Sababu nimeieleza: uchumi wa Urusi upo kwenye mikono ya oligarchs. Na pengo la haves na haves not ni kubwa sana. Ndiyo maana hujaona nataja Marekani hapa. Kwani uchumi wao nao upo mikononi mwa matajiri wachache. Licha ya kuwa ni the biggest economy, lakini ina rank poorly kwenye HDI na standard of living.
Nimekutajia nchi ambazo maisha ya wananchi ni mazuri: high standards of living, excellent public services (maji, umeme, elimu, afya, usafirishaji wa umma n.k.). Russia na Marekani high standards utazipata kwenye miji mikubwa tu. Ukienda ndani ndani na miji midogo, mambo siyo mazuri sana. Tofauti na nchi nilizokutajia, ambako tofauti siyo kubwa, na unaweza usizione kabisa.