Nakumbuka siku moja nilienda kiwanja kimoja mjini mwanza nikiwa na dogo langu(msela) akiwa kavaa kawaida sana na anakunywa maji.
Kuna bar maid alimuelewa sana akamuita na kumuomba namba yule bar maid akamjibu kwa jeuri sana kwamba ukitaka kuongea na mimi ninunulie kinywaji akanunuliwa Hennessy (pale wanauza 300k Hennessy kubwa) alafu akamwambia usikae na mimi sijapenda perfume yako nipe namba ukakae sehem tofauti na mimi then nitakutafuta, dogo hakumtafuta wala nini kakausha tu.
Kila muda yule bar maid anakuja kuuliza mbona hunipigii baby dogo anamchora tu.