Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.
Je, hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu.
6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.
Ufafanuzi please najua mmo humu
Je, hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu.
6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.
Ufafanuzi please najua mmo humu