Bapa limepita na mzee wa upako

Bapa limepita na mzee wa upako

Ni msemo tu wa wenye hekima, na wenye hekima ndio wanaoelewa. Usijipe stress kama huelewi.
Ndio nimekuelewa,

Can you prove than Jesus ni Yesu na Yesu ni Mungu? Hio ni hesabu, can you do that calculation na utuonyeshe jibu?

Hakuzaliwa wala ......?
Yeye ni Alpha na .......?

Uwe na D 2 TU unajibu hizo sehemu zilizo wazi tena bila hata kufungua Bible
 
Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali.

Akitoka kwenye huduma anapita na bapa, bapa likaweka maskani katika ubongo wake kisha likampotezea upako wake wote.

Leo hii mzee wa upako hamtambui Yesu kuwa ni Mungu.

Biblia inaonya... ".. Msilewe kwa mvinyo ambao kuna ufisadi ndani yake.."

Bapa limeshapita na mzee wa upako, hana upako tena, kwa sasa ni mlevi tu kama kina John Walker.

Wana familia wa madhabahu ya mzee wa upako pale Kibangu tujuane hapa.

View attachment 3014233
Yamekua hayo?
Makubwa
Ngoja nione utube
 
Matendo 7:56
Stefano akasema: “Tazama! Ninaziona mbingu zimefunguka na Mwana wa binadamu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume wa Mungu.

Wakati Stefano anauwawa alimwona Yesu amesimama kando ya Mungu.
Kweli siku zinavyoenda biblia inabadirishwa mdogo mdogo
 
Mwacheni na mambo yake
Kwake hiyo ni njia ya ujira na utafutaji kama walivyo wakulima na wafanye biashara wengine.

Unashangaa huyo
Vipi wale wanaobariki mashoga
Vipi wale wa mabikra 72 na moto ya pombe
Vipi wale wanaouziwa maji, mchanga na mafuta kwa pesa ndefu
Kweli wewe ni Otto Von Bismarck
 
Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali.

Akitoka kwenye huduma anapita na bapa, bapa likaweka maskani katika ubongo wake kisha likampotezea upako wake wote.

Leo hii mzee wa upako hamtambui Yesu kuwa ni Mungu.

Biblia inaonya... ".. Msilewe kwa mvinyo ambao kuna ufisadi ndani yake.."

Bapa limeshapita na mzee wa upako, hana upako tena, kwa sasa ni mlevi tu kama kina John Walker.

Wana familia wa madhabahu ya mzee wa upako pale Kibangu tujuane hapa.

View attachment 3014233
RGC Ubungo Kibangu.......enzi hizo tulipata burudisho la Kiroho kweli kweli
 
Wee usiekunywa bapa ndo huna akili kabisa kuamini eti yule mhaini wa wayahud aliezaliwa kwenye zizi la ng'ombe Ni Mungu
 
Kuhoji ni muhimu sio kupokea tu imani za watu. Nami ninaongezea, huyo Yesu alikuwepo kweli?
 
Back
Top Bottom