Bank of Tanzania has a RESERVE of $5 Billion.

Bank of Tanzania has a RESERVE of $5 Billion.

You can't be serious.
There's (In)equality adjusted HDI index na hiyo ndiyo niliyo-refer. Bado Russia is better than Turkey in (In)equality adjusted HDI index.
Lakini hoja yangu ni kuhusu oligarchs wanaomiliki uchumi wa Urusi. Ndiyo maana nilisema, kwenye uchumi na demokrasia hakuna la kujifunza Urusi.
Hilo na Uturuki Vs. nimeshaliacha, naona unalikomalia kweli. None of the two are worthy examples kwa Tanzania.

Halafu nadhani huifahamu vizuri Mmarekani. I was educated in the States, I have lived in New York, DC, St. Louis and now in a small town. Life is way better in small towns and in general US has a very very high standard of living compared to almost all non scandnavian Europe

Hapa napo unaleta ubishi. Nimesema mara kadhaa kwamba nchi kama Australia, New Zealand, Uswisi, Ujerumani, Nordic countries, na Uholanzi have better standards of living than US. Hivi ndivyo nilivyosema. Sasa sijui hizo "almost all non scandnavian Europe" unayoisema ni ipi? Ukraine? Poland? Czech? Bosnia and Herzegovina? Georgia?

Kweli siifahamu Marekani vizuri. Ila kwa kipindi nilichokaa huko (Athens, GA), (Lexington, KY) na (Cullman, AL) nimepata kujifunza nilichokisema. Na uzuri, naishi Central Europe, ambapo I have travelled across Switzerland, Netherlands, Germany, Sweden, Denmark and Norway. So, I can comparatively make my point. It is waaaaay much better to live in Central Europe kuliko huko Marekani. Here, I don't need even to own a car. But, huko kwenye miji midogo Marekani, owning a car is a necessity. Education is for free, and a really good one. Marekani ili kwenda best universities lazima uwe na pesa, ufanye kazi kama mtumwa ama upate scholarship. Here, I'm never worried about rampage killers and wackos who own guns. I'm even not worried about being shot because I have a 'suspect tag' of being a black man.

And these countries ndizo zinafaa kuigwa, na wala siyo Marekani, Urusi au Uturuki. Huu ni mwisho wangu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Lakini hoja yangu ni kuhusu oligarchs wanaomiliki uchumi wa Urusi. Ndiyo maana nilisema, kwenye uchumi na demokrasia hakuna la kujifunza Urusi.
Hilo na Uturuki Vs. nimeshaliacha, naona unalikomalia kweli. None of the two are worthy examples kwa Tanzania.

Hoja yako haikuwa kuhusu Oligarchs, ulitumia oligarchs ku - cement hoja ya income inequality. There are measures of income inequality na bado Russia ina-perform better. Nadhani hoja ya Russia kuwa non. OECD kwa hiyo kuwa nchi ya hovyo umeiacha kwa sababu haina maana, it's bogus, bologna!
Hapa napo unaleta ubishi. Nimesema mara kadhaa kwamba nchi kama Australia, New Zealand, Uswisi, Ujerumani, Nordic countries, na Uholanzi have better standards of living than US. Hivi ndivyo nilivyosema. Sasa sijui hizo "almost all non scandnavian Europe" unayoisema ni ipi? Ukraine? Poland? Czech? Bosnia and Herzegovina? Georgia?

Kweli siifahamu Marekani vizuri. Ila kwa kipindi nilichokaa huko (Athens, GA), (Lexington, KY) na (Cullman, AL) nimepata kujifunza nilichokisema. Na uzuri, naishi Central Europe, ambapo I have travelled across Switzerland, Netherlands, Germany, Sweden, Denmark and Norway. So, I can comparatively make my point. It is waaaaay much better to live in Central Europe kuliko huko Marekani. Here, I don't need even to own a car. But, huko kwenye miji midogo Marekani, owning a car is a necessity. Education is for free, and a really good one. Marekani ili kwenda best universities lazima uwe na pesa, ufanye kazi kama mtumwa ama upate scholarship. Here, I'm never worried about rampage killers and wackos who own guns. I'm even not worried about being shot because I have a 'suspect tag' of being a black man.

And these countries ndizo zinafaa kuigwa, na wala siyo Marekani, Urusi au Uturuki. Huu ni mwisho wangu

Marekani ina best HDI than England, France, Sweden, Finland, Belgium,Luxembourg, Austria, New Zealand, Italy, Spain. Na unapozungumzia owning a car, unazidi ku-prove jinsi usivyoelewa. marekani, owning a car is like owning a an underwear. Matter of fact there are shoes that waay expensive than cars. I'm going through my 16th car (I only own one, don't get it twisted). Everybody in my town over the age of 16 has a car.

Marekani, living in projects is a sign of poverty. Europe is full of projects, almost 80% lives in flats, while in US house ownership is a standard. Ili kwenda best Universities marekani inabidi uwe na akili, and you will be straight. There are thousands of Europeans, and I mean thousands of them studying in State Universities (vya serikali) in US. Most State universities in US outdo a lot of Universities in Europe.

Sijui ulipoishi ila States kama huna pesa ya Shule unapewa grant, automatically, low interest Student loans na scholarship zipo bwerere kama nondo zinapanda. A lot of Americans have college degrees and their level of Innovation is beyond compare.
EU is crap!
 
Hapa napo unaleta ubishi. Nimesema mara kadhaa kwamba nchi kama Australia, New Zealand, Uswisi, Ujerumani, Nordic countries, na Uholanzi have better standards of living than US. Hivi ndivyo nilivyosema. Sasa sijui hizo "almost all non scandnavian Europe" unayoisema ni ipi? Ukraine? Poland? Czech? Bosnia and Herzegovina? Georgia?

Kweli siifahamu Marekani vizuri. Ila kwa kipindi nilichokaa huko (Athens, GA), (Lexington, KY) na (Cullman, AL) nimepata kujifunza nilichokisema. Na uzuri, naishi Central Europe, ambapo I have travelled across Switzerland, Netherlands, Germany, Sweden, Denmark and Norway. So, I can comparatively make my point. It is waaaaay much better to live in Central Europe kuliko huko Marekani. Here, I don't need even to own a car. But, huko kwenye miji midogo Marekani, owning a car is a necessity. Education is for free, and a really good one. Marekani ili kwenda best universities lazima uwe na pesa, ufanye kazi kama mtumwa ama upate scholarship. Here, I'm never worried about rampage killers and wackos who own guns. I'm even not worried about being shot because I have a 'suspect tag' of being a black man.

And these countries ndizo zinafaa kuigwa, na wala siyo Marekani, Urusi au Uturuki. Huu ni mwisho wangu.

Duh!

Mazee umekaa US kwa muda gani?

US mtu kuwa na gari ni jambo la kawaida mno yaani! Siyo big deal kabisa.

Ushawahi kwa mfano kutembelea high school yoyote ile wakati madarasa yakiwa in session? Angalia kwenye parking lot uone gari zilivyojaa! Hususan angalia upande wa student parking!

Na best universities kwa Marekani ni zipi kwa mfano? Harvard na Yale tu au? GA Tech je? University of Iowa je?

Umesoma chuo Marekani? Mimi nimesoma vyuo Marekani na sikuona wanafunzi waliokuwa wanafanya kazi kama watumwa!

Sana sana nilichoona ni wanafunzi wachache tu waliokuwa na ‘work-study’ ya kujipatia vijisenti vya hapa na pale kununulia bia na chicken wings.

