Bar Maids wa Kisuma Bar Magomeni njaa kali

Bar Maids wa Kisuma Bar Magomeni njaa kali

Cha ajabu nini hapo!.
Hiyo Hennessy ya laki tatu muhudumu kachukua 270 yake safi kaunta.
Nyie wenye kiburi cha fedha ndio wanawapenda!
Kwa hiyo dogo anamkomoa mhudumu!
Hahahahah.
Kikubwa hatupendi dharau hata akichukua kwa 10k we are less concerned
 
Nakumbuka siku moja nilienda kiwanja kimoja mjini mwanza nikiwa na dogo langu(msela) akiwa kavaa kawaida sana na anakunywa maji. Kuna bar maid alimuelewa sana akamuita na kumuomba namba yule bar maid akamjibu kwa jeuri sana kwamba ukitaka kuongea na mimi ninunulie kinywaji akanunuliwa hennessy(pale wanauza 300k Hennessy kubwa) alafu akamwambia usikae na mimi sijapenda perfume yako nipe namba ukakae sehem tofauti na mimi then nitakutafuta, dogo hakumtafuta wala nini kakausha tu. Kila muda yule bar maid anakuja kuuliza mbona hunipigii baby dogo anamchora tu.
Chai hii
 
Nakumbuka siku moja nilienda kiwanja kimoja mjini mwanza nikiwa na dogo langu(msela) akiwa kavaa kawaida sana na anakunywa maji. Kuna bar maid alimuelewa sana akamuita na kumuomba namba yule bar maid akamjibu kwa jeuri sana kwamba ukitaka kuongea na mimi ninunulie kinywaji akanunuliwa hennessy(pale wanauza 300k Hennessy kubwa) alafu akamwambia usikae na mimi sijapenda perfume yako nipe namba ukakae sehem tofauti na mimi then nitakutafuta, dogo hakumtafuta wala nini kakausha tu. Kila muda yule bar maid anakuja kuuliza mbona hunipigii baby dogo anamchora tu.
Hennessy ya 300k?

Unajua kwamba 300 k ni laki tatu?

LABDA Hennessy ya Burundi.
 
Viwanja vinatofautiana mkuu, kuna sehemu Heineken inauzwa 3k na kwingine ni 5k
 
They are keeping up with the hype.

Mdada mzuri na msambwanda wakushanta anaanzaje kunywa mataputapu kama castle lite au serengeti?
Serikali yako inategemea hayo mataputapu kwa kodi za maendeleo. Ila umenena vyema wenye haya mamisambwanda wengi hawana akili.
 
Barmaid ukimuelewa usimnunulie beer!! Muite muelewane kujua anafunga kazi saa ngapi na utampa kiasi gani? Kama una haraka unam-tip manager anakuachia mzigo unasepa nao.

Ukimnunulia bia ujue hatazinywa bali anawekesha kaunta baadae achukue mshiko. Na ukimuna ana chupa ya windhoek jua haina pombe ndani anaweza kuzuga kuweka hata maji tu.
 
Back
Top Bottom