Bapa limepita na mzee wa upako

Bapa limepita na mzee wa upako

Sawa Mchumba Ila wanachokoza wenyewe as you know I'ma angry beast sipendi ujinga wa namna Ile anakuja anaanza kunitusi nimchekee?
Sawa fanya unavyoona inakupendeza ipo siku unaweza ukabadili mtazamo
 
Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali.

Akitoka kwenye huduma anapita na bapa, bapa likaweka maskani katika ubongo wake kisha likampotezea upako wake wote.

Leo hii mzee wa upako hamtambui Yesu kuwa ni Mungu.

Biblia inaonya... ".. Msilewe kwa mvinyo ambao kuna ufisadi ndani yake.."

Bapa limeshapita na mzee wa upako, hana upako tena, kwa sasa ni mlevi tu kama kina John Walker.

Wana familia wa madhabahu ya mzee wa upako pale Kibangu tujuane hapa.

View attachment 3014233
Maji na mafuta hujitenga siku zote, no matter the effort iliyotumika
 
Mimi siwezi ugomvi, mtu akikukosea nyamaza kimya, ukimkosea mtu muombe msamaha
Mchumba wakinichokoza tu nakuita unipe Go Ahead niwafurahishe na Roho zao maana mwingine hasikii raha mpaka umjibu ovyo ndio anafurahia
 
Back
Top Bottom