Halafu, kuna nchi gani inayoishinda Marekani kwenye kupokea immigrants wengi toka pembe zote za dunia?

Marekani mimi nimeshakutana na wahamiaji wengi tu toka huko Scandinavia unakosema kuna viwango bora vya maisha!

kama huko watokako maisha ni bora zaidi kwa nini wanahamia Marekani?
 
Hoja yako haikuwa kuhusu Oligarchs, ulitumia oligarchs ku - cement hoja ya income inequality. There are measures of income inequality na bado Russia ina-perform better. !

Ndiyo, nimesema tena juu ya oligarchs kusisitiza kwamba, sidhani kama Urusi ni mfano mzuri kwa Tanzania. Swali langu la msingi lilikuwa kutajiwa nchi ambayo Rais aliyekuwa madarakani akajiongezea muda ati kwa hoja kwamba apate muda mrefu wa kuleta maendeleo. Hili mpaka sasa sijajibiwa. Mifano yako ya Urusi na Uturuki haijibu swali langu. Hakuna kwenye nchi ambako RAIS kajiongezea muda. Mtu kuwa PM, kisha kwenda kugombea Urais (na kuwa Rais aliye head of state) haijibu swali langu.

Haya ya OECD na oligarchs ni vibwagizo tu. Swali langu linabaki pale pale.

Kama hoja ni kufanya power mongering, sawa. Na hivyo ndivyo huyu kituko ******** anataka kufanya. Lakini, angalia nchi zote za Kiafrika ambazo marais wao waliojiongezea muda wa kukaa madarakani, na unitajie any successful case. I bet you 500K for this.

Nadhani hoja ya Russia kuwa non. OECD kwa hiyo kuwa nchi ya hovyo umeiacha kwa sababu haina maana, it's bogus, bologna!!

Nawe kuendelea kuiongelea ndiyo unajibu swali langu la msingi?

Marekani ina best HDI than England, France, Sweden, Finland, Belgium,Luxembourg, Austria, New Zealand, Italy, Spain. Na unapozungumzia owning a car, unazidi ku-prove jinsi usivyoelewa. !

| Human Development Reports angalia hapo. With exception of Sweden, kuna nchi ambayo nimetaja kuzijua kati hizo ulizotaja? Yaani unataja Ufaransa? Ufaransa ambako hadi kuna machinga kama wa Kariakoo? Uingereza? Ubelgiji? Na hizo nchi nyingine?!! Italia? Come on, umeshawahi hata kutembelea huko ama umezitaja tu? Mimi sikutaja hizo nchi, zaidi ya Sweden, ambayo imeshuka sana kutokana na matatizo ya: serikali kuweka -ve interest rates, ongezeko la unemployment, haswa baada la Sweden kuchukua wahamiaji sana, ambao wengi wao ni low-skilled. Ndiyo Denmark wamejifunza kwa kuweka masharti magumu (ambayo watu wengi wanahisi ni ya kibaguzi, lakini ni muhimu kwao) kwa wahamiaji, wawe ni skilled na wenye kiasi fulani cha pesa wanapoingia Denmark.

marekani, owning a car is like owning a an underwear. Matter of fact there are shoes that waay expensive than cars. I'm going through my 16th car (I only own one, don't get it twisted). Everybody in my town over the age of 16 has a car.!

Ndiyo maana nikasema Marekani kumiliki gari ni NECESSITY. Ulielewa hili? Ni ungesoma between the lines, kusema hivyo nilimaanisha public transport system kwa hapa ninapoishi, na nchi za jirani kama Uswisi, Ujerumani, Denmark na Uholanzi, mtu hana ulazima wa kumiliki gari, kwa kuwa public transportation is first class. Kuna public transportation at every corner of this country. Buses and Trams come after every 5-8 minutes. Regional and inter-city trains are after every 30 minutes. Sihitaji kumiliki gari, kwa sababu halina umuhimu wowote. Lakini huko Marekani gari ni muhimu kama kuwa na chupi, kama ulivyosema.

Tatizo unasoma ili kuleta ligi.

Marekani, living in projects is a sign of poverty. Europe is full of projects, almost 80% lives in flats, while in US house ownership is a standard. !

That's is just a perception bruv. Marekani bado kuna ardhi (sijui kama unafahamu Marekani ni kubwa kuliko Central Europe kwa land size?). Huku maendeleo ya nyumba ni vertical, kwani spacing ni kidogo. Ila asikudanganye mtu, (labda kwa UK, France na Belgium) lakini hapa ninapoishi standards za nyumba ni first class. Na yes, ninaishi kwenye flats. 3.5 rooms, na ninalipa takribani 2500 US$. Hivyo usifikiri kukaa kweye flats ndiyo kama kuishi kwenye housing projects za South Jamaica. Hapa a mere studio ina-cost almost 900US$. Sasa rent ninalipa mimi, kwa huko Marekani si ninapata nyumba nzima kabisa tena kubwa?

Yes, people here live in flats, and are very happy about that.


Ili kwenda best Universities marekani inabidi uwe na akili, and you will be straight. There are thousands of Europeans, and I mean thousands of them studying in State Universities (vya serikali) in US. Most State universities in US outdo a lot of Universities in Europe.!

Mimi sijaongelea suala la ubora wa vyuo. Hoja yangu ilikuwa ni gharama za kusoma chuo kikuu. Watu wanasoma kwa mikopo, ambayo wataendelea kuihudumia kwa muda mrefu watakapomaliza chuo. Hapa elimu ni bure, na ndiyo ni world class: inaweza kuwa siyo kwenye ubora wa Harvard et al., lakini elimu ni nzuri kabisa.

Tatizo la gharama ya elimu kwenye vyuo vikuu ni kubwa huko. At least this is what I saw and heard nilipokuwa huko.

Hao wanaokuja huko ni wanakuja kwa choices, na kuweza kuwa mobile (mobility is an added advantage kwa wale wenye lengo la kubaki kwenye academia na research). Huwezi kufananisha na watu kutoka China, India n.k.., ambao wanakuja Marekani siyo kwa choice ila lazima, kwani kwao hakuna vyuo bora.

Sijui ulipoishi ila States kama huna pesa ya Shule unapewa grant, automatically, low interest Student loans na scholarship zipo bwerere kama nondo zinapanda. !

Inamaana hukuona nilivyoandika nilipoishi? Athens, Lexington na Cullman, duh!!

Kwa hiyo African Americans na Latinos, nondo hazipandi ama? Maana asilimia yao kwenye elimu ya juu ni kidogo mno ukilinganisha na idadi yao.

Kwa hiyo wazazi wanapoamua ku-spend proportions of their earnings kwenye savings kwa ajili ya elimu za watoto wao, hawajui kuwa kama kuna grant na scholarships? Umeeleza as if ni rahisi na given kupata hayo unayoyasema.

EU is crap!

I won't go this low kusema EU is crap au Marekani is crap, as long as ninatoka kwenye a shithole country. EU is crap kuliko Tanzania?

Hoja yangu ya msingi bado ipo pale pale.
 
US mtu kuwa na gari ni jambo la kawaida mno yaani! Siyo big deal kabisa.

Ushawahi kwa mfano kutembelea high school yoyote ile wakati madarasa yakiwa in session? Angalia kwenye parking lot uone gari zilivyojaa! Hususan angalia upande wa student parking!?

You too missed the point. Nilisema hapa ninapoishi sasa sihitaji kuwa na gari, ila Marekani kuwa na gari ni NECESSITY. Na bottom line ni kwamba, nilitaka kuonyesha kuwa hapa public transportation ni better, kiasi kwamba mtu huhitaji kuwa na gari ili u-commute between home and workplace, au popote pale. Kwani kila mahala pako connected na reliable and timely public transport.

