Bank ya NMB naombeni ufafanuzi kuhusu makato haya

Bank ya NMB naombeni ufafanuzi kuhusu makato haya

Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.

Je hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu. 6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.
Ufafanuzi please najua mmo humu
Hapa umezingatia magazijuto kweli ?
 
B

Mkuu mimi mtu kanitumia ela janq, leo naenda kutoa nakuta 10000 haipo kabsa
Mkuu naomba twende taratibu tusilaumu bure.
Bank kuna makato ya kila mwezi yanaitwa monthly service charge na hutegemea aina ya account uliyofungua.

Kuna ac hukata 1,500, 3,000, 5,000 nk.

Endapo hujaweka pesa miezi 2 mara utakapoweka tu wataikata hiyo 5,000x2=10,000.

Lakini ikiwa ulitumia kila mwezi na makato walikata basi fuatilia hiyo 10k yako watakupa sababu kwanini wamekukata?
 
Ninahisi nitakua sahihi kwa [emoji817] kua hii ni njia ya kutuibia hela zetu.

Bank zitakua zinatubia kwa kisingizio Cha tozo za serikali. Make hela niliyokatwa nimeenda bank hawana majibu ya kuweleweka kwa kiasi walichokata 75000. J3 naamkia kwa manager.

Serikali inajikatia tozo inayotaka yenyewe make Haina kiwango ambacho ni fixed.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.

Je hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu. 6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.
Ufafanuzi please najua mmo humu
Kama ukifanya miamala ndani ya mwezi wa saba wamekata malimbikizo ya tozo kwenye miamala yako.
 
Hawanidai wala nini, j
Mkuu naomba twende taratibu tusilaumu bure.
Bank kuna makato ya kila mwezi yanaitwa monthly service charge na hutegemea aina ya account uliyofungua.

Kuna ac hukata 1,500, 3,000, 5,000 nk.

Endapo hujaweka pesa miezi 2 mara utakapoweka tu wataikata hiyo 5,000x2=10,000.

Lakini ikiwa ulitumia kila mwezi na makato walikata basi fuatilia hiyo 10k yako watakupa sababu kwanini wamekukata?siku 2 nyuma nilienda kutoa lak moja ,kama ni tozo ya mwez s wangekata pale na ilikaa mda mrefu kidg, yan hii mtu katuma juz naenda kutoa leo et 10000 hamna, mzee wameniudh thaaaaaana
 
Hawanidai wala nini, j
Mkuu naomba twende taratibu tusilaumu bure.
Bank kuna makato ya kila mwezi yanaitwa monthly service charge na hutegemea aina ya account uliyofungua.

Kuna ac hukata 1,500, 3,000, 5,000 nk.

Endapo hujaweka pesa miezi 2 mara utakapoweka tu wataikata hiyo 5,000x2=10,000.

Lakini ikiwa ulitumia kila mwezi na makato walikata basi fuatilia hiyo 10k yako watakupa sababu kwanini wamekukata?siku 2 nyuma nilienda kutoa lak moja ,kama ni tozo ya mwez s wangekata pale na ilikaa mda mrefu kidg, yan hii mtu katuma juz naenda kutoa leo et 10000 hamna, mzee wameniudh thaaaaaana
 
Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.

Je hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu. 6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.
Ufafanuzi please najua mmo humu
Kumekucha kumekuchaaaaa....
 

Attachments

  • 1660411658986.jpg
    1660411658986.jpg
    26.9 KB · Views: 5
Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.

Je, hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu.

6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.

Ufafanuzi please najua mmo humu
Kwahiyo 6000*1000=milion 60[emoji849]
 
Ninahisi nitakua sahihi kwa [emoji817] kua hii ni njia ya kutuibia hela zetu.

Bank zitakua zinatubia kwa kisingizio Cha tozo za serikali. Make hela niliyokatwa nimeenda bank hawana majibu ya kuweleweka kwa kiasi walichokata 75000. J3 naamkia kwa manager.

Serikali inajikatia tozo inayotaka yenyewe make Haina kiwango ambacho ni fixed.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Duuu 75000 hatari sana mbona hiyo yaani tozo ya 75000??
 
Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.

Je, hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu.

6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.

Ufafanuzi please najua mmo humu
Wakipigwa watu 1000 siyo 60msl bali ni 6 mls.
Watakuja kukujibu mimi nilikuwa naweka hesabu sawa
 
Tozo ilitakiwa ianze Julai Mosi... sasa mabenki mengi yalikuwa bado hayajabidlisha mifumo, kwahiyo wanachukua za kuanzia Julani Mosi wampe Kaisari
 
Back
Top Bottom