Bank kutuma pesa kimakosa

Bank kutuma pesa kimakosa

Mzee wewe unge ila?
Unajua hiyo pesa kuingia kwenye account yake twice haikua bahati mbaya.
Hapo wajomba walichomeka mshahara wa mtu hewa kisha wakaupitisha kwenye account ya huyo jamaa then alipo ipata wakampigia kwamba imekosewa na wakamwambia airudishe kwenye account namba nyingine ambayo ndio yakwao
 
Unajua hiyo pesa kuingia kwenye account yake twice haikua bahati mbaya.
Hapo wajomba walichomeka mshahara wa mtu hewa kisha wakaupitisha kwenye account ya huyo jamaa then alipo ipata wakampigia kwamba imekosewa na wakamwambia airudishe kwenye account namba nyingine ambayo ndio yakwao
Mzee Wacha siasa, hebu sema unge zila?
 
Em waweke kwangu hizo pesa, mbona watafurahi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo bank huwashindi mbinu.

Hela ikiingizwa kwako kimakosa ukaila, elewa umejikopesha bila kujaza fomu.

Zipo sheria zinazokubana mteja kuwa mwaminifu na kurejesha fedha zinazotua kwako kimakosa, lakini bank huwa hawajishughulishi na kesi bali wanashughulika na account yako tu.

Kama ni mfanyakazi na mshahara wako unapitia bank hiyo ndiyo kabisaa, hawahangaiki na wewe!

Kuna program wanaitega kwenye account yako, kila pesa itakayoingia utaiona lakini ukiangalia salio utaikuta imening'inizwa juu, huwezi kuitoa.

Na hawana huruma hadi kiasi ulichochukua kitakapomalizika.
 
Ningeziacha kwenye account ili nione kama wamezihamisha then baada ya hapo ningeamua nini la kufanya
Wakizihamisha jukwaju hiyo inakuwa siyo fraud, inakuwa waliziingiza kimakosa kweli.

Ila wakikubembeleza uzihamishie account nyingine, elewa kuwa huo ni mchezo.
 
Naomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).

Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.

Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
Pesa inachepushwa kimya kimya sahizi ipige ilikua ni shilingi ngapi
 
Rudish

a ndugu hizo helà hazijawahi mwacha mtu salama kakaa

Nov 6 saa 05pm. Niko na jirani Yangu pub Moja hiki kisanga wewee

Akasikia msg..kuangalia akakuta imetumwa mil 4.5 kwenye simu yake akaniita PEMBEN

NKAMWAMBIA mpigie mhusika mwambie Niko pub ninywe ngapi narudisha helà zako


Akaniona fala akawahi kawe AKATOA helà

Ukweli sikuacha kuzitumia maana nimejua wajibu wangu nimemwelekeza kama kaamua woi

Akanipa lakimoja

Akanihesabia 4.2. Br kaniwekee home kwako
Hiki kilak 2 tukiwashe woiii NKAMWAMBIA ajwa

Nkawahi home nkazificha.. nkarudi pub tukaagiza mbuzi PEMBEN kukaa Shiba nkamshauri kaka nipe nizidhek niwe nalipa bill wanakuletea hamad akanipa...nusu saa tukaanza kunywa
Sasa sisi wanywabia kwa akili tunajua kesho..NKASEMA hapa tukianza beer zinaishia nkamshauri tuweke konyagi akasema m nani nipinge kaka..nkaita konyagai mbili nkakaribisha wah flan lamba mzigo kaka anakunywa anakunywaa anakunywaaaa weweeee NKAONA ananza kukoroma

Nikaomba dada niandikie billi Saini akanletea nkabaki NAYO...kijana AKAOMBA iitwe bajaji aende home nkampeleka AKASHUKURU sana

Asbh akaamka. Akapigaa kakaaa upoo wapii dah wameniibiaa Salio lote naamka asbh HATA 500 hazipo mfukoni NKAMWAMBIA pole sana m nilitoka baadae nkarudi nkakukuta hoi

Kijana AKAOMBA kwenye mil 4.2 nichukue lak 2 na NDIE nitakuwa nalipa NKAMWAMBIA ajwa

Tukaenjoy kama wiki nzima na Ile helà m na br tu

Wiki inayofwata akaweka mil 2 kwa wanae WA shule nikabaki na mil 2

Wiki yaa tatu nkamshauri twende ukanunue vitabu vya wanao vya mwakani wote watatu..tukanunue na madaftari yao yotee wote watatu...
Tukanunue soksi viatu vyaoa pair NNE NNE wote watatu akanikumbatia dah br unanipenda unapoenda sana wanao