Sielewi ni kivipi mmeona ati nimemaanisha kumiliki gari Marekani ni big deal. Siyo big deal ni muhimu kama kuwa na chupi, kama alivyosema huyo jamaa. Hapa nilipo siyo lazima, yaani siyo necessity. Tena unakuta grown ups kabisa hata kuendesha gari hajui! Na ukimshangaa, naye anakushangaa!!


Na best universities kwa Marekani ni zipi kwa mfano? Harvard na Yale tu au? GA Tech je? University of Iowa je??

Yes, Ivy League varsities and the like. Ni gharama kusoma huko, na very competitive.

Umesoma chuo Marekani? Mimi nimesoma vyuo Marekani na sikuona wanafunzi waliokuwa wanafanya kazi kama watumwa!

Sana sana nilichoona ni wanafunzi wachache tu waliokuwa na ‘work-study’ ya kujipatia vijisenti vya hapa na pale kununulia bia na chicken wings.?

UGA (Georgia) na UK (Kentucky). Na niliona wanafunzi waliokuwa hawana scholarships au financial assistantship yoyote, waki-hustle kufanya kazi. Of course as teenagers, unatafuta pesa ya kunywea bia, kupendeza na kuwa na a cool car.


Halafu, kuna nchi gani inayoishinda Marekani kwenye kupokea immigrants wengi toka pembe zote za dunia??

Aisee! Hili nalo una-brag? Geographically, Marekani itapokea wahamiaji wengi kwani ipo karibu na nchi nyingi zilizo maskini. Immigrants wengi wanatoka Amerika ya Kusini. Kwa Central Europe, wahamiaji kutoka nchi maskini haswa za Afrika, ni hussle mno kufika Ulaya, sisemi Marekani hakuna hussle kufika, ila ukaribu na nchi maskini kunafanya wahamiaji kuwa daring ku-take their chances. Pia, hapa ninapokaa kuna tight immigration laws, na border control siyo mchezo aisee. Na ukumbe nchi za central Europe ni ndogo ndogo kwa saizi, hivyo control ya watu kutoka na kuingia ni rahisi zaidi. Hivyo, Marekani kuwa na wahamiaji wengi, siyo hoja hapa.

Marekani mimi nimeshakutana na wahamiaji wengi tu toka huko Scandinavia unakosema kuna viwango bora vya maisha!
kama huko watokako maisha ni bora zaidi kwa nini wanahamia Marekani?

Hao unaowaita 'wahamiaji' kutoka Scandnavia, wapo hapo kama illegal immigrants? Wamekuja kubahatisha maisha, ama wapo kikazi? Can you put a little bit context kwa ulichokisema.

Kwa sababu, kama wapo kikazi, nami nimekutana na wamarekani wengi hapa nilipo, wanafanya kazi, na ku-make shekels ambazo hawawezi kupata Marekani. Je, kama maisha ni bora Marekani kwanini wanahamia hapa kufanya kazi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
You too missed the point. Nilisema hapa ninapoishi sasa sihitaji kuwa na gari, ila Marekani kuwa na gari ni NECESSITY. Na bottom line ni kwamba, nilitaka kuonyesha kuwa hapa public transportation ni better, kiasi kwamba mtu huhitaji kuwa na gari ili u-commute between home and workplace, au popote pale. Kwani kila mahala pako connected na reliable and timely public transport.

I think you are the one who missed the point.

The point there was easy vehicle ownership in America offsets the relatively poor mass transit system especially in small towns.

Sielewi ni kivipi mmeona ati nimemaanisha kumiliki gari Marekani ni big deal. Siyo big deal ni muhimu kama kuwa na chupi, kama alivyosema huyo jamaa. Hapa nilipo siyo lazima, yaani siyo necessity. Tena unakuta grown ups kabisa hata kuendesha gari hajui! Na ukimshangaa, naye anakushangaa!!

I think I’ve explained what I meant. It’s the ease of ownership that makes up the difference.

Yes, Ivy League varsities and the like. Ni gharama kusoma huko, na very competitive.

Ivy leagues are not the be-all-and-all or higher learning in America. There are thousands and thousands of quality institutions that aren’t as expensive!

UGA (Georgia) na UK (Kentucky). Na niliona wanafunzi waliokuwa hawana scholarships au financial assistantship yoyote, waki-hustle kufanya kazi. Of course as teenagers, unatafuta pesa ya kunywea bia, kupendeza na kuwa na a cool car.

Let’s be real here! Huwezi kulipia college tuition kwa kufanya kazi part time bana. Hao uliowaona wewe more than likely walikuwa wanafanya kazi wapate pocket money.

Na UGA being a state school, GA residents wanalipa in-state tuition, pia kuna Hope scholarship, Pell Grants, Stafford loans na kadhalika.

Wamarekani wanaolipa college fees out of pocket sidhani kama ni wengi. Asilimia kubwa sana wanapata mikopo na misaada mingineyo. Na hapa sibahatishi. Najua ninachokiongelea.

Aisee! Hili nalo una-brag? Geographically, Marekani itapokea wahamiaji wengi kwani ipo karibu na nchi nyingi zilizo maskini. Immigrants wengi wanatoka Amerika ya Kusini. Kwa Central Europe, wahamiaji kutoka nchi maskini haswa za Afrika, ni hussle mno kufika Ulaya, sisemi Marekani hakuna hussle kufika, ila ukaribu na nchi maskini kunafanya wahamiaji kuwa daring ku-take their chances. Pia, hapa ninapokaa kuna tight immigration laws, na border control siyo mchezo aisee. Na ukumbe nchi za central Europe ni ndogo ndogo kwa saizi, hivyo control ya watu kutoka na kuingia ni rahisi zaidi. Hivyo, Marekani kuwa na wahamiaji wengi, siyo hoja hapa.

Again, seems like you’ve missed the point! Hapo nilikuwa naonyesha ni jinsi gani Marekani ilivyo a popular destination kwa immigrants.....na hiyo ni tokea zamani!! Siyo sasa hivi tu!

Kungekuwa ni kubaya au hakuna mpango, immigrants wasingeendelea kwenda kwa wingi hivyo.

So there was no bragging there. It’s just a fact.

Hao unaowaita 'wahamiaji' kutoka Scandnavia, wapo hapo kama illegal immigrants? Wamekuja kubahatisha maisha, ama wapo kikazi? Can you put a little bit context kwa ulichokisema.

Hapana. Siyo illegals. Ni wahamiaji walioamua kwenda kuishi na kufanya kazi Marekani kwa hiari yao na kwa kufuata taratibu za uhamiaji!

Kwa nini wamefanya hivyo? Kwa sababu wanaipenda Marekani and what it has to offer!

Kwa sababu, kama wapo kikazi, nami nimekutana na wamarekani wengi hapa nilipo, wanafanya kazi, na ku-make shekels ambazo hawawezi kupata Marekani. Je, kama maisha ni bora Marekani kwanini wanahamia hapa kufanya kazi?

So?
 
Ndiyo, nimesema tena juu ya oligarchs kusisitiza kwamba, sidhani kama Urusi ni mfano mzuri kwa Tanzania. Swali langu la msingi lilikuwa kutajiwa nchi ambayo Rais aliyekuwa madarakani akajiongezea muda ati kwa hoja kwamba apate muda mrefu wa kuleta maendeleo. Hili mpaka sasa sijajibiwa. Mifano yako ya Urusi na Uturuki haijibu swali langu. Hakuna kwenye nchi ambako RAIS kajiongezea muda. Mtu kuwa PM, kisha kwenda kugombea Urais (na kuwa Rais aliye head of state) haijibu swali langu.
Haya ya OECD na oligarchs ni vibwagizo tu. Swali langu linabaki pale pale.

