Bapa limepita na mzee wa upako

Ni msemo tu wa wenye hekima, na wenye hekima ndio wanaoelewa. Usijipe stress kama huelewi.
Ndio nimekuelewa,

Can you prove than Jesus ni Yesu na Yesu ni Mungu? Hio ni hesabu, can you do that calculation na utuonyeshe jibu?

Hakuzaliwa wala ......?
Yeye ni Alpha na .......?

Uwe na D 2 TU unajibu hizo sehemu zilizo wazi tena bila hata kufungua Bible
 
Yamekua hayo?
Makubwa
Ngoja nione utube
 
Matendo 7:56
Stefano akasema: “Tazama! Ninaziona mbingu zimefunguka na Mwana wa binadamu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume wa Mungu.

Wakati Stefano anauwawa alimwona Yesu amesimama kando ya Mungu.
Kweli siku zinavyoenda biblia inabadirishwa mdogo mdogo
 
Kweli wewe ni Otto Von Bismarck
 
RGC Ubungo Kibangu.......enzi hizo tulipata burudisho la Kiroho kweli kweli
 
Wee usiekunywa bapa ndo huna akili kabisa kuamini eti yule mhaini wa wayahud aliezaliwa kwenye zizi la ng'ombe Ni Mungu
 
Kuhoji ni muhimu sio kupokea tu imani za watu. Nami ninaongezea, huyo Yesu alikuwepo kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…