TUKAENDA SEHEMU tukapiga beer tatu akataka ya NNE nkampa HAPO namm nimejipanga kununua na vya wanangu wote wako wawili

Kaka AKAOMBA Naomba ukanunue tu wako form three na four dah .natoka nkaenda elite pale njia ya KWENDA massana

Nkaagiza vitabu vya form two vyote nkaagiza Tena form two vya wanangu

Nkaagiza vya form three ......wanafunzi wawili wangu na wake

Nkaagiza vya form four mtoto MMOJA wake

Nkanunua compass kama zote begizao watoto watano...

Nkanunua daftari makwaya 4 /
11 watoto watano nkalipa

Nkaenda dukani nkanunua soksi pair sita kila mtoto x 5

Bahati PEMBEN kuna MADUKA ya viatu nkanunua pair tatu kwa wanangu wote wake sikuweza sikuwa na namba za viatu

Nkaenda home NKATOA vyangu NKACHUKUA vyake nkarudi bar nkamwonyesha resit nkampa ahifadhi NKAMWAMBIA zimebaki kadhaa akasema bal tunza ..no p

Tukwaita pikipik wakapeleka kwake vitu tutaendelea na mvinyo ukweli kwenye helà mi sinywi beer nakunywa wine nzito red

Siku inayofwata akaja home nkamwonyesha bal AKASHUKURU nkampa akamwita wife akampa laki akaitwa wanangu akawapa 50 wawili
Baba nkaapewa laki Tena HAPO na bal nimehifadhi za kutosha
Akachukua bal akaondoka jion kama kawa akawa ananiita analipa yeye kwa sasa

Niko airport napigiwa naambiwa....kakayako jirani yako kakamatwa eeh..nn we si ULIKUWA unatumia nae kamtoe ..mmh nkafikia home nkaelezewa jamaa ANAKULA monde iKAJA land cruiser ikasimama kwa mbali wakatoa simu ZAO Nje wanazisimamisha baadae WAKARUDISha NDAN cruiser ikawa inasogea kumbe jamaa Wana mtruck gafla walipofika pub wakapiga kuangalia Yuko pale ama maeneo Yale


Kupiga kijana kapokea akasalimiwaa vizuri jamaa wakaenda kupaki wakatoka MMOJA MMOJA KWENDA Pub wakagiza maji soda na mwingine akagiza wine akanywa wakiendelea kunywa wakianza kuuliza unaitwa bwana Brian ndio ..Brian yyyu ndio za kwakoo nzuri..jamaa akamuuliza unanikumbuka hapana ulisoma shule flan ndio nilisoma pamoja...ooh karibu sana

Yaliyofwata ..NDUGU TUNAOMBA ukatusaidie kidogo KUNA pesa ilitumwa simsuyako gafla ikatolewa

BAADA ya kutolewa ukaazima simu eeeh sawa si sawa n sawa s..kwanza tunaka kujua iliobakia sh ngapi akasema mil 1.2 akaombwa azikabidhi akaenda najamaanwakazichukua akakabidhi

NXTY wakaenda nae kituon woi nkazima na mm simu nkasafiri Moshi

BAADA ya wiki nkambiwa NDUGU WAMELIPA mil 2 na wamhaidi kumlipa kiasi flan kila wiki

Jamaa Yuko MTAANI..akaniylizia akambiwa mdogo wako kaenda Moshi hahahaaaa mbona apatikan
Nkachat na wife line ya watu vipi huko akasema AMeTOKA njoo

Nkawasha simu nkampigia akajibu kakaa mahabusu Haina wenyewe nn kaka pole sana sana YAAN siku unachukuliwa nimefiwa NKAONDOKA na special hire usiku...akanielezea kaka tumenjoy helà za watuu zimentokea puani aisee pole sana mkuu

Toka sikuhio nikiona helà siielewi woii narudisha kabisa na BAADA e natumiwa ya ahsante
Ulipanic na kuchoma mafuta bure Moshi, msala haukukuhusu.
Kula naye siyo kufa naye.
 
