Bar Maids wa Kisuma Bar Magomeni njaa kali

Bar Maids wa Kisuma Bar Magomeni njaa kali

Elfu 60 ?
Ni kweli mkuu, mwezi Jana nilikuwa Mwanza nilitembelea sehemu Kama nne hivi Kila watu Wana Bei zao. Mfano hiyo ya 60k bucket wanauza 80k, ile ya Kati bucket wanauza 150k the cask wanauza 180k. Kuna moja nilinunua 250k sehem moja wanaita DV8 shentemba hiyohiyo nikainunua 300k Malaika.
 
Nakumbuka siku moja nilienda kiwanja kimoja mjini mwanza nikiwa na dogo langu(msela) akiwa kavaa kawaida sana na anakunywa maji.

Kuna bar maid alimuelewa sana akamuita na kumuomba namba yule bar maid akamjibu kwa jeuri sana kwamba ukitaka kuongea na mimi ninunulie kinywaji akanunuliwa Hennessy (pale wanauza 300k Hennessy kubwa) alafu akamwambia usikae na mimi sijapenda perfume yako nipe namba ukakae sehem tofauti na mimi then nitakutafuta, dogo hakumtafuta wala nini kakausha tu.

Kila muda yule bar maid anakuja kuuliza mbona hunipigii baby dogo anamchora tu.
Huyo dogo mpumbavu sana, sasa alimkomoa nani zaidi ya kuonesha ulimbukeni wake?
 
Ni kweli mkuu, mwezi Jana nilikuwa Mwanza nilitembelea sehemu Kama nne hivi Kila watu Wana Bei zao. Mfano hiyo ya 60k bucket wanauza 80k, ile ya Kati bucket wanauza 150k the cask wanauza 180k. Kuna moja nilinunua 250k sehem moja wanaita DV8 shentemba hiyohiyo nikainunua 300k Malaika.
Mkuu kama huelewi matumizi ya hivi vifupi achana navyo andika zako tu kibantu. 300K ni laki tatu.
 
Mkuu kama huelewi matumizi ya hivi vifupi achana navyo andika zako tu kibantu. 300K ni laki tatu.
Screenshot_20221006-093510.png
nenda kaulize Bei hiyo af ulete majibu.
 
Hizo chupa wanakuwa wameziandaa mapema wala sio bia...katika bia nne utakazo mnunulia mbili zinaweza kuwa apple punch imejazwa umo... wajanja wengine mpaka wamejenga.
 
Back
Top Bottom