Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Allah huyu huyu anaye mswalia mtume, au mwingine?"Mjuzi wa yote" ni Allah pekee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allah huyu huyu anaye mswalia mtume, au mwingine?"Mjuzi wa yote" ni Allah pekee.
Mambo ya Holly Trinity umeyasoma wapi ?Mkuu mimi ni Mpagani
Siamini katika hizi hekaya za kale
Siyo Mtume tu, hata sisi anatusalia.Allah huyu huyu anaye mswalia mtume, au mwingine?
Mkuu tatizo lako ni kwamba unadhani tupo JF KUJIBISHANAMimi nimesema mahali kuwa kuna holly Trinity?
Hiyo maana yako ni yako wewe,
Mimi sihusiki nayo.
Ni kwanini unasema maneno yako na unasema nimesema mimi?
Mimi kuna popote nilipo tamka mambo ya Holly Trinity ?
Nukuu na utuwekee hapa.
Sipendi kujibishana na wapumbavu
Atakuwa Yesu wa Njombe.Sawa bwana yesu
Wewe ndio uliye anza kuninukuu mimi na kunikejeri bila sababu za msingi.Mkuu tatizo lako ni kwamba unadhani tupo JF KUJIBISHANA
Ondoa kwanza hiyo mentality kichani mwako ili usiwe unatumia lugha za maudhi as if tuna UGONVI
HOJA ni kwamba Yesu ni Mungu au la
Umetoa mistari ya Bibilia kusapoti madai yako kuwa ni Mungu na ukatoka na nje ya mada ukaanza kuhoji uislam lakini hakuna aliyekuita MPUMBAVU
Mimi nimejenga hoja kwamba Yesu sio Mungu kwasababu kuna mistari mingi zaidi inayosema Mungu hana mshirika na Yesu sio Mungu kuliko mistari ya kuokoteza kusapoti ni Mungu.
Na nikajenga hoja kuhusu ni lini na nani wali develope idea ya Yesu kuwa ni Mungu....... na idea hiyo ni Holy Trinity
Sasa ulitaka nijenge vipi hoja yangu bila kutaja chanzo cha idea ya yesu kubatizwa umungu bila kutaja Holy Trinity?
Mistari yote uliyo quote na utakayo quote ndiyo iliyotumika kutengeneza Trinity.... kuhalalisha Yesu ni Mungu pia...... UPUMBAVU wangu ni nini mkuu?
Kama huwezi kujibu hoja KINZANI au hutaki unaipotezea tu kama hujaiona vile na sio kuanza kuporosha matusi
Ndio maana nakwambia ondoa mentality ya kubishana au kushindana kutafuta MSHINDIWewe ndio uliye anza kuninukuu mimi na kunikejeri bila sababu za msingi.
Mi anaye ongea kistaarabu namjibu kistarabu pia.
Sawa tufanye wewe ndio mshindi.
Ila mimi mambo ya holly trinity ndio nayasikia kwako.
Na hayapo kwanye vitabu vya dini nilivyovisoma.
Kama niliongea pumba ungenipotezea tu.
Unapata wapi ujasiri wa kumuomba msamaha mwanamke?Asante, mimi naandikaga porojo tu, na nashukuru umelitambua hilo kwakuwa wewe ni mwanamke unaye julikana na kukubalika sana katika jamii forum na ni msomi sana.
Mimi kwako naomba unisamehe tu kwa kuto kujua kwangu.
Wewe ni mjuzi wa yote.
Nisamehe bure tu dada yangu.
Na naomba uwe unanielimisha ninapo kosea.
Hivi wewe ukiwa na majina matatu yaaniNdio maana nakwambia ondoa mentality ya kubishana au kushindana kutafuta MSHINDI
Mimi sishiriki mjadala KUSHINDA wala sihitaji USHINDI wowote
Na issue hapa sio nani kaanza kum quote nani...... hapa tunajadili kwa hoja kinzania
Nime quote bandiko lako kwasababu sijaliona kama ni PUMBA, na ndio maana nikalisifia lakini nikasema ni la kutungwa tu...... hii sio kejeli Mkuu
Najua unajua dhana ya Mungu katika utatu mtakatifu(Mungu baba, Mwana na Roho Mtakatifu)
Na kama kweli hujui ungeuliza upewe ushahidi....... mjadala ungeendelea kwama amani
Wacha nimwombe tu msamaha.Unapata wapi ujasiri wa kumuomba msamaha mwanamke?
wacha aendelee kupiga helaAlianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali.
Akitoka kwenye huduma anapita na bapa, bapa likaweka maskani katika ubongo wake kisha likampotezea upako wake wote.
Leo hii mzee wa upako hamtambui Yesu kuwa ni Mungu.
Biblia inaonya... ".. Msilewe kwa mvinyo ambao kuna ufisadi ndani yake.."
Bapa limeshapita na mzee wa upako, hana upako tena, kwa sasa ni mlevi tu kama kina John Walker.
Wana familia wa madhabahu ya mzee wa upako pale Kibangu tujuane hapa.
View attachment 3014233
Alioa mtoto wa miaka 6.Siyo Mtume tu, hata sisi anatusalia.
Soma.
Suala la Yesu alilitolea ufafanuzi, kwa hiyo nawe njoo na fact za kujenga hoja juu ya Uungu wa Yesu tuitathimini.Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali.
Akitoka kwenye huduma anapita na bapa, bapa likaweka maskani katika ubongo wake kisha likampotezea upako wake wote.
Leo hii mzee wa upako hamtambui Yesu kuwa ni Mungu.
Biblia inaonya... ".. Msilewe kwa mvinyo ambao kuna ufisadi ndani yake.."
Bapa limeshapita na mzee wa upako, hana upako tena, kwa sasa ni mlevi tu kama kina John Walker.
Wana familia wa madhabahu ya mzee wa upako pale Kibangu tujuane hapa.
View attachment 3014233
Huendi mbinguni smart ujue Yani amepotea wewe Ndio unaona kajitambua🤔🤔??Ameamua kujitambua sweetheart...
Mbona nikiwa naelekea mbinguni hua nakufikisha kileleni...Huendi mbinguni smart ujue Yani amepotea wewe Ndio unaona kajitambua🤔🤔??
Kweli shetani ako kwa kazi 😁
MIMI namwelewa kinoma huyu Mzee asiemwelewa pigo zake za far right hawezi kumuelewa kamwe kuna topic 1 aliiongelea kuhusu kuneka kwa lugha ndio nilimwelewa zaidi lakini kingine watu wasichomwelewa Mzee huyu ni Chifu Mwantembe Chifu wa Wahehe kwa HIO anaposema Yesu sio Mungu waelewe anaesema hivyo sio Mzee wa Upako bali ni Chifu Mwantembe wajue kutofautisha kati ya Chifu Mwantembe na Mzee wa Upako hao ni watu wawili tofauti ndani ya Mwili wa mtu mmojasema huyu mzee wabongo kuna kipindi wakawa wanasema ameathirika, mara ana kisukari mara pressure ila ukiwa mtu maarufu ni shida sana maneno yote machafu yatakuishia wewe