Nenda kwa branch manager, keep records za barua kuomba kufanywa marekebisho kuzuia tatizo.
Andika barua hardcopy au email kisha tunza sehemu salama.
Kuna siku unaweza kujikuta upo mikononi mwa vyombo vya sheria mfanyakazi hewa unaibia pesa taasisi fulani, au umepokea fedha ya ufisadi ukatakiwa urudishe au ukapewa kesi ya uhujumu uchumi.

Unaweza pia kupewa kesi ya kutakatisha fedha.
Kuna mtu anafanya makusudi.

TATIZO JF UONGO MWINGI, unaweza kukuta hii habari siyo ya kweli unapoteza muda kutoa ushauri.
Mkuu mwenyew imekuta desemba yaani sku mshagara unaingia ndo sku pesa imeingia kimaKosa tena kiasi kilekile,ila skuwa notified. Niljua baada ya kuchek balance maana nikuwa nmedepoisit vihela kadhaa sku chacche nyuma. Niliiacha wiki kadhaa then nkaenda kuchukua bank statement kujua pesa imetoka wap.

Baadae jua la January lilivyokuwa kali nkaipiga panga kias flan. Mwishon mwa Jan mwishon watu wa bank husika wakanipigia sim, nkawauliza how walikosea wakanieleza maelezo yaliyo nilidhisha nkawaomba wamwambie huyo mkoseaji asirudie kukosea staki usumbufu.
 
Noma mzee unatumika hapoo.. Kama wamekosea tena waambie watu wa bank nfo warudishe hizo hela ila Ukizituma wew kwa Acc namna nyingine Asilimia 100 kikiumana na wewe upo kwenye msalaaa..! Mambo ya hela noma mzeee unaweza jikuta kwenye majanga bila kutarajia.
 
Naomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).

Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.

Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
Wakikudai tena waambie wajieleze kwa maandishi ni kwa nini kila wakati wanakosea kutuma mihamala halafu inakuja kwako.
Isije ikawa kuna wafanyakazi wanaiba hizo hela kijanja kwa kuzichepusha kwako sasa mwisho wa siku wakikamatwa na wewe utaonekana mnashirikiana kuiba pamoja.
Kwa hiyo lazima uweke njia za kuwa na ushahidi likitokea lolote baadae.
 
Rudish

a ndugu hizo helà hazijawahi mwacha mtu salama kakaa

Nov 6 saa 05pm. Niko na jirani Yangu pub Moja hiki kisanga wewee

Akasikia msg..kuangalia akakuta imetumwa mil 4.5 kwenye simu yake akaniita PEMBEN

NKAMWAMBIA mpigie mhusika mwambie Niko pub ninywe ngapi narudisha helà zako


Akaniona fala akawahi kawe AKATOA helà

Ukweli sikuacha kuzitumia maana nimejua wajibu wangu nimemwelekeza kama kaamua woi

Akanipa lakimoja

Akanihesabia 4.2. Br kaniwekee home kwako
Hiki kilak 2 tukiwashe woiii NKAMWAMBIA ajwa

Nkawahi home nkazificha.. nkarudi pub tukaagiza mbuzi PEMBEN kukaa Shiba nkamshauri kaka nipe nizidhek niwe nalipa bill wanakuletea hamad akanipa...nusu saa tukaanza kunywa
Sasa sisi wanywabia kwa akili tunajua kesho..NKASEMA hapa tukianza beer zinaishia nkamshauri tuweke konyagi akasema m nani nipinge kaka..nkaita konyagai mbili nkakaribisha wah flan lamba mzigo kaka anakunywa anakunywaa anakunywaaaa weweeee NKAONA ananza kukoroma

Nikaomba dada niandikie billi Saini akanletea nkabaki NAYO...kijana AKAOMBA iitwe bajaji aende home nkampeleka AKASHUKURU sana

Asbh akaamka. Akapigaa kakaaa upoo wapii dah wameniibiaa Salio lote naamka asbh HATA 500 hazipo mfukoni NKAMWAMBIA pole sana m nilitoka baadae nkarudi nkakukuta hoi

Kijana AKAOMBA kwenye mil 4.2 nichukue lak 2 na NDIE nitakuwa nalipa NKAMWAMBIA ajwa

Tukaenjoy kama wiki nzima na Ile helà m na br tu

Wiki inayofwata akaweka mil 2 kwa wanae WA shule nikabaki na mil 2

Wiki yaa tatu nkamshauri twende ukanunue vitabu vya wanao vya mwakani wote watatu..tukanunue na madaftari yao yotee wote watatu...
Tukanunue soksi viatu vyaoa pair NNE NNE wote watatu akanikumbatia dah br unanipenda unapoenda sana wanao

