Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
Mkuu mimi mtu kanitumia ela janq, leo naenda kutoa nakuta 10000 haipo kabsaHujaitumia muda gani?
Upotevu huo ni baada ya monthly service charge au?
Hapa umezingatia magazijuto kweli ?Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.
Je hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu. 6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.
Ufafanuzi please najua mmo humu
Ikiingia unaivuta chapWanaopitisha salary huko ndio iweje?
Mkuu naomba twende taratibu tusilaumu bure.B
Mkuu mimi mtu kanitumia ela janq, leo naenda kutoa nakuta 10000 haipo kabsa
Kama ukifanya miamala ndani ya mwezi wa saba wamekata malimbikizo ya tozo kwenye miamala yako.Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.
Je hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu. 6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.
Ufafanuzi please najua mmo humu
Huwezi iwahi systemIkiingia unaivuta chap
Kama ukifanya miamala ndani ya mwezi wa saba wamekata malimbikizo ya tozo kwenye miamala yako.
Mkuu naomba twende taratibu tusilaumu bure.
Bank kuna makato ya kila mwezi yanaitwa monthly service charge na hutegemea aina ya account uliyofungua.
Kuna ac hukata 1,500, 3,000, 5,000 nk.
Endapo hujaweka pesa miezi 2 mara utakapoweka tu wataikata hiyo 5,000x2=10,000.
Lakini ikiwa ulitumia kila mwezi na makato walikata basi fuatilia hiyo 10k yako watakupa sababu kwanini wamekukata?siku 2 nyuma nilienda kutoa lak moja ,kama ni tozo ya mwez s wangekata pale na ilikaa mda mrefu kidg, yan hii mtu katuma juz naenda kutoa leo et 10000 hamna, mzee wameniudh thaaaaaana
Wizi gani? Kwani mwakajana wakati luku zimeanza walifanyaje kama sio kama hivi wanavyofanya sasa?Hela yangu iko uvunguni
Wizi mtupu.
Mkuu naomba twende taratibu tusilaumu bure.
Bank kuna makato ya kila mwezi yanaitwa monthly service charge na hutegemea aina ya account uliyofungua.
Kuna ac hukata 1,500, 3,000, 5,000 nk.
Endapo hujaweka pesa miezi 2 mara utakapoweka tu wataikata hiyo 5,000x2=10,000.
Lakini ikiwa ulitumia kila mwezi na makato walikata basi fuatilia hiyo 10k yako watakupa sababu kwanini wamekukata?siku 2 nyuma nilienda kutoa lak moja ,kama ni tozo ya mwez s wangekata pale na ilikaa mda mrefu kidg, yan hii mtu katuma juz naenda kutoa leo et 10000 hamna, mzee wameniudh thaaaaaana
Kumekucha kumekuchaaaaa....Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.
Je hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu. 6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.
Ufafanuzi please najua mmo humu
Kwahiyo 6000*1000=milion 60[emoji849]Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.
Je, hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu.
6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.
Ufafanuzi please najua mmo humu
Duuu 75000 hatari sana mbona hiyo yaani tozo ya 75000??Ninahisi nitakua sahihi kwa [emoji817] kua hii ni njia ya kutuibia hela zetu.
Bank zitakua zinatubia kwa kisingizio Cha tozo za serikali. Make hela niliyokatwa nimeenda bank hawana majibu ya kuweleweka kwa kiasi walichokata 75000. J3 naamkia kwa manager.
Serikali inajikatia tozo inayotaka yenyewe make Haina kiwango ambacho ni fixed.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Ni typing error tu ndugu nilimaanisha milioni sita 6.Kwahiyo 6000*1000=milion 60[emoji849]
Wakipigwa watu 1000 siyo 60msl bali ni 6 mls.Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.
Je, hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu.
6000 ni ndogo kwa mtu mmoja lkn wakipigwa watu elfu 1000 kiasi hicho mtu anajikusanyia milioni 60 kirahisi tu.
Ufafanuzi please najua mmo humu