Bank of Tanzania has a RESERVE of $5 Billion.

Kwote umepatatia ila hapo kwenye miaka ishirini ndipo ulipoharibu uzi wote
 
Mkuu unataka kuleta ubishi tu.
Erdogan kajiongezea muda wa kutawala kwa kubadilisha katiba 2007. Erdogan alikuwa Prime Minister kama alivyo Angela Merkel au Netanyahu.
Akabadilisha katiba ili Rais achaguliwe by popular vote instead of The Parliament.
Kuhusu Russia, itabidi uache kujidanganya mwenyewe.
 
How is it related with the use of local currency in our country!!??
Its called foreign-exchange reserve for a reason .

One of the main work of the central bank is to regulate currency and protect the currency from external shocks from global markets, market trends, too much imports without equal export.etc


The central bank has the authority to use the reserve when ever or wherever they see fit in order to protect the shilling , therefore if the shilling has been falling while reserves have been rising, it means the central bank chief has been letting the shilling down in order to collect moreoney for the reserve
 
Hivi na wewe kweli unamuamini huyu baba. Si ndio huyu alisema alikuta sukari tsh 5000/
Vipi mbona hana bil 78 kulipia deni la ndege zije??
 
Kwahiyo nchi ikiwa vitani mwaka tu itabidi Mark zuckerberg aje atuokoe
 
Hivi na wewe kweli unamuamini huyu baba. Si ndio huyu alisema alikuta sukari tsh 5000/
Vipi mbona hana bil 78 kulipia deni la ndege zije??
Kosa la kutumia hotuba za wanasiasa kama sources, kama Trump ameshikwa mara nyingi akitumia data za uongo sembuse wanasiasa wa nchi za Africa ambako hakuna transparency wala account ability .
Data nitakazo ziamini ni za kutoka benki kuu ya Tz pekee
 
Mkuu unataka kuleta ubishi tu.
Erdogan kajiongezea muda wa kutawala kwa kubadilisha katiba 2007.
Akabadikisha katiba ili achaguliwe by popular vote instead of The Parliament

Ubishi wewe ndiyo unaleta. Ebu weka hapa ushahidi unaoonyesha hilo badiliko la kuongeza muda. Ninachofahamu kwenye ile constitutional referendum, badiliko kubwa ni hilo la kufanya presidency kuwa an executive post, na siyo ceremonial, ambapo Bunge lilichagua Rais. Ila presidential term bado ni ile ile miaka 5, na kugombea tena mara moja tu.

Na hilo la presidency kuwa executive post litaanza kwenye uchaguzi wao wa mwakani.

Sasa unaongelea constitutional referendum ya 2007, wakati Erdogan ni PM? Mtu ambaye kaja kugombea Urais mwaka 2014? Hiyo 2007, sikuwa Istanbul. But, nime-peruse webpages na zinaonyesha in fact presidential term ilipunguzwa kutoka miaka 7 hadi 5 hii ya sasa.

Mimi naongelea latest referendum iliyofanyika mwaka jana. Ambayo ime-cement juu ya presidential term. Angalia article 101 ya katiba yao mpya, iliyokuwa amended mwaka jana. Inasema kabisa kwamba "The term of the office of the President is five years. One person can be elected no more than twice."

Sasa sijui nani anayeleta ubishi hapa?

Erdogan alikuwa Prime Minister kama alivyo Angela Merkel au Netanyahu

Najua hili. Kwa kipindi chake PM ndiye alikuwa head of government. Sasa kuanzia mwakani nafasi ya uPM itafutwa Uturuki. Na PM upendekezwa na Rais, kwa maana hiyo Erdogan hakujiweka tu kwenye uPM. Na wala hakujiongezea muda.

Kuhusu Russia, itabidi uache kujidanganya mwenyewe.

Russia usidanganyike na mbwembwe za Putin. Hata kwenye OECD haimo. Russia wamo kwenye BRICS: Brazil, Russia, India, China na South Africa. Hizi ni emerging economies. Huwezi kusema nchi zilizoendelea kwa level ya OECD countries (ambapo Turkey ni member).