TUKAENDA SEHEMU tukapiga beer tatu akataka ya NNE nkampa HAPO namm nimejipanga kununua na vya wanangu wote wako wawili

Kaka AKAOMBA Naomba ukanunue tu wako form three na four dah .natoka nkaenda elite pale njia ya KWENDA massana

Nkaagiza vitabu vya form two vyote nkaagiza Tena form two vya wanangu

Nkaagiza vya form three ......wanafunzi wawili wangu na wake

Nkaagiza vya form four mtoto MMOJA wake

Nkanunua compass kama zote begizao watoto watano...

Nkanunua daftari makwaya 4 /
11 watoto watano nkalipa

Nkaenda dukani nkanunua soksi pair sita kila mtoto x 5

Bahati PEMBEN kuna MADUKA ya viatu nkanunua pair tatu kwa wanangu wote wake sikuweza sikuwa na namba za viatu

Nkaenda home NKATOA vyangu NKACHUKUA vyake nkarudi bar nkamwonyesha resit nkampa ahifadhi NKAMWAMBIA zimebaki kadhaa akasema bal tunza ..no p

Tukwaita pikipik wakapeleka kwake vitu tutaendelea na mvinyo ukweli kwenye helà mi sinywi beer nakunywa wine nzito red

Siku inayofwata akaja home nkamwonyesha bal AKASHUKURU nkampa akamwita wife akampa laki akaitwa wanangu akawapa 50 wawili
Baba nkaapewa laki Tena HAPO na bal nimehifadhi za kutosha
Akachukua bal akaondoka jion kama kawa akawa ananiita analipa yeye kwa sasa

Niko airport napigiwa naambiwa....kakayako jirani yako kakamatwa eeh..nn we si ULIKUWA unatumia nae kamtoe ..mmh nkafikia home nkaelezewa jamaa ANAKULA monde iKAJA land cruiser ikasimama kwa mbali wakatoa simu ZAO Nje wanazisimamisha baadae WAKARUDISha NDAN cruiser ikawa inasogea kumbe jamaa Wana mtruck gafla walipofika pub wakapiga kuangalia Yuko pale ama maeneo Yale


Kupiga kijana kapokea akasalimiwaa vizuri jamaa wakaenda kupaki wakatoka MMOJA MMOJA KWENDA Pub wakagiza maji soda na mwingine akagiza wine akanywa wakiendelea kunywa wakianza kuuliza unaitwa bwana Brian ndio ..Brian yyyu ndio za kwakoo nzuri..jamaa akamuuliza unanikumbuka hapana ulisoma shule flan ndio nilisoma pamoja...ooh karibu sana

Yaliyofwata ..NDUGU TUNAOMBA ukatusaidie kidogo KUNA pesa ilitumwa simsuyako gafla ikatolewa

BAADA ya kutolewa ukaazima simu eeeh sawa si sawa n sawa s..kwanza tunaka kujua iliobakia sh ngapi akasema mil 1.2 akaombwa azikabidhi akaenda najamaanwakazichukua akakabidhi

NXTY wakaenda nae kituon woi nkazima na mm simu nkasafiri Moshi

BAADA ya wiki nkambiwa NDUGU WAMELIPA mil 2 na wamhaidi kumlipa kiasi flan kila wiki

Jamaa Yuko MTAANI..akaniylizia akambiwa mdogo wako kaenda Moshi hahahaaaa mbona apatikan
Nkachat na wife line ya watu vipi huko akasema AMeTOKA njoo

Nkawasha simu nkampigia akajibu kakaa mahabusu Haina wenyewe nn kaka pole sana sana YAAN siku unachukuliwa nimefiwa NKAONDOKA na special hire usiku...akanielezea kaka tumenjoy helà za watuu zimentokea puani aisee pole sana mkuu

Toka sikuhio nikiona helà siielewi woii narudisha kabisa na BAADA e natumiwa ya ahsante
Usimuliaji wako unachekesha sana.
Kaka wamechukua yote sina hata 500 mfukoni.
Eti mwenzako yuko polisi huku njoo umsaidie si mlikuwa mnatumia wote.
Kaka nimetoka,mahabusu haina mwenyewe.
Hahahaha
 
Naomba wenye kujua wanijuze hili, kuna bank furani ilituma pesa kimakosa February 1 katika account yangu... na baada ya kuchukuwa statement ikaonekana na mshahara uliolipwa kutoka kaasisi furani. (Mimi sio muajiriwa wa taasisi yoyote).

