Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mzee wewe unge ila?You in the trap brother...🤨
Unatumika, unatumiwa na wajanja wachache kujineemesha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wewe unge ila?You in the trap brother...🤨
Unatumika, unatumiwa na wajanja wachache kujineemesha...
Unajua hiyo pesa kuingia kwenye account yake twice haikua bahati mbaya.Mzee wewe unge ila?
Mzee Wacha siasa, hebu sema unge zila?Unajua hiyo pesa kuingia kwenye account yake twice haikua bahati mbaya.
Hapo wajomba walichomeka mshahara wa mtu hewa kisha wakaupitisha kwenye account ya huyo jamaa then alipo ipata wakampigia kwamba imekosewa na wakamwambia airudishe kwenye account namba nyingine ambayo ndio yakwao
Ningeziacha kwenye account ili nione kama wamezihamisha then baada ya hapo ningeamua nini la kufanyaMzee Wacha siasa, hebu sema unge zila?
Tatizo bank huwashindi mbinu.Em waweke kwangu hizo pesa, mbona watafurahi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakizihamisha jukwaju hiyo inakuwa siyo fraud, inakuwa waliziingiza kimakosa kweli.Ningeziacha kwenye account ili nione kama wamezihamisha then baada ya hapo ningeamua nini la kufanya
Hicho ndicho nami ninge fanya, siku waki nitumia nita kushitua tukutane kwa mwajuma😂😂Ningeziacha kwenye account ili nione kama wamezihamisha then baada ya hapo ningeamua nini la kufanya
Pesa inachepushwa kimya kimya sahizi ipige ilikua ni shilingi ngapiNaomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).
Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.
Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
Ulipanic na kuchoma mafuta bure Moshi, msala haukukuhusu.Rudish
a ndugu hizo helà hazijawahi mwacha mtu salama kakaa
Nov 6 saa 05pm. Niko na jirani Yangu pub Moja hiki kisanga wewee
Akasikia msg..kuangalia akakuta imetumwa mil 4.5 kwenye simu yake akaniita PEMBEN
NKAMWAMBIA mpigie mhusika mwambie Niko pub ninywe ngapi narudisha helà zako
Akaniona fala akawahi kawe AKATOA helà
Ukweli sikuacha kuzitumia maana nimejua wajibu wangu nimemwelekeza kama kaamua woi
Akanipa lakimoja
Akanihesabia 4.2. Br kaniwekee home kwako
Hiki kilak 2 tukiwashe woiii NKAMWAMBIA ajwa
Nkawahi home nkazificha.. nkarudi pub tukaagiza mbuzi PEMBEN kukaa Shiba nkamshauri kaka nipe nizidhek niwe nalipa bill wanakuletea hamad akanipa...nusu saa tukaanza kunywa
Sasa sisi wanywabia kwa akili tunajua kesho..NKASEMA hapa tukianza beer zinaishia nkamshauri tuweke konyagi akasema m nani nipinge kaka..nkaita konyagai mbili nkakaribisha wah flan lamba mzigo kaka anakunywa anakunywaa anakunywaaaa weweeee NKAONA ananza kukoroma
Nikaomba dada niandikie billi Saini akanletea nkabaki NAYO...kijana AKAOMBA iitwe bajaji aende home nkampeleka AKASHUKURU sana
Asbh akaamka. Akapigaa kakaaa upoo wapii dah wameniibiaa Salio lote naamka asbh HATA 500 hazipo mfukoni NKAMWAMBIA pole sana m nilitoka baadae nkarudi nkakukuta hoi
Kijana AKAOMBA kwenye mil 4.2 nichukue lak 2 na NDIE nitakuwa nalipa NKAMWAMBIA ajwa
Tukaenjoy kama wiki nzima na Ile helà m na br tu
Wiki inayofwata akaweka mil 2 kwa wanae WA shule nikabaki na mil 2
Wiki yaa tatu nkamshauri twende ukanunue vitabu vya wanao vya mwakani wote watatu..tukanunue na madaftari yao yotee wote watatu...