Anayejidanganya ni wewe.

Swali langu bado linasimama: nitajieni nchi moja tu ambayo incumbent president alijiongezea muda wa kutawala ili alete maendeleo.
 
Gross official foreign reserves increased to USD 5,832.0 million at the end of January 2018 from USD 4,332.4 million at end of January 2017. The reserves were sufficient to cover 6.0 months ofprojected import of goods and services,excluding FDI financed projects. Gross foreign assets of banks amounted to USD 787.3 million at the end of January 2018. SOURCE BOT.MER Feb2018 APPROVED
 
Kosa la kutumia hotuba za wanasiasa kama sources, kama Trump ameshikwa mara nyingi akitumia data za uongo sembuse wanasiasa wa nchi za Africa ambako hakuna transparency wala account ability .
Data nitakazo ziamini ni za kutoka benki kuu ya Tz pekee
source ya benki kuu ni $5.8 Billion
 
wao wanadai eti Magu nimuongo ukute hata video hawajaangalia kujua ni nani alimuuliza
 
Hivi na wewe kweli unamuamini huyu baba. Si ndio huyu alisema alikuta sukari tsh 5000/
Vipi mbona hana bil 78 kulipia deni la ndege zije??
Katika mijadala kama hii ni vizuri ukawa matured enough, sio vizuri kuleta mazungumzo ya kitoto bila kuwa na strong evidence katika mijadala ya watu wazima, ulitaka alipwe nani wakati anayedai amepeleka kesi mahakamani ili kuomba alipwe, kesi inaendelea haijakwisha na kila upande unadai una haki katika hili, kama mahakama haijatoa uamuzi, wewe unataka nchi ilipe hovyo hovyo, hiyo ni akili kweli?, subiri mahakama ikisema Tanzania inapaswa kulipa na ikishindwa kulipa ndiyo useme
 
Alikua waziri mkuu tangu 2003, akabadili katiba ili Turkey iwe inatawaliwa na executive branch. Wananchi wakampa shavu akawa rais 2014 mpaka leo anawajengeeni SGR.
Mwingine Putin.
Na kuna yule wa Singapore
 
Kosa la kutumia hotuba za wanasiasa kama sources, kama Trump ameshikwa mara nyingi akitumia data za uongo sembuse wanasiasa wa nchi za Africa ambako hakuna transparency wala account ability .
Data nitakazo ziamini ni za kutoka benki kuu ya Tz pekee
Tumeshakupatia ya benki kuu kuwa ni $5.8 billion 😀😀

MONTHLY ECONOMIC REVIEW BANK OF TANZANIA February 2018
PDFhttps://www.bot.go.tz › Publications › M...

Gross official foreign reserves increased to USD. 5,832.0 million at the end of January 2018 from. USD 4,332.4 million at end of January 2017. The reserves ...
 
Una eza hisi na yeye ana mgao wake kama pesa iki lipwa
 
Kesi inaendeleaje?? Nadhani mmeambiwa mlipwe....au je leo ametoa document ya kithibitisha aliyoyaongea au weee unameza tu
 
Kesi inaendeleaje?? Nadhani mmeambiwa mlipwe....au je leo ametoa document ya kithibitisha aliyoyaongea au weee unameza tu
Kesi iliyopo mahakamani kule Canada bado inaendelea, wewe unqzungumzia kesi ipi?, bado mahakama ya Canada iliyotoa amri ya kushikilia hiyo ndege haijamaliza kusikiliza hilo shauri.
 
Singaporean dictator ndio aliinua uchumi wa Singapore, Ghadaffi, Hosni Mubarak, Assad, merkel of Germany, xi jinping etc, don't be held hostage kwa kikaratasi chenye maandishi ya bin Adam, anaweza adhere anaweza ignore, kama mtu ana manufaa yaliyozidi sana hasara, why not go on with his/her
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…