wa hali na mali.
Asanteni .
Akijitokea Mkopeshaji ataiona tuMkuu unataka kuwauzia benk nyumba Yako kwa milion 50 , hebu weka kwanza picha hiyo nyumba Kama inathamani ya 50M
Sawa mkuu asante kwa mchango wako piaJaribu ku-google bank kadhaa kwenye mtandao uone ipi inaweza kukupatia mkopo kutokana na Asset uliyonayo;baada ya hapo fika ofisini kwao idara ya mikopo kwa maelezo. Au kama wazo lako unaliamini lina faida.....uza nyumba yako utekeleze ndoto yako;kidogo ulichonacho kitakupa fursa kwenda hatua nyingine.
Ndio hivyo mkuu,kukopeshwa 50M kwa mtu asiyekuwa na 'cashflow' inayoeleweka ni ngumu...ndio maana tunashauriwa tuanze kidogokidogo baadaye ndio tuikuze biashara. Wazo lingine ambalo ni gumu pia,ungeweza kuweka mchanganuo wa biashara unayotaka kufanya...ili wadau waupime ikiwezekana wachangie kwa mfumo wa hisa.Sawa mkuu asante kwa mchango wako pia
ha ha ha we unapenda mawe sana....mkopeshe 50M maisha yaendelee mkuuEeeeeh nilivyooona jina nilijua ni ex wangu... Baada ya kusoma kichomo ndani kumbe sie lol
MI mwenyew natafuta mtu anikopeshe million mbili hapa sijampata bado hamsini nitazitoa wapiha ha ha we unapenda mawe sana....mkopeshe 50M maisha yaendelee mkuu
We unataka hizo ufanyie nini...toa mchanganuoMI mwenyew natafuta mtu anikopeshe million mbili hapa sijampata bado hamsini nitazitoa wapi