Tukanunue soksi viatu vyaoa pair NNE NNE wote watatu akanikumbatia dah br unanipenda unapoenda sana wanao
TUKAENDA SEHEMU tukapiga beer tatu akataka ya NNE nkampa HAPO namm nimejipanga kununua na vya wanangu wote wako wawili
Kaka AKAOMBA Naomba ukanunue tu wako form three na four dah .natoka nkaenda elite pale njia ya KWENDA massana
Nkaagiza vitabu vya form two vyote nkaagiza Tena form two vya wanangu
Nkaagiza vya form three ......wanafunzi wawili wangu na wake
Nkaagiza vya form four mtoto MMOJA wake
Nkanunua compass kama zote begizao watoto watano...
Nkanunua daftari makwaya 4 /
11 watoto watano nkalipa
Nkaenda dukani nkanunua soksi pair sita kila mtoto x 5
Bahati PEMBEN kuna MADUKA ya viatu nkanunua pair tatu kwa wanangu wote wake sikuweza sikuwa na namba za viatu
Nkaenda home NKATOA vyangu NKACHUKUA vyake nkarudi bar nkamwonyesha resit nkampa ahifadhi NKAMWAMBIA zimebaki kadhaa akasema bal tunza ..no p
Tukwaita pikipik wakapeleka kwake vitu tutaendelea na mvinyo ukweli kwenye helà mi sinywi beer nakunywa wine nzito red
Siku inayofwata akaja home nkamwonyesha bal AKASHUKURU nkampa akamwita wife akampa laki akaitwa wanangu akawapa 50 wawili
Baba nkaapewa laki Tena HAPO na bal nimehifadhi za kutosha
Akachukua bal akaondoka jion kama kawa akawa ananiita analipa yeye kwa sasa
Niko airport napigiwa naambiwa....kakayako jirani yako kakamatwa eeh..nn we si ULIKUWA unatumia nae kamtoe ..mmh nkafikia home nkaelezewa jamaa ANAKULA monde iKAJA land cruiser ikasimama kwa mbali wakatoa simu ZAO Nje wanazisimamisha baadae WAKARUDISha NDAN cruiser ikawa inasogea kumbe jamaa Wana mtruck gafla walipofika pub wakapiga kuangalia Yuko pale ama maeneo Yale
Kupiga kijana kapokea akasalimiwaa vizuri jamaa wakaenda kupaki wakatoka MMOJA MMOJA KWENDA Pub wakagiza maji soda na mwingine akagiza wine akanywa wakiendelea kunywa wakianza kuuliza unaitwa bwana Brian ndio ..Brian yyyu ndio za kwakoo nzuri..jamaa akamuuliza unanikumbuka hapana ulisoma shule flan ndio nilisoma pamoja...ooh karibu sana
Yaliyofwata ..NDUGU TUNAOMBA ukatusaidie kidogo KUNA pesa ilitumwa simsuyako gafla ikatolewa
BAADA ya kutolewa ukaazima simu eeeh sawa si sawa n sawa s..kwanza tunaka kujua iliobakia sh ngapi akasema mil 1.2 akaombwa azikabidhi akaenda najamaanwakazichukua akakabidhi
NXTY wakaenda nae kituon woi nkazima na mm simu nkasafiri Moshi
BAADA ya wiki nkambiwa NDUGU WAMELIPA mil 2 na wamhaidi kumlipa kiasi flan kila wiki
Jamaa Yuko MTAANI..akaniylizia akambiwa mdogo wako kaenda Moshi hahahaaaa mbona apatikan
Nkachat na wife line ya watu vipi huko akasema AMeTOKA njoo
Nkawasha simu nkampigia akajibu kakaa mahabusu Haina wenyewe nn kaka pole sana sana YAAN siku unachukuliwa nimefiwa NKAONDOKA na special hire usiku...akanielezea kaka tumenjoy helà za watuu zimentokea puani aisee pole sana mkuu
Toka sikuhio nikiona helà siielewi woii narudisha kabisa na BAADA e natumiwa ya ahsante
Mkuu mwenyew imekuta desemba yaani sku mshagara unaingia ndo sku pesa imeingia kimaKosa tena kiasi kilekile,ila skuwa notified. Niljua baada ya kuchek balance maana nikuwa nmedepoisit vihela kadhaa sku chacche nyuma. Niliiacha wiki kadhaa then nkaenda kuchukua bank statement kujua pesa imetoka wap.Nenda kwa branch manager, keep records za barua kuomba kufanywa marekebisho kuzuia tatizo.
