Banki Kuu yaanika ukuaji wa Tanzania kuwa 5.2% kinyume na takwimu za serikali

Banki Kuu yaanika ukuaji wa Tanzania kuwa 5.2% kinyume na takwimu za serikali

Walipata usaidizi maana ilianikwa, lakini visa ambavyo vimefichwa ni vingi, media zenu huwa zimeganda, hawahoji chochote wapo wapo tu, kazi yao kung'ang'ania vipesa vya kutupiwa na Irene Uwoya. Mambo ya Turkana huwa yanafahamika maana media zetu ni moto moto, hawafichi chochote.
Tanzania albino wanaliwa na kunyofolewa viungo, wwatoto wanachnjwa kwa ajili ya ushirikina wa kijinga, lakini haisemwi, hadi pale media za kimataifa zitatangaza ndio itasikika.
Mkuu,
Albino kuuawa ni zilipendwa tumeshasahau hio kitu maana watu wameelimika na wanalindwa nowadays.
Tatizo lililopo sasa hv ni mauaji ya watoto kwa iman za kishirikina Njombe.
Na usitudanganye eti international media ndio zinafichua.
TBC wenyewe wanafikaga eneo la tukio na kuripoti mauaji ya hao watoto.
Na huku zinazoathirika ni familia moja moja sio ukanda mzima km vile kenya,we unakuta the whole Northern part wana face hunger huko Kenya.
Tz ni familia moja moja
 
Shida kubwa ya wakenya wanapenda kutumia matukio ya kipindi cha nyuma Tz ili kuficha aibu zao mfano wanaleta ukileta current situation ya njaa kenya wao wamekuletea matukio ya kitambo kutokeoa Tz utafikiri ni tupo kwenye mashindano, hawa jamaa kila kitu ni mashindano ndo maana wamekariri ile video ya omba omba, hiyo waliotuma hapo juu na matukio mengine yaliopita [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu we mgonjwa wa akili kweli.
Kumbe mdogo wao wa mwisho ndio ala kinyesi cha mbuzi??
Na wanavyoelezea ni kwamba kaka yao huangaika kutafuta mapapai ili wale.
Anapokuwa ktk mahangaiko mdogo mtu hushindwa kuvumilia hula kinyesi cha mbuzi.
Mpk kaka ataporudi waletea mapapai.
Na hyo ni familia moja tuuu,nilidhani kijiji kizima au mkoa mzima km ilivyo kanda nzima ya Turkana!!!
Bongo bado hatuna maisha ngumu km ya Kenya Turkana area.
Hawa watu atleast wame reflect kidoogo hali ya maisha ya kibera
 
Muambie pia hayo matukio ya watoto yalisha thibitiwa, alafu muulize kule kwao vipi ukabila, njaa, corruption vimethibitiwaa?
Mkuu,
Albino kuuawa ni zilipendwa tumeshasahau hio kitu maana watu wameelimika na wanalindwa nowadays.
Tatizo lililopo sasa hv ni mauaji ya watoto kwa iman za kishirikina Njombe.
Na usitudanganye eti international media ndio zinafichua.
TBC wenyewe wanafikaga eneo la tukio na kuripoti mauaji ya hao watoto.
Na huku zinazoathirika ni familia moja moja sio ukanda mzima km vile kenya,we unakuta the whole Northern part wana face hunger huko Kenya.
Tz ni familia moja moja
 
Shida kubwa ya wakenya wanapenda kutumia matukio ya kipindi cha nyuma Tz ili kuficha aibu zao mfano wanaleta ukileta current situation ya njaa kenya wao wamekuletea matukio ya kitambo kutokeoa Tz utafikiri ni tupo kwenye mashindano, hawa jamaa kila kitu ni mashindano ndo maana wamekariri ile video ya omba omba, hiyo waliotuma hapo juu na matukio mengine yaliopita [emoji23][emoji23][emoji23]
Dah me mwenyewe nawashangaa kaka.
We kuhusu albino watu tumeshasahau albino siku hz wamekuwa huru kiasi nao wamekuwa majambazi kaka.au halijui hilo huyo jamaa??
Sikufichi kaka,kipindi nikiwaonaga wakenya na wanavyojitapa na Linguistics zao basi nasema yeah hawa jombaa wasomi.
Ila nilivyokuwa nasoma comments za hawa jamaa ndio nikajua hamna kitu kichwan.
Mpk niliweka mgomo wa kuwajibu hawa jamaa.
Eti mtu anakwambia Turkana wanakufaa njaa kwasababu maindi ya ugali hamna lakin mchele upo.
Is that person sane or insane ??!!!
 
