Bapa limepita na mzee wa upako

We ndo boya huelewi kwani yesu ni Mungu
 
Mke wake mwenyewe anaitwa Happyness Ngasala ni mfanyakazi wa TBC wala hasali kwenye kanisa la mumewe.

Anasali KKKT. Na wala hapandi gari la mumewe. Mumewe full uchawi wanao uchukua Nigeria
Yaani hashiriki ibada kwa mumewe, hapandi magari ya mumewe ila mbunye anampa, ajabu la ngapi la dunia hili?
 
Wana macho lakini hawaoni,wana masikio lakini hawasikii.Wasije wqkaona na kusikia nikawaponya.
Unabii katika kutimizwa.
 
Ukweli unauma, Mzee wa Upako ni genius sana ndio maana huwakumbusha kila siku someni biblia enyi wakristo msikaririshwe na maandiko ya kuumba umba..
 
Peleka na ya kwako akakusugue maana ume maindi sana kuona mkewe anamnyima
He kumbe mkewe anamnyima! Umejuaje ya faragha? Au mzee wa bapa kakuadithia kipindi anakubandua? Nyie wauza nyapu mna laan
 
He kumbe mkewe anamnyima! Umejuaje ya faragha? Au mzee wa bapa kakuadithia kipindi anakubandua? Nyie wauza nyapu mna laan
Nenda na wewe akakunyandue maana naona umepata nyege ghafla
 
Kwani yesu alikuwa mungu nilikuwa sijui umenifumbua macho.
 
Yesu alijaribiwa na lucifer, akamjibu imeandikea usimjaribu bwana mungu wako
 
Yesu alijaribiwa na lucifer, akamjibu imeandikea usimjaribu bwana mungu wako
Vipi nikikuambia "Waterbender vuka Barbara kuu ukiwa umefunga macho kwa maana Mungu atayazuia magari yasikugonge".
Ukajibu: "Imeandikwa Usimjaribu Mungu".
Hapo Mungu ni wewe au?

Mathayo 4:5 Ndipo Ibilisi akampeleka kwenye lile jiji takatifu, akamsimamisha juu ya mnara wa hekalu 6 na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, jitupe chini, kwa maana imeandikwa: ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe,’ nao ‘Watakubeba mikononi mwao, ili mguu wako usigonge jiwe.’” 7 Yesu akamwambia: “Tena imeandikwa: ‘Usimjaribu Yehova Mungu wako.’”
 
Utatu utakatifu huo,
 
Achana na urabu bana kule Arusha mafaza wa RC Kila ijumaa na jumamosi jioni tupo nao Big Sister Pub na saa jioni wale tunaokanao kwa Fazababu tunapanda bodaboda zetu na misambwana ya uhakika.
J2 misa kama kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…