Andika barua hardcopy au email kisha tunza sehemu salama.
Kuna siku unaweza kujikuta upo mikononi mwa vyombo vya sheria mfanyakazi hewa unaibia pesa taasisi fulani, au umepokea fedha ya ufisadi ukatakiwa urudishe au ukapewa kesi ya uhujumu uchumi.
Unaweza pia kupewa kesi ya kutakatisha fedha.
Kuna mtu anafanya makusudi.
TATIZO JF UONGO MWINGI, unaweza kukuta hii habari siyo ya kweli unapoteza muda kutoa ushauri.
Wakikudai tena waambie wajieleze kwa maandishi ni kwa nini kila wakati wanakosea kutuma mihamala halafu inakuja kwako.Naomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).
Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.
Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
Usimuliaji wako unachekesha sana.Rudish
a ndugu hizo helà hazijawahi mwacha mtu salama kakaa
Nov 6 saa 05pm. Niko na jirani Yangu pub Moja hiki kisanga wewee
Akasikia msg..kuangalia akakuta imetumwa mil 4.5 kwenye simu yake akaniita PEMBEN
NKAMWAMBIA mpigie mhusika mwambie Niko pub ninywe ngapi narudisha helà zako
Akaniona fala akawahi kawe AKATOA helà
Ukweli sikuacha kuzitumia maana nimejua wajibu wangu nimemwelekeza kama kaamua woi
Akanipa lakimoja
Akanihesabia 4.2. Br kaniwekee home kwako
Hiki kilak 2 tukiwashe woiii NKAMWAMBIA ajwa
Nkawahi home nkazificha.. nkarudi pub tukaagiza mbuzi PEMBEN kukaa Shiba nkamshauri kaka nipe nizidhek niwe nalipa bill wanakuletea hamad akanipa...nusu saa tukaanza kunywa
Sasa sisi wanywabia kwa akili tunajua kesho..NKASEMA hapa tukianza beer zinaishia nkamshauri tuweke konyagi akasema m nani nipinge kaka..nkaita konyagai mbili nkakaribisha wah flan lamba mzigo kaka anakunywa anakunywaa anakunywaaaa weweeee NKAONA ananza kukoroma
Nikaomba dada niandikie billi Saini akanletea nkabaki NAYO...kijana AKAOMBA iitwe bajaji aende home nkampeleka AKASHUKURU sana
Asbh akaamka. Akapigaa kakaaa upoo wapii dah wameniibiaa Salio lote naamka asbh HATA 500 hazipo mfukoni NKAMWAMBIA pole sana m nilitoka baadae nkarudi nkakukuta hoi
Kijana AKAOMBA kwenye mil 4.2 nichukue lak 2 na NDIE nitakuwa nalipa NKAMWAMBIA ajwa
Tukaenjoy kama wiki nzima na Ile helà m na br tu
Wiki inayofwata akaweka mil 2 kwa wanae WA shule nikabaki na mil 2
Wiki yaa tatu nkamshauri twende ukanunue vitabu vya wanao vya mwakani wote watatu..tukanunue na madaftari yao yotee wote watatu...
Tukanunue soksi viatu vyaoa pair NNE NNE wote watatu akanikumbatia dah br unanipenda unapoenda sana wanao
TUKAENDA SEHEMU tukapiga beer tatu akataka ya NNE nkampa HAPO namm nimejipanga kununua na vya wanangu wote wako wawili
Kaka AKAOMBA Naomba ukanunue tu wako form three na four dah .natoka nkaenda elite pale njia ya KWENDA massana
Nkaagiza vitabu vya form two vyote nkaagiza Tena form two vya wanangu
Nkaagiza vya form three ......wanafunzi wawili wangu na wake
Nkaagiza vya form four mtoto MMOJA wake
Nkanunua compass kama zote begizao watoto watano...