Wanaenda shule kusoma lugha huku kichwani hamna kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
Dah me mwenyewe nawashangaa kaka.
We kuhusu albino watu tumeshasahau albino siku hz wamekuwa huru kiasi nao wamekuwa majambazi kaka.au halijui hilo huyo jamaa??
Sikufichi kaka,kipindi nikiwaonaga wakenya na wanavyojitapa na Linguistics zao basi nasema yeah hawa jombaa wasomi.
Ila nilivyokuwa nasoma comments za hawa jamaa ndio nikajua hamna kitu kichwan.
Mpk niliweka mgomo wa kuwajibu hawa jamaa.
Eti mtu anakwambia Turkana wanakufaa njaa kwasababu maindi ya ugali hamna lakin mchele upo.
Is that person sane or insane ??!!!
 
Kenya Ports Authority is an investor in Kenya National Shipping Line, a state corporation of Kenya formed in 1989, currently owned by KPA and three non-Kenyan corporate investos.[5]
https://en.wikipedia.org/wiki/Kenya_Ports_Authority
non kenyan:::: come on guys, mnashindwa nn kushikilia land yenu
KPA fully owned by GOK 100%
KNSL - 53% GOK rest MSC.
Now if it interest you note this, MSC is second largest container shipping line in the world, KNSL will manage the second container terminal and right now an additional container terminal is being constructed.Joint venture kama hii ndio the best way to go kufanya transhipment business Naona mkikujia container zenu mombasa
 
Hali ni mbaya sana ..lakini Mungu hachelewi wala hawahi atatuvusha
 
Mkuu,
Albino kuuawa ni zilipendwa tumeshasahau hio kitu maana watu wameelimika na wanalindwa nowadays.
Tatizo lililopo sasa hv ni mauaji ya watoto kwa iman za kishirikina Njombe.
Na usitudanganye eti international media ndio zinafichua.
TBC wenyewe wanafikaga eneo la tukio na kuripoti mauaji ya hao watoto.
Na huku zinazoathirika ni familia moja moja sio ukanda mzima km vile kenya,we unakuta the whole Northern part wana face hunger huko Kenya.
Tz ni familia moja moja

So kuhamia kutoka kuchinja albino hadi kuanza kuchinja watoto unaona kama ni sifa, mumelaaniwa nyie na ndio maana nchi yenu maskini siku zote pamoja na kwamba ina rotuba nzur kila sehemu, ina mvua siku zote, ina madini na ni kubwa lakini mpaka sasa mnahesabiwa kwenye mataifa maskini wa kutupwa, msipoacha hayo mambo ya kuwachinja watoto na albino hiyo laana itawatafuna siku zote.
Juzi hadi mumesemwa na UN https://www.timesofisrael.com/un-co...-of-tanzanian-albino-children-for-body-parts/

Suala la ukame Kenya lipo maana zaidi ya nusu ya nchi yetu ni kame tupu, hakunyeshi mvua hata tone, hayo ni mambo ambayo hatuwezi tukayabadilisha, mngekua na ukame kama wa kwetu mlivyo wazembe mbgekufa njaa nyote.
 
So kuhamia kutoka kuchinja albino hadi kuanza kuchinja watoto unaona kama ni sifa, mumelaaniwa nyie na ndio maana nchi yenu maskini siku zote pamoja na kwamba ina rotuba nzur kila sehemu, ina mvua siku zote, ina madini na ni kubwa lakini mpaka sasa mnahesabiwa kwenye mataifa maskini wa kutupwa, msipoacha hayo mambo ya kuwachinja watoto na albino hiyo laana itawatafuna siku zote.
Juzi hadi mumesemwa na UN https://www.timesofisrael.com/un-co...-of-tanzanian-albino-children-for-body-parts/

Suala la ukame Kenya lipo maana zaidi ya nusu ya nchi yetu ni kame tupu, hakunyeshi mvua hata tone, hayo ni mambo ambayo hatuwezi tukayabadilisha, mngekua na ukame kama wa kwetu mlivyo wazembe mbgekufa njaa nyote.
Hizo report mkuu ni za kitambo aisee.
Na haitokei ukanda wote,
Huwa inatokea ktk uncivilized regions.
Na kwann useme tuna laana?!
Tribalism,corruption kwan hiyo sio laana kwenu kenya.??
Kiasi mnagawa hadi social welfare kiukabila??
Kiasi mlikatana mapanga nchi nzima kisa ukabila kipindi cha vurugu ya uchaguzi wa Odinga na Kenyatta??
Tz serikali haina hela ila wananchi tunaishi vema.
Maisha tulionayo sio magumu kama ya kenya.
Mbona USA wanauana kisa ubaguzi wa rangi na. Kidini wao hawana lana??
Aisee mkuu embu kuwa mtu mzima sometimes.
Hata waseme sisi masikini,wananchi wengi wao wanakula vizuri wanalala vizuri bila tabu yeyote.
Walio wavivu ndio wanahangaika.
 