Kama hoja ni kufanya power mongering, sawa. Na hivyo ndivyo huyu kituko ******** anataka kufanya. Lakini, angalia nchi zote za Kiafrika ambazo marais wao waliojiongezea muda wa kukaa madarakani, na unitajie any successful case. I bet you 500K for this.
Achana na hivyo vibwagizo. Mfano mzuri una maana gani? Kwamba katika dunia hii, Urusi haiesabiwi kama nchi iliyoendelea au? Bado unarukaruka na hueleweki unaposema nchi iliyoendelea. Hebu rudia swali lako la kwanza ili uone unavyobadilisha hoja kila kukicha.
nchi ambayo Rais aliyekuwa madarakani akajiongezea muda ati kwa hoja kwamba apate muda mrefu wa kuleta maendeleo. Hili mpaka sasa sijajibiwa
Really? Kwa hoja kwamba apate muda mrefu wa kuleta maendeleo? Hii part imekujaje? Unafikiri, kwa mfano Erdogan alitoa hoja gani? Maana wewe umesema angalau Turkey imeendelea ila Erdogan hakujiongezea muda, wewe unafikiri amebadilisha katiba ili afanye nini? Umeshindwa kueleza hilo sasa unahamisha goli na kusema Turkey is poor. Hata tuseme kuwa everything will go perfect, zero corruption, 100% democracy. Bado itatuchukua decades kufikia maendeleo ya Turkey na Urusi.

Mkuu swali lako halipo palepale. Tafakari uone.
That's is just a perception bruv. Marekani bado kuna ardhi (sijui kama unafahamu Marekani ni kubwa kuliko Central Europe kwa land size?). Huku maendeleo ya nyumba ni vertical, kwani spacing ni kidogo. Ila asikudanganye mtu, (labda kwa UK, France na Belgium) lakini hapa ninapoishi standards za nyumba ni first class. Na yes, ninaishi kwenye flats. 3.5 rooms, na ninalipa takribani 2500 US$. Hivyo usifikiri kukaa kweye flats ndiyo kama kuishi kwenye housing projects za South Jamaica. Hapa a mere studio ina-cost almost 900US$. Sasa rent ninalipa mimi, kwa huko Marekani si ninapata nyumba nzima kabisa tena kubwa?

Yes, people here live in flats, and are very happy about that.

People here lives in houses and are very happy too, I'd rather any day live in a house than a flat. It's more peaceful and free than sharing a space with someone on top of you. Houses are better than apartments, but hey be happy that you don't have a choice. Kusema kuwa hakuna ardhi, well ... why are you comparing a crowded country with a spacious one? Ni sawa na kusema umenipiga kwa sababu una msuli, so? Get some then or..
Mimi sijaongelea suala la ubora wa vyuo. Hoja yangu ilikuwa ni gharama za kusoma chuo kikuu. Watu wanasoma kwa mikopo, ambayo wataendelea kuihudumia kwa muda mrefu watakapomaliza chuo. Hapa elimu ni bure, na ndiyo ni world class: inaweza kuwa siyo kwenye ubora wa Harvard et al., lakini elimu ni nzuri kabisa.

Tatizo la gharama ya elimu kwenye vyuo vikuu ni kubwa huko. At least this is what I saw and heard nilipokuwa huko.

Hao wanaokuja huko ni wanakuja kwa choices, na kuweza kuwa mobile (mobility is an added advantage kwa wale wenye lengo la kubaki kwenye academia na research). Huwezi kufananisha na watu kutoka China, India n.k.., ambao wanakuja Marekani siyo kwa choice ila lazima, kwani kwao hakuna vyuo bora
Hizo concepts hazina mashiko, utaondoka chuoni na student loans na utazilipa, siyo big deal labda ufanye poor choices. Pell grant, ni grant ambayo almost 90% ya wanafunzi wasio na uwezo wanapata na ukiamua kwenda vyuo vya kawaida sana, hata community colleges na ku-transfer in two years unaweza kusoma vizuri based on government grants. Kuna community colleges huku zina Wajapan, wajerumani kibao. Elimu ya States is favoured na Europeans wengi tu. Wanatoka Europe na kujilipia vyuo huku na kuacha vyuo vyao huko ulaya. There are thousands of them, Im
Inamaana hukuona nilivyoandika nilipoishi? Athens, Lexington na Cullman, duh!!

Kwa hiyo African Americans na Latinos, nondo hazipandi ama? Maana asilimia yao kwenye elimu ya juu ni kidogo mno ukilinganisha na idadi yao.

Kwa hiyo wazazi wanapoamua ku-spend proportions of their earnings kwenye savings kwa ajili ya elimu za watoto wao, hawajui kuwa kama kuna grant na scholarships? Umeeleza as if ni rahisi na given kupata hayo unayoyasema.

African Americans and Latinos hawajali Elimu kama races nyingine, trust me on this. You are talking about traumatized ethnic groups ambazo hazina solution from within and largely dependent of solutions from outside their communities. African Americans most of them will perform the same if they were given that free European education. It's more than what you think.

Grants are calculated based on income. Ninakuhakikishia hili, kama kuna mtoto Marekani anayetaka kwenda chuoni na ana sifa, lazima ataenda. 99% ATAENDA CHUO. Marekani ina college graduates or educated individuals wengi tu na hilo suala usitake kulivalia njuga.
I won't go this low kusema EU is crap au Marekani is crap, as long as ninatoka kwenye a shithole country. EU is crap kuliko Tanzania?

Hoja yangu ya msingi bado ipo pale pale.

Compared to US? EU is crap! Some of EU countries still have villages. They still have places without internal plumbing. You talk about Central Europe, which country? Cos that region has some backward contries compared to US, be specific and give us like Four examples. But as a region? Nah bruh.

Hoja yako haipo palepale, umejibiwa na umeshindwa kukubali. Kimsingi, ume-shift hoja like 10 times na zote you got'em wrong. Let it go!
 
I think you are the one who missed the point.

The point there was easy vehicle ownership in America offsets the relatively poor mass transit system especially in small towns.?

Hapa na nchi nyingi za central Europe, serikali zipo very conscious na masuala ya uchafuzi wa mazingira. Hivyo emission standards zipo high sana kwenye vyombo vya usafiri na hata home appliances. Hivyo, ndiyo maana serikali zimewekeza sana kwenye mass transport systems, na kwa namna fulani kuweka a lot of disincentives za umiliki binafsi wa magari. Kuanzia kwenye driving licence tu, ni as if it is a privilege kumiliki leseni ya gari. It is ridiculously expensive kufanya driving test (written exams, physical tests n.k.), na mara nyingi watu wanafelishwa intentionally kwenye first trial. Ukija kwenye parking space, napo ni aghali balaa.

Wanafanya hivi kwa kuwa wanajua kumiliki gari isn't a necessity as such. Ukihitaji sana gari kuna mobility car sharing, karibu maeneo mengi.

Wamarekani wanaolipa college fees out of pocket sidhani kama ni wengi. Asilimia kubwa sana wanapata mikopo na misaada mingineyo. Na hapa sibahatishi. Najua ninachokiongelea.?