Nkanunua daftari makwaya 4 /
11 watoto watano nkalipa
Nkaenda dukani nkanunua soksi pair sita kila mtoto x 5
Bahati PEMBEN kuna MADUKA ya viatu nkanunua pair tatu kwa wanangu wote wake sikuweza sikuwa na namba za viatu
Nkaenda home NKATOA vyangu NKACHUKUA vyake nkarudi bar nkamwonyesha resit nkampa ahifadhi NKAMWAMBIA zimebaki kadhaa akasema bal tunza ..no p
Tukwaita pikipik wakapeleka kwake vitu tutaendelea na mvinyo ukweli kwenye helà mi sinywi beer nakunywa wine nzito red
Siku inayofwata akaja home nkamwonyesha bal AKASHUKURU nkampa akamwita wife akampa laki akaitwa wanangu akawapa 50 wawili
Baba nkaapewa laki Tena HAPO na bal nimehifadhi za kutosha
Akachukua bal akaondoka jion kama kawa akawa ananiita analipa yeye kwa sasa
Niko airport napigiwa naambiwa....kakayako jirani yako kakamatwa eeh..nn we si ULIKUWA unatumia nae kamtoe ..mmh nkafikia home nkaelezewa jamaa ANAKULA monde iKAJA land cruiser ikasimama kwa mbali wakatoa simu ZAO Nje wanazisimamisha baadae WAKARUDISha NDAN cruiser ikawa inasogea kumbe jamaa Wana mtruck gafla walipofika pub wakapiga kuangalia Yuko pale ama maeneo Yale
Kupiga kijana kapokea akasalimiwaa vizuri jamaa wakaenda kupaki wakatoka MMOJA MMOJA KWENDA Pub wakagiza maji soda na mwingine akagiza wine akanywa wakiendelea kunywa wakianza kuuliza unaitwa bwana Brian ndio ..Brian yyyu ndio za kwakoo nzuri..jamaa akamuuliza unanikumbuka hapana ulisoma shule flan ndio nilisoma pamoja...ooh karibu sana
Yaliyofwata ..NDUGU TUNAOMBA ukatusaidie kidogo KUNA pesa ilitumwa simsuyako gafla ikatolewa
BAADA ya kutolewa ukaazima simu eeeh sawa si sawa n sawa s..kwanza tunaka kujua iliobakia sh ngapi akasema mil 1.2 akaombwa azikabidhi akaenda najamaanwakazichukua akakabidhi
NXTY wakaenda nae kituon woi nkazima na mm simu nkasafiri Moshi
BAADA ya wiki nkambiwa NDUGU WAMELIPA mil 2 na wamhaidi kumlipa kiasi flan kila wiki
Jamaa Yuko MTAANI..akaniylizia akambiwa mdogo wako kaenda Moshi hahahaaaa mbona apatikan
Nkachat na wife line ya watu vipi huko akasema AMeTOKA njoo
Nkawasha simu nkampigia akajibu kakaa mahabusu Haina wenyewe nn kaka pole sana sana YAAN siku unachukuliwa nimefiwa NKAONDOKA na special hire usiku...akanielezea kaka tumenjoy helà za watuu zimentokea puani aisee pole sana mkuu
Toka sikuhio nikiona helà siielewi woii narudisha kabisa na BAADA e natumiwa ya ahsante
Huo ni mtego. Kuna siku utakuta deni kwenye account yako hutaamini. Wakikwambia uitume kwenda account tofauti na ile iliyotuma pesa kuja kwako, nenda bank yako kisha hamisha pesa kutoka kwako kwenda kwenye account husika. Au omba kuonana na meneja wa tawi na umwambie warudishe muamala husika kwa aliyeutuma.Naomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).
Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.
Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
Yani bank wanatuma hela kwenye laini yako au vipi mkuuHili suala ni kweli
Hata mm limenitokea mwaka juzi nilipokea mara mbili kutoka benk moja
Na wiki iliyopita nimepokea kutoka benk nyengine
Tofauti yangu na mtoa mada mm hazioneshi ni za nn
Mara ya kwanza nilipigiwa cm,baada ya ushauri wa mtu wa benk,nikaambiwa nisilipe hadi bank iliyotuma watazirudisha kwao wenyewe kupitia mfumo
Kitendo cha kuwalipa waliogiga cm haitakiwi,kwa sababu watenda kusema hawajapokea,nikaziacha mpaka nikazitumia sikupigiwa cm tena
Za juzi pia nimeziacha na mpaka leo hii sijapigiwa cm yyt
Na sina acc katika benk hizi,wananitumia kwenye cm yangu tu,ila ujumbe unakuja ni kutoka bank
WAlishanitumia hii mara ya tatuYani bank wanatuma hela kwenye laini yako au vipi mkuu