So kuhamia kutoka kuchinja albino hadi kuanza kuchinja watoto unaona kama ni sifa, mumelaaniwa nyie na ndio maana nchi yenu maskini siku zote pamoja na kwamba ina rotuba nzur kila sehemu, ina mvua siku zote, ina madini na ni kubwa lakini mpaka sasa mnahesabiwa kwenye mataifa maskini wa kutupwa, msipoacha hayo mambo ya kuwachinja watoto na albino hiyo laana itawatafuna siku zote.
Juzi hadi mumesemwa na UN https://www.timesofisrael.com/un-co...-of-tanzanian-albino-children-for-body-parts/

Suala la ukame Kenya lipo maana zaidi ya nusu ya nchi yetu ni kame tupu, hakunyeshi mvua hata tone, hayo ni mambo ambayo hatuwezi tukayabadilisha, mngekua na ukame kama wa kwetu mlivyo wazembe mbgekufa njaa nyote.
Mnafiki wewe wacha uongo hizo ripoti ni za January 2019 bado mnawachinja albinos.
 
Mnafiki wewe wacha uongo hizo ripoti ni za January 2019 bado mnawachinja albinos.
Hakuna kesi ya kuchinjwa albino miaka hii acha umbea wa kike mtoto wa kiume ww.
Albino wako safe nowadays.
Isipokuwa wanaouliwa ni watoto wadogo ktk iman za kishirikina huko Njombe.
Hiko tuuu.
But hakuna albino anayeuawa nowadays
 
Ndio policcm wamkateni hku wakimuandikia mashtaka km ywataka kuleta vurugu na uchochezi
Mm nmewaambia alete source kaniletea hiyo au kama vipi aje azunguke mitaani kufanya utafiti binafsi atuletee
 
Kwn hyo familia wanaishi peke yao...tena kijijini aisee..mnavyotusifia mna vyakula
Halafu huyo jamaa bro mgonjwa wa akili kweli.
Kumbe mdogo wao wa mwisho ndio ala kinyesi cha mbuzi??
Na wanavyoelezea ni kwamba kaka yao huangaika kutafuta mapapai ili wale.
Anapokuwa ktk mahangaiko mdogo mtu hushindwa kuvumilia hula kinyesi cha mbuzi.
Mpk kaka ataporudi waletea mapapai.
Na hyo ni familia moja tuuu,nilidhani kijiji kizima au mkoa mzima km ilivyo kanda nzima ya Turkana!!!
Bongo bado hatuna maisha ngumu km ya Kenya Turkana area.
Hawa watu atleast wame reflect kidoogo hali ya maisha ya kibera
 
Always in denial[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shida kubwa ya wakenya wanapenda kutumia matukio ya kipindi cha nyuma Tz ili kuficha aibu zao mfano wanaleta ukileta current situation ya njaa kenya wao wamekuletea matukio ya kitambo kutokeoa Tz utafikiri ni tupo kwenye mashindano, hawa jamaa kila kitu ni mashindano ndo maana wamekariri ile video ya omba omba, hiyo waliotuma hapo juu na matukio mengine yaliopita [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza Tz ni Second economy in EAC sio third umekosea
It is pointless to waste time arguing on a statistic just to prove who is right. Ask any statistician, and you will get varying answers on a single question. This also true when discussing economic growth. Using different formulas and hypotheses you are likely to get different answers that are not necessarily far from each other. Remember, when talking about growth we are referring to average and not exact number and therefore what we take in or not in those calculations matters, and therefore may be responsible for the varying economic growth differences.
 
Shida kubwa ya wakenya wanapenda kutumia matukio ya kipindi cha nyuma Tz ili kuficha aibu zao mfano wanaleta ukileta current situation ya njaa kenya wao wamekuletea matukio ya kitambo kutokeoa Tz utafikiri ni tupo kwenye mashindano, hawa jamaa kila kitu ni mashindano ndo maana wamekariri ile video ya omba omba, hiyo waliotuma hapo juu na matukio mengine yaliopita [emoji23][emoji23][emoji23]
Matukio yaliyopitA eh? Hivi majuzi mmepika mtoto hapo geita, mwanaume mmoja kauza mwanawe laki mbili akachinjwa kama kuku,watoto kumi kule njombe...
Ombaomba wenu wapo kila kona huku Kenya. Wauza mihadarati nao usiseme. Wanakamatwa kila uchao
 
Back
Top Bottom