Ndiyo, hapo ndipo hoja yangu ilipokuwa. Hapa elimu ni bora, Uswisi ada ni kama 600-800US$ per semester. Ni kama bure tu. Lakini Marekani na Uingereza sasa, elimu ya juu ni gharama sana. Bila mkopo, scholarship ama rich parents huwezi kumudu. Najua jinsi gani mzigo wa mkopo wa chuo unavyowasumbua wahitimu huko. Hapa hakuna kitu kama hicho.


Again, seems like you’ve missed the point! Hapo nilikuwa naonyesha ni jinsi gani Marekani ilivyo a popular destination kwa immigrants.....na hiyo ni tokea zamani!! Siyo sasa hivi tu!

Kungekuwa ni kubaya au hakuna mpango, immigrants wasingeendelea kwenda kwa wingi hivyo.?

Nafikiri ni vyema kusema tofauti kati illegal na legal immigrants. Kwa illegal immigrants, hawa wapo desperate, wamekimbia dhiki na umaskini, au state repression huko walipotoka.

Kwa legal immigrants, hawa wapo kujaribu au ku-explore what Marekani has for them.

Na usisahau pia Marekani ni taifa la immigrants. Kwa hiyo ni wazi, historia hiyo haiwezi kufutika. Mataifa mengi, kama siyo yote ya Central Europe, hayana historia ya immigrants sana. Labda Uswisi miaka ile wanajenga mtandao wa usafiri wa reli, ambapo wataliano walihamia Uswisi. Na wakati wa machafuko kule Balkans, ambapo wahanga wengi wakahamia Uswisi.

Lakini, suala la Marekani pia kuzungukwa na mataifa maskini, nalo lina nafasi yake kubwa kwenye kufanya Marekani kuendelea kuwa popular destination haswa kwa watu kutoka Central na South America.



Kuna wahamaji kutoka Marekani ambao wametapakaa nchi nyingi za central Europe kikazi. Je, ina maana kwa sababu wanapenda central Europe and what it has to offer? Au kama ulivyosema awali, kwamba inamaana central Europe ni bora kuliko Marekani?

Nakutana na wamarekani wengi tu kwenye basketball na soccer practices hapa. And most of them expats na academics, na few ni grad students.

Ninamaanisha, hilo la hao Scandinavians kuwepo Marekani doesn't necessarily mean US is better than their home countries. Can you say the same kwa Americans na Europeans walio Tanzania, Kenya na nchi nyingine za kiafrika?

Wangekuwa illegal immigrants, hapo kweli ningekubali. Kwani ingemaanisha kweli Marekani has more to offer than their home countries. Ila kama wapo kikazi na kihalali, sidhani kama hoja yangu ina mantiki.
 
Achana na hivyo vibwagizo. Mfano mzuri una maana gani? Kwamba katika dunia hii, Urusi haiesabiwi kama nchi iliyoendelea au? Bado unarukaruka na hueleweki unaposema nchi iliyoendelea. Hebu rudia swali lako la kwanza ili uone unavyobadilisha hoja kila kukicha.

Mzee, wewe ndiwe ulijaribu kujibu swali langu. Swali langu nililielekeza kwa mtu ambaye alisema kwamba anapenda Magufuli aongezewe muda ili aweze kupata muda wa kuleta maendeleo. Nami ndipo nikauliza, anitajie nchi moja tu ambayo rais wake alikuwa madarakani akajiongezea muda ili alete maendeleo, na nchi hiyo ikaendelea.

Ebu pitia posts za nyuma, utaona hili.


Really? Kwa hoja kwamba apate muda mrefu wa kuleta maendeleo? Hii part imekujaje? Unafikiri, kwa mfano Erdogan alitoa hoja gani? Maana wewe umesema angalau Turkey imeendelea ila Erdogan hakujiongezea muda, wewe unafikiri amebadilisha katiba ili afanye nini?

Kama nilivyosema hapo juu. Jaribu kufuatilia hoja niliyoi-quote na kuuliza swali langu. Utaelewa hilo ls muda mrefu wa maendeleo limetoka wapi. Na vile vile, mtu wa kwanza kuanzisha hoja ya Magufuli kuongezewa muda, Juma Nkamia alisema, miaka 5 haitoshi kwa Rais kutimiza ajenda zake za maendeleo. Ungekuwa unajadili hili kwa mtazamo mpana zaidi wa hoja hii kwa Tanzania, ungenielewa, bila ya mimi kufafanua hivi.

Kuhusu Erdogan, sioni ni wapi kabadili katiba ili awe na muda mrefu wa kuwa Rais. Nimekwambia, in fact mabadiliko yale ya 2007, yalipunguza muda wa urais (miaka 7 hadi 5). Na kwa mabadiliko ya katiba, the longest he can serve ni miaka 10 tu.

Umeshindwa kueleza hilo sasa unahamisha goli na kusema Turkey is poor. Hata tuseme kuwa everything will go perfect, zero corruption, 100% democracy. Bado itatuchukua decades kufikia maendeleo ya Turkey na Urusi.

Nionyeshe niliposema "Turkey is poor", and I will end this discussion.

Ndiyo, but, still their ways of governing na democracy, na existing inequalities haswa kwa Urusi, are worthy learning for Tanzania. Ndiyo wana maendeleo makubwa, lakini siamini kama wanafaa kuwa mfano wa kujifunza, ilhali kuna nchi ambazo tunaweza kujifunza zaidi, na kuwa na inclusive economy na working democracy.


. Kusema kuwa hakuna ardhi, well ... why are you comparing a crowded country with a spacious one? Ni sawa na kusema umenipiga kwa sababu una msuli, so? Get some then or..

Mzee, ni nani aliyeleta hoja ya ati Europe sijui 80% live in projects? Ulipoleta hiyo hoja hukufikiria suala la utofauti wa land size? Mimi sikuleta hii hoja. Nilifanya kujibu hoja yako. Kimsingi, nilionyesha hukufikiria vizuri kusema kwamba watu wengi Ulaya wanaishi kweny flats, bila kuelewa sababu za kijiografia za uwepo wa vertical housing development Ulaya.

. Kuna community colleges huku zina Wajapan, wajerumani kibao. Elimu ya States is favoured na Europeans wengi tu. Wanatoka Europe na kujilipia vyuo huku na kuacha vyuo vyao huko ulaya. There are thousands of them,

Sawa.

African Americans and Latinos hawajali Elimu kama races nyingine, trust me on this. You are talking about traumatized ethnic groups ambazo hazina solution from within and largely dependent of solutions from outside their communities. African Americans most of them will perform the same if they were given that free European education. It's more than what you think.

Sawa.


Compared to US? EU is crap! Some of EU countries still have villages. They still have places without internal plumbing. You talk about Central Europe, which country? Cos that region has some backward contries compared to US, be specific and give us like Four examples. But as a region? Nah bruh.

Give you and who? Mbona unaanza kufanya kama you have a bunch guys with you. I thought, this is a 1-on-1 conversation.

Anyways, pia pengine una short memory (which is good in some situations, kama kwenye kucheza basketball, soccer na sports nyingine), maana nimeshasema hizo nchi ninazoziongelea. Na sitarudia.

Yes, hapa nilipo kuna vijiji. Ila hilo jina kijiji, lisikuchanganye ukafikiria kijiji kama huko kwenu madongo kuinama au kwetu kule Ng'washilalage au Ng'walogwabagole. Hapa hakuna tatizo la internal plumbing, labda huko Italy (southern part) na France.


Hoja yako haipo palepale, umejibiwa na umeshindwa kukubali. Kimsingi, ume-shift hoja like 10 times na zote you got'em wrong. Let it go!