Baada ya siku tatu wakanipigia simu kupitia mtu wa bank wakitaka niwarudishie pesa yao maana wakadai walifanya makosa ya kibank.. nikawarudishia pesa yao tena kwa kutuma kwenye account ambayo wao wallpa wakidai ndiyo ya mteja ambaye alipaswa kuwekewa pesa hiya.

Sasa nashangaa tena mwezi huu wametuma pesa kama ile ile.... nawaza je ni kweli wametuma kimakosa au kuna kamchezo wanakajua wao? Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari.
Huo ni mtego. Kuna siku utakuta deni kwenye account yako hutaamini. Wakikwambia uitume kwenda account tofauti na ile iliyotuma pesa kuja kwako, nenda bank yako kisha hamisha pesa kutoka kwako kwenda kwenye account husika. Au omba kuonana na meneja wa tawi na umwambie warudishe muamala husika kwa aliyeutuma.

Hapo wanachofanya ni kutakatisha pesa na wakikamatwa wewe unakuwa mtuhumiwa pia kwasababu itaonekana ulikuwa ukipokea pesa hizo
 
Pesa ikiingizwa kimakosa kwenye akaunti ya mtu inatakiwa iwe reversed the same day kwa kutumia same system ilowekwa hio pesa kimakosa.
Ikitokea imelala kwenye akaunti ht siku 1 tu lazima ipatikane ridhaa ya aliewekewa hio pesa ndio pesa itoke......tena vyema aitoe mwenyewe mwenye akaunti. Bank kutoa hela toka kwenye akaunti ya mteja hata km ilikosewa ni makosa makubwa. Tena muhusika anaweza hata kui-sue bank km atataka.
Ndio maana huwa wanamtafuta mteja arudishe. Au wanai-hold asiweze kutoa kile kiasi. Au wanaondoa facilities zote za kutoa hela mpk ujipeleke bank mwenyewe...
Kuhusu kuwekwa mara ya pili inawezekana kuna uzembe toka kampuni ya wanaolipa huo mshahara ndio wamekosea namba. Tena inawezekana wanarusha wenyewe kwa EFT. Bank inawasaidia tu kukutafuta wewe kwa sababu ndio wana contacts zako.
Akaunti kutumika kwa money laundering sio rahisi kuchagua tu akaunti yyt. Wangefungua wao akaunti ya kuitumia na wanakuwa tayari ni mtu wao. Hawawezi kupick tu randomly akaunti ya mteja wasiemjua.
 
Kwa kuwarudishia kwa kuwatumia kwenda account nyengine unahalalisha wizi wao na huo mchezo mwisho wa siku itakuletea shida, Muhimu kama wamekosea kuweka pesa kwako wao wanapaswa kuitoa wenyewe kama walivyo iweka na si vinginevyo
 
Hili suala ni kweli
Hata mm limenitokea mwaka juzi nilipokea mara mbili kutoka benk moja
Na wiki iliyopita nimepokea kutoka benk nyengine
Tofauti yangu na mtoa mada mm hazioneshi ni za nn
Mara ya kwanza nilipigiwa cm,baada ya ushauri wa mtu wa benk,nikaambiwa nisilipe hadi bank iliyotuma watazirudisha kwao wenyewe kupitia mfumo
Kitendo cha kuwalipa waliogiga cm haitakiwi,kwa sababu watenda kusema hawajapokea,nikaziacha mpaka nikazitumia sikupigiwa cm tena
Za juzi pia nimeziacha na mpaka leo hii sijapigiwa cm yyt
Na sina acc katika benk hizi,wananitumia kwenye cm yangu tu,ila ujumbe unakuja ni kutoka bank
Yani bank wanatuma hela kwenye laini yako au vipi mkuu
 
Yani bank wanatuma hela kwenye laini yako au vipi mkuu
WAlishanitumia hii mara ya tatu
Katika line yangu
Na benk ya kwanza mara mbili
Na hii ya hivi karibuni ni benki tofauti na ya mwanz mara 1
KIwango hakitofautiani sana kilichotumwa,ni 3k na kidogo
 
Back
Top Bottom