Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali.
Akitoka kwenye huduma anapita na bapa, bapa likaweka maskani katika ubongo wake kisha likampotezea upako wake wote.
Leo hii mzee wa upako hamtambui Yesu kuwa ni Mungu.
Biblia inaonya... ".. Msilewe kwa mvinyo ambao kuna ufisadi ndani yake.."
Bapa limeshapita na mzee wa upako, hana upako tena, kwa sasa ni mlevi tu kama kina John Walker.
Wana familia wa madhabahu ya mzee wa upako pale Kibangu tujuane hapa.
Akitoka kwenye huduma anapita na bapa, bapa likaweka maskani katika ubongo wake kisha likampotezea upako wake wote.
Leo hii mzee wa upako hamtambui Yesu kuwa ni Mungu.
Biblia inaonya... ".. Msilewe kwa mvinyo ambao kuna ufisadi ndani yake.."
Bapa limeshapita na mzee wa upako, hana upako tena, kwa sasa ni mlevi tu kama kina John Walker.
Wana familia wa madhabahu ya mzee wa upako pale Kibangu tujuane hapa.