Sijahama swali langu la msingi. Nimeshasema hapo juu, wewe ndiyo hukuelewa swali langu la msingi, kwani inaonekana hukufuatilia genesis ya mimi kuuliza vile.

Hivi vibwagizo, nimevijibu kadiri ulivyovileta.

Let it go of what! I aint holding anything!!! Swali langu tu halijajibiwa kutoka kwa wale wanaokubaliana na hoja ya Magufuli ajiongezee muda wa urais, ili atimize ajenda zake za maendeleo.
 
Ebu nitajie nchi moja tu, ambayo kiongozi kakaa madarakani kwa muda mrefu (kwa kubadili katiba na kujiongezea muda) na nchi hiyo imeendelea?
Nkakujibu Erdogan.
 
Nkakujibu Erdogan.

Erdogan hajiongezea muda akiwa Rais. Hili hulielewi? Alikuwa PM aliye head of government. Akaongoza harakati za kufanya rais awe na nguvu (head of state and government) na siyo ceremonial. Akagombea nafasi ya urais. Sasa alipobadili Katiba ili ajiongezee muda wa urais ni wapi hapo? Au unataka kusema alijiongezea muda alivyokuwa PM, ili aendelee kuwa PM? Something that didn't happen.
 
Erdogan hajiongezea muda akiwa Rais. Hili hulielewi? Alikuwa PM aliye head of government. Akaongoza harakati za kufanya rais awe na nguvu (head of state and government) na siyo ceremonial. Akagombea nafasi ya urais. Sasa alipobadili Katiba ili ajiongezee muda wa urais ni wapi hapo? Au unataka kusema alijiongezea muda alivyokuwa PM, ili aendelee kuwa PM? Something that didn't happen.
We vipi??
Sasa waziri mkuu Merkel na Trump si ndiyo heads of State? Kwani kutakuwa na tofauti kati ya Magufuli na Merkel? Si wote ni heads of States. Kwa sababu ya jina tu la Rais, ndiyo hoja yako?

Yaani muda wote huo tuliopoteza ni kwa sababu Erdogan hakuwa Rais bali alikuwa "Head of State"? Wewe ndugu yangu haupo serious unafanya matani labda.

Kwani hao kina Kagame, Museveni, Nguesso et al hawatumii bunge kupitisha uozo wao? Erdogan naye si alitumia Bunge?
Do yo want to tell me ukiwa rais, utatumia presidential order kubadili katiba? Where they do that at?

Fundamentals za hoja yako hasa ni nini? Labda niambie hilo, maana sikuelewi kabisa jinsi unavyo - debate. Tungekuwa moderated sidhani kama unge-last 5 minutes. What is the basis of your question?

President as President Name even if it's ceremonial or President as the "Head of State" (Non royal). Is it the nomenclature that you are clinging on now?
Pheew!
 
Sasa waziri mkuu Merkel na Trump si ndiyo head of States? Kwani kutaskuwa na tofauti kati ya Magufuli na Merkel? Si wote ni head of States. Kwa sababu ya jina tu la Rais, ndiyo hoja yako?.

Kwa sababu ya jina la Rais wala siyo hoja yangu. Jaribu kunisoma bila kupaniki mzeeiya.

Yaani muda wote huo tuliopoteza ni kwa sababu Erdogan hakuwa Rais bali alikuwa "Head of State"? Wewe ndugu yangu haupo serious unafanya matani labda.

Tutaenda taratibu hivi hivi, pamoja na ukichwa ngumu wako.

Nimekwambia, hata Erdogan alipokuwa PM alikuwa ni head of government. Rais alikuwa head of State. Alipokuwa PM hukubadili katiba ili aendelee kuwa PM kwa muda mrefu. Kama ulivyosema sahihi kabisa, chama chake kisingeruhusu hilo. Baada ya kubadili katiba na kumfanya rais awe ni head wa both state and government, akagombea urais. Ila mabadiliko mengine ya mwaka jana, yakaleta hoja kwamba, hilo badiliko la nafasi ya rais litaanza kufanya kazi baada ya uchaguzi wa mwakani. Kwa maana hiyo Erdogan sasa naye ni kama ceremonial president tu, ingawa kutokana na nguvu yake kwenye chama, anaweza kuwa na nguvu kuliko PM wa sasa Binali, aliye bado head of government.


Kwani hao kina Kagame, Museveni, Nguesso et al hawatumii bunge kupitisha uozo wao? Erdogan naye si alitumia Bunge?
Do yo want to tell me ukiwa rais, utatumia presidential order kubadili katiba? Where they do that at?

Sijaelewa hii ranting imetokea wapi, na inaingiaje hapa. Ebu come down bruv. Pengine unajaribu ku-overthink bila sababu yoyote kwenye hoja iliyo very basic na lucid.

Actually, badiliko la Katiba la Turkey lilitegemea sana sauti ya waturuki kupitia referendum. Ingawa Bunge lili-play role yake pia.

Fundamentals za hoja yako hasa ni nini? Labda niambie hilo, maana sikuelewi kabisa jinsi unavyo - debate. Tungekuwa moderated sidhani kama unge-last 5 minutes. What is the basis of your question?

Hoja yangu iliyobebwa na swali ni hii: nitajie ncho moja tu ambayo kiongozi wa nchi akiwa madarakani, alijiongezea muda kwa mabadiliko ya katiba, kwa hoja kwamba apate muda mrefu zaidi wa kutimiza ajenda zake za maendeleo. Na hii hoja ina-reflect kwenye mjadala ulioanzishwa na Juma Nkamia na kuletwa humu na pro-******** wanaotaka abadili katiba ili presidential term iwe 7 years, na aweze kutimiza ajenda zake za maendeleo. Pamoja na swali hilo, nikaongezea kwamba, nchi hiyo itakayotajwa, huyo kiongozi wa nchi awe ameleta kweli hayo maendeleo kabla ilivyodaiwa awali.

Nimelisema hili hapo juu; na nikakwambia kabisa, fuatilia genesis ya swali langu. Swali langu la msingi sikulielekeza kwako. Wewe uliingia tu na kujaribu kulijibu. Na bado sijajibiwa.


President as President Name even if it's ceremonial or President as the "Head of State" (Non royal). Is it the nomenclature that you are clinging on now?
Pheew!

It is not. Ngoja niendelee tena kukuelezea. Erdogan alikuwa PM wa Turkey, aliyekuwa head of government tu. Alianzisha harakati za kumfanya Rais awe na nguvu zaidi (jambo linalofanya nafasi ya PM iwe redundant) na awe head wa government na state, na mwenye uwezo hata wa kufukuza mawaziri, hata na VP nafikiri. Agosti ya 2014, Erdogan akagombea urais, tena kwa Katiba aliyoshiriki kuibadili, lakini iliyofanya presidential term iwe miaka 5 na siyo 7 kama ilivyokuwa awali. Ingawa referendum ya mwanzoni mwa mwaka jana, ikasema badiliko jipya ya nafasi ya urais, litaanza kufanya kazi kwenye uchaguzi wa mwakani.

Sasa wewe unapotelea mfano wa Erdogan kama kiongozi aliyejiongezea muda wa kutawala akiwa madarakani, sijui unachokijibu ni nini! Kwa kuwa Erdogan hakujiongezea muda wa kuendelea kuwa PM. Ningekuelewa kama badiliko la 2007, lingemfanya Erdogan aendelee kuwa PM. Haikuwa hivyo. Alikuwa PM, kafanya harakati za mabadiliko, kamaliza muda wake, akagombea urais. Na sasa ni ceremonial president tu. Mwakani, atagombea urais (kama atapata ridhaa hiyo na waturuki kumpigia kura - mind you referendum ya mwaka jana ilikuwa toe-to-toe (51-49% kwa kura za ndiyo), ina maana support ya Erdogan na chama chake, siyo kubwa kihivyo, kiasi cha hata kujihakikishia yeye ushindi mwakani. Hata akishinda mwakani, haitomaanisha alijiongezea muda wa kutawala akiwa madarakani.

Usiponielewa na hapa, basi.
 
Sasa waziri mkuu Merkel na Trump si ndiyo head of States? Kwani kutaskuwa na tofauti kati ya Magufuli na Merkel? Si wote ni head of States. Kwa sababu ya jina tu la Rais, ndiyo hoja yako?.

Kwa sababu ya jina la Rais wala siyo hoja yangu. Jaribu kunisoma bila kupaniki mzeeiya.

Yaani muda wote huo tuliopoteza ni kwa sababu Erdogan hakuwa Rais bali alikuwa "Head of State"? Wewe ndugu yangu haupo serious unafanya matani labda.

Tutaenda taratibu hivi hivi, pamoja na ukichwa ngumu wako.

Nimekwambia, hata Erdogan alipokuwa PM alikuwa ni head of government. Rais alikuwa head of State. Alipokuwa PM hukubadili katiba ili aendelee kuwa PM kwa muda mrefu. Kama ulivyosema sahihi kabisa, chama chake kisingeruhusu hilo. Baada ya kubadili katiba na kumfanya rais awe ni head wa both state and government, akagombea urais. Ila mabadiliko mengine ya mwaka jana, yakaleta hoja kwamba, hilo badiliko la nafasi ya rais litaanza kufanya kazi baada ya uchaguzi wa mwakani. Kwa maana hiyo Erdogan sasa naye ni kama ceremonial president tu, ingawa kutokana na nguvu yake kwenye chama, anaweza kuwa na nguvu kuliko PM wa sasa Binali, aliye bado head of government.


Kwani hao kina Kagame, Museveni, Nguesso et al hawatumii bunge kupitisha uozo wao? Erdogan naye si alitumia Bunge?
Do yo want to tell me ukiwa rais, utatumia presidential order kubadili katiba? Where they do that at?

Sijaelewa hii ranting imetokea wapi, na inaingiaje hapa. Ebu come down bruv. Pengine unajaribu ku-overthink bila sababu yoyote kwenye hoja iliyo very basic na lucid.

Actually, badiliko la Katiba la Turkey lilitegemea sana sauti ya waturuki kupitia referendum. Ingawa Bunge lili-play role yake pia.

Fundamentals za hoja yako hasa ni nini? Labda niambie hilo, maana sikuelewi kabisa jinsi unavyo - debate. Tungekuwa moderated sidhani kama unge-last 5 minutes. What is the basis of your question?

Hoja yangu iliyobebwa na swali ni hii: nitajie ncho moja tu ambayo kiongozi wa nchi akiwa madarakani, alijiongezea muda kwa mabadiliko ya katiba, kwa hoja kwamba apate muda mrefu zaidi wa kutimiza ajenda zake za maendeleo. Na hii hoja ina-reflect kwenye mjadala ulioanzishwa na Juma Nkamia na kuletwa humu na pro-******** wanaotaka abadili katiba ili presidential term iwe 7 years, na aweze kutimiza ajenda zake za maendeleo. Pamoja na swali hilo, nikaongezea kwamba, nchi hiyo itakayotajwa, huyo kiongozi wa nchi awe ameleta kweli hayo maendeleo kabla ilivyodaiwa awali.

Nimelisema hili hapo juu; na nikakwambia kabisa, fuatilia genesis ya swali langu. Swali langu la msingi sikulielekeza kwako. Wewe uliingia tu na kujaribu kulijibu. Na bado sijajibiwa.


President as President Name even if it's ceremonial or President as the "Head of State" (Non royal). Is it the nomenclature that you are clinging on now?
Pheew!

It is not. Ngoja niendelee tena kukuelezea. Erdogan alikuwa PM wa Turkey, aliyekuwa head of government tu. Alianzisha harakati za kumfanya Rais awe na nguvu zaidi (jambo linalofanya nafasi ya PM iwe redundant) na awe head wa government na state, na mwenye uwezo hata wa kufukuza mawaziri, hata na VP nafikiri. Agosti ya 2014, Erdogan akagombea urais, tena kwa Katiba aliyoshiriki kuibadili, lakini iliyofanya presidential term iwe miaka 5 na siyo 7 kama ilivyokuwa awali. Ingawa referendum ya mwanzoni mwa mwaka jana, ikasema badiliko jipya ya nafasi ya urais, litaanza kufanya kazi kwenye uchaguzi wa mwakani.

Sasa wewe unapotelea mfano wa Erdogan kama kiongozi aliyejiongezea muda wa kutawala akiwa madarakani, sijui unachokijibu ni nini! Kwa kuwa Erdogan hakujiongezea muda wa kuendelea kuwa PM. Ningekuelewa kama badiliko la 2007, lingemfanya Erdogan aendelee kuwa PM. Haikuwa hivyo. Alikuwa PM, kafanya harakati za mabadiliko, kamaliza muda wake, akagombea urais. Na sasa ni ceremonial president tu. Mwakani, atagombea urais (kama atapata ridhaa hiyo na waturuki kumpigia kura - mind you referendum ya mwaka jana ilikuwa toe-to-toe (51-49% kwa kura za ndiyo), ina maana support ya Erdogan na chama chake, siyo kubwa kihivyo, kiasi cha hata kujihakikishia yeye ushindi mwakani. Hata akishinda mwakani, haitomaanisha alijiongezea muda wa kutawala akiwa madarakani.

Usiponielewa na hapa, basi.
 
Sasa wewe unapotelea mfano wa Erdogan kama kiongozi aliyejiongezea muda wa kutawala akiwa madarakani, sijui unachokijibu ni nini!
Erdogan alibadilisha katiba ili aendelee kuwa madarakani. Maana yake aendelee kuiongoza Turkey. Hakumaanisha ili Turkey iwe more democratic, NO! aAlimaanisha ili aendelee yeye mwenyewe kuitawala Turkey. Erdogan will end up being the Longest serving leader of Modern Turkey na hilo ndiyo lengo.

Hiyo part ya pili, inayosema ili kuleta maendeleo, hiyo umeiingiza mwenyewe katikati ya mjadala. Swali original nilishacopy na kukuonyesha, labda tu unataka kuyeyusha.

Erdogan amejiongezea muda akiwa madarakani. There are two components.

1. Muda (time)

Hii inamaanisha uwepo wako madarakani continuously even if you have to create a façade for sometime ili kufkia lengo hilo. Unaweza pia ku-step out for a minute na baadae kuingia tena as long as bado upo hai.

2. Madaraka (power)

Constitutionally or not. Nyerere alipoendelea kuwa mwenyekiti wa CCM ilimaanisha nini? Ilimaanisha kuwa bado ni powerful na hajamwachia Mwinyi urais totally na angeweza kumuondo kama angezingua.

Putin alikuwa Waziri mkuu under Medvedev, just to buy time na kujiongezea muda constitutionally. Just to get a flimsy legal basis - ambazo sidhani kama mtu kama wewe unaziamini, let alone use them for arguments - for his power grab. He was still the most powerful na Erdogan is still the most powerful. Who cares about the Turkish PM? Nani anamjua? You really think Erdogan has stepped down? Au Putin aliachia madaraka?

Yaani kama unaamini hayo, basi utakuwa unaamini kwenye shadow laws kama zilizomuweka Nkurunzinza madarakani, au Museveni. They are just some legal manipulations.

It's that combination of power and time that dignifies my arguments and mystifies yours. Nikuelewe?
Hell no.
 
Hapa na nchi nyingi za central Europe, serikali zipo very conscious na masuala ya uchafuzi wa mazingira. Hivyo emission standards zipo high sana kwenye vyombo vya usafiri na hata home appliances. Hivyo, ndiyo maana serikali zimewekeza sana kwenye mass transport systems, na kwa namna fulani kuweka a lot of disincentives za umiliki binafsi wa magari. Kuanzia kwenye driving licence tu, ni as if it is a privilege kumiliki leseni ya gari. It is ridiculously expensive kufanya driving test (written exams, physical tests n.k.), na mara nyingi watu wanafelishwa intentionally kwenye first trial. Ukija kwenye parking space, napo ni aghali balaa.

Well, different strokes for different folks.

Point was, in America vehicle ownership is so easy that owning a car which at the minimum can get you from point A to B and sometimes C is normal.

And wherever there is a mass transit inadequacy it is easily offset by how easy it is to own a vehicle.

A bunch of people don't even want to own vehicles anymore. They just lease them. That way they can get each new model [of their preferred choice] when it comes out without being tied by long term commitments.

Wanafanya hivi kwa kuwa wanajua kumiliki gari isn't a necessity as such. Ukihitaji sana gari kuna mobility car sharing, karibu maeneo mengi.

Hayo ndo mambo nisiyoyapenda. Kwa nini serikali iniamulie mimi kuhusu kilicho na ulazima kwangu? Mambo ya socialism hayo.

Ndiyo, hapo ndipo hoja yangu ilipokuwa. Hapa elimu ni bora,

Kwa hiyo elimu ya US siyo bora au?

Uswisi ada ni kama 600-800US$ per semester.

Tax rate ya huko ukilinganisha na ya US ikoje? Majuzi hapa nilikuwa na mgeni toka Luxembourg na aliniambia hata huko elimu ni sawa na bure ila kodi zake ziko juu sana. Anakatwa kodi karibu nusu nzima ya kipato chake.

So ni suala la mfumo tu kwa kiasi fulani.

Ni kama bure tu.

Ukiliangalia in isolation unaweza kuona ni kama bure tu lakini ukweli wa mambo si bure.

Lakini Marekani na Uingereza sasa, elimu ya juu ni gharama sana. Bila mkopo, scholarship ama rich parents huwezi kumudu. Najua jinsi gani mzigo wa mkopo wa chuo unavyowasumbua wahitimu huko. Hapa hakuna kitu kama hicho.

Na ndo maana kuna kila aina ya financial aid!!

Na enrollment katika US colleges and universities ipo vizuri tu. Ma international students kibao tu.

[quoteNafikiri ni vyema kusema tofauti kati illegal na legal immigrants. Kwa illegal immigrants, hawa wapo desperate, wamekimbia dhiki na umaskini, au state repression huko walipotoka.[/quote]

Si illegals wamekimbia hizo hali. Illegals wengine wame overstay their visas. Wapo waliokuja kusoma na baada ya masomo wanaamua kubaki bila makaratasi.

Amini usiamini overstays ni wengi sana. Matter of fact, visa overstays account for two-thirds of the undocumented population. And those are the people who went to the US on an airplane vis a vis those who crossed the southern [US] border. Just look it up....

Kwa legal immigrants, hawa wapo kujaribu au ku-explore what Marekani has for them.

And they are in the millions!
 
Hayo ndo mambo nisiyoyapenda. Kwa nini serikali iniamulie mimi kuhusu kilicho na ulazima kwangu? Mambo ya socialism hayo.

Well, hivyo ndivyo unavyoona.

Ila sidhani kama kuna nchi duniani ambayo haina socialist policies hata kidogo. Unapoongelea masuala ya ruzuku kwenye public transport systems, kilimo, unemployment benefits, unemployment wages, SNAP (food stamps), nursing homes, free newspapers and their distributions n.k., haya yote ni mambo ya socialism.

Kwa hiyo elimu ya US siyo bora au?

Sijasema elimu ya US siyo bora. Nilichosema ni kwamba licha ya elimu kutolewa bure, lakini ni bora pia.

Tax rate ya huko ukilinganisha na ya US ikoje? Majuzi hapa nilikuwa na mgeni toka Luxembourg na aliniambia hata huko elimu ni sawa na bure ila kodi zake ziko juu sana. Anakatwa kodi karibu nusu nzima ya kipato chake.

Tax rates zinatofautiana: kwani haswa kwa income tax inalipwa katika makundi manne, federal, regional/state, and municipal levels, na kundi la nne ni kanisa. Na income tax rates ni progressive. Kwani kuna majimbo na manispaa yana net wealth tax pia in addition to income tax. Na church tax ulipwa na watu walio members kwenye makanisa ya Roman and Christian Catholic, na Protestant). Ukiacha kulipa church tax, ina maana umejitoa kwenye church membership. Ila wengi wanaendelea kulipa church tax, lakini siyo active members, kwa maana ya kwenda kanisani.

Pia income na wealth taxes zinatofautiana katika single person na married couple. Kwa couples, wana file one tax return form. Na kama couples wana watoto na wanaishi pamoja wanawekwa kwenye reduced tax scale, sawa na single parent households.

Ila ukichanganya hizo income taxes kwenye zile levels nne, kwa married couple wenye watoto na wenye kipato cha kama USD 100,000, jimbo lenye lowest total income tax lina rate ya 1.16%, na jimbo lenye highest tax lina rate ya 9.25%. Kwa single person, lowest rate kwa hicho kipato ipo kwenye jimbo lenye rate ya 7.59%, na highest rate ipo kwenye jimbo lenye income tax rate ya 19.33%. Hivyo, unaona ukiwa married, unalipa kidogo, na watoto wanasomeshwa bure, na university wanalipa hiyo USD600-800 per semester, which ni kama bure kabisa.

Kwa married couple yenye kipato cha kama USD 1M kwa mwaka, the lowest income tax rate stands at 19.79% kwenye jimbo moja, na the highest inapatikana at 36.25%. Hilo jimbo lenye lowest income tax rate, ndilo lina-attract matajiri wengi, na wengi wao wanaishi huko, hata kama wanafanya deals zao kwenye majimbo mengine. Kwa single person mwenye kipato hicho, lowest total income tax rate stands at 20.67%, na the highest rate ipo at 37.32%.

Hizo rates zinahusisha malipo ya kodi kwenye ngazi zote nne.

Inapokuja kwenye wealth tax, kuna jimbo lina 0% rates kabisa kwa watu wenye kipato cha kati ya USD 1-2K. Na wealth tax haina hizo categories za married couple na single person. Na highest wealth tax rate kwa kipato cha USD 1K ni 0.13%. Kwa kipato cha USD 1M the highest rate ni 0.68%; kwa kipato cha USD 10M, the highest rate ni 0.94%.

So, you see taxes aren't that bad. Na hata kama mtu anakatwa karibu ya nusu ya kipato chake, kama hatotumia fedha kulipa ada ama kuhudumia gari binafsi (kama nilivyosema awali, it is insanely expensive to own a car, siyo kwa sababu ya bei ya kununua gari, ila kwa sababu ya gharama za driving tests, umiliki wa leseni, insurance, parking space n.k), si anakuwa hana mzigo mkubwa sana.
 
Back
Top Bottom